Chamorro: Psalms, Gospels, Acts

Swahili: New Testament

Luke

14

1YA susede na anae jumalom gui guima un magas Fariseo, para uchocho pan, gui sabado na jaane, ya sija maespipiaja.
1Siku moja ya Sabato, Yesu alikwenda kula chakula nyumbani kwa mmoja wa viongozi wa Mafarisayo; watu waliokuwapo hapo wakawa wanamchunguza.
2Ya, estagüe, un taotao gaegue gui menaña na malango binaya.
2Mbele yake Yesu palikuwa na mtu mmoja aliyekuwa na ugonjwa wa kuvimba mwili.
3Ya manope si Jesus, ya jacuentuse manmagas y lay, yan y Fariseo sija, ilegña: Tunas numajomlo gui sabado na jaane pat aje?
3Yesu akawauliza walimu wa Sheria na Mafarisayo, "Je, ni halali au la kumponya mtu siku ya sabato?"
4Ya sija manmamatquiquiloja. Ayonae jacone güe, ya janajomlo, ya jasotta na ujanao.
4Lakini wao wakakaa kimya. Yesu akamshika huyo mgonjwa, akamponya, akamwacha aende zake.
5Ya jaope sija ilegña: Jaye guiya jamyo, yanguin guaja gaña asno pat guaca, podong gui jalom tupo, ada ti enseguidas ujatsa gui sabado na jaane?
5Halafu akawaambia, "Ni nani kati yenu ambaye mtoto wake au ng'ombe wake akitumbukia shimoni, hangemtoa hata kama ni siku ya Sabato?"
6Ya ti siña talo manmanope ni estesija.
6Nao hawakuweza kumjibu swali hilo.
7¶ Ya jasangan un acomparasion ni y manmaconbida, anae jaatituye ni y jaayig y mas managquilo na tachong gui lamasa; ya ilegña nu sija:
7Yesu aliona jinsi wale walioalikwa walivyokuwa wanajichagulia nafasi za heshima, akawaambia mfano:
8Yanguin quinenbida jao ni un taotao para y guipot, chamo fatatachong gui mas tagquilo na tachong; sa ufato otro na mas onrao qui jago, ni y quinenbidaña locue;
8"Kama mtu akikualika arusini, usiketi mahali pa heshima isije ikawa amealikwa mwingine mheshimiwa kuliko wewe;
9Ya ufato y cumonbida jao ya ualog nu jago: Nae este lugat y este taotao; ya ayonae untutujon mumamajlao yanguin sumaga jao gui mas uttimo na lugat.
9na mwenyeji wenu ninyi wawili atakuja na kukwambia: Mwachie huyu nafasi. Hapo utaaibika mbele ya wote na kulazimika kwenda kuchukua nafasi ya mwisho.
10Lao yanguin quinenbida jao, janao ya fatachong gui mas tagpapa na lugat; sa yanguin mato y cumonbida jao, ualog nu jago: Amigo, janao falag iya jululo; ya ayonae unguaja inenra gui menan ayo sija y mangachongmo ni y manmatachong gui lamasa.
10Bali ukialikwa kwenye karamu, keti mahali pa mwisho, ili mwenyeji wako atakapokuja akwambie: Rafiki, njoo hapa mbele, mahali pazuri zaidi. Hapo utakuwa umeheshimika mbele ya wote wanaoketi pamoja nawe.
11Sa jayeja y manataquilo maesa güe, unaumitde güe ya y umunaumitde güe, umanataquilo.
11Kwa maana yeyote anayejikweza atashushwa, na anayejishusha, atakwezwa."
12¶ Ya ilegña nu ayo y guinin cumonbida güe: Yanguin mamatinas jao nataloane pat sena, chamo umagagange y manamigumo sija, ni y mañelumo, ni y manparientesmo, ni y manrico na tiguangmo; sa noseaja unmaconbida locue talo, ya unmaapase.
12Halafu akamwambia na yule aliyemwalika, "Kama ukiwaandalia watu karamu mchana au jioni, usiwaalike rafiki zako au jamaa zako au jirani zako walio matajiri, wasije nao wakakualika nawe ukawa umelipwa kile ulichowatendea.
13Lao yanguin gumupot jao, agange y mamoble, yan y manmanco yan y mancojo, yan y manbachet;
13Badala yake, unapofanya karamu, waalike maskini, vilema viwete na vipofu,
14Ya undichoso; sa ti siña maapase jao; lao unmaapase gui quinajulo y manunas.
14nawe utakuwa umepata baraka, kwa kuwa hao hawana cha kukulipa. Maana Mungu atakupa tuzo lako wakati watu wema watakapofufuka."
15¶ Ya anae jajungog este, uno gui mangachongña ni y manmatachong gui lamasa, ilegña nu güiya: Dichoso ayo y uchocho pan gui raenon Yuus.
15Mmoja wa wale waliokuwa wameketi pamoja na Yesu akasema, "Ana heri mtu yule atakayekula chakula katika Ufalme wa Mungu."
16Lao ilegña nu güiya: un taotao jafatinas un dangculon sena, ya mangonbida megae:
16Yesu akamjibu, "Mtu mmoja alifanya karamu kubwa, akaalika watu wengi.
17Ya jatago y tentagoña gui oran sena, na ualog ni ayo sija y manmaconbida: Nije; sa esta todo listo.
17Wakati wa karamu ulipofika alimtuma mtumishi wake awaambie walioalikwa, Njoni, kila kitu ni tayari.
18Ya jatutujon cada uno umescusa güe. Y fenenana ilegña: Mamajanyo un pidason tano, ya nesesitayo jujanao ya julie; jugagao jao na unescusayo.
18Lakini wote, kwa namna moja, wakaanza kuomba radhi. Wa kwanza akamwambia mtumishi: Nimenunua shamba, kwa hiyo sina budi kwenda kuliangalia; nakuomba uniwie radhi.
19Ya y otro ilegña: Mamajanyo sinco pares na nobiyo para mancareta, ya bae jujanao ya juchague: jugagao jao na unescusayo.
19Mwingine akasema: Nimenunua ng'ombe jozi tano wa kulima; sasa nimo njiani kwenda kuwajaribu; nakuomba uniwie radhi.
20Ya y otro ilegña: Umasaguayo, ya enaomina ti siñayo mato.
20Na mwingine akasema: Nimeoa mke, kwa hiyo siwezi kuja.
21Ya tumalo guato y tentago, ya janatungo y senotña nu este sija. Ayo nae y magas y guima ninagoslalalo, ya ilegña ni y tentagoña: Janao, lasajyao falag y caye sija yan y chalan gui siudad, ya uncone mague y mamoble, yan y mancojo, yan y manbachet, yan y manmanco.
21Mtumishi huyo akarudi na kumwarifu bwana wake jambo hilo. Yule mwenye nyumba alikasirika, akamwambia mtumishi wake: Nenda upesi kwenye barabara na vichochoro vya mji, uwalete hapa ndani maskini, viwete, vipofu na waliolemaa.
22Ya ilegña y tentago: Señot, esta mafatinas y tinagomo, ya trabia guaguajaja lugat.
22Baadaye, mtumishi huyo akasema: Bwana mambo yamefanyika kama ulivyoamuru, lakini bado iko nafasi.
23Ya y señot ilegña ni y tentagoña: Janao falag y dangculo na chalan yan y lugat ni y guaja ngangao, ya unafuetsas sija, ya ufanjalom para ubula y guimajo.
23Yule bwana akamwambia mtumishi: Nenda katika barabara na vichochoro vya mji uwashurutishe watu kuingia ili nyumba yangu ijae.
24Sa jusangane jamyo, na ni uno güije sija gui guinin manmaconbida, uchague y senajo.
24Kwa maana, nawaambieni, hakuna hata mmoja wa wale walioalikwa atakayeonja karamu yangu."
25¶ Ya mañisija mangaegue yan un dangculon manadan taotao; ya jabira güe, ya ilegña nu sija:
25Hapo, makundi mengi yakawa yanaandamana pamoja na Yesu. Basi, akawageukia akawaambia,
26Achogja un taotao mato guiya guajo, ya ti jachatlie si tataña, yan si nanaña, yan y asaguaña, yan y famaguonña, yan mañeluña lalaje, yan y mañeluña famalaoan, yan y linâlâña locue, ti siñagüe disipulujo.
26"Mtu yeyote akija kwangu, asipowachukia baba na mama yake, mke wake, watoto, ndugu na dada zake, naam, hata na nafsi yake mwenyewe, hawezi kuwa mwanafunzi wangu.
27Ya jayeja y ti cumatga y quiluusña, ya dumalalag yo; ti siñagüe disipulojo.
27Mtu asipochukua msalaba wake na kunifuata hawezi kuwa mwanafunzi wangu.
28Sa jaye guiya jamyo, ujaso manjatsa un tore, ya ti ufatachong finena ya utufong y para gastoña cao siña uninafunjayan?
28Kwa maana, ni nani miongoni mwenu ambaye akitaka kujenga mnara hataketi kwanza akadirie gharama zake ili ajue kama ana kiasi cha kutosha cha kumalizia?
29Sa noseaja yanguin esta japolo y simiento, ya ti siña janafunjayan; todo y lumie jatutujon manmanbotlea nu güiya,
29La sivyo, baada ya kuweka msingi na kushindwa kumaliza, watu watamcheka
30Ylegñija: Este na taotao jatutujon manjatsa, ya ti siña janafunjayan.
30wakisema: Mtu huyu alianza kujenga, lakini hakumalizia.
31Pat jaye y ray, anae jajanao para uguera contra y otro ray, ti ufatachong finena, ya ufañangane cao siña güe yan y dies mit, utagam y mamamaela yan veinte mit contra güiya?
31"Au, ni mfalme gani ambaye, akitaka kwenda kupigana na mfalme mwingine, hataketi kwanza chini na kufikiri kama ataweza, kwa askari wake elfu ishirini?
32Patseno, mientras chachagoja y otro trabia, janajanao un compañia, ya ufangagao pas.
32Kama anaona hataweza, atawatuma wajumbe kutaka masharti ya amani wakati mfalme huyo mwingine angali mbali.
33Taegüenaoja locue; masquesea jaye guiya jamyo y ti rumechasa todo y güinajaña; ti siñagüe disipulujo.
33Vivyo hivyo, basi, hakuna hata mmoja wenu atakayekuwa mwanafunzi wangu kama asipoachilia kila kitu alicho nacho.
34Y asiga mauleg; lao yanguin malingo y asiga maasenña, jaftaemano manasne?
34"Chumvi ni nzuri; lakini ikipoteza ladha yake, itakolezwa na nini?
35Ti mauleg para y tano, ni para fanyútian basula; masenyuteja ni y taotao. Jaye y gaetalanga para ufanjungog, güiya uecungog.
35Haifai kitu wala kwa udongo wala kwa mbolea. Watu huitupilia mbali. Sikieni basi, kama mna masikio!"