Chamorro: Psalms, Gospels, Acts

Swahili: New Testament

Matthew

21

1YA anae esta manjijijot guiya Jerusalem, manmato guiya Betfaye, gui egso Olibo, si Jesus jatago dos gui disipuluña,
1Yesu na wanafunzi wake walipokaribia Yerusalemu na kufika Bethfage katika mlima wa Mizeituni, aliwatuma wanafunzi wake wawili,
2Ylegña nu sija: Janao fanmalag y sengsong sa gaegüenao gui menanmiyo, sa enseguidas inseda un bulico na magogode, sumisija yan un poyino: pula ya unchulieyo mague.
2akawaambia, "Nendeni hadi kijiji kilicho mbele yenu na mtamkuta punda amefungwa na mtoto wake. Wafungueni mkawalete kwangu.
3Yaguin guaja jamyo sumangane jafa, alog: Y Señot janesesita; ya infanmanae enseguidas.
3Kama mtu akiwauliza sababu, mwambieni, Bwana anawahitaji, naye atawaachieni mara."
4Ya todo este jumuyong, para umacumple y sinangan y profeta ni y ilegña:
4Jambo hili lilifanyika ili yale yaliyosemwa na nabii yatimie:
5Sangane y jagan Sion: Estagüe y Raymo na mato guiya jago, mamso, ya matatachong gui jilo un bulico yan un poyino, patgon bulico.
5"Uambieni mji wa Sioni: Tazama, Mfalme wako anakujia! Ni mpole na amepanda punda, mwana punda, mtoto wa punda."
6Ya y disipulo sija manmapos, ya jafatinas jaftaemano y mantinago as Jesus.
6Hivyo, wale wanafunzi walienda wakafanya kama Yesu alivyowaagiza.
7Ya machule y bulico, yan y poyino, ya japolo y magagunija gui jiloñija, ya matachong gui jiloñija.
7Wakamleta yule punda na mtoto wake, wakatandika nguo zao juu yao na Yesu akaketi juu yake.
8Ya un gosdangculo na linajyan taotao jajuto y magaguñija gui chalan; yan palo manmanutot ramas jayo, ya jajuto gui chalan;
8Umati mkubwa wa watu ukatandaza nguo zao barabarani, na watu wengine wakakata matawi ya miti wakayatandaza barabarani.
9Ya y linajyan taotao ni y manmofona, yan y manatate, manaagang, ilegñiñija: Hosana y Lajin David: Dichoso y mato pot y naan y Señot; Hosana guiya jilulo.
9Makundi ya watu waliomtangulia na wale waliomfuata wakapaaza sauti: "Hosana Mwana wa Daudi! Abarikiwe huyo ajaye kwa jina la Bwana! Hosana Mungu juu mbinguni!"
10Anae jumalomgüe guiya Jerusalem, todo y siuda manatborotao, ya ilegñija: Jaye este?
10Yesu alipokuwa anaingia Yerusalemu, mji wote ukajaa ghasia. Watu wakawa wanauliza, "Huyu ni nani?"
11Ya y linajyan taotao ilegñija: Este si Jesus, y profetan Nasaret yan Galilea.
11Watu katika ule umati wakasema, "Huyu ni nabii Yesu, kutoka Nazareti katika mkoa wa Galilaya."
12¶ Ya jumalom si Jesus gui guimayuus, ya jayute juyong todo y manmanbebende, yan y manmamamajan gui guimayuus, ya janaalinquin y lamasan y manmanulalaeca salape, yan y tachong y manmanbebende paluma;
12Basi, Yesu akaingia Hekaluni, akawafukuza nje watu waliokuwa wanauza na kununua vitu ndani ya Hekalu; akazipindua meza za wale waliokuwa wanavunja fedha, na viti vya wale waliokuwa wanauza njiwa.
13Ya ilegña nu sija: Esta matugue, y guimajo, guma manaetae umafanaan; lao jamyo fumatinas y liyang y mañaque.
13Akawaambia, "Imeandikwa katika Maandiko Matakatifu: Nyumba yangu itaitwa nyumba ya sala. Lakini ninyi mmeifanya kuwa pango la wanyang'anyi."
14Ya manmato guiya güiya manbachet yan mancojo, gui guimayuus, ya janafanjomlo.
14Vipofu na vilema walimwendea huko Hekaluni, naye Yesu akawaponya.
15Lao y magas na mamale sija, yan y escriba sija, ninafalalalo anae jalie y mannamanman sija ni y jafatitinas, yan y famaguon sija ni y manaagang gui guimayuus, ya ilegñija: Hosana y Lajin David;
15Basi, makuhani wakuu na walimu wa Sheria walipoyaona maajabu aliyoyafanya Yesu, na pia watoto walipokuwa wanapaaza sauti zao Hekaluni wakisema: "Sifa kwa Mwana wa Daudi," wakakasirika.
16Ya ilegñija nu güiya: Ti unjungog jafa este ilegñiñija? Si Jesus ilegña nu sija: Junggan. Taya nae untaetae: Guinin pachot y famaguon yan y mañususo, unnacabales y tinina?
16Hivyo wakamwambia, "Je, husikii wanachosema?" Yesu akawajibu, "Naam, nasikia! Je hamjasoma Maandiko haya Matakatifu? Kwa vinywa vya watoto wadogo na wanyonyao unajipatia sifa kamilifu."
17Ya jadingo sija, jumuyong gui siuda asta Betania; ya sumaga güije.
17Basi, akawaacha, akatoka nje ya mji na kwenda Bethania, akalala huko.
18¶ Y egaan, anae tumalo guato gui siuda, ñalang.
18Yesu alipokuwa anarudi mjini asubuhi na mapema, aliona njaa.
19Ya jalie un trongcon igos jijot gui chalan, ya malag ayo, lao taya sinedaña na jagonja; ya ilegña: Ti unfanogcha asta ni ngaean. Ya ti apmam y igos anglo.
19Akauona mtini mmoja kando ya njia, akauendea; lakini aliukuta hauma chochote ila majani matupu. Basi akauambia, "Usizae tena matunda milele!" Papo hapo huo mtini ukanyauka.
20Anae malie este ni y disipulo sija, ninafanmanman, ya ilegñija: Nachinadeg y igos anglo!
20Wanafunzi walipouona walishangaa wakisema, "Kwa nini mtini huu umenyauka ghafla?"
21Ya maninepe as Jesus, ilegña: Magajet jusangane jamyo, na yaguin guaja jinengguenmiyo, ya ti buebuente jamyo, infatinas ti esteja ni y mafatinas gui y igos; lao yaguin insangane este na ogso ya ilegmiyo: Janao ya unyutejao gui tase, umafatinas.
21Yesu akawajibu, "Kweli nawaambieni, kama mkiwa na imani bila kuwa na mashaka, mnaweza si tu kufanya hivyo, bali hata mkiuambia mlima huu: Ng'oka ukajitose baharini, itafanyika hivyo.
22Sa todosija y ingagao an manmanaetae jamyo ya injenggue, infanmanresibe.
22Na mkiwa na imani, chochote mtakachoomba katika sala, mtapata."
23Ya anae jumalom gui guimayuus, y magas na mamale sija, yan manamco na taotao sija, manmato guiya güiya, anae estaba mamananagüe, ya ilegñija: Jafa na ninasiña na unfatinas estesija? ya jayejao numae nu este na ninasiñamo?
23Yesu aliingia Hekaluni, akawa anafundisha. Alipokuwa akifundisha, makuhani wakuu na wazee wa watu wakamwuliza, "Unafanya mambo haya kwa mamlaka gani? Nani amekupa mamlaka haya?"
24Ya maninepe as Jesus, ilegña nu sija: Guajo locue jufaesen jamyo un sinangan; yaguin insangane yo, guajo locue jusangane jamyo jafa na ninasiña muna jufatitinas este.
24Yesu akawajibu, "Na mimi nitawaulizeni swali moja; mkinijibu, basi nami nitawaambieni ninafanya mambo haya kwa mamlaka gani.
25Y tinagpangen Juan, guine mano? Guine y langet, pat y taotao sija? Ayo nae sija jajajaso gui sumanjalomñija ilegñija: Yaguin ilegmame, guine y langet; ualog nu jame: jafa nae na ti injenggue?
25Je, mamlaka ya Yohane ya kubatiza yalitoka kwa nani? Je, yalitoka mbinguni ama kwa watu?" Lakini wakajadiliana wao kwa wao hivi: "Tukisema, Yalitoka mbinguni, atatuuliza, Basi, mbona hamkumsadiki?
26Yaguin ilegmame: Y taotao sija; manmaañaojam ni y taotao sija; sa pineloñija todo na profeta si Juan.
26Na tukisema, Yalitoka kwa watu, tunaogopa umati wa watu maana wote wanakubali kwamba Yohane ni nabii."
27Ya manope ilegñija as Jesus: Ti intingo. Si Jesus locue ilegña nu sija: Ni guajo ti jusangane jamyo, pot jafa na ninasiña na jufatinas este.
27Basi, wakamjibu, "Hatujui!" Naye Yesu akawaambia, "Nami pia sitawaambieni ninafanya mambo haya kwa mamlaka gani.
28¶ Lao jafa pinelonmimiyo? Un taotao guaja dos lajiña, ya mato guiya y finena ya ilegña: Lajijo, janao fachocho gui fangualuan ubas.
28"Ninyi mnaonaje; mtu mmoja alikuwa na wana wawili. Akamwambia yule wa kwanza, Mwanangu, leo nenda ukafanye kazi katika shamba la mizabibu.
29Ya manope, ilegña: Munga yo; lao despues mañotsot ya mapos.
29Yule kijana akamwambia, Sitaki! Lakini baadaye akabadili nia, akaenda kufanya kazi.
30Mato guiya y otro, ya jasanganeja talo taegüije: Ya inepe ilegña: Guajo, señot, bae jujanao, lao ti jumanao.
30Yule baba akamwambia mtoto wake wa pili vivyo hivyo, naye akamjibu, Naam baba! Lakini hakwenda kazini.
31Jaye guiya sija na dos fumatinas y minalago y tata? Sija ilegñija: y finenena. Ylegña si Jesus nu sija: magajet jusangane jamyo, na y publicano sija, yan y manputa sija, ufanjalom gui raenon Yuus gui menanmiyo.
31Je, ni nani kati ya hawa wawili aliyetimiza matakwa ya baba yake?" Wakamjibu, "Yule mtoto wa kwanza." Basi, Yesu akawaambia, "Kweli nawaambieni, watoza ushuru na waasherati wataingia katika Ufalme wa Mungu kabla yenu.
32Sa mato si Juan guiya jamyo gui chalan tininas, ya ti injenggue güe; ya y publicano sija, yan y manputa sija majonggue güe: lao jamyo, anae inlie, ti manmañotsot jamyo para injenggue güe.
32Maana Yohane alikuja kwenu akawaonyesha njia njema ya kuishi, nanyi hamkumwamini; lakini watoza ushuru na waasherati walimwamini. Hata baada ya kuona hayo yote ninyi hamkubadili mioyo yenu, na hamkusadiki."
33¶ Ecungog otro acomparasion: Un taotao, tatan un familia, japlanta un fangualuan ubas, y jacolat nu y trongco ni y tituca, ya jaguadog gui entalo un lagat, ya jafatinas un tore, ya janamaatquila gui manfafachocho, ya maposgüe malag otro tano.
33Yesu akasema, "Sikilizeni mfano mwingine. Mtu mmoja mwenye nyumba alilima shamba la mizabibu; akalizungushia ukuta, akachimba kisima cha kusindikia divai, akajenga humo mnara pia. Kisha akalikodisha kwa wakulima, akasafiri kwenda nchi ya mbali.
34Ya anae esta jijot y tiempon y tinegcha, jatago y tentagoña sija para ayo y manfafachocho, para ujaresibe y tinegcha sija.
34Wakati wa mavuno ulipofika, aliwatuma watumishi wake kwa wale wakulima, ili wakachukue sehemu ya mavuno yake.
35Lao y manfafachocho jacone y tentago sija, y japanag y uno, japuno y otro, ya jatagas nu y acho y otro.
35Wale wakulima wakawakamata hao watumishi; mmoja wakampiga, mwingine wakamwua na mwingine wakampiga mawe.
36Jatago talo y palo tentagoña sija, mas qui y finenana: ya manmafatinasja talo taegüije.
36Huyo mtu akawatuma tena watumishi wengine, wengi kuliko wa safari ya kwanza. Wale wakulima wakawatendea namna ileile.
37Y uttimo jatago y lajiña, ilegña: Ufangaerespeto ni y lajijo.
37Mwishowe akamtuma mwanawe huku akifikiri: Watamheshimu mwanangu.
38Lao anae malie ni y manfafachocho, na y lajiña, ilegñija gui sumanjalomñija: Estagüiya y eredero, maela ya tapuno, ya tachule y fangualuanña.
38Lakini wale wakulima walipomwona mwanawe wakasemezana wao kwa wao: Huyu ndiye mrithi; na tumuue ili tuuchukue urithi wake!
39Ya macone ya mayute juyong gui fangualuan, ubas, y mapuno.
39Basi, wakamkamata, wakamtoa nje ya lile shamba la mizabibu, wakamwua.
40Anae mato y señot y fangualuan ubas, jafa umafatinas contra ayo y manfafachocho?
40"Sasa, huyo mwenye shamba la mizabibu atakapokuja, atawafanyaje hao wakulima?"
41Sija ilegñija uguefyulang y manaelaye: ya y fangualuan ubas unamaatquila gui otro manfafachocho na umapasegüe ni tinegcha gui tiempo.
41Wao wakamjibu, "Atawaangamiza vibaya hao waovu, na lile shamba atawapa wakulima wengine ambao watampa sehemu ya mavuno wakati wa mavuno."
42Se Jesus ilegña nu sija: Taya nae intaetae y Tinigue sija: Y acho ni y jarechasa y manmamatitinas y guima, esteja mapolo cuentan ulo gui esquina: este finatinas y Señot ya janafanmanman y atadogta?
42Hapo Yesu akawaambia, "Je, hamkusoma jambo hili katika Maandiko Matakatifu? Jiwe walilokataa waashi sasa limekuwa jiwe kuu la msingi. Bwana ndiye aliyefanya jambo hili, nalo ni la ajabu sana kwetu!
43Enao mina jusangane jamyo, na y raenon Yuus umanajanao guiya jamyo, ya ufanmanae ayo sija na taotao y fumatinas para umegae y tinegchaña.
43"Kwa hiyo nawaambieni, Ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu na kupewa watu wa mataifa mengine wenye kutoa matunda yake."
44Ya y pedong gui jilo este na acho, umayulang; ya, yaguin y jiloña nae podong, umapedasitos.
44"Atakayeanguka juu ya jiwe hilo atavunjika vipandevipande; na likimwangukia mtu yeyote, litamponda."
45Ya anae majungog ni y magas na mamale sija yan y Fariseo sija, y acomparasionña sija, jinasonñija na pot sija na jasasangan.
45Makuhani wakuu na Mafarisayo waliposikia hiyo mifano yake walitambua kwamba alikuwa anawasema wao.
46Ya anae maaligao para umaconegüe, manmaañao ni taotao sija, sa maatangüe pot profeta.
46Kwa hiyo wakawa wanatafuta njia ya kumtia nguvuni, lakini waliwaogopa watu kwa sababu wao walimtambua yeye kuwa nabii.