1YA susede anae munjayan si Jesus jasangan este sija na sinangan, ilegña ni disipuluña sija;
1Yesu alipomaliza kusema hayo yote, aliwaambia wanafunzi wake,
2Intingo na dos na jaane talo umafatinas y guipot; ya y Lajin taotao umaentrega para umatane gui quiluus.
2"Mnajua kwamba baada ya siku mbili tutakuwa na sikukuu ya Pasaka, na Mwana wa Mtu atatolewa ili asulubiwe."
3Ayo nae y prinsipen y mamale sija, yan y manbijo na taotao sija, mandaña gui palasyon y magas na pale, y naanña si Caefas:
3Wakati huo makuhani wakuu na wazee wa watu walikutana pamoja katika ukumbi wa Kayafa, Kuhani Mkuu.
4Ya manaconseja entresija para ujacone si Jesus pot dinague, ya ujapuno.
4Wakashauriana jinsi ya kumtia Yesu nguvuni kwa hila wamuue.
5Lao ilegñija: Munga gui jaanin y guipot, sa munga na umafatinas yinaoyao gui taotao sija.
5Lakini wakaamua jambo hilo lisifanyike wakati wa sikukuu, kusije kukatokea ghasia kati ya watu.
6Ya anae estaba si Jesus guiya Betania, gui guima Simon y ategtog,
6Yesu alipokuwa Bethania, nyumbani kwa Simoni, aitwaye Mkoma,
7Mato guiya güiya un palaoan, na guaja un boteya alabastron ungüento na dangculo baliña, ya jachuda gui jilo iluña, anae estaba gui lamasa na matatachong:
7mama mmoja aliyekuwa na chupa ya alabasta yenye marashi ya thamani kubwa, alimjia pale mezani alipokuwa amekaa kula chakula, akammiminia hayo marashi kichwani.
8Lao anae malie ni disipuluña sija, ninafanlalalo, ya ilegñija: Jafa na jagagasta este?
8Wanafunzi wake walipoona hayo wakakasirika, wakasema, "Ya nini hasara hii?
9Sa este na ungüento siña mabende pot dangculo na presio, ya ufanmanae y mamoble.
9Marashi haya yangaliweza kuuzwa kwa bei kubwa, maskini wakapewa hizo fedha."
10Anae jatungo si Jesus, ilegña nu sija: Jafa na innachatsaga y palaoan? sa jafatinas mauleg na chocho para guajo.
10Yesu alitambua mawazo yao, akawaambia, "Mbona mnamsumbua huyu mama? Yeye amenitendea jambo jema.
11Sa jamyo guaja siempre mamoble manjajamyo, lao guajo, siempre taya.
11Maskini mnao daima pamoja nanyi, lakini mimi sitakuwapo pamoja nanyi daima.
12Sa jachuda este na ungüento gui tataotaojo, jafatinas para majafotjo.
12Huyu mama amenimiminia marashi ili kunitayarisha kwa maziko.
13Magajet jusangane jamyo: Mano nae este na ebangelio na umapredica gui todo y tano, uguajaja locue este y finatinasña este na palaoan, masangan para memoriasña.
13Nawaambieni kweli, popote ambapo hii Habari Njema itahubiriwa ulimwenguni, kitendo hiki alichofanya mama huyu kitatajwa kwa kumkumbuka yeye."
14¶ Ayo nae y uno gui dose, y naanña si Judas Iscariote, mapos malag y prinsipen y mamale sija,
14Kisha, Yuda Iskarioti, mmoja wa wale kumi na wawili, akaenda kwa makuhani wakuu,
15Ya ilegña: Jafa malagomiyo innaeyo, ya juentrega jamyo nu güiya? Ya manmapesa para güiya treinta pidason salape.
15akawaambia, "Mtanipa kitu gani kama nikimkabidhi Yesu kwenu?" Wakamhesabia sarafu thelathini za fedha;
16Ya desde ayo, manmanaliligao lugat para umaentrega güe.
16na tangu wakati huo Yuda akawa anatafuta nafasi ya kumsaliti.
17¶ Ya y finenana na jaanin gupot pan sin lebadura, manmato y disipulo gui as Jesus, ya ilegñija: Mano nae malagojao ya infamaulequejao namo gui guipot?
17Siku ya kwanza kabla ya Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa Chachu, wanafunzi walimwendea Yesu wakamwuliza, "Unataka tukuandalie wapi chakula cha Pasaka?"
18Ya ilegña: Janao fanmalag y siuda, gui guima ayo na taotao, y insangane: Y Maestro ilegña, y tiempoco esta jijot, iyajamyo nae jufatinas y guipot Pascua yan y disipulojo sija.
18Yeye akawajibu, "Nendeni mjini kwa mtu fulani, mkamwambie: Mwalimu anasema, wakati wangu umefika; kwako nitakula Pasaka pamoja na wanafunzi wangu."
19Ya y disipulo sija jafatinas y mantinago as Jesus, ya manalisto y guipot pascua.
19Wanafunzi wakafanya kama Yesu alivyowaagiza, wakaandaa Pasaka.
20Ya anae pupuenge güije na jaane, matachong gui lamasa yan y dose na disipulo;
20Kulipokuwa jioni, Yesu akakaa mezani pamoja na wanafunzi wake kumi na wawili.
21Ya anae mañochocho güiya ilegña: Magajet jusangane jamyo, na uno guiya jamyo uentregayo.
21Walipokuwa wakila, Yesu akasema, "Nawaambieni kweli, mmoja wenu atanisaliti."
22Sija ninafangostriste, ya sigue di ilegñija cada uno nu güiya: Buente guajo, Señot?
22Wanafunzi wakahuzunika sana, wakaanza kuuliza mmojammoja, "Bwana! Je, ni mimi?"
23Ayo nae manope ilegña: Y munajalom y canaeña yan guajo gui plato, güiya uentregayo.
23Yesu akajibu, "Atakayechovya mkate pamoja nami katika bakuli ndiye atakayenisaliti.
24Magajet na y Lajin taotao ujanao, calang y esta matugue nu güiya; lao ay ay para ayo na taotao ni y jaentrega y Lajin taotao! maulegña mojon ayo na taotao na ti umafañago.
24Naam, Mwana wa Mtu anakwenda zake kama Maandiko Matakatifu yasemavyo, lakini ole wake mtu yule atakayemsaliti Mwana wa Mtu! Ingalikuwa afadhali kwa mtu huyo kama hangalizaliwa."
25Ayo nae manope si Judas, ni umentrega güe, ilegña: Guajo buente Rabi? Ylegña nu güiya: Jago guinin sumangan.
25Yuda, ambaye ndiye aliyetaka kumsaliti, akamwuliza, "Mwalimu! Je, ni mimi?" Yesu akamjibu, "Wewe umesema."
26¶ Ya mientras mañochocho, jachule si Jesus y pan, ya jabendise, ya jaipe, ya janae y disipoluña sija, ya ilegña: Chule, ya cano; este y tataotaojo.
26Walipokuwa wanakula, Yesu akatwaa mkate, akashukuru, akaumega, akawapa wanafunzi wake akisema, "Twaeni mle; huu ni mwili wangu."
27Jachule y copa, ya janae si Yuus grasias, ya janae sija ni y copa, ilegña: Fanguimen jamyo todo.
27Kisha akatwaa kikombe, akamshukuru Mungu, akawapa akisema, "Nyweni nyote;
28Sa este y jâgâjo gui Nuevo Testamento, ni y machuda para megae, para inasiin y isao.
28maana hii ni damu yangu inayothibitisha agano, damu inayomwagwa kwa ajili ya watu wengi ili kuwaondolea dhambi.
29Ya jusangane jamyo, na desde pago ti juguimen mas y tinegcha ubas, asta ayo na jaane anae para juguimen nuebo yan jamyo gui raenon Tata.
29Nawaambieni, sitakunywa tena divai ya zabibu mpaka siku ile nitakapoinywa mpya pamoja nanyi katika Ufalme wa Baba yangu."
30¶ Ya anae munjayan jacanta un himno, manmapos para sabana Olibo,
30Baada ya kuimba wimbo, wakaondoka, wakaenda katika mlima wa Mizeituni.
31Ayo nae si Jesus ilegña nu sija: Todos jamyo ufanmañoda guiya guajo ocasion inale pago na puenge; sa matugue esta: Junafañetnot y pastot, ya y quinilo sija manmachalapon gui manada.
31Kisha Yesu akawaambia, "Usiku huu wa leo, ninyi nyote mtakuwa na mashaka nami, maana Maandiko Matakatifu yasema: Nitampiga mchungaji, na kondoo wa kundi watatawanyika.
32Lao despues di unacajuloyo talo gui entalo manmatae, jujanao gui menanmiyo guiyo Galilea.
32Lakini baada ya kufufuka kwangu, nitawatangulieni Galilaya."
33Si Pedro manope, ilegña nu güiya: Yaguin todos ufanmañoda guiya jago ocasion inale lao guajo ti jusoda para siempre ocasion inale.
33Petro akamwambia Yesu "Hata kama wote watakuwa na mashaka nawe na kukuacha, mimi sitakuacha kamwe."
34Si Jesus, ilegña: Magajet jusanganejao: na pago na puenge, antes di ucanta y gayo, undagueyo tres biaje.
34Yesu akamwambia, "Kweli nakwambia, usiku huu kabla jogoo hajawika, utanikana mara tatu."
35Ylegña nu guiya si Pedro: Achogaja junesesita matae yan jago, lao ti judaguejao. Yan todo y palo disipulo sija, taegüenaoja ilegñija locue.
35Petro akamwambia, "Hata kama ni lazima nife pamoja nawe, sitakukana kamwe." Wale wanafunzi wengine wote wakasema vivyo hivyo.
36Ayo nae mato si Jesus yan sija gui güetta na mafanaan Gethsemane, ya ilegña ni disipuluña sija: Fanmatachong güine, ya jumanaoyo ya j ufanaetae güije guato.
36Kisha Yesu akaenda pamoja nao bustanini Gethsemane, akawaambia wanafunzi wake, "Kaeni hapa nami niende pale mbele kusali."
37Ya jacone gachongña si Pedro yan y dos lajin Sebedeo, ya jatutujon mantriste yan manmajalang.
37Akawachukua Petro na wana wawili wa Zebedayo, akaanza kuwa na huzuni na mahangaiko.
38Ayo nae si Jesus ilegña nu sija: Y antijo gostriste asta qui matae: fañaga güine, ya infanbela yan guajo.
38Hapo akawaambia, "Nina huzuni kubwa moyoni hata karibu kufa. Kaeni hapa mkeshe pamoja nami."
39Ya mamocat mona didide, tumecon ya manaetae, ilegña: Tatajo, yaguin siña, nafalofan este na copa guiya guajo: lao ti según y minalagojo, na según y minalagomo.
39Basi, akaenda mbele kidogo, akaanguka kifudifudi, akasali: "Baba yangu, kama inawezekana, aacha kikombe hiki cha mateso kinipite; lakini isiwe nitakavyo mimi, ila utakavyo wewe."
40Ya mato gui disipuluña sija, ya jasoda sija na manmamaego: ya ilegña as Pedro: Jafa, ada ti siña jamyo infanbela yan guajo una ora?
40Akawaendea wale wanafunzi, akawakuta wamelala. Akamwambia Petro, "Ndiyo kusema hamkuweza kukesha pamoja nami hata saa moja?
41Fanbela ya infanmanaetae, para chamiyo fanjajalom gui tentasion: y espiritu magajet na malago lao y catne echecho.
41Kesheni na kusali ili msije mkaingia katika majaribu. Roho i tayari lakini mwili ni dhaifu."
42Mapos talo gui segundo biaje ya manaetae, ilegña: Tatajo, yaguin ti siña este na copa malofan guiya guajo, yaguin ti juguimen, ufatinas y minalagomo.
42Akaenda tena mara ya pili akasali: "Baba yangu, kama haiwezekani kikombe hiki kinipite bila mimi kukinywa, basi, mapenzi yako yafanyike."
43Ya mato, ya jasoda talo sija na manmamaego; sa y atadogñija manmacat.
43Akawaendea tena, akawakuta wamelala, maana macho yao yalikuwa yamebanwa na usingizi.
44Ya jadingo sija, mapos talo ya manaetae gui mina tres biaje, jasangan ayoja na sinangan.
44Basi, akawaacha, akaenda tena kusali mara ya tatu kwa maneno yaleyale.
45Ayo nae mato gui disipuluña sija, ya ilegña: Infanmamaegoja, pago, yan infandescacansaja; estagüe na mato y ora, ya y Lajin taotao esta maentrega gui canae y manisao sija.
45Kisha akawaendea wale wanafunzi, akawaambia, "Je, mngali mmelala na kupumzika? Tazameni! Saa yenyewe imefika, na Mwana wa Mtu atatolewa kwa watu wenye dhambi.
46Fangajulo na nije tafanjanao; estagüe esta mato y umentregayo.
46Amkeni, twendeni zetu. Tazameni! Anakuja yule atakayenisaliti."
47¶ Ya y tiempoja anae cumuecuentos güe, estagüe si Judas, uno gui dose, mato mañisija yan un dangculon linajyan taotao, manmañuñule espada yan galute, tinago y prinsipen y mamale sija yan y manamco na taotao sija.
47Basi, Yesu alipokuwa bado anasema nao, mara akaja Yuda, mmoja wa wale kumi na wawili. Pamoja naye walikuja watu wengi wenye mapanga na marungu ambao walitumwa na makuhani wakuu na wazee wa watu.
48Yan umentrega güe, mannae esta señat, ilegña: Y juchico, güiya; guesguot.
48Huyo aliyetaka kumsaliti Yesu, alikuwa amekwisha wapa ishara akisema: "Yule nitakayembusu ndiye; mkamateni."
49Ya enseguidas matogüe gui as Jesus, ya ilegña nu güiya: Minagof, Maestro! ya jachico.
49Basi, Yuda akamkaribia Yesu, akamwambia, "Shikamoo, Mwalimu!" Kisha akambusu.
50Ya si Jesus, ilegña nu güiya: Amigo, jafajao na mato? Ayo nae manmato sija ya maguot si Jesus, ya macone.
50Yesu akamwambia, "Rafiki, fanya ulichokuja kufanya." Hapo wale watu wakaja, wakamkamata Yesu, wakamtia nguvuni.
51Ya, estagüe, uno gui mangachong si Jesus, jajuto y canaeña, ya jalagnos y espadaña, y janalamen uno gui tentago y prinsipen y mamale sija, janajanao un talanga.
51Mmoja wa wale waliokuwa pamoja na Yesu akanyosha mkono, akauchomoa upanga wake, akampiga mtumishi wa Kuhani Mkuu, akamkata sikio.
52Ayo nae si Jesus ilegña nu güiya: Natalo guato y espadamo gui sagaña; sa todo y manmañuñule espada, nu y espadaja ufanpinino.
52Hapo Yesu akamwambia, "Rudisha upanga wako alani, maana yeyote anayeutumia upanga, atakufa kwa upanga.
53Ada jinasomo na ti siñayo jutayuyut si Tata pago, ya güiya unaeyo enseguidas mas di dose legion na angjet sija?
53Je, hamjui kwamba ningeweza kumwomba Baba yangu naye mara angeniletea zaidi ya majeshi kumi na mawili ya malaika?
54Lao jaftaemano macumple y Tinigue sija; sa matugue na taegüenao nesesita umafatinas este?
54Lakini yatatimiaje Maandiko Matakatifu yasemayo kwamba ndivyo inavyopaswa kuwa?"
55Ayo na ora ilegña si Jesus ni linajyan taotao: Manmato jamyo parejo yan contra y saque, na manmañuñule jamyo espada yan galute para inqueneyo? Cada jaane manjijitaja guajo matachong gui templo, mamnanagüe nu jamyo, ya ti inqueneyo.
55Wakati huohuo Yesu akauambia huo umati wa watu waliokuja kumtia nguvuni, "Je, mmekuja kunikamata kwa mapanga na marungu kama kwamba mimi ni mnyang'anyi? Kila siku nilikuwa Hekaluni nikifundisha, na hamkunikamata!
56Lao todo este umafatinas, para umacumple y Tinigue sija ni y profeta sija. Ayo nae todo y disipuluña sija madingo güe, ya manmalago.
56Lakini haya yote yametendeka ili Maandiko ya manabii yatimie." Kisha wanafunzi wote wakamwacha, wakakimbia.
57¶ Ya ayo sija y cumone si Jesus, macone güe guato gui as Caefas, magas na pale, anae manestaba y escriba sija yan y manamco na mandadaña.
57Basi, hao watu waliomkamata Yesu walimpeleka nyumbani kwa Kayafa, Kuhani Mkuu, walikokusanyika walimu wa Sheria na wazee.
58Lao si Pedro, dinalalag güe chago asta qui mato gui colat y magas na pale; ya jumalom ya manmatachong yan y tentago sija, para ulie y uttimo.
58Petro alimfuata kwa mbali mpaka uani kwa Kuhani Mkuu, akaingia ndani pamoja na walinzi ili apate kuona mambo yatakavyokuwa.
59Ya y prinsipen y mamale sija yan todo y inetnon ofisiat, manmanaliligao ni ti magajet na testimonio contra si Jesus, para umapuno.
59Basi, makuhani wakuu na Baraza lote wakatafuta ushahidi wa uongo dhidi ya Yesu wapate kumwua,
60Lao ni uno mañoda; achogja mato megae na ti manmagajet na testigo. Lao y uttimo manmato dos,
60lakini hawakupata ushahidi wowote, ingawa walikuja mashahidi wengi wa uongo. Mwishowe wakaja mashahidi wawili,
61Na ilegñija, Este na taotao ilegña: Guajo siña juyulang papa este na gumayuus, ya junacajulo gui tres na jaane.
61wakasema, "Mtu huyu alisema: Ninaweza kuliharibu Hekalu la Mungu na kulijenga tena kwa siku tatu."
62Ya cajulo y magas y mamale, ya ilegña nu güiya: Ti unfanope ni jafa? Jafa este na testimonio contra jago?
62Kuhani Mkuu akasimama, akamwuliza Yesu, "Je, hujibu neno? Watu hawa wanashuhudia nini dhidi yako?"
63Lao si Jesus mamatquiloja. Ya y magas y mamale ilegña nu güiya: Jutayuyutjao pot y lalâlâ na Yuus, na unsanganejam cao jago si Cristo, Lajin Yuus.
63Lakini Yesu akakaa kimya. Kuhani Mkuu akamwambia, "Nakuapisha kwa Mungu aliye hai, twambie kama wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu!"
64Si Jesus ilegña nu güiya: Jago guinin sumangan. Ya jusangane jamyo na desde pago inlie y Lajin taotao na matatachong gui agapa y ugaeninasiña na canae, ya umamaela gui jalom y mapagajes sija gui langet.
64Yesu akamwambia, "Wewe umesema! Lakini nawaambieni, tangu sasa mtamwona Mwana wa Mtu ameketi upande wa kulia wa Mwenyezi, akija juu ya mawingu ya mbinguni."
65Ayo nae y magas y mamale, jatiteg y magaguña, ya ilegña: Cumuentos chatfino contra si Yuus: jafa mas na utanesesita testigo sija? Estagüe esta pago na injingog y chinatfino contra si Yuus.
65Hapo, Kuhani Mkuu akararua mavazi yake, akasema, "Amekufuru! Tuna haja gani tena ya mashahidi? Sasa mmesikia kufuru yake.
66Jafa pinelonmimiyo? Sija manmanope ilegñija: Jamerese y finatae.
66Ninyi mwaonaje?" Wao wakamjibu, "Anastahili kufa!"
67Ayo nae matolae y mataña yan patmada güe; ya y palo manafañetnot nu y dinemo;
67Kisha wakamtemea mate usoni, wakampiga makofi. Wengine wakiwa wanampiga makofi,
68Ya ilegñija: Profetisayejam, O Cristo! jayejao munafañetnot?
68wakasema, "Haya Kristo, tutabirie; ni nani amekupiga!"
69¶ Ya ayo na tiempo si Pedro estaba matatachong gui sumanjiyong gui guelat; ya mato guija güiya un palaoan tentago, ya ilegña: Manjajamjo locue yan si Jesus y Galileo.
69Petro alikuwa ameketi nje uani. Basi, mtumishi mmoja wa kike akamwendea, akasema, "Wewe ulikuwa pamoja na Yesu wa Galilaya."
70Lao güiya jadague gui menan todos, ilegña: Ti jutungo jafa ilelegmo.
70Petro akakana mbele ya wote akisema, "Sijui hata unasema nini."
71Ya anae jumuyong gui petta; linie ni otro palaoan, ya ilegña ni ayo y manestaba güije: Este locue mañisija yan si Jesus Nasareno.
71Alipokuwa akitoka mlangoni, mtumishi mwingine wa kike akamwona, akawaambia wale waliokuwa pale, "Mtu huyu alikuwa pamoja na Yesu wa Nazareti."
72Ya jadague talo ya manjula ilegña: Ti jutungo ayo na taotao.
72Petro akakana tena kwa kiapo: "Simjui mtu huyo."
73Ti apmam despues manmato sija y mangaegue güije, ya ilegñija as Pedro: Magajet na jago locue uno guiya sija; sa y sinanganmo dumiclalara jao.
73Baadaye kidogo, watu waliokuwa pale wakamwendea Petro, wakamwambia, "Hakika, wewe pia ni mmoja wao, maana msemo wako unakutambulisha."
74Ayo nae jatutujon mumatdise, yan manjula, ilegña: Ti jutungo ayo na taotao. Ya enseguidas cumanta y gayo.
74Hapo Petro akaanza kujilaani na kuapa akisema, "Simjui mtu huyo!" Mara jogoo akawika.
75Ya jajaso si Pedro y sinangan Jesus ni ilegña: Antes di ucanta y gayo, undagueyo tres biaje. Ya mapos juyong ya gueftumanges.
75Petro akakumbuka maneno aliyoambiwa na Yesu: "Kabla jogoo hajawika, utanikana mara tatu." Basi, akatoka nje akalia sana.