1Dakle, budući da je Krist trpio u tijelu, i vi se oboružajte istim mišljenjem - jer tko trpi u tijelu okanio se grijeha -
1Maadamu Kristo aliteseka kimwili, nanyi pia mnapaswa kujiimarisha kwa nia hiyo yake; maana mtu akisha teseka kimwili hahusiki tena na dhambi.
2da vrijeme što vam u tijelu još preostaje proživite ne više po ljudskim požudama nego po Božjoj volji.
2Tangu sasa, basi, maisha yaliowabakia kuishi hapa duniani yanapaswa kuongozwa na matakwa ya Mungu, si na tamaa za kibinadamu.
3Dosta je uistinu što ste u prošlom vremenu vršili volju pogana, hodeći u razvratnostima, požudama, pijančevanjima, pijankama, opijanjima i bezakoničkim idolopoklonstvima.
3Wakati uliopita mlikuwa na muda mrefu wa kufanya mambo wanayofanya watu wasiomjua Mungu. Mliishi maisha ya anasa, ubinafsi, ulevi, ugomvi, kunywa mno na ya ibada haramu za sanamu.
4Stoga se čude što se ne slijevate u tu istu rijeku raskalašenosti te proklinju.
4Sasa, watu hao wasiomjua Mungu wanashangaa wanapoona kwamba hamwandamani nao tena katika hali ya kuishi vibaya, na hivyo wanawatukaneni.
5Polagat će oni račun Onomu tko je već spreman suditi žive i mrtve.
5Lakini watapaswa kutoa hoja juu ya jambo hilo mbele yake Mungu aliye tayari kuwahukumu wazima na wafu!
6Zato je i mrtvima naviješteno evanđelje da osuđeni doduše po ljudsku, u tijelu, žive po Božju - u duhu.
6Kwa sababu hiyo, hao waliokufa ambao walikuwa wamehukumiwa katika maisha yao ya kimwili kama anavyohukumiwa kila mmoja, walihubiriwa Habari Njema kusudi katika maisha yao ya kiroho waishi kama aishivyo Mungu.
7Približio se svršetak svega! Osvijestite se i otrijeznite za molitvu!
7Mwisho wa vitu vyote umekaribia. Kwa hiyo mnapaswa kuwa na utaratibu na nidhamu, ili mweze kusali.
8Prije svega imajte žarku ljubav jedni prema drugima jer ljubav pokriva mnoštvo grijeha!
8Zaidi ya yote pendaneni kwa moyo wote, maana upendo hufunika dhambi nyingi.
9Gostoljubivo primajte jedni druge bez mrmljanja!
9Muwe na ukarimu ninyi kwa ninyi bila kunung'unika.
10Jedni druge poslužujte - svatko po primljenom daru - kao dobri upravitelji različitih Božjih milosti!
10Kila mmoja anapaswa kutumia kipaji alichojaliwa na Mungu kwa faida ya wengine, kama vile uwakili mwema wa zawadi mbalimbali za Mungu.
11Govori li tko? Neka govori kao riječi Božje! Poslužuje li tko? Neka poslužuje kao snagom koju daje Bog da se u svemu slavi Bog po Isusu Kristu, komu slava i vlast u vijeke vijekova! Amen.
11Anayesema kitu, maneno yake na yawe kama maneno ya Mungu; anayetumika anapaswa kutumikia kwa nguvu anayojaliwa na Mungu, ili katika mambo yote, Mungu atukuzwe kwa njia ya Yesu Kristo, ambaye utukufu na nguvu ni vyake milele na milele! Amina.
12Ljubljeni! Ne čudite se požaru što bukti među vama da vas iskuša, kao da vam se događa štogod neobično!
12Wapenzi wangu, msishangae kuhusu majaribio makali mnayopata kana kwamba mnapatwa na kitu kisicho cha kawaida.
13Naprotiv, radujte se kao zajedničari Kristovih patnja da i o Objavljenju njegove slave mognete radosno klicati.
13Ila furahini kwamba mnashiriki mateso ya Kristo ili mweze kuwa na furaha tele wakati utukufu wake utakapofunuliwa.
14Pogrđuju li vas zbog imena Kristova, blago vama, jer Duh Slave, Duh Božji u vama počiva.
14Heri yenu ikiwa mnatukanwa kwa sababu ya jina la Kristo; jambo hilo lamaanisha kwamba Roho mtukufu, yaani Roho wa Mungu, anakaa juu yetu.
15Tek neka nitko od vas ne trpi kao ubojica, ili kradljivac, ili zločinac, ili makar i kao nametljivac;
15Asiwepo mtu yeyote miongoni mwenu ambaye anapaswa kuteseka kwa sababu ni muuaji, mwizi, mhalifu au mwovu.
16ako li kao kršćanin, neka se ne stidi, nego slavi Boga zbog tog imena.
16Lakini kama mtu akiteseka kwa sababu ni Mkristo, basi asione aibu, bali amtukuze Mungu, kwa sababu mtu huyo anaitwa kwa jina la Kristo.
17Ta vrijeme je da započne Sud - od doma Božjega. No ako već od vas započinje, kakav je onda svršetak onih što nisu poslušni Božjem evanđelju?
17Wakati wa hukumu umefika, na hukumu hiyo inaanza na watu wake Mungu mwenyewe. Ikiwa hukumu hiyo inaanzia kwetu sisi, basi mwisho wake utakuwa namna gani kwa wale wasioamini Habari Njema ya Mungu?
18I ako se pravednik jedva spasava, opak i grešnik gdje da se pojavi?
18Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: "Ni vigumu kwa watu waadilifu kuokolewa; itakuwaje basi kwa wasiomcha Mungu na wenye dhambi?"
19Stoga oni koji po volji Božjoj trpe, neka dobrim djelima povjere duše svoje vjernom Stvoritelju.
19Kwa hiyo, wale wanaoteseka kufuatana na matakwa ya Mungu, wanapaswa, kwa matendo yao mema, kujiweka chini ya Muumba wao ambaye ni wa kuaminika kabisa.