1Dakle, preporučujem prije svega da se obavljaju prošnje, molitve, molbenice i zahvalnice za sve ljude,
1Kwanza kabisa, basi naomba dua, sala, maombi na sala za shukrani zitolewe kwa Mungu kwa ajili ya watu wote,
2za kraljeve i sve koji su na vlasti, da provodimo miran i spokojan život u svoj bogoljubnosti i ozbiljnosti.
2kwa ajili ya wafalme na wote wenye mamlaka, ili tupate kuishi maisha ya utulivu na amani pamoja na uchaji wa Mungu na mwenendo mwema.
3To je dobro i ugodno pred Spasiteljem našim Bogom,
3Jambo hili ni jema na lampendeza Mungu Mwokozi wetu,
4koji hoće da se svi ljudi spase i dođu do spoznanja istine.
4ambaye anataka watu wote waokolewe na wapate kuujua ukweli.
5Jer jedan je Bog, jedan je i posrednik između Boga i ljudi, čovjek - Krist Isus,
5Maana yuko Mungu mmoja, na pia yuko mmoja anayewapatanisha watu na Mungu, binadamu Kristo Yesu,
6koji sebe samoga dade kao otkup za sve. To je u svoje vrijeme dano svjedočanstvo,
6ambaye alijitoa mwenyewe kuwakomboa watu wote. Huo ulikuwa uthibitisho, wakati ufaao ulipowadia.
7za koje sam ja postavljen propovjednikom i apostolom - istinu govorim, ne lažem - učiteljem naroda u vjeri i istini.
7Kwa sababu hiyo mimi nilitumwa niwe mtume na mwalimu wa watu wa mataifa, niutangaze ujumbe wa imani na ukweli. Nasema ukweli; sisemi uongo!
8Hoću dakle da muškarci mole na svakome mjestu, podižući čiste ruke bez srdžbe i raspre;
8Basi, popote mnapokutana kufanya ibada nataka wanaume wasali, watu waliojitolea kweli na ambao wanaweza kuinua mikono yao wakisali bila hasira wala ubishi.
9isto tako žene - u doličnu držanju: neka se rese stidljivošću i razborom, ne pletenicama i zlatom ili biserjem ili skupocjenim odijelom,
9Hali kadhalika, nawataka wanawake wawe wanyofu na wenye busara kuhusu mavazi yao; wavae sawasawa na si kwa urembo wa mitindo ya kusuka nywele, kujipamba kwa dhahabu, lulu au mavazi ya gharama kubwa,
10nego - dobrim djelima, kako dolikuje ženama koje ispovijedaju bogoljubnost.
10bali kwa matendo mema kama iwapasavyo wanawake wamchao Mungu.
11Žena neka u miru prima pouku sa svom podložnošću.
11Wanawake wanapaswa kukaa kimya na kuwa wanyenyekevu wakati wa kujifunza.
12Poučavati pak ženi ne dopuštam, ni vladati nad mužem, nego - neka bude na miru.
12Mimi simruhusu mwanamke amfundishe au amtawale mwanamume; anapaswa kukaa kimya.
13Jer prvi je oblikovan Adam, onda Eva;
13Maana Adamu aliumbwa kwanza, halafu Hawa.
14i Adam nije zaveden, a žena je, zavedena, učinila prekršaj.
14Na wala si Adamu aliyedanganywa; bali mwanamke ndiye aliyedanganywa, akaivunja sheria ya Mungu.
15A spasit će se rađanjem djece ako ustraje u vjeri, ljubavi i posvećivanju, s razborom.
15Hata hivyo, mwanamke ataokolewa kwa kupata watoto, kama akidumu katika imani, upendo, utakatifu na unyofu.