Croatian

Swahili: New Testament

Colossians

4

1Gospodari, pružajte svojim robovima što je pravo i pravično, znajući da i vi imate Gospodina na nebu!
1Nanyi wakuu, watendeeni watumwa wenu kwa uadilifu na haki, mkikumbuka kwamba nanyi pia mnaye Bwana mbinguni.
2U molitvi ustrajte, bdijte u njoj u zahvaljivanju!
2Dumuni katika sala, na mnaposali muwe waangalifu, mkimshukuru Mungu.
3Molite ujedno i za nas: da nam Bog otvori vrata riječi te propovijedamo otajstvo Kristovo, za koje sam i okovan;
3Vilevile, mtuombee sisi pia ili Mungu atupe fursa ya kuuhubiri ujumbe wake kuhusu siri ya Kristo. Kwa ajili hiyo mimi niko sasa kifungoni.
4da ga očitujem propovijedajući kako treba.
4Basi, ombeni ili niweze kusema kama inavyonipasa na kwa namna itakayodhihirisha siri hiyo.
5Mudro se ponašajte prema onima vani: iskupljujte vrijeme!
5Muwe na hekima katika uhusiano wenu na watu wasioamini, mkitumia vizuri kila nafasi mliyo nayo.
6Riječ neka vam je uvijek ljubazna, solju začinjena: znajte svakomu odgovoriti kako treba.
6Mazungumzo yenu yanapaswa kuwa daima mema na ya kuvutia, na mnapaswa kujua jinsi ya kumjibu vizuri kila mmoja.
7Što je sa mnom - o svemu će vas obavijestiti Tihik, ljubljeni brat, vjerni poslužitelj i sa mnom sluga u Gospodinu.
7Ndugu yetu mpenzi Tukiko, mfanyakazi mwaminifu na mtumishi mwenzetu katika kazi ya Bwana, atawapeni habari zangu zote.
8Njega šaljem k vama baš zato da znate kako smo i da ohrabri srca vaša.
8Ndiyo maana namtuma, ili aichangamshe mioyo yenu kwa kuwaambieni habari zetu.
9Šaljem ga s Onezimom, vjernim i ljubljenim bratom, koji je vaš zemljak: oni će vam priopćiti kako je ovdje.
9Anakuja pamoja na Onesimo, ndugu yetu mpenzi na mwaminifu, ambaye ni mwananchi mwenzenu. Watawapeni habari za mambo yote yanayofanyika hapa.
10Pozdravlja vas Aristarh, suuznik moj. I Marko, nećak Barnabin, o kome primiste naredbe: dođe li k vama, lijepo ga primite.
10Aristarko, ambaye yuko kifungoni pamoja nami, anawasalimuni; hali kadhalika Marko, binamu yake Barnaba, (mmekwisha pata maagizo juu yake; akifika kwenu mkaribisheni).
11Pozdravlja vas i Isus, zvani Just. Od onih koji su iz obrezanja samo su mi ovi suradnici na kraljevstvu Božjemu, oni mi bijahu utjehom.
11Naye Yoshua aitwaye Yusto, anawasalimuni. Miongoni mwa Wayahudi waliokwisha pokea imani, hawa tu peke yao, ndio wanaofanya kazi pamoja nami kwa ajili ya Utawala wa Mungu; nao wamekuwa msaada mkubwa kwangu.
12Pozdravlja vas Epafra, vaš zemljak, sluga Krista Isusa; on se uvijek bori za vas u molitvama: da se održite, savršeni i ispunjeni, u posvemašnjoj volji Božjoj.
12Epafra, mwananchi mwenzenu na mtumishi wa Kristo Yesu anawasalimuni. Daima anawaombeeni ninyi kwa bidii ili mpate kusimama imara, mkomae na kuwa thabiti kabisa katika mambo yote anayotaka Mungu.
13Svjedočim doista za nj: mnogo se trudi za vas i za one u Laodiceji i one u Hierapolu.
13Naweza kushuhudia kwamba anafanya kazi kwa bidii kwa ajili yenu na kwa ajili ya watu wa Laodikea na Hierapoli.
14Pozdravlja vas Luka, ljubljeni liječnik, i Dema.
14Luka, daktari wetu mpenzi, na Dema, wanawasalimuni.
15Pozdravite braću u Laodiceji, i Nimfu i Crkvu u njezinoj kući.
15Salamu zetu kwa ndugu zetu wa Laodikea; msalimuni dada Nimfa pamoja na jumuiya yote ya waumini inayokutana nyumbani kwake.
16A kad se ova poslanica pročita kod vas, pobrinite se da se pročita i u Laodicejskoj crkvi, i vi da pročitate onu iz Laodiceje.
16Mkisha soma barua hii, hakikisheni kwamba inasomwa na Wakristo wa Laodikea; na ninyi fanyeni mpango mpate kuisoma barua waliyoipata kwao.
17I recite Arhipu: "Pazi na službu koju si primio u Gospodinu: ispuni je!"
17Mwambieni Arkipo aitekeleze vizuri ile huduma aliyokabidhiwa na Bwana.
18Pozdrav mojom rukom, Pavlovom! Spominjite se mojih okova! Milost s vama!
18Naandika haya kwa mkono wangu mwenyewe: Salamu kutoka kwangu, mimi Paulo. Kumbukeni kwamba niko kifungoni. Neema ya Mungu iwe nanyi.