Croatian

Swahili: New Testament

Philemon

1

1Pavao, sužanj Isusa Krista, i brat Timotej: ljubljenom Filemonu, suradniku našemu,
1Mimi Paulo, mfungwa kwa ajili ya Kristo Yesu, na ndugu Timotheo, ninakuandikia wewe Filemoni mpendwa, mfanyakazi mwenzetu
2i sestri Apiji, i Arhipu, suborcu našem, i Crkvi u tvojoj kući.
2na kanisa linalokutana nyumbani kwako, na wewe dada Afia, na askari mwenzetu Arkupo.
3Milost vam i mir od Boga, Oca našega, i Gospodina Isusa Krista!
3Tunawatakieni neema na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu, na kwa Bwana yesu Kristo.
4Zahvaljujem svagda Bogu svojemu spominjući te se u svojim molitvama
4Kila wakati ninaposali nakukumbuka wewe Filemoni, na kumshukuru Mungu
5jer čujem za tvoju ljubav i vjeru koju imaš prema Gospodinu Isusu Kristu i prema svima svetima.
5maana nasikia habari za imani yako kwa Bwana wetu Yesu na upendo wako kwa watu wote wa Mungu.
6Nek zajedništvo tvoje vjere bude djelotvorno u spoznanju svakoga mogućeg dobra među vama poradi Krista!
6Naomba ili imani hiyo unayoshiriki pamoja nasi ikuwezeshe kuwa na ujuzi mkamilifu zaidi wa baraka zote tunazopata katika kuungana kwetu na Kristo.
7Uvelike si me doista obradovao i utješio svojom ljubavlju jer si, brate, okrijepio srca svetih.
7Ndugu, upendo wako yameniletea furaha kubwa na kunipa moyo sana! Nawe umeichangamsha mioyo ya watu wa Mungu.
8Stoga, premda imam punu slobodu u Kristu da ti zapovjedim što ti je činiti,
8Kwa sababu hiyo, ningeweza, kwa uhodari kabisa, nikiwa ndugu yako katika Kristo, kukuamuru ufanye unachopaswa kufanya.
9poradi ljubavi radije molim, kakav već jesam, Pavao, starac, a sada i sužanj Krista Isusa.
9Lakini kwa sababu ya upendo, ni afadhali zaidi nikuombe. Nafanya hivi ingawa mimi ni Paulo, balozi wa Kristo Yesu, na sasa pia mfungwa kwa ajili yake.
10Molim te za svoje dijete koje rodih u okovima, za Onezima,
10Basi, ninalo ombi moja kwako kuhusu mwanangu Onesimo, ambaye ni mwanangu katika Kristo kwani nimekuwa baba yake nikiwa kifungoni.
11negda tebi nekorisna, a sada i tebi i meni veoma korisna.
11Ni Onesimo yuleyule ambaye wakati mmoja alikuwa hakufai kitu, lakini sasa ananifaa mimi na wewe pia.
12Šaljem ti ga - njega, srce svoje.
12Sasa namrudisha kwako, naye ni kama moyo wangu mimi mwenyewe.
13Htjedoh ga zadržati kod sebe da mi mjesto tebe posluži u okovima evanđelja.
13Ningependa akae nami hapa anisaidie badala yako wakati niwapo kifungoni kwa sababu ya Habari Njema.
14Ali ne htjedoh preko tvoje volje da ne bi tvoja dobrota bila od nevolje, nego od dobre volje.
14Lakini sitafanya chochote bila kibali chako. Sipendi kukulazimisha unisaidie, kwani wema wako unapaswa kutokana na hiari yako wewe mwenyewe na si kwa kulazimika.
15Možda baš zato bi za čas odijeljen da ga dobiješ zauvijek -
15Labda Onesimo aliondoka kwako kwa kitambo tu, kusudi uweze tena kuwa naye daima.
16ne kao roba, nego više od roba, kao brata ljubljenoga, osobito meni, a koliko više tebi, i po tijelu i po Gospodinu.
16Na sasa yeye si mtumwa tu, ila ni bora zaidi ya mtumwa: yeye ni ndugu yetu mpenzi. Na wa maana sana kwangu mimi, na kwako atakuwa wa maana zaidi kama mtumwa na kama ndugu katika Bwana.
17Smatraš li me dakle drugom, primi ga kao mene.
17Basi, ikiwa wanitambua mimi kuwa mwenzako, mpokee tena kama vile ungenipokea mimi mwenyewe.
18Ako ti je u čemu skrivio ili ti je što dužan, to meni upiši.
18Kama alikuwa amekukosea kitu, au alikuwa na deni lako, basi, unidai mimi.
19Ja, Pavao, potpisujem svojom rukom: ja ću platiti. Da ti ne reknem da mi i samoga sebe duguješ!
19Naandika jambo hili kwa mkono wangu mwenyewe: Mimi Paulo nitalipa! (Tena sina haja ya kusema kwamba wewe unalo deni kwangu la nafsi yako.)
20Hajde, brate, da se tobom okoristim u Gospodinu: okrijepi srce moje u Kristu!
20Haya, basi, ndugu yangu, nifanyie jambo hilo kwa ajili ya jina la Bwana; burudisha moyo wangu kama ndugu katika Kristo.
21Uzdajući se u tvoju poslušnost, napisah ti uvjeren da ćeš još više učiniti, nego te molim.
21Naandika nikitumaini kwamba utanikubalia ombi langu; tena najua kwamba utafanya hata zaidi ya haya ninayokuomba.
22K tome, pripravi mi obitavalište jer se nadam da ću vam po vašim molitvama biti darovan.
22Pamoja na hayo, nitayarishie chumba kwani natumaini kwamba kwa sala zenu, Mungu atanijalia niwatembeleeni.
23Pozdravlja te Epafra, moj suuznik u Kristu Isusu, Marko, Aristarh, Dema i Luka, moji suradnici.
23Epafra, mfungwa mwenzangu kwa ajili ya Kristo Yesu, anakusalimu.
24Milost Gospodina našega Isusa Krista s duhom vašim!
24Nao akina Marko, Aristarko, Dema na Luka, wafanyakazi wenzangu, wanakusalimu.
25Nawatakieni ninyi nyote neema ya Bwana wetu Yesu Kristo.