German: Schlachter (1951)

Swahili: New Testament

1 Thessalonians

5

1Von den Zeiten und Stunden aber braucht man euch Brüdern nicht zu schreiben.
1Ndugu, hakuna haja ya kuwaandikieni juu ya nyakati na majira yatakapotukia mambo haya.
2Denn ihr wisset ja genau, daß der Tag des Herrn kommen wird wie ein Dieb in der Nacht.
2Maana ninyi wenyewe mwajua kwamba Siku ya Bwana itakuja kama mwizi ajavyo usiku.
3Wenn sie sagen werden: «Friede und Sicherheit», dann wird sie das Verderben plötzlich überfallen wie die Wehen eine schwangere Frau, und sie werden nicht entfliehen.
3Watu watakapokuwa wanasema: "Kila kitu ni shwari na salama" ndipo uharibifu utakapowaangukia ghafla! Mambo hayo yatatukia ghafla kama uchungu wa uzazi unavyomjia mama anayejifungua, wala watu hawataweza kuepukana nayo.
4Ihr aber, Brüder, seid nicht in der Finsternis, daß euch der Tag wie ein Dieb überfallen könnte;
4Lakini ninyi ndugu, hamko gizani, na siku hiyo haipaswi kuwajieni ghafla kama vile mwizi.
5ihr seid allzumal Kinder des Lichts und Kinder des Tages. Wir sind nicht von der Nacht, noch von der Finsternis.
5Ninyi nyote ni watu mnaoishi katika mwanga, watu wa mchana. Sisi si watu wa usiku, wala wa giza.
6So lasset uns auch nicht schlafen wie die andern, sondern lasset uns wachen und nüchtern sein!
6Basi, tusilale usingizi kama wengine; tunapaswa kukesha na kuwa na kiasi.
7Denn die da schlafen, die schlafen des Nachts, und die Betrunkenen sind des Nachts betrunken;
7Wanaolala hulala usiku, na walevi hulewa usiku.
8wir aber, die wir dem Tage angehören, wollen nüchtern sein, angetan mit dem Panzer des Glaubens und der Liebe und mit dem Helm der Hoffnung des Heils.
8Lakini sisi ni watu wa mchana na tunapaswa kuwa na kiasi. Tunapaswa kuvaa imani na upendo kama vazi la kujikinga kifuani, na tumaini letu la wokovu kama kofia ya chuma.
9Denn Gott hat uns nicht zum Zorn gericht bestimmt, sondern zum Besitze des Heils durch unsren Herrn Jesus Christus,
9Maana Mungu hakututeua ili tuangamizwe na ghadhabu yake, bali tuupate wokovu kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo,
10der für uns gestorben ist, damit wir, ob wir wachen oder schlafen, zugleich mit ihm leben sollen.
10ambaye alikufa kwa ajili yetu, ili tuishi pamoja naye, iwe tu hai au tumekufa.
11Darum ermahnet einander und erbauet einer den andern, wie ihr auch tut.
11Kwa hiyo farijianeni na kusaidiana ninyi kwa ninyi kama mnavyofanya sasa.
12Wir bitten euch aber, ihr Brüder, anerkennet diejenigen, welche an euch arbeiten und euch im Herrn vorstehen und euch ermahnen;
12Ndugu, tunawaombeni muwastahi wale wanaofanya kazi kati yenu, wale wanaowaongoza na kuwafundisheni kuhusu maisha ya Kikristo.
13haltet sie um ihres Werkes willen desto größerer Liebe wert; lebet im Frieden mit ihnen!
13Wapeni heshima kubwa na kuwapenda kwa sababu ya kazi wanayofanya. Muwe na amani kati yenu.
14Wir ermahnen euch aber, Brüder: Verwarnet die Unordentlichen, tröstet die Kleinmütigen, nehmet euch der Schwachen an, seid geduldig gegen jedermann!
14Ndugu, tunawahimizeni muwaonye watu walio wavivu, muwatie moyo watu wanyonge, muwasaidie watu dhaifu, muwe na subira kwa wote.
15Sehet zu, daß niemand Böses mit Bösem vergelte, sondern trachtet allezeit darnach, Gutes zu tun, aneinander und an jedermann!
15Angalieni mtu yeyote asimlipe mwingine maovu kwa maovu, ila nia yenu iwe kutendeana mema daima na kuwatendea mema watu wote.
16Seid allezeit fröhlich!
16Furahini daima,
17Betet ohne Unterlaß!
17salini kila wakati
18Seid in allem dankbar; denn das ist der Wille Gottes in Christus Jesus für euch.
18na muwe na shukrani katika kila hali. Hayo ndiyo anayotaka Mungu kwenu katika kuungana kwenu na Kristo Yesu.
19Den Geist dämpfet nicht,
19Msimpinge Roho Mtakatifu;
20die Weissagung verachtet nicht;
20msidharau unabii.
21prüfet aber alles. Das Gute behaltet,
21Pimeni kila kitu: zingatieni kilicho chema,
22enthaltet euch des Bösen in jeglicher Gestalt!
22na epukeni kila aina ya uovu.
23Er selbst aber, der Gott des Friedens, heilige euch durch und durch, und euer ganzes Wesen, der Geist, die Seele und der Leib, werde unsträflich bewahrt bei der Wiederkunft unsres Herrn Jesus Christus!
23Mungu anayetupatia amani awafanye ninyi watakatifu kwa kila namna na kuzilinda nafsi zenu--roho, mioyo na miili yenu--mbali na hatia yoyote wakati wa kuja kwake Bwana wetu Yesu Kristo.
24Treu ist er, der euch beruft; er wird es auch tun.
24Yeye anayewaita ninyi atafanya hivyo kwani ni mwaminifu.
25Brüder, betet für uns!
25Ndugu, tuombeeni na sisi pia.
26Grüßet die Brüder alle mit dem heiligen Kuß!
26Wasalimuni ndugu wote kwa ishara ya upendo.
27Ich beschwöre euch bei dem Herrn, daß dieser Brief allen heiligen Brüdern gelesen werde.
27Nawahimizeni kwa jina la Bwana muwasomee ndugu zetu wote barua hii.
28Die Gnade unsres Herrn Jesus Christus sei mit euch!
28Tunawatakieni neema ya Bwana wetu Yesu Kristo.