1Si zik llan lenbiya n lekdeb ger lɣaci, akken daɣen ara d-kkren gar-awen wid ara kkun-iɣuṛṛen s uselmed-nsen. A d-skecmen tamusni-nsen n lekdeb d usexṛeb, ad nekṛen ula d amsellek i ten-id-icufɛen ; s wakka ara d-sseɣlin ɣef yiman-nsen tawaɣit ur bnin fell-as.
1Palitokea manabii wa uongo kati ya watu, na vivyo hivyo walimu wa uongo watatokea kati yenu. Watu hao wataingiza mafundisho maharibifu na kumkana Bwana aliyewakomboa, na kwa njia hiyo watasababisha ghafla maangamizi yao wenyewe.
2Ɣas akken ffɣen i webrid, aṭas ara ten-iḍefṛen, ɣef ddemma-nsen ara ițwargem webrid n tideț ;
2Tena watu wengi watazifuata hizo njia zao mbaya, kwa sababu yao, wengine wataipuuza Njia ya ukweli.
3a ten-yawi ṭṭmeɛ, a wen kellxen s imeslayen n lekdeb ; meɛna nnger-nsen ur ițɛeṭṭil ara, tawaɣit tețṛaǧu-ten.
3Kwa tamaa yao mbaya watajipatia faida kwa kuwaambieni hadithi za uongo. Lakini kwa muda mrefu sasa Hakimu wao yu tayari, na Mwangamizi wao yu macho!
4Teẓram belli Sidi Ṛebbi ur iḥunn ara ɣef lmalayekkat yeffɣen i webrid, meɛna iḍeggeṛ-iten ɣer tesraft lqayen n ṭṭlam anda țwaqnent, țṛaǧunt lḥisab.
4Malaika walipotenda dhambi, Mungu hakuwahurumia, bali aliwatupa katika moto wa Jehanamu ambako wamefungwa wakingojea Siku ile ya Hukumu.
5Ur iḥunn ara daɣen ɣef yemdanen n zzman aqdim asm' akken i sen-d iceggeɛ lḥemla n waman i lɣaci amcum ; issemneɛ seg-sen anagar Sidna Nuḥ ițbecciṛen lḥeqq n Sidi Ṛebbi, akk-d sebɛa n yemdanen yid-es.
5Mungu hakuihurumia dunia ya hapo kale, bali alileta gharika kuu juu ya nchi ile ya watu wasiomcha Mungu; lakini Noa ambaye alihubiri uadilifu, Mungu alimwokoa pamoja na watu wengine saba.
6Iɛuqeb timdinin n Sudum d Gumuṛ, issenger-itent, isxeḍ-itent s tmes, yerra-tent d iɣed ; ifka-d ayagi d lemtel i yemcumen iwakken ad ẓren d acu i ten-ițṛaǧun.
6Mungu aliadhibu miji ya Sodoma na Gomora, akaiteketeza kwa moto, akaifanya iwe mfano wa mambo yatakayowapata watu wasiomcha Mungu.
7Issemneɛ anagar Luṭ yellan d aḥeqqi, yemmuɣbnen ɣef yir lecɣal n lɣaci amcum yellan di zzman-is.
7Alimwokoa Loti, mtu mwema, ambaye alisikitishwa sana na mwenendo mbaya wa watu hao waasi.
8Argaz-agi aḥeqqi ițɛicin gar-asen, itețț-it wul-is ɣef ayen i gsell d wayen țwalint wallen-is yal ass, ɣef yir tikli nsen d yir lecɣal-nsen.
8Loti aliishi miongoni mwa watu hao, na kwa siku nyingi moyo wake ulikuwa katika wasiwasi mkuu aliposikia matendo yao maovu.
9S wakka Sidi Ṛebbi yeẓra amek ara isellek di teswiɛin iweɛṛen imdanen i gțeklen fell-as ; ma d imcumen a ten-yerr ɣer rrif i lɛiqab i d-iteddun ass n lḥisab.
9Kwa hiyo, basi, Bwana anajua jinsi ya kuwaokoa katika majaribu watu wanaomcha Mungu, na jinsi ya kuwaweka waovu katika adhabu hadi Siku ile ya hukumu,
10Ad iɛaqeb widak-nni i gxeddmen lefsad, ițnadin anagar lebɣi n tnefsit-nsen, imi ur țțaken ara lqima i lhiba n Sidi Ṛebbi. Ur țqadaṛen ara, qebbḥen, ur uggaden ara ad regmen ula d lmalayekkat.
10hasa wale wanaofuata tamaa mbaya za mwili na kupuuza mamlaka. Watu hao ni washupavu na wenye majivuno, huvitukana na hawaviheshimu viumbe vitukufu vya juu.
11Ma d lmalayekkat yesɛan lqeḍra ț-țezmert sennig wid yesselmaden lekdeb, ur sen-țarrant ara rregmat zdat Sidi Ṛebbi.
11Lakini malaika, ambao wana uwezo na nguvu zaidi kuliko hao walimu wa uongo, hawawashtaki na kuwatukana hao mbele ya Bwana.
12Meɛna imdanen-agi țɛicin am lmal n lexla, lhan kan i ṣṣyada, ur țxemmimen ara, reggmen ayen ur ssinen ; ad ɣlin di tesraft n ddnubat nsen, ad mmuṛdsen akken ițmuṛdus lmal.
12Watu hao ambao hutukana chochote kile wasichoelewa, ni sawa na wanyama wasio na akili, ambao huzaliwa na baadaye hukamatwa na kuchinjwa! Wataangamizwa kutokana na uharibifu wao wenyewe,
13D lbaṭel zerɛen ara d-megren, țțafen lfeṛḥ-nsen mi xeddmen ɛinani lebɣi n tnefsit-nsen. Sčuṛen d lɛib akk-d lḥecma, yerna m' ara qqimen yid-wen ɣer lmakla, ur țsetḥin ara s lehduṛ-nsen d ukellex-nsen.
13na watalipwa mateso kwa mateso ambayo wameyasababisha. Furaha yao ni kufanya, tena mchana kabisa, chochote kinachotosheleza anasa zao za mwili. Hao ni fedheha na aibu tupu kwa jumuiya yenu wakati wanapojiunga nanyi katika karamu zenu, bali wakifurahia njia zao za udanganyifu.
14Sṭamaɛen anagar yir tilawin iwakken ad znun yid-sent ; ur ɛeggun ara di ddnubat i xeddmen, țɣuṛṛun imdanen ur neǧhid ara di liman, ččuṛen d ṭṭmeɛ, ț-țarwa n deɛwessu.
14Macho yao yamejaa uzinzi na uwezo wao wa kutenda dhambi hauna kikomo. Huwaongoza watu walio dhaifu mpaka mitegoni. Mioyo yao imezoea kuwa na tamaa ya mali. Wapo chini ya laana ya Mungu!
15Sǧan abrid n lewqam, ɛeṛqen mi tebɛen abrid i gewwi Belɛam mmi-s n Biɛuṛ i gḥemmlen ad yerbeḥ idrimen s lexdeɛ.
15Wameiacha njia iliyonyoka, wakapotoka na kuifuata njia aliyofuata Balaamu, mwana wa Beori, ambaye alipendelea kupata faida kwa kufanya udanganyifu,
16Lameɛna iḥeccem-it Sidi Ṛebbi, mi d-issenṭeq ɣuṛ-es taɣyult tagugamt s ṣṣut n wemdan ; s wakka i t-iḥbes, iwakken ur ițkemmil ara di yir ccɣel-is.
16akakaripiwa kwa ajili ya uovu wake. Punda ambaye hasemi alinena kwa sauti ya binadamu, akaukomesha wazimu wa huyo nabii.
17Imdanen-agi am tliwa iqquṛen, am usigna y
17Watu hao ni kama chemchemi zilizokauka, kama mawingu yanayopeperushwa na tufani; makao yao waliyowekewa ni mahali pa giza kuu.
21Axiṛ-asen i yemdanen-agi lemmer ur ssinen ara abrid n lḥeqq, wala imi i t-ssnen uɣalen ṭṭaxṛen i lameṛ iqedsen i sen-d-ițțucegɛen s ɣuṛ Sidi Ṛebbi.
18Husema maneno ya majivuno na yasiyo na maana, na kutumia tamaa zao mbaya za kimwili kuwatega wale ambao wamejitenga hivi karibuni na watu waishio katika udanganyifu.
22Yedṛa yid-sen am akken yella di lemtul : Ițțuɣal weqjun ɣer iriran-is ; qqaṛen daɣen : Ilef iwumi ssarden, yuɣal imiren kan ad ixnunes deg waluḍ.
19Huwaahidi watu wengine eti watakuwa huru, kumbe wao wenyewe ni watumwa wa upotovu--maana mtu ni mtumwa wa chochote kile kinachomtawala.
20Watu waliokwisha ponyoka katika upotovu wa ulimwengu kwa kupata kumjua Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo, kisha wakakubali kunaswa na kutawaliwa tena na upotovu huo, hali yao itakuwa mbaya zaidi kuliko awali.
21Ingalikuwa afadhali kwao kama wasingalijua kamwe njia hiyo ya uadilifu kuliko kujua na kisha kuiacha na kupoteza amri takatifu waliyopokea.
22Ipo mithali isemayo: "Mbwa huyarudia matapishi yake mwenyewe," na nyingine isemayo: "Nguruwe aliyekwisha oshwa hugaagaa tena katika matope!" Ndivyo ilivyo kwao sasa.