Kabyle: New Testament

Swahili: New Testament

Acts

19

2Yers-ed fell-awen Ṛṛuḥ iqedsen asmi i tumnem ? Rran-as : Leɛmeṛ nesli s Ṛṛuḥ-agi iqedsen.
1Wakati Apolo alipokuwa Korintho, Paulo alisafiri sehemu za bara, akafika Efeso ambako aliwakuta wanafunzi kadhaa.
3Yenna-yasen : Anwa aɣḍas i-s-tețwaɣeḍsem ihi ? Rran-as : S weɣḍas n Yeḥya.
2Akauliza, "Je, mlipopata kuwa waumini mlipokea Roho Mtakatifu?" Nao wakamjibu, "La! Hata kusikia kwamba kuna Roho Mtakatifu hatujasikia."
4Bulus yenna-yasen : Yeḥya yesseɣḍes wid akk iqeblen ad beddlen tikli, yeqqaṛ i wegdud ad amnen s win ara d-yasen deffir-es, yeɛni s Sidna Ɛisa.
3Naye akasema, "Sasa mlipata ubatizo wa namna gani?" Wakamjibu, "Ubatizo wa Yohane."
5Mi slan i yimeslayen-agi, țwaɣeḍsen s yisem n Sidna Ɛisa.
4Naye Paulo akasema, "Ubatizo wa Yohane ulikuwa wa kuonyesha kwamba watu wametubu. Yohane aliwaambia watu wamwamini yule ambaye alikuwa anakuja baada yake, yaani Yesu."
6Akken yessers Bulus ifassen-is fell-asen, ikcem-iten Ṛṛuḥ iqedsen, bdan heddṛen s tutlayin ur nețwassen ara, yerna țcaren-d ayen i sen-d-yusan s ɣuṛ Sidi Ṛebbi.
5Baada ya kusikia hayo, walibatizwa kwa jina la Bwana Yesu.
7Imdanen-agi ad ilin di tnac yid-sen.
6Basi, Paulo akawawekea mikono, na Roho Mtakatifu akawashukia, wakaanza kusema lugha mbalimbali na kutangaza ujumbe wa Mungu.
8Dɣa Bulus ikcem ɣer lǧameɛ n wat Isṛail. Azal n tlata wagguren ițmeslay yid-sen, ițqenniɛ-iten iwakken ad amnen s wayen yeɛnan tagelda n Sidi Ṛebbi.
7Wote jumla, walikuwa watu wapatao kumi na wawili.
9Lameɛna kra deg-sen yeqquṛ wul-nsen ugin ad amnen, rnan kkaten deg webrid n Sidna Ɛisa zdat lɣaci. Mi gwala annect-agi, Bulus iṭṭaxeṛ-asen, yewwi yid-es inelmaden, isselmad-iten kull ass deg wexxam n yiwen wergaz isem-is Tiranus.
8Kwa muda wa miezi mitatu Paulo alikuwa akienda katika sunagogi, akawa na majadiliano ya kuvutia sana juu ya Ufalme wa Mungu.
10Yeqqim dinna sin iseggasen armi imezdaɣ meṛṛa n tmurt n Asya, ama d at Isṛail ama d iyunaniyen, slan i wawal n Sidi Ṛebbi.
9Lakini wengine walikuwa wakaidi, wakakataa kuamini, wakaanza kuongea vibaya hadharani juu ya Njia ya Bwana. Hapo Paulo alivunja uhusiano nao, akawachukua pembeni wale wanafunzi wake, akawa anazungumza nao kila siku katika jumba la masomo la Turano.
11Sidi Ṛebbi ixeddem lbeṛhanat imeqqranen s ifassen n Bulus ;
10Aliendelea kufanya hivyo kwa muda wa miaka miwili hata wakazi wote wa Asia, Wayahudi na watu wa mataifa mengine, wakaweza kusikia neno la Bwana.
12lɣaci wwḍen armi srusun ɣef yimuḍan ula ț-țimucwaṛin neɣ iceṭṭiḍen yennulen Bulus, dɣa imuḍan ḥellun, wid akk yețțumelken țeffɣen ten leǧnun.
11Mungu alifanya miujiza ya ajabu kwa mikono ya Paulo.
13Kra iseḥḥaren n wat Isṛail, ileḥḥun seg wemkan ɣer wayeḍ, ɛerden ad ssuffɣen leǧnun seg wid yețwamelken, qqaṛen-asen : S yisem n Sidna Ɛisa, win akken i gețbecciṛ Bulus, effɣet seg-es !
12Watu walikuwa wakichukua leso na nguo nyingine za kazi ambazo Paulo alikuwa amezitumia, wakazipeleka kwa wagonjwa, nao wakaponywa magonjwa yao; na wale waliokuwa na pepo wabaya wakatokwa na pepo hao.
14Widak ixeddmen annect-agi llan di sebɛa yid-sen, d arraw n Ciba yellan d yiwen si lmuqedmin imeqqranen n at Isṛail.
13Wayahudi kadhaa wenye kupunga pepo wabaya, walisafiri huko na huko, wakijaribu kulitumia jina la Bwana Yesu kwa wale waliokuwa wamepagawa na pepo wabaya. Walikuwa wakisema: "Ninawaamuru kwa jina la Yesu ambaye Paulo anamhubiri."
15Lǧen-nni yerra-yasen-d : Ɛisa ssneɣ-t, ssneɣ daɣen anwa i d Bulus, ma d kunwi d acu-kkun ?
14Watoto saba wa Skewa, Kuhani Mkuu wa Kiyahudi, walikuwa miongoni mwa hao waliokuwa wanafanya hivyo.
16Argaz-nni i gezdeɣ lǧen, izḍem fell-asen yekkat-iten armi rewlen seg wexxam d iɛeryanen, yerna jerḥen.
15Lakini pepo mbaya aliwajibu, "Ninamfahamu Yesu, ninamjua pia Paulo, lakini ninyi ni nani?"
17At Isṛail akk-d iyunaniyen meṛṛa izedɣen tamdint n Ifasus slan s wayagi, ikcem-iten meṛṛa lxuf, ḥemmden isem n Sidna Ɛisa.
16Kisha yule mtu aliyepagawa aliwarukia wote kwa kishindo, akawashinda nguvu. Na hao watoto wa Skewa wakakimbia kutoka ile nyumba wakiwa uchi na wamejaa majeraha.
18Aṭas seg wid i gumnen, usan-d ad qiṛṛen zdat wiyaḍ, ḥkan-d ayen xedmen.
17Kila mtu huko Efeso, Myahudi na asiye Myahudi, alisikia juu ya tukio hilo. Wote waliingiwa na hofu, wakalitukuza jina la Bwana Yesu.
19Aṭas seg wid yellan xeddmen ssḥur, wwin-d tiktabin-nsen s wayes xeddmen ssḥur, sseṛɣen-tent zdat medden. Ufan belli azal n xemsin alef n twiztin i d ssuma-nsent.
18Waumini wengi walijitokeza wakakiri hadharani mambo waliyokuwa wametenda.
20S wakka i gewweḍ wawal n Sidi Ṛebbi ɣer mkul amkan, ițnerni s tezmert n Sidi Ṛebbi.
19Wengine waliokuwa wameshughulikia mambo ya uchawi hapo awali, walikusanya vitabu vyao, wakavichoma mbele ya wote. Walikisia gharama ya vitabu hivyo, wakaona yafikia vipande vya fedha elfu hamsini.
21Mi gɛedda wayagi akk, Bulus yeqsed ad iṛuḥ ɣer temdint n Lquds, ad iɛeddi si tmura n Masidunya akk-d Akaya ; ixemmem deg iman-is yenna : « M'ara awḍeɣ ɣer dinna, ilaq-iyi daɣen ad ṛuḥeɣ ɣer temdint n Ṛuma.»
20Kwa namna hiyo, neno la Bwana lilizidi kuenea na kuwa na nguvu zaidi.
22Iceggeɛ ɣer tmurt n Masidunya sin seg imɛawnen-is, Timuti d Irastus ; ma d nețța yerna kra n wussan di tmurt n Asya.
21Baada ya mambo hayo, Paulo aliamua kwenda Yerusalemu kwa kupitia Makedonia na Akaya. Alisema, "Baada ya kufika huko, itanilazimu kuona Roma pia."
23Di lweqt-nni, ɣef ddemma n webrid n Sidi Ṛebbi ikker ccwal d ameqqran di temdint n Ifasus.
22Hivyo, aliwatuma wawili wa wasaidizi wake, Timotheo na Erasto, wamtangulie kwenda Makedonia, naye akabaki kwa muda huko Asia.
24Yella yiwen uḥeddad isem-is Dimitriyus, iṣenneɛ s lfeṭṭa leǧwameɛ imecṭaḥ i d-yețmettilen lǧameɛ n Artimis, yesserbeḥ aṭas ixeddamen-is.
23Wakati huo ndipo kulipotokea ghasia kubwa huko Efeso kwa sababu ya hiyo Njia ya Bwana.
25Isnejmaɛ-iten nutni d wid i gxeddmen lfeṭṭa am nețța, yenna yasen : Ay atmaten ! Teẓram belli rrbeḥ-nneɣ itekk-ed si lxedma-agi ;
24Kulikuwa na mfua fedha mmoja aitwaye Demetrio, ambaye alikuwa na kazi ya kutengeneza sanamu za nyumba ya mungu wa kike aitwaye Artemi. Shughuli hiyo iliwapatia mafundi faida kubwa.
26teẓram yerna teslam daɣen ɣef Bulus-agi issamnen aṭas n lɣaci di temdint n Ifasus d waṭas n tmura n Asya. Yessamen lɣaci, yewwi-ten d webrid-is mi sen-iqqaṛ : « Iṛebbiten agi ițwaxedmen s ifassen n wemdan mačči d iṛebbiten n tideț » ;
25Demetrio aliwakusanya hao wafanyakazi pamoja na wengine waliokuwa na kazi kama hiyo, akawaambia, "Wananchi, mnafahamu kwamba kipato chetu kinatokana na biashara hii.
27ur nuggad ara kan aț-țeɣli ṣṣenɛa-nneɣ, lameɛna nuggad ad sseɣlin lqima i lǧameɛ n Artimis tameqqrant, taṛebbiț-nneɣ, qṛib a s-kksen lɛaḍima s wayes tețwaɛbed di tmurt n Asya d ddunit meṛṛa.
26Sasa, mnaweza kusikia na kujionea wenyewe mambo Paulo anayofanya, si tu hapa Efeso, ila pia kote katika Asia. Yeye amewashawishi na kuwageuza watu wakakubali kwamba miungu ile iliyotengenezwa na watu si miungu hata kidogo.
28Mi slan i lehduṛ-agi, ikcem-iten wurrif, bdan țɛeggiḍen : Ț-țameqqrant Artimis, taṛebbiț n at Ifasus !
27Hivyo iko hatari kwamba biashara yetu itakuwa na jina baya. Si hivyo tu, bali pia jambo hilo linaweza kuifanya nyumba ya mungu Artemi kuwa si kitu cha maana. Hatimaye sifa zake huyo ambaye Asia na dunia yote inamwabudu, zitakwisha."
29Tețțucewwel akk temdint, lɣaci uzzlen ɣer wexxam n umezgun, seddan yid-sen Gayus akk-d Aristark yellan d imasiduniyen, d iṛfiqen n Bulus, ițṣafaṛen yid-es.
28Waliposikia hayo, waliwaka hasira, wakaanza kupiga kelele: "Mkuu ni Artemi, wa Efeso!"
30Bulus yebɣa ad ikcem di tlemmast n lɣaci-nni, lameɛna ugin-as inelmaden.
29Mji wote ukajaa ghasia. Wakawavamia Gayo na Aristarko, wenyeji wa Makedonia, ambao walikuwa wasafiri wenzake Paulo, wakakimbia nao mpaka kwenye ukumbi wa michezo.
31Ula d kra n lḥukkam imeqqranen n tmurt n Asya yellan d imdukkal-is, ceggɛen ɣuṛ-es iwakken a t-ḥellelen ur ițṛuḥ ara ɣer wexxam n umezgun.
30Paulo mwenyewe alitaka kuukabili huo umati wa watu, lakini wale waumini walimzuia.
32Anejmaɛ-nni yexṛeb, kra țɛeggiḍen akka, wiyaḍ akken nniḍen yerna aṭas deg-sen ur ẓrin ara acu i d sebba n unejmaɛ-nni.
31Maofisa wengine wa huo mkoa wa Asia, waliokuwa rafiki zake, walimtumia Paulo ujumbe wakimsihi asijihatarishe kwa kwenda kwenye ukumbi wa michezo.
33At Isṛail sbedden-d Alixandru ad immeslay i lɣaci. Iwehha-yasen ufus-is ad ssusmen, iwakken a d-ihdeṛ,
32Wakati huo, kila mtu alikuwa anapayuka; wengine hili na wengine lile, mpaka hata ule mkutano ukavurugika. Wengi hawakujua hata sababu ya kukutana kwao.
34lameɛna mi t-ɛeqlen n wat Isṛail i gella, bdan țɛeggiḍen meṛṛa ɣef tikkelt azal n snat sswayeɛ : Ț-țameqqrant Artimis n at Ifasus !
33Kwa vile Wayahudi walimfanya Aleksanda ajitokeze mbele, baadhi ya watu katika ule umati walidhani kuwa ndiye. Basi, Aleksanda aliwaashiria watu kwa mkono akitaka kujitetea mbele ya ule umati wa watu.
35Lameɛna lamin n temdint ihedden lɣaci, yenna-yasen : Ay at Ifasus, anwa ur neẓri ara belli tamdint n Ifasus ț-țaɛessast n lǧameɛ Artimis tameqqrant akk-d lmeṣnuɛ-ines i d-iɣlin seg igenni ?
34Lakini walipotambua kuwa yeye ni Myahudi, wote kwa sauti moja walipiga kelele: "Mkuu ni Artemi wa Efeso!" Wakaendelea kupayukapayuka hivyo kwa muda wa saa mbili.
36Imi ayagi yiwen ur yezmir a t-yenkeṛ, ilaq ihi aț-țhennim iman-nwen, ur xeddmet acemma s tuffɣa n leɛqel !
35Hatimaye karani wa mji alifaulu kuwanyamazisha, akawaambia, "Wananchi wa Efeso, kila mtu anajua kwamba mji huu wa Efeso ni mlinzi wa nyumba ya mungu Artemi na mlinzi wa ile sanamu iliyoanguka kutoka mbinguni.
37Axaṭer irgazen-agi i d-tewwim ur ukiren lǧameɛ, ur rgimen Artimis taṛebbiț-nneɣ.
36Hakuna anayeweza kukana mambo haya. Hivyo basi, tulieni; msifanye chochote bila hadhari.
38Ihi ma yella Dimitriyus d imdukkal-is sɛan sebba n uccetki ɣef yiwen, llan wussan n ccṛeɛ am akken llan lḥukkam ara ten-icaṛɛen , ad ṛuḥen ad ccetkin fell-asen.
37Mmewaita watu hawa hapa ingawaje hawakuikufuru nyumba ya mungu wala kumtukana mungu wetu wa kike.
39Ma yella wayen nniḍen i tessuturem deg-sen, ad ḥekmen fell-asen deg unejmaɛ zdat lḥukkam.
38Kama, basi Demetrio na wafanyakazi wake wana mashtaka yao kuhusu watu hawa, yapo mahakama na wakuu wa mikoa; wanaweza kushtakiana huko.
40Atan nuggad ad ccetkin fell-aɣ ɣef wayen yedṛan ass-agi imi ulac sebba ara nefk ɣef wunejmaɛ-agi. Mi gfukk ameslay, iserreḥ i lɣaci, yefra unejmaɛ.
39Kama mna matatizo mengine, yapelekeni katika kikao halali.
40Kwa maana tungaliweza kushtakiwa kwa kusababisha ghasia kutokana na vituko vya leo. Ghasia hii haina msingi halali na hatungeweza kutoa sababu za kuridhisha za ghasia hiyo."
41Baada ya kusema hayo aliuvunja mkutano.