Kabyle: New Testament

Swahili: New Testament

Acts

23

2Lmuqeddem ameqqran Ananyas yumeṛ i wid yellan zdat-es, a t-wten ɣer yimi.
1Paulo aliwakodolea macho wale wanabaraza, halafu akaanza kusema, "Ndugu zangu, mpaka hivi leo nimekuwa nikiishi na dhamiri njema mbele ya Mungu."
3Dɣa Bulus yenna : A k-id-iwet Ṛebbi a bu sin wudmawen ! Teqqimeḍ aț-țḥekmeḍ fell-i s ccariɛa, lameɛna kečč s yiman-ik txulfeḍ-ț imi tumreḍ ad iyi wten.
2Hapo Kuhani Mkuu Anania akaamuru wale waliokuwa wamesimama karibu na Paulo wampige kofi mdomoni.
4Widak yellan zdat-es nnan-as : Tregmeḍ lmuqeddem ameqqran n Ṛebbi !
3Basi, Paulo akamwambia, "Mungu mwenyewe atakupiga kofi wewe uliye kama ukuta uliopakwa chokaa! Unawezaje kukaa hapo ili unihukumu kisheria na huku wewe mwenyewe unaivunja Sheria kwa kuamuru nipigwe?"
5Bulus yenna-yasen : Ur ẓriɣ ara ay atmaten belli d nețța i d lmuqeddem ameqqran, axaṭer yura di ccariɛa : Ur țekkes ara leqdeṛ ɣef lḥakem n wegdud-ik.
4Watu waliokuwa wamesimama pale wakamwambia Paulo, "Unamtukana Kuhani Mkuu wa Mungu!"
6Bulus, mi gwala deg unejmaɛ-nni azgen deg-sen d isaduqiyen, azgen nniḍen d ifariziyen, iɛeggeḍ gar-asen, yenna : Ay atmaten, nekk d afarizi, d mmi-s n ufarizi ; ɣef ddemma n usirem i nesɛa di ḥeggu n lmegtin i d-beddeɣ ɣer ccṛeɛ ass-agi !
5Paulo akajibu, "Ndugu zangu, sikujua kama yeye ni Kuhani Mkuu. Maana Maandiko yasema hivi: Usiseme vibaya juu ya mtawala wa watu wako."
7Mi d-yenna ayagi, ikker umennuɣ ger ifariziyen d isaduqiyen ; dɣa yebḍa unejmaɛ-nni.
6Wakati huo Paulo alikwisha tambua kwamba sehemu moja ya wanabaraza wale ilikuwa ni Masadukayo na nyingine Mafarisayo. Basi, alipaaza sauti yake mbele ya Baraza: "Ndugu zangu, mimi ni Mfarisayo, mwana wa Mfarisayo. Mimi nimeletwa mahakamani kwa kuwa ninatumaini kwamba wafu watafufuka."
8Axaṭer isaduqiyen qqaṛen ulac ḥeggu, ulac lmalayekkat, ulac leṛwaḥ ; ma d ifariziyen, nutni umnen s wannect agi.
7Baada ya kusema hivyo, mzozo mkali ulitokea kati ya Mafarisayo na Masadukayo na mkutano ukagawanyika sehemu mbili.
9Ikker umennuɣ gar-asen ; kra n lɛulama n ccariɛa n tejmaɛt n ifariziyen kkren iwakken ad ḥudden Bulus, nnan : Ur nufi ara ayen n diri deg wemdan-agi. Yezmer lḥal ihdeṛ-as-d Ṛebbi neɣ lmelk !
8Kisa chenyewe kilikuwa hiki: Masadukayo hushikilia kwamba wafu hawafufuki, hakuna malaika, na roho nazo hazipo. Lakini Mafarisayo husadiki hayo yote matatu.
10Imi ițțimɣuṛ umenɣi, lqebṭan ameqqran yugad ad feṛqen Bulus d iftaten. Yumeṛ i lɛeskeṛ ad ṛuḥen a t-id-kksen si tlemmast-nsen, a t awin ɣer lbeṛj.
9Kelele ziliongezeka na baadhi ya walimu wa Sheria wa kikundi cha Mafarisayo walisimama na kutoa malalamiko yao kwa nguvu: "Hatuoni chochote kilicho kiovu katika mtu huyu; huenda ikawa kwamba roho au malaika ameongea naye."
11Azekka-nni deg iḍ, Sidna Ɛisa iḍheṛ-as-d i Bulus yenna-yas : Ur țțaggad ara, axaṭer am akken tcehdeḍ fell-i di temdint n Lquds, ilaq daɣen aț-țcehdeḍ fell-i di temdint n Ṛuma.
10Mzozo ulizidi kuwa mwingi hata mkuu wa jeshi akaogopa kwamba Paulo angeraruliwa vipandevipande. Kwa hiyo, aliwaamuru askari wake kuingia kati ya lile kundi, wamtoe Paulo na kumrudisha ndani ya ngome.
12Mi guli wass, at Isṛail xedmen tiḥileț, msefhamen, gullen ur ččin ur swin alamma nɣan Bulus.
11Usiku uliofuata, Bwana alisimama karibu na Paulo, akamwambia, "Jipe moyo! Umenishuhudia katika Yerusalemu, utafanya vivyo hivyo mjini Roma."
13Wid akk i s-ixedmen taxazabit agi, llan akteṛ n ṛebɛin yid-sen.
12Kulipokucha, Wayahudi walifanya kikao cha faragha. Wakala kiapo: "Hatutakula wala kunywa mpaka tutakapokuwa tumekwisha muua Paulo."
14Ṛuḥen ad ẓren imeqqranen d lmuqedmin akk-d lɛuqal nnan asen : Neggul s limin ameqqran, ur nečči acemma alamma nenɣa Bulus.
13Watu zaidi ya arobaini ndio waliokula njama kufanya hivyo.
15Tura ihi, init-as i lqebṭan ameqqran a t-id-yawi ɣer unejmaɛ n ccṛeɛ zdat-wen, amzun tebɣam a s-tɛiwdem abeḥḥet ; ma d nukkni, a nheggi iman-nneɣ a t-nenɣ uqbel a d-yaweḍ ɣer dagi.
14Basi, walikwenda kwa makuhani wakuu na wazee, wakasema, "Sisi tumeapa kwamba hatutaonja chochote kwa vinywa vyetu mpaka hapo tutakapokuwa tumemuua Paulo.
16Lameɛna mmi-s n weltma-s n Bulus imi gesla s tḥileț-nni i s heggan, iṛuḥ ɣer lbeṛj anda yețwaḥbes Bulus, a s-yessiweḍ lexbaṛ.
15Sasa basi, ninyi pamoja na Baraza tumeni ujumbe kwa mkuu wa jeshi ili amlete Paulo kwenu mkijisingizia kwamba mnataka kupata habari kamili zaidi juu yake. Tuko tayari kumuua hata kabla hajafika karibu."
17Bulus yessawel-ed i yiwen si lfesyanat, yenna-yas : Awi aqcic-agi ɣer lqebṭan ameqqran, axaṭer yesɛa awal ara s-yini.
16Lakini mtoto wa kiume wa dada yake Paulo alisikia juu ya mpango huo; hivyo akaenda ndani ya ngome, akamjulisha Paulo juu ya njama hiyo.
18Lfesyan yewwi yid-es aqcic-nni ɣer lqebṭan ameqqran, yenna-yas : Bulus ameḥbus-nni yessawel iyi-d iḥellel-iyi iwakken a k-d-awiɣ aqcic-agi, yesɛa awal ara k-d-yini.
17Hapo Paulo akamwita mmoja wa askari, akamwambia, "Mchukue kijana huyu kwa mkuu wa jeshi; ana kitu cha kumwambia."
19Lqebṭan ameqqran iddem aqcic-nni seg ufus, ɛezlen iman-nsen ɣer ṭṭeṛf ; yenna-yas : D acu i tebɣiḍ a yi-t-id-tiniḍ ?
18Askari akamchukua huyo kijana, akamwongoza mpaka kwa mkuu wa jeshi, akasema, "Yule mfungwa Paulo ameniita akaniomba nimlete kijana huyu kwako kwa maana ana jambo la kukwambia."
20Yerra-yas : At Isṛail msefhamen a k-d ḍelben aț-țawiḍ Bulus azekka ɣer zdat unejmaɛ n ccṛeɛ, ufan-d sebba a s-ɛiwden abeḥḥet ɣef temsalt-is.
19Mkuu wa jeshi alimshika huyo kijana mkono, akampeleka mahali pa faragha, akamwuliza, "Una nini cha kuniambia?"
21Ur țțaɣ ara awal-nsen, axaṭer akteṛ n ṛebɛin deg-sen ḥeyylen-as, gullen s limin ameqqran ur tețțen ur tessen alamma nɣan-t. Tura heggan iman-nsen, țṛaǧun anagar lebɣi-k.
20Yeye akasema, "Wayahudi wamepatana wakuombe umpeleke Paulo Barazani wakijisingizia kwamba Baraza lingependa kupata habari kamili zaidi juu yake.
22Amdebbar ameqqran iserreḥ-as i weqcic-nni ad iṛuḥ, yenna-yas : Ur qqaṛ i yiwen belli tessaweḍed iyi-d lexbaṛ-agi.
21Lakini wewe usikubali kwa maana kuna watu zaidi ya arobaini walio tayari kumvamia. Wameapa kutokula wala kunywa mpaka watakapokuwa wamemuua. Sasa wako tayari, wanangojea tu uamuzi wako."
23Yuɣal issawel i sin lfesyanat, yenna-yasen : Heggit mitin iɛeskṛiwen, sebɛin yemnayen akk-d mitin iɛeskṛiwen i gteddun s imezṛagen, ad ṛuḥen ɣef tesɛa n yiḍ ɣer Qiṣarya.
22Mkuu wa jeshi alimwacha aende zake akimwonya asimwambie mtu yeyote kwamba amemletea habari hizo.
24Heggit daɣen iɛewdiwen iwakken ad ssiwḍen Bulus di laman ɣer lḥakem Filiks.
23Basi, mkuu wa jeshi aliwaita askari wawili akawaambia, "Wekeni tayari askari mia mbili, wapanda farasi sabini na askari mia mbili wa mikuki, waende Kaisarea; muwe tayari kuondoka kabla ya saa tatu leo usiku.
25Yura tabṛaț-agi i lḥakem Filiks :
24Wekeni farasi kadhaa kwa ajili ya Paulo; mfikisheni salama kwa Felisi, mkuu wa mkoa."
26« Nekk Kludyus Lizyas i lḥakem ameqqran Filiks, sslam fell-ak !
25Halafu mkuu huyo wa jeshi akaandika barua hivi:
27At Isṛail ṭṭfen argaz-agi teddun a t-nɣen, mi wwḍeɣ nekk d lɛeskeṛ-iw, sellkeɣ-t-id si ger ifassen-nsen. Imi sliɣ laṣel-is d aṛumani,
26"Mimi Klaudio Lusia ninakuandikia wewe Mheshimiwa Felisi, mkuu wa mkoa. Salamu!
28bɣiɣ ad ẓreɣ sebba ɣef wacu ccetkan fell-as ; wwiɣ-t ɣer zdat unejmaɛ nsen.
27"Wayahudi walimkamata mtu huyu na karibu wangemuua kama nisingalifahamishwa kwamba yeye ni raia wa Roma na hivyo nikaenda pamoja na askari nikamwokoa.
29Ufiɣ belli sebba ɣef wacu i ccetkan fell-as, d ayen yeɛnan ccariɛa-nsen, lameɛna ur ixdim acemma yuklalen lmut neɣ lḥebs.
28Nilimpeleka mbele ya Baraza lao kuu nikitaka kujua kisa cha mashtaka yao.
30Mi sliɣ ḥeyylen-as wat Isṛail, ceggɛeɣ-t-in ɣuṛ-ek. Ma d ixṣimen-is nniɣ-asen a n-ṛuḥen ɣuṛ-ek ad ccetkin fell-as. Sǧiɣ-k di lehna !
29Niligundua kwamba mashtaka yenyewe yalihusu ubishi juu ya sehemu kadha wa kadha za Sheria yao na hivyo sikuona kwamba amefanya chochote kinachostahili auawe au afungwe gerezani.
31Akken i ten-d-yewweḍ lameṛ, iɛeskṛiwen wwin Bulus deg yiḍ ɣer temdint n Antibatris.
30Nilipofahamishwa kwamba Wayahudi walikuwa wamefanya njama za kumuua, niliamua kumleta kwako. Nikamwambia washtaki wake walete mashtaka yao mbele yako."
32Azekka-nni uɣalen ɣer lbeṛj, ǧǧan imnayen ad kemmlen abrid yid-es.
31Basi, hao askari walimchukua Paulo kama walivyoamriwa; wakampeleka usiku uleule mpaka Antipatri.
33Mi wwḍen ɣer temdint n Qiṣarya, wwin Bulus ɣer lḥakem Filiks, rnan fkan-as tabṛaț-nni.
32Kesho yake askari wa miguu walirudi ngomeni, wakawaacha wale askari wapanda farasi waendelee na safari pamoja na Paulo.
34Lḥakem yeɣṛa tabṛaț-nni, isteqsa anta i ț-țamurt n Bulus. Mi gesla si tmurt n Silisya i gella,
33Walipofika Kaisarea walimpa mkuu wa mkoa ile barua na kumweka Paulo chini ya mamlaka yake.
35yenna-yas : M'ara d-awḍen yexṣimen iccetkan fell-ak, a k-sleɣ . Dɣa yumeṛ a t-ɛassen di lbeṛj n Hiṛudus. At Isṛail cccetkan ɣef Bulus
34Felisi alipoisoma hiyo barua aliwauliza Paulo ametoka mkoa gani. Alipofahamishwa kwamba alikuwa ametoka mkoa wa Kilikia,
35akasema, "Nitasikiliza kesi yako baada ya washtaki wako kufika." Kisha akaamuru Paulo awekwe chini ya ulinzi ndani ya ukumbi wa Herode.