Kabyle: New Testament

Swahili: New Testament

Luke

3

1Deg wuseggas wis xemseṭṭac n tgeldit n Qayṣer Tibeṛyus, llan ṛebɛa lḥekkam di tmurt n Falisṭin. Bunṭus Bilaṭus d lḥakem n tmurt n Yahuda, Hiṛudus Antifas yeḥkem ɣef tmurt n Jlili, Filbas gma-s n Hiṛudus, ɣef tmura n Iturya akk-d Tṛaxunit, ma d Lisanyas yeḥkem ɣef tmurt n Abilan.
1Mwaka wa kumi na tano wa utawala wa Kaisari Tiberio, Pontio Pilato alikuwa anatawala mkoa wa Yudea. Herode alikuwa mkuu wa mkoa wa Galilaya, na Filipo, ndugu yake, alikuwa mkuu wa mikoa ya Iturea na Trakoniti. Lusania alikuwa mkuu wa mkoa wa Abilene,
2Di lweqt-nni, ?ennan akk-d Qayif llan d lmuqedmin imeqqranen. Awal n Sidi Ṛebbi ițwaxebbeṛ-as-ed i Yeḥya, mmi-s n Zakarya, deg unezṛuf.
2na Anasi na Kayafa walikuwa makuhani wakuu mjini Yerusalem. Wakati huo ndipo neno la Mungu lilipomjia Yohane, mwana wa Zakariya, kule jangwani.
3Iṛuḥ ițnadi timura i d-izzin i wasif n Urdun, yețberriḥ yeqqaṛ : Beddlet tikli, uɣalet-ed ɣer webrid, aset-ed aț-țețwaɣeḍsem iwakken Sidi Ṛebbi a wen-isemmeḥ ddnubat-nwen !
3Basi, Yohane akaenda katika sehemu zote zilizopakana na mto Yordani, akihubiri watu watubu na kubatizwa ili Mungu awaondolee dhambi.
4Akken i d-ițțuxebeṛ di tektabt n nnbi Iceɛya : ?-țaɣect n win ițɛeggiḍen deg wunezṛuf : Heggit abrid n Sidi Ṛebbi, ssemsawit iberdan-is !
4Ndivyo ilivyoandikwa katika kitabu cha nabii Isaya: "Sauti ya mtu imesikika jangwani: Mtayarishieni Bwana njia yake; nyosheni mapito yake.
5 Iɣezṛan, idurar ț-țɣaltin ad uɣalen d izuɣaṛ ! Iberdan iɛewjen ad țțuseggmen, wid ixesṛen ad qeɛden .
5Kila bonde litafukiwa, kila mlima na kilima vitasawazishwa; palipopindika patanyooshwa, njia mbaya zitatengenezwa.
6 Imdanen meṛṛa ad ẓren leslak n Sidi Ṛebbi.
6Na, watu wote watauona wokovu utokao kwa Mungu."
7Yeḥya yeqqaṛ i lɣaci i d-ițțasen iwakken ad țwaɣeḍsen deg waman : A ccetla n yizerman, anwa i kkun-isfaqen belli tzemrem aț- țrewlem i lɛiqab i d-iteddun ?
7Basi, Yohane akawa anawaambia watu wengi waliofika ili awabatize: "Enyi kizazi cha nyoka! Ni nani aliyewadokezea kwamba mngeweza kuiepuka ghadhabu inayokuja?
8Deg wayen akk txeddmem, sbeggnet-ed belli ṣfan wulawen nwen ! Ur qqaṛet ara kan deg yiman-nwen : jeddi-tneɣ d Sidna Ibṛahim, axaṭer a wen-iniɣ : seg idɣaɣen-agi, Sidi Ṛebbi yezmer a d-issufeɣ dderya i Ibṛahim.
8Basi, onyesheni kwa matendo kwamba mmetubu. Msianze sasa kusema: Sisi ni watoto wa Abrahamu. Nawaambieni hakika, Mungu anaweza kuyageuza mawe haya yawe watoto wa Abrahamu!
9Ațan ihi tcaquṛt thegga ɣer izuṛan n ttjuṛ, yal ttejṛa ur d-nețțak ara lfakya lɛali, aț-țețwagzem, aț-țețwaḍeggeṛ ɣer tmes.
9Lakini, sasa hivi shoka limewekwa tayari kukata mizizi ya miti. Kila mti usiozaa matunda mazuri utakatwa na kutupwa motoni."
10Lɣaci steqsan-t nnan-as : D acu i ɣ-ilaqen a t-nexdem ihi ?
10Umati wa watu ukamwuliza, "Tufanye nini basi?"
11Yerra-yasen : Win yesɛan sin iqendyaṛ ad yefk yiwen i win ur nesɛi ara ; win yesɛan ayen ara yečč, ad yefk i win ur nesɛi ara.
11Akawajibu, "Aliye na nguo mbili amgawie yule asiye na nguo; aliye na chakula afanye vivyo hivyo."
12Usan-d ula d imekkasen itețțen ayla n medden iwakken ad țwaɣeḍsen deg wasif, nnan-as : A Sidi, i nukkni yellan d imekkasen n tebzert ( leɣṛama ) d acu ara nexdem ?
12Nao watoza ushuru wakaja pia ili wabatizwe, wakamwuliza, "Mwalimu, tufanye nini?"
13Yenna-yasen : Ur țnadit ara sennig wayen i d-yenna lqanun.
13Naye akawaambia, "Msitoze ushuru zaidi ya kima kilichowekwa."
14Iɛeskṛiwen daɣen steqsan-t : I nukkni, d acu ara nexdem ? Yerra-yasen : Ur xeddmet ara lbaṭel, ur țțaṭṭafet ara tajɛelt, setqenɛet kan s lexlaṣ nwen.
14Nao askari wakamwuliza, "Na sisi tufanye nini?" Naye akawajibu, "Msichukue vitu vya mtu yeyote kwa nguvu wala kumshtaki yeyote kwa uongo. Toshekeni na mishahara yenu."
15Yuɣ lḥal lɣaci meṛṛa llan țṛaǧun qqaṛen deg ulawen-nsen : Ahat d nețța i d Lmasiḥ !
15Wote walikuwa wanatazamia kitu fulani; basi, wakaanza kujiuliza mioyoni mwao kuhusu Yohane: kuwa labda yeye ndiye Kristo.
16Yeḥya yenna-yasen : Nekk sseɣḍaseɣ-kkun deg waman, meɛna a d-yas win yesɛan tazmert akteṛ-iw ; ur uklaleɣ ara ad fsiɣ ula d lexyuḍ n warkasen-is. Nețța a kkun-isseɣḍes s Ṛṛuḥ iqedsen ț-țmes.
16Hapo Yohane akawaambia wote, "Mimi ninawabatiza kwa maji, lakini anakuja mwenye uwezo zaidi kuliko mimi ambaye sistahili hata kumfungulia kamba za viatu vyake. Yeye atawabatizeni kwa Roho Mtakatifu na kwa moto.
17Yeṭṭef tazzart deg wufus-is, ad yessizdeg tirect deg wennar-is, a d-ijmeɛ irden ɣer yikufan, ma d alim a t-isseṛɣ di tmes ur nxețți.
17Yeye ni kama mtu anayeshika mikononi mwake chombo cha kupuria nafaka, aipure nafaka yake, akusanye ngano ghalani mwake, na makapi ayachome kwa moto usiozimika."
18Yeḥya ițbecciṛ i lɣaci lexbaṛ n lxiṛ, inehhu-ten s waṭas n yimeslayen nniḍen.
18Hivyo, pamoja na mawaidha mengine mengi, Yohane aliwahimiza watu akiwahubiria Habari Njema.
19Yesseḍlem ula d agellid Hiṛudus, yeqqaṛ-as : mačči d lḥeqq fell-ak aț-țaɣeḍ Hiṛudyad tameṭṭut n gma-k ! Ilumm-it daɣen ɣef lecɣal nniḍen n diri i gxeddem.
19Lakini Yohane alimgombeza Herode, mkuu wa mkoa, kwa sababu alikuwa amemchukua Herodia, mke wa ndugu yake, na kumfanya mke wake; na pia kwa ajili ya mabaya yote aliyokuwa amefanya.
20Hiṛudus ikemmel di txeṣṣarin-is, yessekcem Yeḥya ɣer lḥebs !
20Kisha Herode akazidisha ubaya wake kwa kumtia Yohane gerezani.
21Mi țwaɣeḍsen lɣaci deg waman, Sidna Ɛisa yețwaɣḍes ula d nețța. Akken i gdeɛɛu ɣer Sidi Ṛebbi, igenni yeldi-d,
21Watu wote walipokuwa wamekwisha batizwa, Yesu naye alibatizwa. Na alipokuwa akisali, mbingu zilifunguka,
22Ṛṛuḥ iqedsen yers-ed fell-as s ṣṣifa icuban titbirt. Yiwet n taɣect tekka-d seg yigenni tenna-d : Kečč, d mmi eɛzizen, deg-k i gella lfeṛḥ-iw.
22na Roho Mtakatifu akamshukia akiwa na umbo kama la njiwa. Sauti ikasikika kutoka mbinguni: "Wewe ndiwe Mwanangu mpendwa, nimependezwa nawe."
23Mi gebda Sidna Ɛisa aselmed, ad yili yesɛa tlatin iseggasen di leɛmeṛ-is. ?er yemdanen yella : d mmi-s n Yusef atnan lejdud-is : Heli,
23Yesu alipoanza kazi yake hadharani, alikuwa na umri upatao miaka thelathini, na watu walidhani yeye ni mwana wa Yosefu, mwana wa Heli.
24Matta, Lewwi, Melki, Yennay, Yusef,
24Heli alikuwa mwana wa Mathati, mwana wa Lawi, mwana wa Melki, mwana wa Yanai, mwana wa Yosefu,
25Matatya, Ɛamus, Naḥun, ?esli, Naggay,
25mwana wa Matathia, mwana wa Amosi, mwana wa Nahumu, mwana wa Hesli, mwana wa Nagai,
26Maḥat, Matatya, Camɛi, Yusef, Yuda,
26mwana wa Maathi, mwana wa Matathia, mwana wa Shemeni, mwana wa Yoseki, mwana wa Yuda,
27Yuḥanan, Rica, Zurubabil, Calatyel, Niri,
27mwana wa Yohanani, mwana wa Resa, mwana wa Zerubabeli, mwana wa Shealtieli, mwana wa Neri,
28Melki, Addi, Qusam, Elmudan, Ɛir,
28mwana wa Melki, mwana wa Adi, mwana wa Kosamu, mwana wa Elmadamu, mwana wa Eri,
29Yusa, Elyazer, Yurim, Matta, Lewwi,
29mwana wa Yoshua, mwana wa Eliezeri, mwana wa Yorimu, mwana wa Mathati, mwana wa Lawi,
30Semɛun, Yahuda, Yusef, Yuna, Elyaqim,
30mwana wa Simeoni, mwana wa Yuda, mwana wa Yosefu, mwana wa Yonamu, mwana wa Eliakimu,
31Melya, Menna, Mattata, Natan, Dawed,
31mwana wa Melea, mwana wa Mena, mwana wa Matatha, mwana wa Nathani, mwana wa Daudi,
32Yassa, Ɛubed, Buɛaz, Salmun, Naḥsun,
32mwana wa Yese, mwana wa Obedi, mwana wa Boazi, mwana wa Salmoni, mwana wa Nashoni,
33Ɛaminadab, Admin, Aram, ?esṛun, Fares, Yahuda,
33mwana wa Aminadabu, mwana wa Admini, mwana wa Arni, mwana wa Hesroni, mwana wa Feresi, mwana wa Yuda,
34Yeɛqub, Isḥaq, Ibṛahim, Teraḥ, Naḥur,
34mwana wa Yakobo, mwana wa Isaka, mwana wa Abrahamu, mwana wa Tera, mwana wa Nahori,
35Saruǧ, Raɛu, Faleǧ, Ɛaber, Salaḥ,
35mwana wa Serugi, mwana wa Reu, mwana wa Pelegi, mwana wa Eberi, mwana wa Sala,
36Kenan, Arfaksad, Cam, Nuḥ, Lamek,
36mwana wa Kainani, mwana wa Arfaksadi, mwana wa Shemu, mwana wa Noa, mwana wa Lameki,
37Matusalaḥ, ?anux, Yared, Mahalalyel, Kenam,
37mwana wa Mathusala, mwana wa Henoki, mwana wa Yaredi, mwana wa Mahalaleli, mwana wa Kenani,
38Inuc, Cit, Adem illan d mmi-s n Ṛebbi.
38mwana wa Enosi, mwana wa Sethi, mwana wa Adamu, aliyekuwa wa Mungu.