1Walaɣ daɣen deg uweḥḥi nniḍen tawwurt n igenni teldi. Taɣect-nni yecban ṣṣut n lbuq iwumi sliɣ tikkelt tamezwarut, tenna-yi-d : Ali-d ɣer dagi a k-d-sekneɣ ayen ara yeḍrun sya ɣer zdat.
1Baada ya hayo nilitazama nikaona mlango umefunguliwa mbinguni. Na ile sauti niliyoisikia pale awali ambayo ilikuwa kama sauti ya tarumbeta, ikasema, "Njoo hapa juu nami nitakuonyesha mambo yatakayotukia baadaye."
2Imiren kan irfed-iyi Ṛṛuḥ n Sidi Ṛebbi. Walaɣ yiwen ukersi n lḥekma deg igenni, Win yeqqimen fell-as, yețfeǧǧiǧ am iɛeqcan ɣlayen iwumi qqaṛen azṛu n jasb akk-d sardwan. Tislit n wanẓar tezzi-yas-d i ukersi-nni n lḥekma tețfeǧǧiǧ am tizegzewt n wezṛu n zemṛud.
2Mara nikachukuliwa na Roho. Kumbe, huko mbinguni kuna kiti cha enzi na juu yake ameketi mmoja.
4Akersi-nni n lḥekma, zzin-as-d ṛebɛa uɛecrin ikursiyen nniḍen i ɣef qqimen ṛebɛa uɛecrin n lecyux yelsan llebsa tamellalt, sɛan ɣef yiqeṛṛay-nsen tiɛeṣṣabin n ddheb.
3Huyo aliyeketi juu yake alikuwa kama almasi na jiwe zuri jekundu. Upinde wa mvua ulikuwa unang'aa kama zumaridi na ulikizunguka kiti cha enzi pande zote.
5Seg ukersi-agi n lḥekma țeffɣen-d lebruq, tuɣac akk-d ṛṛɛud. Zdat-es ceɛlent sebɛa teftilin ireqqen yellan d sebɛa n Leṛwaḥ n Sidi Ṛebbi.
4Kulikuwa na duara la viti ishirini na vinne kukizunguka kiti cha enzi, na juu ya viti hivyo wazee ishirini na wanne walikuwa wameketi wamevaa mavazi meupe na taji za dhahabu vichwani.
6Zdat ukersi-nni, yella daɣen am akken d lebḥeṛ n djaj icuban ɣer wezṛu n lekristal. Di tlemmast-is akk-d leryuf-ines, bedden ṛebɛa lxuluq yeddren ččuṛen d allen ɣer zdat ɣer deffir.
5Umeme, sauti na ngurumo, vilikuwa vinatoka kwenye hicho kiti cha enzi. Taa saba za moto zilikuwa zinawaka mbele ya hicho kiti cha enzi. Taa hizo ni roho saba za Mungu.
7Lxelq amezwaru ițemcabi ɣer yizem, lxelq wi sin yecba agenduz, lxelq wis tlata yesɛa udem am win n wemdan, lxelq wis ṛebɛa icuba ɣer igider yețferfiren.
6Mbele ya kiti cha enzi kulikuwa na kitu kama bahari ya kioo, angavu kama jiwe linga'aalo sana. Katika pande zote za hicho kiti cha enzi na kukizunguka, kilikuwa na viumbe hai vinne. Viumbe hivyo vilikuwa vimejaa macho mbele na nyuma.
8Ṛebɛa lxuluq-nni mkul yiwen seg-sen yesɛa sețța wafriwen, yerna ččuṛen d allen s wadda s ufella, am yiḍ am ass ur țsusumen ara qqaṛen : D imqeddes, d imqeddes, d imqeddes i gella Yillu, Sidi Ṛebbi Bab n tezmert, Win yellan si tazwara, yellan ass-a, ara d-yasen !
7Kiumbe cha kwanza kulikuwa kama simba, cha pili kama ng'ombe, cha tatu kilikuwa na sura kama mtu, na cha nne kilikuwa kama tai anayeruka.
9Lxuluq-nni, mkul m'ara țcekkiṛen țḥemmiden Win yeqqimen ɣef wukersi n lḥekma, Win yeddren si lǧil ɣer lǧil,
8Viumbe hivyo vinne vilikuwa na mabawa sita kila kimoja, na vilikuwa vimejaa macho, ndani na nje. Usiku na mchana, bila kupumzika huimba: "Mtakatifu, mtakatifu, mtakatifu ni Bwana, Mungu Mwenye Uwezo, aliyekuwako, aliyeko na anayekuja!"
10ṛebɛa uɛecrin n lecyux-nni țseǧǧiden daɣen zdat-es, srusun tiɛeṣṣabin-nsen zdat Win yeddren, țɛebbiden-t qqaṛen :
9Kila mara viumbe vinne vilipoimba nyimbo za kumtukuza, kumheshimu na kumshukuru huyo aliyeketi juu ya kiti cha enzi, ambaye anaishi milele na milele,
11Tuklaleḍ a Sidi Ṛebbi Illu-nneɣ, tamanegt d ccan akk-d lḥekma, imi d kečč i d Bab n txelqit, kra yellan s lebɣi-k i d-yețwaxleq.
10wale wazee ishirini na wanne hujiangusha mbele ya huyo aliyeketi juu ya kiti cha enzi na kumwabudu huyo ambaye anaishi milele na milele; na huziweka taji zao mbele ya kiti cha enzi wakisema:
11"Wewe ni Bwana na Mungu wetu, unastahili utukufu na heshima na nguvu; maana wewe uliumba vitu vyote, na kwa matakwa yako kila kitu kimepewa uhai na uzima."