1Tada Jėzus vaikščiojo po Galilėją. Jis nenorėjo eiti Judėjon, nes žydai ieškojo progos Jį nužudyti.
1Baada ya hayo, Yesu alikuwa akitembea katika Galilaya. Hakutaka kutembea mkoani Yudea kwa sababu viongozi wa Wayahudi walikuwa wanataka kumwua.
2Artėjo žydų Palapinių šventė.
2Sikukuu ya Vibanda ya Wayahudi ilikuwa imekaribia.
3Jo broliai Jam kalbėjo: “Keliauk iš čia į Judėją, kad ir Tavo mokiniai pamatytų, kokius darbus darai.
3Basi ndugu zake wakamwambia, "Ondoka hapa uende Yudea ili wanafunzi wako wazione kazi unazozifanya.
4Juk, norėdamas iškilti viešumon, niekas neveikia slapčiomis. Jei darai tokius darbus, parodyk save pasauliui”.
4Mtu hafanyi mambo kwa siri kama anataka kujulikana kwa watu. Maadam unafanya mambo haya, basi, jidhihirishe kwa ulimwengu."
5(Mat netgi Jo broliai Juo netikėjo.)
5(Hata ndugu zake hawakumwamini!)
6Jėzus jiems atsakė: “Mano laikas dar neatėjo, o jums laikas visada tinkamas.
6Basi, Yesu akawaambia, "Wakati wangu ufaao haujafika bado. Lakini kwenu ninyi kila wakati unafaa.
7Pasaulis negali jūsų nekęsti, o manęs jis nekenčia, nes Aš liudiju, kad jo darbai pikti.
7Ulimwengu hauwezi kuwachukia ninyi, lakini mimi wanichukia kwa sababu mimi nauambia wazi kwamba matendo yake ni maovu.
8Jūs eikite į iškilmes. Aš į šitą šventę neisiu, nes mano laikas dar neatėjo”.
8Ninyi nendeni kwenye sikukuu hiyo. Mimi siendi kwenye sikukuu hiyo, maana saa yangu ifaayo haijafika."
9Tai jiems pasakęs, Jis pasiliko Galilėjoje.
9Alisema hayo kisha akabaki huko Galilaya.
10Bet kai Jo broliai iškeliavo į šventę, tada ir Jis išėjo, bet ne viešai, o tarsi slapčiomis.
10Baada ya ndugu zake kwenda kwenye sikukuu, Yesu naye alikwenda, lakini hakuenda kwa hadhara bali kwa siri.
11Tuo tarpu iškilmėse žydai Jo ieškojo, klausinėdami: “O kur Tas?”
11Viongozi wa Wayahudi walikuwa wanamtafuta kwenye sikukuu hiyo; Wakauliza: "Yuko wapi?"
12Apie Jį taip pat ėjo kalbos miniose. Vieni sakė: “Jis geras!” Kiti neigė: “Visai ne. Jis tik klaidina žmones”.
12Kulikuwa na minong'ono mingi katika umati wa watu. Baadhi yao walisema, "Ni mtu mwema." Wengine walisema, "La! Anawapotosha watu."
13Tačiau nė vienas apie Jį viešai nekalbėjo, nes bijojo žydų.
13Hata hivyo hakuna mtu aliyethubutu kusema, habari zake hadharani kwa kuwaogopa viongozi wa Wayahudi.
14Šventei įpusėjus, Jėzus atėjo į šventyklą ir ėmė mokyti.
14Sikukuu hiyo ilipofikia katikati, Yesu naye alikwenda Hekaluni, akaanza kufundisha.
15Žydai stebėjosi ir sakė: “Iš kur Jis žino raštą, visai nesimokęs?”
15Basi, Wayahudi wakashangaa na kusema "Mtu huyu amepataje elimu naye hakusoma shuleni?"
16Jėzus jiems atsakė: “Mano mokslas ne iš manęs, bet iš To, kuris mane siuntė.
16Hapo Yesu akawajibu, "Mafundisho ninayofundisha si yangu, bali ni yake yeye aliyenituma.
17Kas nori vykdyti Jo valią, supras, ar tas mokymas iš Dievo, ar Aš kalbu iš savęs.
17Mtu anayependa kufanya yale anayotaka Mungu, atajua kama mafundisho yangu yametoka kwa Mungu, au mimi najisemea tu mwenyewe.
18Kas iš savęs kalba, ieško sau šlovės. O kuris ieško Jo siuntėjo šlovės, Tas teisus, ir nėra Jame neteisybės”.
18Yeye anayejisemea tu mwenyewe anatafuta sifa yake mwenyewe; lakini anayetafuta sifa ya yule aliyemtuma, huyo ni mwaminifu, na ndani yake hamna uovu wowote.
19“Argi Mozė nedavė jums Įstatymo? Tačiau niekas iš jūsų Įstatymo nesilaiko. Kodėl gi norite mane nužudyti?”
19Je, Mose hakuwapeni Sheria? Hata hivyo, hakuna hata mmoja wenu anayeishika Sheria. Kwa nini mnataka kuniua?"
20Žmonės atsiliepė: “Tu turi demoną! Kas gi nori tave nužudyti?”
20Hapo watu wakamjibu, "Una wazimu wewe! Nani anataka kukuua?"
21Jėzus jiems atsakė: “Aš padariau tik vieną darbą, ir jūs visi nustebote.
21Yesu akawajibu, "Kuna jambo moja nililofanya, nanyi mnalistaajabia.
22Mozė jums davė apipjaustymą, nors jis kilęs ne iš Mozės, bet iš protėvių,ir jūs apipjaustote žmogų per sabatą.
22Mose aliwapeni ile desturi ya kutahiri. (Si kwamba desturi hiyo ilitoka kwa Mose, bali ilitoka kwa mababu). Sasa ninyi humtahiri mtu hata siku ya Sabato.
23Jei žmogus apipjaustomas sabato dieną, kad nebūtų sulaužytas Mozės Įstatymas, tai kodėl pykstate ant manęs, kad Aš visą žmogų pagydžiau per sabatą?
23Ikiwa basi, mtu hutahiriwa hata siku ya Sabato kusudi Sheria ya Mose isivunjwe, mbona mnanikasirikia kwa sababu nimemfanya mtu kuwa mzima kabisa siku ya Sabato?
24Tad neteiskite pagal išorę, bet teiskite teisingai”.
24Msihukumu mambo kwa nje tu; toeni hukumu ya haki."
25Kai kurie Jeruzalės gyventojai klausinėjo: “Ar tik ne šitą nori nužudyti?
25Baadhi ya watu wa Yerusalemu walisema, "Je, yule mtu wanayemtafuta wamuue si huyu?
26Štai Jis viešai kalba, ir niekas Jam nieko nesako. Gal vyresnybė įsitikino, jog Jis iš tiesų Kristus?
26Tazameni sasa! Anawaonya hadharani, wala hakuna mtu anayemwambia hata neno. Je, yawezekana kuwa viongozi wametambua kweli kwamba huyu ndiye Kristo?
27Tačiau mes žinome, iš kur šis yra. O kai ateis Kristus, niekas nežinos, iš kur Jis”.
27Kristo atakapokuja hakuna mtu atakayejua mahali alikotoka, lakini sisi tunajua alikotoka mtu huyu!"
28Tuomet Jėzus, mokydamas šventykloje, šaukė: “Jūs pažįstate mane ir žinote, iš kur Aš. Ne pats nuo savęs Aš atėjau, bet teisingas yra Tas, kuris mane siuntė, o jūs Jo nepažįstate.
28Basi, Yesu alipokuwa anafundisha Hekaluni alipaaza sauti na kusema, "Ati mnanijua; hata nilikotoka mnakujua! Hata hivyo, sikuja kwa mamlaka yangu mwenyewe; ila yeye aliyenituma mimi ni wa kweli, nanyi hamumjui.
29Aš Jį pažįstu, nes Aš esu iš Jo, ir Jis mane pasiuntė”.
29Lakini mimi namjua kwa sababu nimetoka kwake, naye ndiye aliyenituma."
30Tada jie norėjo Jėzų suimti, bet nė vienas nepakėlė prieš Jį rankos, nes dar nebuvo atėjusi Jo valanda.
30Basi, watu wakataka kumtia nguvuni, lakini hakuna mtu aliyethubutu kumkamata kwa sababu saa yake ilikuwa haijafika bado.
31Bet daugelis iš minios įtikėjo Jį ir kalbėjo: “Argi atėjęs Kristus padarytų daugiau ženklų, kaip kad šis yra padaręs?”
31Wengi katika ule umati wa watu walimwamini, wakasema, "Je, Kristo akija atafanya ishara kubwa zaidi kuliko alizozifanya huyu?"
32Fariziejai išgirdo žmones šitaip kalbant apie Jį, ir aukštieji kunigai bei fariziejai pasiuntė sargybinius Jį suimti.
32Mafarisayo waliwasikia watu wakinong'ona maneno hayo juu ya Yesu. Basi, wao pamoja na makuhani wakuu wakawatuma walinzi wamtie nguvuni.
33Tuomet Jėzus jiems pasakė: “Dar trumpą laiką būsiu su jumis. Paskui iškeliausiu pas Tą, kuris mane siuntė.
33Yesu akasema, "Bado niko nanyi kwa muda mfupi, kisha nitamwendea yule aliyenituma.
34Jūs manęs ieškosite ir nerasite; ir ten, kur Aš būsiu, jūs negalėsite nueiti”.
34Mtanitafuta lakini hamtaniona, maana pale nitakapokuwa ninyi hamwezi kufika."
35Tuomet žydai ėmė kalbėtis tarp savęs: “Kurgi Jis žada keliauti, kad mes negalėsime Jo rasti? Gal Jis rengiasi išvykti pas išsisklaidžiusius tarp graikų ir mokyti graikus?
35Viongozi wa Wayahudi wakasema wao kwa wao, "Mtu huyu atakwenda wapi ambapo hatutaweza kumpata? Atakwenda kwa Wayahudi waliotawanyika kati ya Wagiriki, na kuwafundisha Wagiriki?
36Ką reiškia tie Jo žodžiai: ‘Jūs manęs ieškosite ir nerasite; ir ten, kur Aš būsiu, jūs negalėsite nueiti’?”
36Ana maana gani anaposema: Mtanitafuta lakini hamtanipata, na mahali nitakapokuwa ninyi hamwezi kufika?"
37Paskutinę, didžiąją šventės dieną Jėzus stovėjo ir šaukė: “Jei kas trokšta, teateina pas mane ir tegeria!
37Siku ya mwisho ya sikukuu hiyo ilikuwa siku maalum. Yesu alisimama, akasema kwa sauti kubwa, "Aliye na kiu na aje kwangu anywe.
38Kas mane tiki, kaip Raštas sako, iš jo vidaus plūs gyvojo vandens upės”.
38Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: Anayeniamini mimi, mito ya maji yenye uzima itatiririka kutoka moyoni mwake!"
39Jis kalbėjo apie Dvasią, kurią turės gauti Jį įtikėjusieji. Mat Šventoji Dvasia dar nebuvo nužengusi, nes Jėzus dar nebuvo pašlovintas.
39(Alisema hayo kumhusu Roho ambaye wale waliomwamini yeye watampokea. Wakati huo Roho alikuwa hajafika kwa sababu Yesu alikuwa hajatukuzwa bado.)
40Išgirdę tuos žodžius, daugelis iš minios sakė: “Jis iš tiesų pranašas!”
40Baadhi ya watu katika ule umati walisikia maneno hayo, wakasema, "Kweli mtu huyu ndiye yule nabii!"
41Kiti tvirtino: “Jis Kristus!” Dar kiti prieštaravo: “Nejaugi Kristus ateitų iš Galilėjos?
41Wengine wakasema, "Huyu ndiye Kristo!" Lakini wengine walisema, "Je, yawezekana Kristo akatoka Galilaya?
42Argi Raštas nesako, jog Kristus ateis iš Dovydo palikuonių, iš Betliejaus miestelio, iš kur kilo Dovydas?”
42Maandiko Matakatifu yasemaje? Yanasema: Kristo atatoka katika ukoo wa Daudi, na atazaliwa Bethlehemu, mji wa Daudi!"
43Taigi minioje dėl Jo kilo nesutarimas.
43Basi, kukatokea mafarakano juu yake katika ule umati wa watu.
44Kai kurie norėjo Jį suimti, bet nė vienas nepakėlė prieš Jį rankos.
44Baadhi ya watu walitaka kumtia nguvuni lakini hakuna aliyejaribu kumkamata.
45Sargybiniai sugrįžo pas aukštuosius kunigus bei fariziejus, o tie klausė: “Kodėl Jo neatvedėte?”
45Kisha wale walinzi wakarudi kwa makuhani wakuu na Mafarisayo; nao wakawauliza, "Kwa nini hamkumleta?"
46Sargybiniai atsakė: “Niekados žmogus nėra taip kalbėjęs, kaip šis!”
46Walinzi wakawajibu, "Hakuna mtu aliyepata kamwe kusema kama asemavyo mtu huyu!"
47Fariziejai atsakė: “Gal ir jūs jau suvedžioti?
47Mafarisayo wakawauliza, "Je, nanyi pia mmedanganyika?
48Ar tiki Jį bent vienas iš vyresnybės ar fariziejų?
48Je, mmekwisha mwona hata mmoja wa viongozi wa watu, au mmoja wa Mafarisayo aliyemwamini?
49O ta minia, nežinanti Įstatymo,prakeikta”.
49Lakini umati huu haujui Sheria ya Mose; umelaaniwa!"
50Tada prabilo vienas iš jų, Nikodemas, kuris buvo aplankęs Jėzų nakčia:
50Mmoja wao alikuwa Nikodemo ambaye hapo awali alikuwa amemwendea Yesu. Basi, yeye akawaambia,
51“Argi mūsų Įstatymas teisia žmogų, jeigu jis pirmiau neišklausytas ir nežinoma, ką jis padaręs?”
51"Je, Sheria yetu humhukumu mtu kabla ya kumsikia kwanza na kujua anafanya nini?"
52Jie jam tarė: “Gal ir tu iš Galilėjos? Patyrinėk, ir pamatysi, kad joks pranašas nėra kilęs iš Galilėjos”.
52Nao wakamjibu, "Je, wewe pia umetoka Galilaya? Haya, kayachunguze Maandiko Matakatifu nawe utaona kwamba Galilaya hakutoki kamwe nabii!"
53Ir taip išsiskirstė kiekvienas po namus.
53Basi, wote wakaondoka, kila mtu akaenda zake;