Lithuanian

Swahili: New Testament

Luke

10

1Po to Viešpats paskyrė dar kitus septyniasdešimt mokinių ir išsiuntė juos po du, kad eitų pirma Jo į visus miestus bei vietoves, kur Jis pats ketino vykti.
1Baada ya hayo, Bwana aliwachagua wengine sabini na wawili, akawatuma wawiliwawili, wamtangulie katika kila kijiji na mahali ambapo yeye mwenyewe alitaka kwenda.
2Jis sakė jiems: “Pjūtis tikrai didelė, o darbininkų maža. Todėl melskite pjūties Viešpatį, kad atsiųstų darbininkų į savo pjūtį.
2Akawaambia, "Mavuno ni mengi, lakini wavunaji ni wachache. Kwa hivyo, mwombeni mwenye shamba atume wavunaji shambani mwake.
3Eikite! Štai Aš siunčiu jus lyg avinėlius tarp vilkų.
3Sasa nendeni; fahamuni kwamba ninawatuma ninyi kama kondoo wanaokwenda kati ya mbwa mwitu.
4Nesineškite nei piniginės, nei krepšio, nei sandalų ir nieko kelyje nesveikinkite.
4Msichukue mfuko wa fedha, mkoba, wala viatu; msimsalimu mtu yeyote njiani.
5Į kuriuos tik namus užeisite, pirmiausia tarkite: ‘Ramybė šiems namams!’
5Mkiingia katika nyumba yoyote, kwanza wasalimuni hivi: Amani iwe katika nyumba hii!
6Ir jei ten bus ramybės sūnus, jūsų ramybė nužengs ant jo, o jei ne,­sugrįš pas jus.
6Kama akiwako mwenye kupenda amani, amani yenu itakaa naye, la sivyo, itawarudieni.
7Pasilikite tuose namuose, valgykite ir gerkite, kas duodama, nes darbininkas vertas savo užmokesčio. Nesikilnokite iš namų į namus.
7Kaeni katika nyumba hiyo mkila na kunywa wanavyowapeni, maana mfanyakazi anastahili mshahara wake. Msiende mara nyumba hii mara nyumba ile.
8Kai nueisite į kurį nors miestą ir jus priims, valgykite, kas bus jums padėta.
8Kama mkifika mji fulani na watu wakiwakaribisha, kuleni wanavyowapeni.
9Gydykite jame esančius ligonius ir sakykite jiems: ‘Jums prisiartino Dievo karalystė!’
9Ponyeni wagonjwa walioko huko, waambieni watu: Ufalme wa Mungu umekaribia kwenu.
10O kai užeisite į tokį miestą, kur jūsų nepriims, išėję į gatves, sakykite:
10Lakini mkiingia katika mji wowote, wasipowakaribisheni, tokeni; nanyi mpitapo katika barabara zao semeni:
11‘Mes nusikratome prieš jus net jūsų miesto dulkes, prilipusias prie mūsų kojų. Tačiau vis tiek žinokite: Dievo karalystė prisiartino prie jūsų!’
11Hata mavumbi ya mji wenu yaliyoshikamana na miguu yetu tunawakung'utieni. Lakini, jueni kwamba Ufalme wa Mungu umekaribia.
12Sakau jums: aną dieną Sodomai bus lengviau negu tam miestui.
12Hakika nawaambieni, siku ile mji huo utapata adhabu kubwa zaidi kuliko ile ya watu wa Sodoma.
13Vargas tau, Chorazine! Vargas tau, Betsaida! Jeigu Tyre ir Sidone būtų padaryta stebuklų, kokie padaryti pas jus, jie seniai būtų atgailavę, sėdėdami su ašutine ir pelenuose.
13"Ole wako Korazini! Ole wako Bethsaida! Maana, kama miujiza iliyofanyika kwenu ingalifanyika kule Tiro na Sidoni, watu wake wangalikwishavaa mavazi ya gunia kitambo, na kukaa katika majivu kuonyesha kwamba wametubu.
14Todėl Tyrui ir Sidonui teisme bus lengviau negu jums.
14Hata hivyo, Siku ya Hukumu ninyi mtapata adhabu kubwa zaidi kuliko ile ya watu wa Tiro na Sidoni.
15Ir tu, Kafarnaume, išaukštintas iki dangaus, nugarmėsi iki pragaro!
15Na wewe Kafarnaumu, unataka kujikweza mpaka mbinguni? La; utaporomoshwa mpaka Kuzimu."
16Kas jūsų klauso, manęs klauso. Kas jus niekina, mane niekina. O kas niekina mane, niekina Tą, kuris mane siuntė”.
16Halafu akasema, "Anayewasikiliza ninyi, ananisikiliza mimi; na anayekataa kuwapokea ninyi, anakataa kunipokea mimi. Yeyote anayekataa kunipokea, anakataa kumpokea yule aliyenituma."
17Septyniasdešimt sugrįžo, su džiaugsmu kalbėdami: “Viešpatie, mums paklūsta net demonai dėl Tavo vardo”.
17Baadaye, wale sabini na wawili walirudi wamejaa furaha, wakisema, "Bwana, hata pepo wametutii tulipolitaja jina lako."
18O Jis jiems sakė: “Mačiau šėtoną, kaip žaibą krintantį iš dangaus.
18Yeye akawaambia, "Nilimwona Shetani jinsi alivyokuwa anaporomoka kama umeme kutoka mbinguni.
19Štai Aš duodu jums valdžią mindžioti gyvates bei skorpionus, aukštesnę už visą priešo jėgą, ir niekas jokiais būdais jums nepakenks.
19Naam, nimewapeni uwezo wa kukanyaga nyoka na ng'e, na uwezo juu ya nguvu zote za yule adui; hakuna chochote kitakachowadhuru.
20Bet jūs džiaukitės ne tuo, kad dvasios jums pavaldžios; džiaukitės, kad jūsų vardai įrašyti danguje”.
20Hata hivyo, msifurahi kwa sababu pepo wamewatii, bali furahini kwa sababu majina yenu yameandikwa mbinguni."
21Tą valandą Jėzus pradžiugo Dvasia ir tarė: “Aš šlovinu Tave, Tėve, dangaus ir žemės Viešpatie, kad paslėpei tai nuo išmintingųjų ir gudriųjų, o apreiškei mažutėliams. Taip, Tėve, nes Tau taip patiko.
21Saa ileile, Yesu akafurahi kwa uwezo wa Roho Mtakatifu, akasema, "Nakushukuru ee Baba, Bwana wa mbingu na dunia, kwa kuwa umewaficha wenye hekima na elimu mambo haya, ukawafumbulia wadogo. Naam, Baba, ndivyo ilivyokupendeza."
22Viskas man yra mano Tėvo atiduota. Ir niekas nežino, kas yra Sūnus, tik Tėvas, nei kas yra Tėvas, tik Sūnus ir tas, kam Sūnus nori apreikšti”.
22Kisha akasema, "Baba yangu ameweka yote mikononi mwangu. Hakuna amjuaye Mwana ni nani ila Baba, wala amjuaye Baba ni nani ila Mwana, na yeyote yule ambaye Mwana anataka kumfunulia hayo."
23Atsigręžęs vien tik į mokinius, Jis tarė: “Palaimintos akys, kurios regi, ką jūs regite.
23Halafu akawaelekea wafuasi wake akawaambia, "Heri wanaoona yale mnayoyaona ninyi!
24Sakau jums: daugel pranašų ir karalių troško pamatyti, ką jūs matote, bet nepamatė, ir išgirsti, ką jūs girdite, bet neišgirdo”.
24Hakika, manabii na wafalme walitamani kuona yale mnayoyaona ninyi wasiyaone, na kusikia yale mnayoyasikia wasiyasikie."
25Štai atsistojo vienas Įstatymo mokytojas ir, mėgindamas Jį, paklausė: “Mokytojau, ką turiu daryti, kad paveldėčiau amžinąjį gyvenimą?”
25Baadaye mwalimu mmoja wa Sheria alisimama akamwuliza akitaka kumtega, "Mwalimu, nifanye nini ili nipate uzima wa milele?"
26Jis tarė: “O kas parašyta Įstatyme? Kaip skaitai?”
26Yesu akamwuliza, "Imeandikwa nini katika Sheria? Unaelewaje?"
27Tas atsakė: “ ‘Mylėk Viešpatį, savo Dievą, visa savo širdimi, visa savo siela, visomis savo jėgomis ir visu savo protu, ir savo artimą kaip save patį’ ”.
27Akamjibu, "Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote, kwa nguvu zako zote na kwa akili yako yote. Na, mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe."
28Jėzus jam tarė: “Gerai atsakei. Tai daryk, ir gyvensi”.
28Yesu akawaambia, "Vema! Fanya hivyo, nawe utaishi."
29Norėdamas pateisinti save, anas paklausė Jėzų: “O kas gi mano artimas?”
29Lakini yeye akitaka kujihakikishia kuwa mwema akamwuliza Yesu, "Na jirani yangu ni nani?"
30Jėzus atsakydamas tarė: “Vienas žmogus keliavo iš Jeruzalės į Jerichą ir pakliuvo į plėšikų rankas. Tie išrengė jį, sumušė ir nuėjo sau, palikdami pusgyvį.
30Yesu akamjibu, "Mtu mmoja alikuwa anashuka kutoka Yerusalemu kwenda Yeriko. Alipokuwa njiani, alivamiwa na majambazi, wakamnyang'anya mali yake na kumpiga, wakamwacha amelala pale nusu mfu.
31Atsitiktinai tuo pačiu keliu ėjo vienas kunigas ir, pamatęs jį, praėjo kita kelio puse.
31Kumbe, kuhani mmoja akawa anapita barabara ileile, akamwona, akapita kando.
32Taip pat ir levitas, pro tą vietą eidamas, jį pamatė ir praėjo kita kelio puse.
32Hali kadhalika na Mlawi mmoja, alipofika mahali akamwona, akapita kando.
33O vienas samarietis keliaudamas užtiko jį ir pasigailėjo.
33Lakini Msamaria mmoja aliyekuwa anasafiri, alifika pale yule mtu alipokuwa, naye alipomwona, alimwonea huruma.
34Priėjęs jis aprišo jo žaizdas, užpildamas aliejaus ir vyno, užkėlė ant savo gyvulio, nugabeno į užeigą ir slaugė jį.
34Akamwendea, akamtibu majeraha yake kwa kumtia mafuta na divai; na kuyafunga halafu akampandisha juu ya punda wake akampeleka katika nyumba moja ya wageni akamuuguza.
35Kitą dieną iškeliaudamas jis išsiėmė du denarus, padavė užeigos šeimininkui ir tarė: ‘Slaugyk jį, o jeigu ką išleisi viršaus, sugrįžęs atsilyginsiu’.
35Kesho yake akatoa fedha dinari mbili akampa yule mwenye nyumba, akamwambia, Muuguze mtu huyu; na chochote utakachotumia zaidi, nitakulipa nitakaporudi."
36Kas iš šitų trijų tau atrodo buvęs artimas patekusiam į plėšikų rankas?”
36Kisha Yesu akauliza, "Kati ya hao watatu, ni yupi aliyeonyesha kuwa jirani yake yule aliyevamiwa na majambazi?"
37Jis atsakė: “Tas, kuris jo pasigailėjo”. Jėzus jam tarė: “Eik ir tu taip daryk!”
37Yule mwalimu wa Sheria akamjibu, "Ni yule aliyemwonea huruma." Yesu akamwambia, "Nenda ukafanye vivyo hivyo."
38Jiems keliaujant toliau, Jėzus užsuko į vieną kaimą. Ten viena moteris, vardu Morta, pakvietė Jį į savo namus.
38Walipokuwa safarini, waliingia katika kijiji kimoja na mwanamke mmoja, aitwaye Martha, alimkaribisha nyumbani kwake.
39Ji turėjo seserį, vardu Marija. Ši, atsisėdusi prie Viešpaties kojų, klausėsi Jo žodžių.
39Martha alikuwa na dada yake aitwaye Maria; huyu aliketi karibu na Yesu akisikiliza mafundisho yake.
40O Morta rūpinosi visokiu patarnavimu ir stabtelėjusi pasiskundė: “Viešpatie, Tau nerūpi, kad sesuo palieka mane vieną patarnauti? Pasakyk jai, kad man padėtų”.
40Lakini Martha alikuwa anashughulika na mambo mengi. Basi, akamwendea Yesu, akamwambia, "Bwana, hivi hujali kwamba dada yangu ameniacha nishughulike peke yangu? Mwambie basi, anisaidie."
41Tačiau Viešpats atsakė: “Morta, Morta, tu rūpiniesi ir nerimauji dėl daugelio dalykų,
41Lakini Bwana akamjibu, "Martha, Martha, unahangaika na kusumbuka kwa mambo mengi.
42o tereikia vieno. Marija išsirinko geriausiąją dalį, kuri nebus iš jos atimta”.
42Kitu kimoja tu ni muhimu. Maria amechagua kitu bora zaidi ambacho hakuna mtu atakayemnyag'anya."