1Men Ånden sier med tydelige ord at i de kommende tider skal nogen falle fra troen, idet de holder sig til forførende ånder og djevlers lærdommer
1Roho asema waziwazi kwamba siku za baadaye watu wengine wataitupilia mbali imani; watazitii roho danganyifu na kufuata mafundisho ya pepo.
2ved hykleri av falske lærere, som er brennemerket i sin egen samvittighet,
2Mafundisho ya namna hiyo yanaenezwa na watu waongo wadanganyifu, ambao dhamiri zao ziko kama zimechomwa kwa chuma cha moto.
3som forbyder å gifte sig og byder å avholde sig fra mat, den Gud har skapt til å nytes med takk av dem som tror og har lært sannheten å kjenne.
3Watu hao hufundisha kwamba ni makosa kuona na pia kula vyakula fulani. Lakini Mungu aliviumba vyakula hivyo, ili wale walio waumini na ambao wanapata kuujua ukweli, wavitumie kwa shukrani.
4For all Guds skapning er god, og intet er å forkaste når det mottas med takk;
4Kila kitu alichoumba Mungu ni chema, wala hakuna kinachohitaji kukataliwa, bali vyote vipokelewe kwa sala ya shukrani,
5for det helliges ved Guds ord og bønn.
5kwa sababu neno la Mungu na sala hukifanya kitu hicho kikubalike kwa Mungu.
6Når du lærer brødrene dette, da er du en god Kristi Jesu tjener, idet du nærer dig med troens og den gode lærdoms ord som du har fulgt.
6Kama ukiwapa ndugu wote maagizo haya, utakuwa mtumishi mwema wa Kristo Yesu, ukijiendeleza kiroho kwa maneno ya imani na mafundisho ya kweli, ambayo wewe umeyafuata.
7Men vis fra dig de vanhellige og kjerringaktige eventyr; øv dig derimot i gudsfrykt!
7Lakini achana na hadithi zile zisizo za kidini na ambazo hazina maana. Jizoeshe kuishi maisha ya uchaji wa Mungu.
8For den legemlige øvelse er nyttig til lite, men gudsfrykten er nyttig til alt; den har løfte for det liv som nu er, og for det som kommer.
8Mazoezi ya mwili yana faida yake, lakini mazoezi ya kiroho yana faida za kila namna, maana yanatuahidia uzima katika maisha ya sasa, na pia hayo yanayokuja.
9Det er et troverdig ord og fullt verd å motta.
9Usemi huo ni wa kusadikika kabisa na unastahili kukubaliwa.
10For derfor arbeider vi og lider hån, fordi vi har satt vårt håp til den levende Gud, som er alle menneskers frelser, mest deres som tror.
10Sisi tunajitahidi na kufanya kazi kwa bidii kwani tumemwekea tumaini letu Mungu aliye hai ambaye ni Mwokozi wa watu wote, na hasa wale wanaoamini.
11Dette skal du byde og lære.
11Wape maagizo hayo na mafundisho hayo.
12La ingen forakte dig for din ungdoms skyld, men vær et forbillede for de troende, i tale, i ferd, i kjærlighet, i tro, i renhet!
12Usikubali mtu yeyote akudharau kwa sababu wewe ni kijana, lakini jitahidi uwe mfano kwa wanaoamini: katika usemi wako, mwenendo wako, upendo, imani na maisha safi.
13Legg vinn på oplesningen av Skriften, på formaningen, på læren, inntil jeg kommer!
13Tumia wakati wako na juhudi yako katika kusoma hadharani Maandiko Matakatifu, kuhubiri na kufundisha, mpaka nitakapokuja.
14Vanskjøtt ikke den nådegave som er i dig, som blev dig gitt ved profetiske ord med håndspåleggelse av de eldste.
14Usiache kukitumia kile kipaji cha Kristo ndani yako ulichopewa kwa maneno ya manabii na kwa kuwekewa mikono na wazee.
15Tenk på dette, lev i dette, forat din fremgang kan bli åpenbar for alle!
15Fikiri kwa makini juu ya hayo yote na kuyatekeleza kusudi maendeleo yako yaonekane na wote.
16Gi akt på dig selv og på læren, hold ved med det! for når du det gjør, da skal du frelse både dig selv og dem som hører dig.
16Angalia sana mambo yako mwenyewe, na mafundisho yako. Endelea kufanya hayo maana ukifanya hivyo utajiokoa mwenyewe na wale wanaokusikiliza.