1Derfor, da vi har denne tjeneste, eftersom vi har fått miskunn, så taper vi ikke motet;
1Basi, Mungu, kwa huruma yake, ametukabidhi kazi hii na hivyo hatufi moyo.
2men vi har sagt oss løs fra alle skammelige snikveier og farer ikke frem med list, heller ikke forfalsker vi Guds ord, men ved å kunngjøre sannheten anbefaler vi oss til alle menneskers samvittighet for Guds åsyn.
2Tumeyaacha kabisa mambo yote ya aibu na ya kisirisiri. Hatuishi tena kwa udanganyifu, wala kwa kulipotosha neno la Mungu; bali tunaudhihirisha ukweli kwa kuufanya ukweli, na hivyo kujiweka chini ya uamuzi wa dhamiri za watu mbele ya Mungu.
3Er da enn vårt evangelium skjult, så er det skjult blandt dem som går fortapt,
3Maana, kama Habari Njema tunayohubiri imefichika, imefichika tu kwa wale wanaopotea.
4i hvem denne verdens gud har forblindet de vantros sinn, forat lyset fra evangeliet om Kristi herlighet, han som er Guds billede, ikke skal skinne for dem.
4Hao hawaamini kwa sababu yule mungu wa ulimwengu huu amezitia giza akili zao wasipate kuuona wazi mwanga wa Habari Njema ya utukufu wa Kristo, ambaye ni mfano kamili wa Mungu.
5For vi forkynner ikke oss selv, vi forkynner Kristus Jesus som Herre, oss derimot som eders tjenere for Jesu skyld.
5Maana hatujitangazi sisi wenyewe, ila tunamhubiri Yesu Kristo aliye Bwana, sisi wenyewe tukiwa watumishi wenu kwa ajili ya Yesu.
6For Gud, som bød at lys skulde skinne frem av mørke, han er den som også har latt det skinne i våre hjerter, forat kunnskapen om Guds herlighet i Jesu Kristi åsyn skulde stråle frem fra oss.
6Mungu ambaye alisema, "Mwanga na uangaze kutoka gizani," ndiye mwenye kuiangaza mioyo yetu, na kutupatia mwanga wa ujuzi wa utukufu wa Mungu uangazao katika uso wa Kristo.
7Men vi har denne skatt i lerkar, forat den rike kraft skal være av Gud og ikke av oss,
7Basi, sisi tulio na hazina hii tuko tu kama vyombo vya udongo, ili ionekane wazi kwamba nguvu hiyo kuu yatoka kwa Mungu wala si kwetu sisi wenyewe.
8idet vi alltid er i trengsel, men ikke kuet, tvilende, men ikke mistvilende,
8Daima twapata taabu, lakini hatugandamizwi; twapata mashaka, lakini hatukati tamaa;
9forfulgt, men ikke opgitt, nedslått, men ikke tilintetgjort -
9twateseka, lakini hatuachwi bila msaada; na ingawa tumeangushwa chini, hatukuangamizwa.
10alltid bærende Jesu død med oss i legemet, forat også Jesu liv skal åpenbares i vårt legeme.
10Kila wakati tumekuwa tukichukua mwilini mwetu kifo cha Kristo, ili uhai wake Yesu pia udhihirike katika miili yetu.
11For ennu mens vi lever, overgis vi stadig til døden for Jesu skyld, forat også Jesu liv skal åpenbares i vårt dødelige kjød.
11Naam, katika maisha yetu yote tunakabiliwa na kifo daima kwa ajili ya Yesu, ili uzima wake Yesu udhihirike katika miili yetu inayokufa.
12Således er da døden virksom i oss, men livet i eder.
12Hii ina maana kwamba ndani yetu kifo kinafanya kazi, lakini ndani yenu uhai unafanya kazi.
13Men eftersom vi har den samme troens Ånd - efter det som er skrevet: Jeg trodde, derfor talte jeg - så tror vi og, derfor taler vi og,
13Maandiko Matakatifu yasema: "Niliamini, ndiyo maana nilinena." Nasi pia, tukiwa na moyo huohuo wa imani, tunaamini, na kwa sababu hiyo twanena.
14for vi vet at han som opvakte den Herre Jesus, skal også opvekke oss med Jesus og stille oss frem sammen med eder.
14Tunajua kwamba yule aliyemfufua Bwana Yesu atatufufua sisi pia pamoja na Yesu na kutuweka mbele yake pamoja nanyi.
15For det skjer alt sammen for eders skyld, forat nåden kan utbrede sig til dess flere og virke rikelig takksigelse til Guds ære.
15Yote haya ni kwa faida yenu; ili kama vile neema ya Mungu inavyoenea kwa watu wengi zaidi na zaidi vivyo hivyo watu wengi zaidi watoe shukrani nyingi kwa utukufu wa Mungu.
16Derfor taper vi ikke motet, men om og vårt utvortes menneske går til grunne, så fornyes dog det innvortes dag for dag.
16Kwa sababu hiyo hatufi moyo; na hata kama maumbile yetu ya nje yataoza, lakini kwa ndani tunafanywa wapya siku kwa siku.
17For vår trengsel, som er kortvarig og lett, virker for oss en evig fylde av herlighet i overmål på overmål,
17Taabu tunayopata ni kidogo, tena ya muda tu: lakini itatupatia utukufu upitao matazamio yote, utukufu ambao hauna mwisho.
18såsom vi ikke har det synlige for øie, men det usynlige; for det synlige er timelig, men det usynlige evig
18Hivyo tunatazamia kwa makini si vitu vinavyoonekana, bali visivyoonekana. Maana vinavyoonekana ni vya muda tu; lakini vile visivyoonekana ni vya milele.