1Huan, unaute aw, khalam thilpiak thute jaw na theih louh uh ka ut kei hi.
1Ndugu, kuhusu vipaji vya kiroho, napenda mfahamu vizuri mambo haya:
2Jentelte na hih lai un bangchidan peuha honpi lai un leng, huai milim pautheiloute lamah pi mangin na om uh chih na thei uhi.
2Mnajua kwamba, kabla ya kuongoka kwenu, mlitawaliwa na kupotoshwa na sanamu tupu.
3Huaijiakin, kuamahin, Pathian Khaa thugenin, Jesu jaw hamsiatin om hen, a chi ngei kei uh; huan, kuamahin, Kha Siangthou kia loungalin, Jesu jaw Toupa ahi, a chi ngei kei uh chih kon theisak ahi.
3Basi, jueni kwamba mtu yeyote anayeongozwa na Roho wa Mungu hawezi kusema: "Yesu alaaniwe!" Hali kadhalika, mtu yeyote hawezi kusema: "Yesu ni Bwana," asipoongozwa na Roho Mtakatifu.
4Huan, thilpiak tuamtuam a oma, Kha bel kikhat ahi.
4Vipaji vya kiroho ni vya namna nyingi, lakini Roho avitoaye ni mmoja.
5Nasepna tuamtuam leng a om, himahleh Toupa bel khat ahi.
5Kuna namna nyingi za kutumikia, lakini Bwana anayetumikiwa ni mmoja.
6Nasepsakna tuamtuam leng a om, ahihhangin Pathian bel khat ahi – mi tengtenga bangkim sempa tuh.
6Kuna namna mbalimbali za kufanya kazi ya huduma, lakini Mungu ni mmoja, anayewezesha kazi zote katika wote.
7Himahleh phattuam chiatna dingin Kha theihsakna michih kianga piak chiat ahi.
7Kila mtu hupewa mwangaza wa Roho kwa faida ya wote.
8Mi khat kiangah, khain pilna thu a pia hi; midang kiangah, huai kha mahin theihna thu a pia hi;
8Roho humpa mmoja ujumbe wa hekima, na mwingine ujumbe wa elimu apendavyo Roho huyohuyo.
9Huan, midang kianga, huai kha mah-in, ginna a pia hi; midang kiangah hihdam theihna a pia hi;
9Roho huyohuyo humpa mmoja imani, na humpa mwingine kipaji cha kuponya;
10Midang kiangah thillamdang hihtheihna, midang kiangah tugen theihna, midang kiangah khate theihkak theihna, midang kiangah pau chi tuamtuamte, midang kiangah paute hilhchetna.
10humpa mmoja kipaji cha kufanya miujiza, mwingine kipaji cha kusema ujumbe wa Mungu, mwingine kipaji cha kubainisha vipaji vitokavyo kwa Roho na visivyo vya Roho; humpa mmoja kipaji cha kusema lugha ngeni, na mwingine kipaji cha kuzifafanua.
11Himahleh, hiaite tengteng Kha khat leh akikhat mahin, mi chih kiangah a deih bang jela hawm chiatin a sem jel hi.
11Hizo zote ni kazi za Roho huyohuyo mmoja, ambaye humpa kila mtu kipaji tofauti, kama apendavyo mwenyewe.
12Pumpi i chih khat ahia, hiang a neia, pumpi hiangte tengteng, tam mahle uh, pumpi khat ahi ngala; Kris tuh huchibangmah ahi hi.
12Kama vile mwili ulivyo mmoja wenye viungo vingi, na viungo hivyo vyote--ingawaje ni vingi--hufanya mwili mmoja, ndivyo ilivyo pia kwa Kristo.
13I vek un pumpi khata om dingin Kha khata baptisin i omta ua – Judate hiam, Griskte hiam, sikhate hiam sikhalou hiam- huan i vek un Kha khat akipan dawnsakin i omta ngal ua.
13Maana sisi, tukiwa Wayahudi au watu wa mataifa mengine, watumwa au watu huru, sote tumebatizwa kwa Roho mmoja katika mwili huo mmoja; na sote tukanyweshwa Roho huyo mmoja.
14Pumpi i chih hiang khat kia ahi ngal keia, hiang tampi ahi jaw.
14Mwili hauna kiungo kimoja tu, bali una viungo vingi.
15Khepekin, khut ka hih louh jiakin pumpia pang ka hi kei, chileh, huai thu jiakin pumpia panglou ahi tuan kei.
15Kama mguu ungejisemea: "Kwa kuwa mimi si mkono, basi mimi si mali ya mwili", je, ungekoma kuwa sehemu ya mwili? La hasha!
16Huan, bilin, mit ka hih louh jiakin pumpia pang ka hi kei, chileh, huai thu jiakin pumpia panglou ahi tuan kei.
16Kama sikio lingejisemea: "Kwa vile mimi si jicho, basi mimi si mali ya mwili", je, kwa hoja hiyo lingekoma kuwa sehemu ya mwili? La!
17Pumpi tengteng mit hi vek leh, ging jakna pen koiah a om dia? A vekin ging jakna hileh, gim jakna pen koiah a om dia?
17Kama mwili wote ungekuwa jicho, sikio lingekuwa wapi? Na kama mwili wote ungekuwa sikio, mtu angewezaje kunusa?
18Himahleh Pathianin hiang khempeuh pumpi ah a utna peuh ah a omsak chiatta hi.
18Lakini kama ilivyo, Mungu alizipanga sehemu hizo tofauti katika mwili kama alivyopenda.
19Huchiin, huai tengteng hiang khat kia hileh, pumpi pen koi ah a om dia?
19Kama sehemu zote zingekuwa kiungo kimoja, mwili ungekuwa wapi?
20Ahihhangin hiang tampi ahi jaw uh, himahleh, pumpi khat kia ahi ngal ua.
20Ukweli ni kwamba, sehemu za mwili ni nyingi, lakini mwili ni mmoja.
21Huan, mitin, khut kiangah, Bangmahin kon deih kei, a chi theikei; luin leng khepekte kiangah, Bangmahin kon deih kei, a chi thei sam kei hi.
21Basi, jicho haliwezi kuuambia mkono: "Sikuhitaji wewe", wala kichwa hakiwezi kuiambia miguu: "Siwahitaji ninyi."
22Ahi, huchih naksangin, pumpi hiang hat dia kilawm loupente a kiphamoh zo mahmah uhi;
22Zaidi ya hayo, inaonekana kwamba sehemu zile za mwili zinazoonekana kuwa ni dhaifu ndizo zilizo muhimu zaidi.
23Huchiin, pumpi hiang pahtawi tham louh jawa i sehte, huaite ngei tuh i pahtawi jaw uhi; huan, i hiang kilawm louten kilawmna thupijaw a mu jel uhi;
23Tena, viungo vile tunavyovifikiria kuwa havistahili heshima kubwa, ndivyo tunavyovitunza kwa uangalifu zaidi; viungo vya mwili ambavyo havionekani kuwa vizuri sana, huhifadhiwa zaidi,
24I hiang kilawm ten bel huchibang a hih a kiphamoh kei uhi. Pathianin, kilawmna neilou hiang tuh pahtawi zopenin, pumpi tuh a lemkhawm zo ngala,
24ambapo viungo vingine havihitaji kushughulikiwa. Mungu mwenyewe ameuweka mwili katika mpango, akakipa heshima zaidi kiungo kile kilichopungukiwa heshima,
25Huchia pumpia kikhenna himhim omloua, ahiangten kibang taka a kibuaipih tuah theih jawkna ding un.
25ili kusiweko na utengano katika mwili bali viungo vyote vishughulikiane.
26Huchiin, hiang khatin a thuak leh, hiang tengtengin a thuak pih jela, hiang khat pahtawia a om leh, hiang tengtengin a kipahpih jel hi.
26Kama kiungo kimoja kinaumia viungo vyote huumia pamoja nacho. Kiungo kimoja kikisifiwa viungo vingine vyote hufurahi pamoja nacho.
27Huchiin noute Kris pumpi pen na hi ua, ahiangte na hi chiat lai uhi.
27Basi, ninyi nyote ni mwili wa Kristo; kila mmoja wenu ni kiungo cha mwili huo.
28Huan, Pathianin khenkhat saptuam lakah a honkoiha – a khatna ah sawltakte, a nihna ah thugenmite, a thumna ah heutute a koiha; huai nungin thillamdang hihte a oma; huai nungin hihdam theihna thilpiakte, panpih theihna thilpiakte, vaihawm siamna thilpiakte, pautheihlouh chi tuamtuama thugen theihna thilpiakte a om nawn hi.
28Mungu ameweka katika kanisa: kwanza mitume, pili manabii, tatu walimu; kisha ameweka wale wenye kipaji cha kufanya miujiza, kuponya, kusaidia; viongozi na wenye kusema lugha ngeni.
29A vek un sawltak ahi vek uhia? A vek un thugenmi ahi vek uhia? A vek un heutu ahi vek uhia?
29Je, wote ni mitume? Wote ni manabii? Wote ni walimu? Wote ni wenye kipaji cha kufanya miujiza?
30A vek un thillamdang hihmi ahi vek uhia? A vek un hihdim theihna thilpiakte a nei vek uhia? A vek un pautheihlouhtein thu a gen vek uhia?A vek un thuhilhchianmi ahi vek u hia? Thilpiak thupipen te lunggulh mahmah jaw un. Huan, lampi hoih sem ka honensak ding hi.
30Je, wote ni wenye kipaji cha kuponya? Wote ni wenye kipaji cha kusema lugha ngeni? Je, wote hufafanua lugha?
31A vek un thuhilhchianmi ahi vek u hia? Thilpiak thupipen te lunggulh mahmah jaw un. Huan, lampi hoih sem ka honensak ding hi.
31Muwe basi, na tamaa ya kupata vipaji muhimu zaidi. Nami sasa nitawaonyesheni njia bora zaidi kuliko hizi zote.