Paite

Swahili: New Testament

1 Corinthians

14

1Itna delh jel unla, khalam thilpiakte leng lunggulh ngitnget un, ahihhangin thu na gen theihna ding uhouh lunggulh sem un.
1Jitahidini kuwa na upendo. Vilevile fanyeni bidii ya kupata vipaji vingine vya kiroho, hasa kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu.
2Pau theihlouh a pau in mi kianga thugen hilouin, Pathian kianga gen ahi jaw hi, kuamahin lah a thugen a theikei a; himahleh, kha ah thu guk a gen ahi.
2Mwenye kunena lugha ngeni hasemi na watu bali anasema na Mungu. Yeye hunena kwa nguvu ya Roho mambo yaliyofichika.
3Thu gen miin bel mihing kiangah bawlhoihna thute, hasotna thute, khamuanna thute a gen zo jel hi.
3Lakini mwenye kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu, husema na watu kwa ajili ya kuwajenga, kuwafariji na kuwatia moyo.
4Pau theihloua pau tuh amah kia a kibawl hoih a, thugenmin bel saptuamte a bawlhoih jaw hi.
4Mwenye kunena lugha ngeni anajijenga mwenyewe. Lakini mwenye kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu, analijenga kanisa.
5Huan, na vek un pau theihloutea na pau uh kon deihsaka, himahleh thu na gen uh kon deih sak sem ahi; saptuamten kibawl hoihna a muh theihna ding un a hilhchet nawn ngal keileh thugenmi jaw pau theihlouhtea pau mi sangin a thupi zo himhim ahi.
5Basi, ningependa ninyi nyote mseme kwa lugha ngeni lakini ningependelea hasa muwe na kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu, maana mtu mwenye kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu, ni wa maana zaidi kuliko yule mwenye kusema lugha ngeni, isipokuwa tu kama yupo hapo mtu awezaye kuyafafanua hayo mambo asemayo, ili kanisa lipate kujengwa.
6Tuin, unaute aw, pau theihlouhtea thugenin na kiang uah hongleng, theihsakna lam hiam, thugenna lam hiam, thuhilhna lam hiam na kiang ua ka gen kei ngal leh, bang ahia ka honhih phattuamna ding om?
6Hivyo, ndugu zangu, kama nikija kwenu na kusema nanyi kwa lugha ngeni itawafaa nini? Haitawafaa chochote, isipokuwa tu kama nitawaelezeni ufunuo wa Mungu au ujuzi fulani au ujumbe wa Mungu au mafundisho fulani.
7Thil, hinna neilou, gingtheite leng, tamngai hiam, kaihging hiam, gen neia a gin kei leh, bang la ahia a tum ua a kaih uh bang chin a theihtheih dia?
7Ndivyo ilivyo kwa vyombo visivyo na uhai vyenye kutoa sauti kama vile filimbi au kinanda. Je, mtu anawezaje kuutambua wimbo unaochezwa kama vyombo hivyo havitoi sauti waziwazi vinapopigwa?
8Pengkul gen neiloua a mut un kua ahia galkap dinga kisa ding?
8La mgambo likilia bila kufuata taratibu zake, nani atajiweka tayari kwa vita?
9Huchi mahbangin nou leng pautheih baihlama na gen kei uleh, bangthu ahia na gen uh bangchin a theihtheih dia? Huihkhuaa pau lel na hi kei ding ua hia?
9Hali kadhalika na ninyi, kama ulimi wenu hausemi kitu chenye kueleweka, nani ataweza kufahamu mnayosema? Maneno yenu yatapotea hewani.
10Khovel ah pau chi tuamtuam tampi a om thama, himahleh gen neilou himhim a om kei hi.
10Zipo lugha mbalimbali ulimwenguni, na hakuna hata mojawapo isiyo na maana.
11A pauin a gen ka theih kei leh a genmi adingin kei tuh melmak ka hi dinga; a genmi leng keia dingin melmak mah ahi ding.
11Lakini ikiwa mimi sifahamu maana ya lugha asemayo mtu fulani, mimi ni mgeni kwake mtu huyo naye pia ni mgeni kwangu.
12Huchiin, nou leng khalam thilpiakte tunga saptuamte bawl hoihna dia na hauh theihna ding un zong un.
12Hali kadhalika na ninyi, maadam mna hamu ya kupata vipaji vya Roho, jitahidini hasa kujipatia vile vinavyosaidia kulijenga kanisa.
13Huaijiakin pau theihlouha thugenin a hilhchettheihna din thum hen.
13Kwa hiyo, mwenye kunena lugha ngeni na aombe apate uwezo wa kuzifafanua.
14Pau theihloua ka thum leh, ka khain jaw a thum ngei a, ka theihna bel a phatuam tuan kei.
14Maana, nikisali kwa lugha ngeni roho yangu ndiyo inayosali, lakini akili yangu hubaki bure.
15Bang chin a hita dia leh? Khain ka thum dia, theihtheihnain leng ka thum ding; khain la kasa dia, theihtheihnain leng la kasa ding hi.
15Nifanye nini, basi? Nitasali kwa roho yangu, nitasali pia kwa akili yangu; nitaimba kwa roho yangu, nitaimba pia kwa akili yangu.
16Hichilou injaw, khain vualjawl mah lechin, theinailouten na kipahthugen ah bangchin ahia, Amen, a chih theih ding, na thugen theithei lou piin?
16Ukimsifu Mungu kwa roho yako tu, atawezaje mtu wa kawaida aliye katika mkutano kuitikia sala yako ya shukrani kwa kusema: "Amina," kama haelewi unachosema?
17Nang jaw kipahthu na gen hoih ngial taka, midang bel a bawlhoih tuan kei hi.
17Sala yako ya shukrani yaweza kweli kuwa bora, lakini huyo mwingine haitamfaidia.
18Noumau tengteng sikin pau theihlouhtea thu ka gen tam jawk jiakin Pathian kiangah kipahthu ka gen a:
18Namshukuru Mungu kwamba mimi nasema kwa lugha ngeni zaidi kuliko ninyi nyote.
19Himahleh, saptuamte kikhopnaah pau theihlouha thu sing khat gen sangin, midangte ka hilh theihna dingin ka theihtheihnain thu nga kia gen ka ut jaw ahi.
19Lakini katika mikutano ya waumini napendelea zaidi kusema maneno matano yenye kueleweka ili niwafundishe wengine, kuliko kusema maneno elfu ya lugha ngeni.
20Unaute aw, ngaihtuahna lamah naupang kei un; himahleh, gilou lamah jaw naungek unla, lungsim lamah piching un.
20Ndugu, msiwe kama watoto katika fikira zenu. Kuhusu uovu muwe kama watoto wachanga lakini katika kufikiri ni lazima muwe kama watu waliokomaa.
21Dan laibu ah, Pau theihlouh mite kamin leh, gam dang a mite mukin, hiai mite kiangah thu ka gen dinga; huchiin leng a honngai khe tuan kei ding uh, Toupan achi, chih gelh ahi.
21Imeandikwa katika Sheria: "Bwana asema hivi: Kwa njia ya wenye kunena lugha ngeni, na kwa midomo ya wageni, nitasema na watu hawa, hata hivyo, hawatanisikiliza."
22Huaijiakin pau theihlouhte jaw gingtate din chiamtehna ahi keia, gingloute din ahi jaw, thugen bel gingloute a din chiamtehna ahi keia, gingta te dingin ahi jaw.
22Hivyo basi, kipaji cha kusema lugha ngeni ni ishara, si kwa ajili ya watu wenye imani, bali kwa ajili ya wale wasioamini; lakini kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu ni kwa ajili ya wale wanaoamini na si kwa ajili ya wasioamini.
23Huaijiakin, saptuam tengteng kikhawm a, na vek ua, pau theihlouhtea na pau uleh, thei nailoute hiam, gingloute hiam honglut le uh, ahai uh honchi kei ding ua hiam?
23Basi, kanisa lote linapokutana pamoja, na wote wakaanza kusema kwa lugha ngeni, kama wakija watu wa kawaida au wasioamini, je, hawatasema kwamba ninyi mna wazimu?
24Na vek ua thu na gen uleh tuh, ginglou hiam, thei nailou hiam honglut leh a siamlouhdan na vek ua hihlat ahita ding; a lungtang thugukte hihlatin a omta dia:
24Lakini, wote wakiwa wanautangaza ujumbe wa Mungu, akija mtu wa kawaida au asiyeamini, yote atakayosikia yatamhakikishia ubaya wake mwenyewe; yote atakayosikia yatamhukumu.
25Huchiin leisiin Pathian chibai a buk dinga, Pathian na lak uah a om taktak chih a gen ding hi.
25Siri za moyo wake zitafichuliwa, naye atapiga magoti na kumwabudu Mungu akisema: "Kweli Mungu yupo pamoja nanyi."
26Unaute aw, bang chih ding a hita dia leh? Na hongkikhop un, phatna la hiam, thu kihilh hiam, theihsakna thu hiam, pau theihlouh hiam, hilhchetna hiam na nei chiat jel ua. Bangkim bawlhoihna dingin hih hi hen.
26Ndugu, tuseme nini, basi? Mnapokutana pamoja, mmoja aimbe wimbo, mwingine atoe mafundisho, mwingine awe na ufunuo kutoka kwa Mungu, mwingine atumie kipaji cha kusema kwa lugha ngeni na mwingine afafanue yanayosemwa. Yote yawe kwa ajili ya kulijenga kanisa.
27Kuapeuhin pau theihlouha thu a gen uleh, nihin hiam, a tampenin thumin hiam hi leh, kikhel jel inleng hi hen.
27Wakiwepo watu wenye vipaji vya kusema kwa lugha ngeni, waseme wawili au watatu, si zaidi, tena mmojammoja; na aweko mtu wa kufafanua yanayosemwa.
28Huan, mi khatin hilhchian hen; hilhchianmi a om keileh saptuamte kikhopna ah daiin om henla, amah leh Pathian kiangah gen hen.
28Lakini kama hakuna awezaye kufafanua, basi, mwenye kusema lugha ngeni anyamaze mkutanoni, aseme na nafsi yake mwenyewe na Mungu.
29Thugen miin leng, nihin hiam, thumin hiam, gen uhenla, midangten hoihtakin ngaihtuah uhen.
29Kuhusu wale wenye kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu, waseme wawili au watatu, na wengine wayapime maneno yao.
30Ahihhangin, a kianga tu midang kiangah theihsakna thupiak a na om leh, a masapen dai mai hen.
30Ikiwa mmoja anaposema mwingine wa wasikilizaji amepata ufunuo kutoka kwa Mungu, basi, yule anayesema anyamaze.
31Mi tengteng in a theihtheihna ding uleh, mi tengteng khamuanga a om theihna ding un, na vek un khatkhatin thu na gen thei ngal ua.
31Maana nyote mwaweza kutangaza ujumbe wa Mungu, mmoja baada ya mwingine, ili nyote mpate kujifunza na kutiwa moyo.
32Thugenmite khate thugenmite thu thuin a om uh ahi;
32Kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu ni lazima kitawaliwe na huyo mwenye hicho kipaji.
33Pathian tuh buaina Pathian ahi keia, lemna Pathian ahi zo ngala. Mi siangthou saptuam pawl tengtenga om bangin,
33Maana Mungu si Mungu wa fujo, ila wa amani.
34Saptuamte kikhopna ah numei dai dindenin om uheh; amau jaw a thugen uh phal ahi ngal keia; Danlaibuin a gen mahbangin, thumangin om jaw uheh.
34Kama ilivyo desturi katika makanisa yote ya watu wa Mungu, wanawake wakae kimya katika mikutano ya waumini. Hawana ruhusa kusema; ila wawe watii kama isemavyo Sheria.
35Huan, bangpeuh a theih nop uleh in lamah amau pasalte dong uhen; saptuamte kikhopnaa numei thugen jaw a zumhuai ngala.
35Ikiwa wanayo maswali ya kuuliza, wawaulize waume zao nyumbani, maana ni aibu kwa mwanamke kusema katika mikutano ya waumini.
36Bang ahia? Pathian thu noumau laka pawt ahi maw? Ahihkeileh, noumau kiang kia a hongtung ahi maw?
36Je, mnadhani neno la Mungu limetoka kwenu ninyi au kwamba limewajieni ninyi peke yenu?
37Kuapeuh thugenmi hiam, kha mi hiam a kisak leh, na kiang ua ka gelh Toupa thupiak ahi chih a theih ding ahi.
37Kama mtu yeyote anadhani kwamba yeye ni mjumbe wa Mungu au kwamba anacho kipaji cha Roho, na ajue kwamba haya ninayowaandikia ninyi ni amri ya Bwana.
38Himahleh kuapeuhin hiai a theih kei leh, amah leng theih ahi kei.
38Lakini mtu asiyetambua hayo, basi, mtu asimjali mtu huyo.
39Huaijiakin, ka unaute aw, thugen jaw lunggulh ngial unla, pau theihlouhte a thugen leng kham kei un;Himahleh bangkim kilawm tak leh diktaka hih hi hen.
39Hivyo basi, ndugu zangu, mnapaswa kuwa na hamu ya kutangaza ujumbe wa Mungu; lakini msimkataze mtu kusema kwa lugha ngeni.
40Himahleh bangkim kilawm tak leh diktaka hih hi hen.
40Lakini yote yafanyike kwa heshima na kwa utaratibu.