1Unaute aw, na lak ua, ka lutna uh ana thawnta kei chih noumau mahin na thei ngal ua;
1Ndugu, ninyi wenyewe mnafahamu kwamba ziara yetu kwenu haikuwa bure.
2A thawn hih naksangin, huai malamin, na theihsa bangun, Philippi khua ah gimthuak leh zumhuai taka bawla ka om nungun, dalna thupitak lakah leng Pathian tanchin hoih na kiang ua gen dingin ka Pathian uah hangsanna ka nei jaw uhi.
2Mnajua jinsi tulivyodhulumiwa na kutukanwa kule Filipi kabla ya kufika kwenu Thesalonike. Ingawa kulikuwa na upinzani mwingi, Mungu wetu alitujalia uhodari wa kuwahubirieni Habari Njema yake.
3Ka thugen uh juaua pawt ahi ngal keia, sianlouhnaa suak leng ahi keia, zekhemnain leng ahi sam keia;
3Jambo tunalosisitiza kwenu si jambo linalotegemea uongo au nia mbaya; wala hatupendi kumdanganya mtu yeyote.
4Tanchin hoih kepsaka om dinga Pathian hoihsak mi ka hih bang ngei un, mihing hihkipak ding bang hiloua ka lungtang uh zeetpa Pathian hih kipak jawin, thu ka gen jel uh ahi jaw hi.
4Sisi twanena daima kama atakavyo Mungu kwani yeye alituona kwamba tunafaa, akatukabidhi hii Habari Njema. Si nia yetu kuwapendeza watu hata kidogo, bali twataka kumpendeza Mungu ambaye anajua mioyo yetu mpaka ndani.
5Chiklai peuh inleng kimaitang phatna thu hiam, huaiham khuhmangna ding thu hiam ka zong ngei kei uh chih na thei uh; Pathian hontheihpihpa ahi.
5Ninyi mnajua kwamba sisi hatukuja kwenu na maneno matamu ya kubembeleza wala hatukutumia maneno ya kijanja ya kuficha ubinafsi fulani; Mungu ni shahidi!
6Kris sawltak ka hih jiakun mi adingin chimtakhuaipi hi thei mah le ung, mihing lakah-nou lakah leh midangte lakah leng, pahtawina ka zong ngei sam kei uhi.
6Hatukutafuta sifa kutoka kwa watu, wala kutoka kwenu, wala kutoka kwa mtu yeyote,
7Nu naupom, amah tate hawmthoh taka kem bangin, na lakuah nunnem takin ka om jaw uhi.
7ingawa sisi tukiwa mitume wa Kristo, tungeweza kudai mambo fulani kwenu. Lakini sisi tulikuwa Wapole kati yenu kama alivyo mama kwa watoto wake.
8Huchiin, ittaka nou kon lunggulh tuntun jiakun, Pathian tanchin hoih kia hilou-in, koumau hinna leng honpiak hial ka ut mahmah uhi.
8Tuliwapenda ninyi sana hata tukawa tayari kuwashirikisha si tu Habari Njema ya Mungu, bali pia na maisha yetu. Ndivyo mlivyokuwa wapenzi wetu!
9Unaute aw, ka sep tawl dan u leh ka sepgim dan uh na theigige uhi; na lak uah kuamah ka suktuailuai louhna ding un, sun leh jana nasemin, Pathian tanchinhoih nou ka honhilh uhi.
9Ndugu, mnakumbuka jinsi tulivyofanya kazi na kutaabika. Tulipowaleteeni Habari Njema ya Mungu tulifanya kazi mchana na usiku kusudi tusiwe mzigo kwa mtu yeyote miongoni mwenu.
10Nou gingtate tunga siangthou tak leh diktak leh dembeia ka omdan uh a hontheihpihte na hi uhi, huan, Pathian leng.
10Ninyi mnaweza kushuhudia, na Mungu pia ni shahidi, jinsi mwenendo wetu kati yenu ninyi mnaoamini ulivyokuwa mzuri, mwadilifu na usio na lawama.
11Na theih mah bangun, Pain amah tate tunga ahih banga hasuan leh khamuanin nou kontheisak uh,
11Mnajua kwamba sisi tulimtendea kila mmoja wenu kama vile baba anavyowatendea watoto wake mwenyewe.
12Amah gam leh thupinaa nou honsamlutpa Pathian mi hi dia kilawmhima na hin theihna dingun.
12Tuliwapeni moyo, tuliwafarijini na kuwahimiza ili mpate kuishi maisha yampendezayo Mungu ambaye aliwaiteni mshiriki Utawala na utukufu wake.
13Hiai jiakin tawp louin Pathian kiangah kipahthu ka gengen uhi, Pathian thu koumau akipana na muh uh, na san lai un leng, mihing thu sang bangin na sang kei ua; Pathian thu ahihna bangtaka na san jawk jiak un; huai tuh Pthiana ahi hima, gingta mi noumau sunga sem jel mah ahi.
13Tena tunayo sababu nyingine ya kumshukuru Mungu: tulipowaleteeni ujumbe wa Mungu, ninyi mliusikia mkaupokea, si kama vile ujumbe wa binadamu, bali kama ujumbe wa Mungu, na kweli ndivyo ulivyo. Maana Mungu anafanya kazi ndani yenu ninyi mnaoamini.
14Nou, unaute aw, Juda gama Pathian saptuam pawl Kris Jesua omte juite na nahi ua, amau tuh Judate laka thuak bang un, nou leng noumau gam mite lakah na thuak sam ngal ua.
14Ndugu, ninyi mmepatwa na mambo yaleyale yaliyoyapata makanisa ya Mungu kule Yudea, mambo yaliyowapata watu walio wake Kristo Yesu. Ninyi mlidhulumiwa na wananchi wenzenu kama vile wao walivyodhulumiwa na wenzao Wayahudi,
15Huai Judaten tuh Toupa Jesu leh jawlneite leng a that ua, kou leng a hondelh khia ua, Pathian a sulungkim kei ua, mi tengteng a kalh nak uhi;
15ambao walimuua Bwana Yesu na manabii, wakatutesa na sisi pia. Watu hao wanamchukiza Mungu, tena ni adui za kila mtu!
16Hotdam a hih theihna ding ua Jentelte kiang a thugen a honkham ua, a khelhna uh hih dim gige dingin; himahleh, thangpaihna tuh a khawk theihtawpin a tunguah a hontungta hi.
16Hata walijaribu kutuzuia kuwahubiria watu wa mataifa mengine ujumbe utakaowaletea wokovu. Ndivyo walivyokamilisha orodha ya dhambi zote walizotenda siku zote. Lakini sasa hasira ya Mungu imewaangukia.
17Ahihhangin, unaute aw, sawtlou kala dia noumau toh lungtang lama kikhen loua, pumpi lam kiaa kikhena i om takdih jiakin, kilawp taka na mel uh mu dingin ka pang sansan uhi.
17Ndugu, kuachana kwetu nanyi kulikuwa kwa muda tu, tena kuachana huko kulikuwa kwa mwili tu na si kwa roho. Kitambo kifupi baadaye, tulishikwa na hamu kubwa ya kuwaoneni tena!
18Na kiang ua hongpai ka tum chiltel ngal ua. Kei Paula ngei inleng nihvei tak hongpai ka natuma, himahleh Setanin a hondal nak ahi.
18Kwa hiyo tuliamua kuwatembeleeni tena. Nami, Paulo, nilijaribu kuja kwenu zaidi ya mara moja, lakini Shetani alituzuia.
19Ka lametna u hiam, ka kipahna u hiam, ka lallukhu suan u hiam bang ahia leh? A hongpai chiangin i Toupa Jesu maah noumau mah na hi kei ding ua hia?Nou khawngmah ka suan uh leh ka kipahna uh na hi uhi.
19Je, tutakaposimama mbele ya Bwana Yesu wakati atakapokuja, fahari ya ushindi wetu itakuwa nini? Itakuwa ni ninyi wenyewe; ninyi ndio tumaini letu na furaha yetu.
20Nou khawngmah ka suan uh leh ka kipahna uh na hi uhi.
20Naam, ninyi ni utukufu wetu na furaha yetu!