Paite

Swahili: New Testament

Ephesians

2

1Nou leng na tatlekna uleh na khelhnate uh jiaka si na hih lai un a honhihhinga;
1Ninyi mlikuwa mmekufa kwa sababu ya makosa na dhambi zenu.
2Huaite ah, tumalamin hiai khoveldan bangin na naom ua, huihkhuaa thuneihna lal, tua thumanglou tate sunga sem lelpa kha dan bangin.
2Wakati ule mliishi kufuatana na mtindo mbaya wa ulimwengu huu, mkawa mnamtii mtawala wa pepo wenye nguvu wa anga, pepo ambao huwatawala sasa watu wasiomtii Mungu.
3Huai thumanglou tate lakah eite leng tumalamin sa duhgawlna hihin, i sa utnate bangin i om vek ua, midangte bangmahin thangpaihna taa piang him i hi uhi.
3Na hata sisi sote tulikuwa kama wao; tuliishi kufuatana na tamaa zetu za kidunia na kufanya tu mambo yale yaliyoipendeza miili na akili zetu. Kidunia, sisi kama vile pia wao, tulistahili ghadhabu ya Mungu.
4Himahleh, Pathianin hehpihna hauin a honitna thupitak jiakin,
4Lakini Mungu ni mwenye huruma nyingi. Alitupenda kwa mapendo yasiyopimika,
5Tatleknate jiaka si i hih hilhial laiin leng, Kris toh a honhihhinga (hehpihnaa hotdam na hita uh),
5hata, ingawa tulikuwa tumekufa kwa sababu ya dhambi, alitufanya hai pamoja na Kristo. Kwa neema ya Mungu ninyi mmeokolewa.
6Kris Jesu ah amah toh a honkaithou-a van munte ah amah kiangah a hontusak hi:
6Kwa kuungana na Kristo Yesu, Mungu alitufufua pamoja naye, tukatawale pamoja naye mbinguni.
7Huchia hun hong tung ding te khawnga, Kris Jesu-a i tunga migitna neia, a hehpihna nak hauhdan tuh a etsak theihna dingin.
7Ndivyo alivyopenda kuonyesha kwa watu wa nyakati za baadaye, ukuu wa neema yake aliyotujalia kwa ukarimu katika kuungana kwetu na Kristo Yesu.
8Ginna jiaka hehpihnaa hotdam na hi ngalua; huai leng noumaua suak ahi keia, Pathian thawnpiak ahi;
8Maana, kwa neema ya Mungu mmekombolewa kwa njia ya imani. Jambo hili si matokeo ya juhudi zenu, bali ni zawadi ya Mungu.
9Thilhih jiak ahi kei, huchilou injaw min a suang kha ding uhi.
9Wala halitokani na matendo yenu wenyewe, asije mtu akajivunia kitu.
10Thil hoih hih dingin Kris Jesu ah siamna omin, amah khut suak i hi ngalua; huai thil hoih hih tuh i khosakdan dingin Pathianin a bawlkhol ahi.
10Sisi ni viumbe vyake Mungu, na kwa kuungana na Kristo Yesu, alituumba kwa ajili ya kuishi maisha ya matendo mema aliyotutayarishia tuyatende.
11Huaijiakin, tumalama nou saa Jentelte, saa khuta sum, zeksum, a chihteun zeksumlouh, honchihte u aw,
11Ninyi mlio kwa asili watu wa mataifa mengine--mnaoitwa, "wasiotahiriwa" na Wayahudi ambao hujiita, "Waliotahiriwa," (kwa sababu ya kile wanachoifanyia miili yao) --kumbukeni mlivyokuwa zamani.
12Huchihlaiin, Kris lou-in Isrealte khua-leh-tui toh kimidangin khovel ah lametna neilou leh Pathian lou-a omin, thuchiam thukhun lakah mikhualin na om uh chih thei gige un.
12Wakati ule ninyi mlikuwa bila Kristo; mlikuwa nje ya jamii ya Israeli; mlikuwa wageni na hamkuwa na sehemu yoyote katika lile agano la zile ahadi. Mlikuwa bila matumaini Mungu hapa duniani.
13Tun bel, Kris Jesu ah nou nidanglaia gamlapia omte, Kris sisana hihnaiin na hongomta uhi.
13Lakini sasa, kwa kuungana na Kristo Yesu, ninyi ambao hapo awali mlikuwa mbali, mmekaribishwa kwa njia ya damu yake Kristo.
14Amah tuh i kilemna ahi ngala; aman ei nihte tuh khata siamin i kikala kimelmakna banglai tuh a hihchimta,
14Maana Kristo mwenyewe ametuletea amani kwa kuwafanya Wayahudi na watu wa mataifa mengine kuwa jamii moja. Kwa mwili wake yeye mwenyewe aliubomoa ule ukuta uliowatenganisha na kuwafanya maadui.
15Thusehte leh dan thupiakte a saa hihmangin; huchia nihte tuh Amaha mihing thak khata siama kilemna a bawl theihna dingin;
15Aliiondoa ile Sheria ya Wayahudi pamoja na amri zake na kanuni zake, ili kutokana na jamii hizo mbili aumbe jamii moja mpya katika umoja naye na hivyo kuleta amani.
16Huan, kros jiaka nihte tuh pumpi khata Pathian toh honkilemsak theiha, kimelmakna a beisak theihna dingin.
16Kwa mwili wake, Kristo aliuangamiza uadui wao; kwa msalaba wake aliziunganisha jamii hizo kuwa moja na kuzipatanisha na Mungu.
17Huan, a hongpaiin, nou gamlapia omte kiangah lemna tanchin hoih honhilha, naichika omte kiangah leng lemna tanchin hoih a hilh sam hi.
17Basi, Kristo alikuja akahubiri Habari Njema ya amani kwenu ninyi watu wa mataifa mengine mliokuwa mbali na Mungu, na pia kwa Wayahudi ambao walikuwa karibu na Mungu.
18Amah jiakin Kha kibanga Pa kiang lut theihna i nei tuaktuak uhi.
18Hivyo, kwa njia yake, sisi sote, Wayahudi na watu wa mataifa mengine, tunaweza kumwendea Baba katika Roho mmoja.
19Huchiin, tun tuh zin leh leng na hi nawnta kei ua, misiangthoute toh tualsung khat leh Pathian inkuanpihte na hi zota uhi.
19Basi, ninyi si wageni tena, wala si watu wa nje; ninyi ni raia pamoja na watu wa Mungu, na ni watu wa jamaa ya Mungu.
20Kris Jesu ngei tuh a ninga suang kiphamoh pen hiin, sawltakte leh jawlneite suangphum tunga lam na hi uhi;
20Mmejengwa juu ya msingi uliowekwa na mitume na manabii, naye Kristo mwenyewe ndiye jiwe kuu la msingi.
21Amahah tuh suang lep tuam chiat, kituak tak a suktuahin, Toupa ah temple siangthou a suak hi;Noute leng amah ah, Khaa Pathian omna ding huaia lep khawm na hi uhi.
21Yeye ndiye mwenye kulitengeneza jengo lote na kulikuza hata liwe hekalu takatifu kwa ajili ya B wana.
22Noute leng amah ah, Khaa Pathian omna ding huaia lep khawm na hi uhi.
22Katika kuungana naye, ninyi pia mnajengwa pamoja na wote wengine, muwe makao ya Mungu kwa njia ya Roho wake.