1Huan, ginna tuh thil lamette om ngeia theihna, thil muhlouhte theihchetna ahi.
1Kuwa na imani ni kuwa na hakika ya mambo tunayotumainia; kusadiki kabisa mambo tusiyoyaona.
2Huaiah tuh nidanglai miten phat aloh ngal ua.
2Maana wazee wa kale walipata kibali cha Mungu kwa sababu ya imani yao.
3Ginnain khovelte tuh Pathian thu a suktuah a hita chih I thei ua, huchiin thil muh theihte leng thil langtheitea siam ahi kei hi.
3Kwa imani sisi tunafahamu kwamba ulimwengu uliumbwa kwa neno la Mungu; vitu vinavyoonekana kutoka vitu visivyoonekana.
4Ginnain Abelin Kaina sangin kithoihna hoihjaw Pathian kiangah a lana, huai jiakin mi dik hihna a mu chih, Pathianin a thilpiakte a pomna ah a theisaka; huan huai ginna jiakin aman tuh sih khit nungin thu a gen nalai ahi.
4Kwa imani Abeli alimtolea Mungu dhabihu iliyokuwa bora zaidi kuliko ile ya Kaini. Kwa imani yake alikubaliwa na Mungu kuwa mwadilifu; Mungu mwenyewe alizikubali sadaka zake. Kwa imani yake ingawa amekufa, bado ananena.
5Ginnain Enok leng sihna chiamlou dinga lakmangin ana oma; huan, Pathianin alakmang jiakin muhtheih ahita keia; lakmanga aom main Pathian pahtak lam mi ahi, chih theihsakna amukhinta him hi.
5Kwa imani Henoki alichukuliwa na Mungu, asipate kufa. Hakuonekana tena kwa sababu Mungu alikuwa amemchukua. Maandiko yasema kwamba kabla ya kuchukuliwa kwake, yeye alikuwa amempendeza Mungu.
6Himahleh, ginna louin amah pahtak lammi hihvual ahi kei; Pathian kianga hongpaiin, amah tuh a om chih leh, a zong mite lohchingsakpa ahi chih, gin ding ahi.
6Basi, pasipo imani haiwezekani kumpendeza Mungu. Kwa maana kila mtu anayemwendea Mungu ni lazima aamini kwamba Mungu yuko, na kwamba huwatuza wale wanaomtafuta.
7Ginnain Noa tuh thil muh nailouhte lam thu ah Pathian hilha naomin, Pathian laudan siamin, a inkuansung hotdamna dingin longa bawla; huaiin khovel siamlouh a tangsakta a, ginna jiaka om diktatna gouluahpa ahong hi hi.
7Kwa imani Noa alionywa na Mungu juu ya mambo ya baadaye ambayo hakuweza kuyaona bado. Alimtii Mungu, akajenga ile safina ambamo aliokolewa yeye pamoja na jamaa yake. Kutokana na hayo ulimwengu ulihukumiwa, naye Noa akapokea uadilifu unaotokana na imani.
8Ginnain Abraham tuh sapa a om laiin a gouluah ding muna lut dingin pai khiakna ding thu a muta a; huan, a paina lam ding leng theilouin a pai kheta a.
8Kwa imani Abrahamu alimtii Mungu alipoitwa aende katika nchi ambayo Mungu angempa iwe yake. Ingawa hakujua alikokuwa anakwenda, Abrahamu alihama.
9Ginnain gam chiam ah mi gama tam bang lelin a natamta nilouha, thuchiam kikhat gouluahpih ding Isak leh Jacobte toh puanin ahte a om ua;
9Kwa imani aliishi kama mgeni katika nchi aliyoahidiwa na Mungu. Aliishi huko katika hema kama walivyoishi Isaka na Yakobo, ambao pia walishiriki ahadi ileile.
10Khua suangphumte nei, Pathian lam leh, bawl tuh, a ngak nilouh a.
10Maana Abrahamu alikuwa akingojea mji wenye misingi imara, mji ambao Mungu mwenyewe ndiye fundi aliyeubuni na kuujenga.
11Ginnain Sara ngeiin leng, chiampa tuh muanhuai asak jiakin, teknungin leng chi pai theihna amu hi.
11Kwa imani hata Sara aliamini kwamba Mungu hutimiza ahadi zake, kwa hiyo akajaliwa kuchukua mimba ingawaje alikuwa amepita umri.
12Huchiin, pasal khat, amah lah misi bang mai, akipan vana aksite banga tam, tuipiaua piaunel banga sim zohlouh suante a hongsuakta uhi.
12Kwa hiyo, kutoka katika mtu huyo mmoja, Abrahamu, ambaye alikuwa kama amekufa, walitokea watu wengi wasiohesabika kama vile nyota za mbinguni na mchanga wa pwani.
13Hiai mi tengtengten thilchiamte tangkhin hilou-in, himahleh huaite gamlapia galmuha nakipahpih hi jawin, leh lei ah jaw khualzin leh mikhual lel ahi uh chih kithei gigein, amaute tuh ginna neiin ana sita uh hi.
13Watu hawa wote walikufa wakiwa na imani. Walikufa kabla ya kupokea mambo ambayo Mungu alikuwa ameahidi, lakini kwa mbali waliyaona, wakashangilia, na kukiri wazi kwamba wao walikuwa wageni na wakimbizi duniani.
14Huchibanga thu na genten amau gam ding a zong uh chih ahih lang mahmah uhi.
14Watu wanaosema mambo kama hayo, huonyesha wazi kwamba wanaitafuta nchi yao wenyewe.
15A pawtsan gam uh lung gulh hile uh bel kikna hun lem muta mahmah ding ahi ngal ua.
15Kama wangalikuwa wanaifikiria nchi walikotoka zamani, wangalipata nafasi ya kurudi huko.
16Himahleh, tun bel gam hoihjaw sem deih ana hi ua, huai tuh vana om ahi; huchin Pathian, a Pathian uh chiha om tuh a zum kei hi; amau dingin khopi khat anangaihtuahsakta ngala.
16Lakini sasa wanataka nchi iliyo bora zaidi, yaani nchi ya mbinguni. Ndiyo maana Mungu haoni haya wakimwita yeye Mungu wao, kwa sababu yeye mwenyewe amekwisha watayarishia mji.
17Ginnain Abraham tuh zeta omin, Isak a lana; huan thuchiamte kipak taka sangpan tuh a tapa neihsun alan hi, huai lah
17Kwa imani, Abrahamu alimtoa mwanae Isaka sadaka wakati Mungu alipomjaribu. Huyo Abrahamu ndiye aliyekuwa amepokea ahadi ya Mungu, lakini, hata hivyo, alikubali kumtoa dhabihu mwanae wa pekee,
18Isak ah na suante aki minloh ding, a chihpen ahia.
18ingawa Mungu alikuwa amemwambia: "Wazawa wako watatokana na Isaka."
19Pathianin misi lak akipan nangawna kaithou theiin a sepa; huchiin gentehnadana genin, amah tuh misi laka kipan mu nawn ahi ngei nguta.
19Abrahamu aliamini kwamba Mungu anaweza kuwafufua wafu: na kwa namna fulani kweli Abrahamu alimpata tena mwanae kutoka wafu.
20Ginnain Isakin thil hongtung dingte thu ah leng Jacob leh Esau vual a jawl a.
20Kwa imani Isaka aliwabariki Yakobo na Esau, wapate baraka zitakazokuja baadaye.
21Ginnain Jacobin, a sih ding kuanin, Joseph tate vual a jawl tuaktuaka; achiangkhun dawna kingaiin Pathian a bia hi.
21Kwa imani Yakobo alipokuwa karibu kufa, aliwabariki kila mmoja wa wana wa Yosefu, akamwabudu Mungu akiegemea ile fimbo yake.
22Ginnain Josephin, a sih ding kuanin, Isreal suante pawt ding thu a gena; a guhte vui ding tungtang ah thu a pia hi.
22Kwa imani Yosefu alipokuwa karibu kufa, alinena juu ya kutoka kwa Waisraeli katika nchi ya Misri, na pia akawaachia maagizo kuhusu mifupa yake.
23Ginnain Mosi, a pian laiin, ngaungek mel hoihtak ahi a chih jiak un, kha thum sung a nu leh a pa selin a oma; kumpipa thupiak leng a lau kei uhi.
23Kwa imani wazazi wa Mose walimficha huyo mtoto kwa muda wa miezi mitatu baada ya kuzaliwa kwake. Walimwona kuwa ni mtoto mzuri, wala hawakuiogopa amri ya mfalme.
24Ginna in, Mosi in a hopichin nung in, Pharo tanu, tapa a lawh a utkei a;
24Kwa imani Mose alipokuwa mtu mzima, alikataa kuitwa mwana wa binti Farao.
25sawtlou kal a dia khelhna nawpna kipahpih sangin Pathian mite tawh sukgentheihna thuak a tel zawta hi;
25Aliona ni afadhali kuteseka pamoja na watu wa Mungu kuliko kufurahia raha ya dhambi kwa kitambo kidogo.
26Kris a muhsitna uh tuh Aigupta gam goute sang a sum thupizaw in angai a; kipahman piak ding tuh a et ziakin.
26Alitambua kwamba kuteseka kwa ajili ya Masiha kuna faida kubwa zaidi kuliko utajiri wote wa nchi ya Misri, maana alikuwa anatazamia tuzo la baadaye.
27Ginna in kimpipa thangpaihna tuh laulou in Aigupta gam a paisan a, muhtheihlouhpa a muh ziak in a thuak teitei hi.
27Kwa imani Mose alihama kutoka nchi ya Misri bila kuogopa hasira ya mfalme; na wala hakurudi nyuma, kwani alikuwa kama mtu aliyemwona yule Mungu asiyeonekana.
28Ginna in Paikan Ankuangluina leh sisan thehna a bawl a, ta masa hihmangthangpan amaute a khoih louhna ding in.
28Kwa imani aliadhimisha siku ya Pasaka, akaamuru damu inyunyizwe juu ya milango, ili yule Malaika Mwangamizi asiwaue wazaliwa wa kwanza wa Israeli.
29Ginna in gam hula pai bangin Tuipi San a kai a; Aigupata ten tua bang a hih a tm sam ua, valh zawh in a omta uhi.
29Kwa imani watu wa Israeli walivuka bahari ya Shamu, kana kwamba ilikuwa nchi kavu; lakini Wamisri walipojaribu kufanya hivyo walikufa maji.
30Ginna in Jeriko khawkulh ni sagih a um nung un a chimta hi.
30Kwa imani kuta za mji wa Yeriko zilianguka watu wa Israeli walipokwisha zunguka kwa muda wa siku saba.
31Ginna in Rahab kizuaknu gingloute lakah a mangthang khawm ta kei, enkhete im neilou a a pahtak ziakin.
31Kwa imani Rahabu aliyekuwa malaya hakuangamia pamoja na wale waliomwasi Mungu, kwa sababu aliwakaribisha wale wapelelezi.
32Huan, bang kagen nalai dia? Gideon thute, Barak thute, Samson thute, Jeptha thute leh, David thute, Samuel thute, Jawlneite thute gen ni chile hang, hun in hon chinlou ding ahi ngala;
32Basi, niseme nini zaidi? Wakati hauniruhusu kueleza juu ya Gedeoni, Baraki, Samsoni, Yeftha, Daudi, Samweli na manabii.
33Huaiten tuh ginna in gamte ala ua, thudik a vaihawm a zawng ua, thuchiamte atang ua, humpinelkai kamte a chihsak ua;
33Kwa imani hawa wote walipigana vita na wafalme, wakashinda. Walitenda mambo adili, wakapokea yale aliyoahidi Mungu. Walifunga vinywa vya simba,
34mei thil hihtheihna a hihmit ua, namsau hiam nangawn a pel ua, hatlouhna a kipan hattak a bawl in a om ua, kidouna bang ah mihat minthang ana hi ua, namdang kidou pawlte bang a taikek sak uhi.
34Walizima mioto mikali, waliepuka kuuawa kwa upanga. Walikuwa dhaifu lakini walipata nguvu. Walikuwa hodari katika vita wakashinda majeshi ya kigeni.
35Numeiten a misite uh thounawn a mu ua; khenkhatte gim thuaksak in a om ua, thawhnawnna hoih zawsem a tan theihna ding un khahkhiakna a deih kei ua;
35Na, wanawake walioamini walirudishiwa wafu wao wakiwa wamefufuliwa. Baadhi yao walikataa kufunguliwa, wakateswa mpaka kufa ili wapate kufufuliwa na kuingia katika maisha bora zaidi.
36midangten leng nuihza bawlna leh vuak bang a thuak ua, ahi, huailou leng, kawlbut leh hentakna bang a tuak ua;
36Wengine walidhihakiwa na kupigwa mijeledi, na wengine walifungwa minyororo na kutupwa gerezani.
37suang a den in a awm ua, singatna a attan in a awm ua, khemna a tuak ua, namsau a satlup in a awm ua; Belam vun leh kel vun silh in a vakvai ua; genthei takin, gimthuakin, sawi in a awm ua-
37Walipigwa mawe, walipasuliwa vipandevipande, waliuawa kwa upanga. Walizungukazunguka wakiwa wamevaa ngozi za kondoo na ngozi za mbuzi, walikuwa watu maskini, walioteswa na kudhulumiwa.
38Khawvel a mau tenna tak hilou mite- gamdai ah bang, tang a bang, guam ah bang, leikua ah bang, a vak avak uhi.
38Ulimwengu haukustahili kuwa na watu hao. Walitangatanga jangwani na mlimani, wakaishi katika mashimo na mapango ya ardhi.
39Ahia, hiaitetengteng in, a ginnaziakun phat nalawh khin mahleuhleng thil chiam pen ana tang kei uhi;aziakbel, Pathianin eia ding a thil hawihza muhkhawlh a neih ziak a, ei tellou-a amaute hih bukima a awmlouh ding uh ahihziak ahi.
39Watu hawa wote walionekana kuwa mashujaa kwa sababu ya imani yao. Hata hivyo, hawakupokea yale ambayo Mungu aliwaahidia,
40aziakbel, Pathianin eia ding a thil hawihza muhkhawlh a neih ziak a, ei tellou-a amaute hih bukima a awmlouh ding uh ahihziak ahi.
40maana Mungu alikuwa ameazimia mpango ulio bora zaidi kwa ajili yetu; yaani wao wangeufikia ukamilifu wakiwa pamoja nasi.