1Kei grep gui dik tuh ka hi, ka Pa a Kempa ahi.
1"Mimi ni mzabibu wa kweli, na Baba yangu ndiye mkulima.
2Keia hiang gah lou peuhmah a la manga; a gah peuhmah a hah siangthou a, a gah tam semna dingin.
2Yeye huliondoa ndani yangu kila tawi lisilozaa matunda, na kila tawi lizaalo hulisafisha lipate kuzaa zaidi.
3Na kiang ua ka thu gen jiakin tun ah leng na sianghtou khin pah uhi.
3Ninyi mmekwisha kuwa safi kwa sababu ya ule ujumbe niliowaambieni.
4Keimah ah om gige un, kei leng noumau ah ka om gige ding. Hiang, grep guia a om gige kei leh amah in a gah theikei bangin, nou leng keimaha na om gige kei uleh, na gah theikei ding uh.
4Kaeni ndani yangu, nami nikae ndani yenu. Tawi haliwezi peke yake kuzaa matunda lisipokaa katika mzabibu hali kadhalika nanyi hamwezi kuzaa matunda msipokaa ndani yangu.
5Kei a grep gui tuh ka hi, nou ahiangte na hi uh; kuapeuh keimaha om gige a, kei leng amaha ka om gige na, huai mah tuh tampiin a gah nak hi; keimah louin lah bangmah na hih theikei ua.
5"Mimi ni mzabibu, nanyi ni matawi yake. Akaaye ndani yangu, nami ndani yake, huyo atazaa matunda mengi, maana bila mimi hamwezi kufanya chochote.
6Mi keia a om gige kei leh, hiang banga paihkhiakin a om a, a vuai nak hi; huan, a tom ua, mei ah a pai ua, a kang nak hi.
6Mtu yeyote asipokaa ndani yangu hutupwa nje kama tawi litupwalo nje hata likakauka. Watu huliokota tawi la namna hiyo na kulitupa motoni liungue.
7Nou keimaha na om gige ua, ka thu leng noumaua a om gige leh, na ut peuh uh ngen un, nou adia hihin a om jel ding hi.
7Mkikaa ndani yangu na maneno yangu yakikaa ndani yenu, basi, ombeni chochote mtakacho nanyi mtapewa.
8Hiai jiakin ka Pa tuh pahtawiin a om, tampia na gah un; huchiin ka nungjuite na hi ding uh.
8Baba yangu hutukuzwa kama mkizaa matunda mengi na kuwa wanafunzi wangu.
9Pan kei honit bangmahin kon it hi; ka itna ah om gige un.
9Mimi nimewapenda ninyi kama vile Baba alivyonipenda mimi. Kaeni katika pendo langu.
10Nou ka thupiakte na zuih uleh ka itna ah na om gige ding uhi, ken ka Pa thupiakte ka juia, a itnaa ka om gige mah bangin.
10Mkizishika amri zangu mtakaa katika pendo langu, kama vile nami nilivyozishika amri za Baba yangu na kukaa katika pendo lake.
11Ka kipah noumaua a om gige theihna din leh, na kipah uh a kimna dingin, hiai thu na kiang uah ka gen ahi.
11Nimewaambieni mambo haya ili furaha yangu ikae ndani yenu, na furaha yenu ikamilike.
12Hiai ka thupiak ahi, ken nou kon it bngin, noumau leng kiit unla.
12Hii ndiyo amri yangu: pendaneni; pendaneni kama nilivyowapenda ninyi.
13Mihingin a lawm adia a hinna a piak vala itna thupijaw kumahin a neikei.
13Hakuna upendo mkuu zaidi kuliko upendo wa mtu atoaye uhai wake kwa ajili ya rafiki zake.
14Thu kon piak peuhmah na hih uleh, ka lawmte na hi ding uhi.
14Ninyi ni rafiki zangu mkifanya ninayowaamuru.
15Sikha kon chi nawnta kei dia; a pu thilhih sikhain a thei ngal keia; lawmte kon chi zota ding; Pa kianga ka thil jak tengteng na kiang uah ka hontheisakta ngala.
15Ninyi siwaiti tena watumishi, maana mtumishi hajui anachofanya bwana wake. Lakini mimi nimewaita ninyi rafiki, kwa sababu nimewajulisha yote ambayo nimeyasikia kutoka kwa Baba yangu.
16Nou non tel kei ua, ken kon tel jaw ahi, vagah ding leh na gah uh om gige dingin kon sep hi; ka mina Pa kianga na nget peuhmah uh nou a hon piakna dingin.
16Ninyi hamkunichagua mimi; mimi niliwachagueni na kuwatuma mwende mkazae matunda, matunda yadumuyo, naye Baba apate kuwapa ninyi chochote mumwombacho kwa jina langu.
17Na kiit theihna ding un hiai thu khawng kon pia ahi.
17Basi, amri yangu kwenu ndiyo hii: pendaneni.
18Khovelin nou a honhuat leh, nou a honhuat main keimah honho khinta chih na thei un.
18"Kama ulimwengu ukiwachukia ninyi, kumbukeni kwamba umenichukia mimi kabla haujawachukia ninyi.
19Nou khovela hi le uchin, khovelin amaha a it ding; khovela kipan kon tel khiak jawk jiakin, khovelin nou a honhua ahi.
19Kama mngalikuwa watu wa ulimwengu, ulimwengu ungaliwapenda ninyi kama watu wake. Lakini kwa vile ninyi si wa ulimwengu, ila mimi nimewachagueni kutoka ulimwenguni, kwa sababu hiyo ulimwengu unawachukieni.
20Sikha a pu sangin a thupizo kei, chih thu kon hilhta hi, theigige un. Amau kei honsawi uleh, nou leng honsawi ding uh; ka thu jui hita le uh, noumau thu leng a jui ding uhi.
20Kumbukeni niliyowaambieni: mtumishi si mkuu zaidi kuliko bwana wake. Ikiwa wamenitesa mimi, watawatesa na ninyi pia; kama wameshika neno langu, watalishika na lenu pia.
21Himahleh, hiai thil tengteng ka min jiakin na tunguah a hih ding uh, honsawlpa a theih louh jiak un.
21Lakini hayo yote watawatendeeni ninyi kwa sababu ya jina langu, kwani hawamjui yeye aliyenituma.
22Kei hongpai keiin a kiang uah thu gen kei leng, khelhna neilou ding hi ua, himahleh tuin a khelhna uh paulap ding a neita kei uh ahi.
22Kama nisingalikuja na kusema nao wasingalikuwa na hatia; lakini sasa hawawezi kujitetea kwamba hawana dhambi.
23Kuapeuh kei honhuain, ka Pa leng a hua ahi.
23Anayenichukia mimi, anamchukia na Baba yangu pia.
24Thil, midang kuamah hih ngei louhte, a lak ua hih lou hita leng, khelhna neilou ding hi ua, himahleh tuin amau kei leh ka Pa ka nih un honmuta uh, huat leng honhota uh ahi.
24Kama nisingalifanya kwao mambo ambayo hakuna mtu mwingine amekwisha yafanya wasingalikuwa na hatia; lakini sasa wameona niliyoyafanya wakinichukia mimi, wakamchukia na Baba yangu pia.
25A dan laibu uah, amau a jiak om louin honhua uh, chih, thu gelhpen, a hongtunna dingin a hih uh ahi ve.
25Na hivi ni lazima yatimie yale yaliyoandikwa katika Sheria yao: Wamenichukia bure!
26Huan, Pa kiang akipan Khamuanpa na kiang ua ka honsawl ding, Paa kipan thutak Kha a hongtun hun chiangin, aman keimah hontheihpihnathu a gen ding;nou leng theihpihte nahi uh, a tunga kipan ka kianga na om jiak un.
26"Atakapokuja huyo Msaidizi nitakayemtuma kwenu kutoka kwa Baba, huyo Roho wa kweli atokaye kwa Baba, yeye atanishuhudia mimi.
27nou leng theihpihte nahi uh, a tunga kipan ka kianga na om jiak un.
27Nanyi pia mtanishuhudia kwa kuwa mmekuwa nami tangu mwanzo.