1Huan, gentehna thuin a kiang uah a genta a, Kuahiamin grephuan a bawla, a kim huangin a um a, grep sukna ding khuk a tou a, in sang a lama, loukhoumite kiangah khohloh dingin a pia a, gam dangah a hohta-a.
1Yesu alianza kusema nao kwa mifano: "Mtu mmoja alilima shamba la mizabibu. Akalizungushia ukuta, na katikati yake akachimba kisima cha kusindikia divai, akajenga mnara pia. Akalikodisha shamba hilo kwa wakulima, akasafiri hadi nchi ya mbali.
2Huan, a loh hunin huan-a a gah tuh a tansik amau kianga kipana la dingin loukhohlohmite kiangah sikha khat a sawla.
2Wakati wa mavuno, alimtuma mtumishi wake kwa wale wakulima akamletee sehemu ya mazao ya shamba lake.
3Huan, huai mi tuh a na man ua, a vua ua, khut vuakin a pai sak nawnta ua.
3Wale wakulima wakamkamata, wakampiga, wakamrudisha mikono mitupu.
4Huan, sikha dang a kiang uah a sawl nawna; huai mi leng a lu ah a na hihliam ua, zumhuaipiin a na bawl ua.
4Akatuma tena mtumishi mwingine; huyu wakamuumiza kichwa na kumtendea vibaya.
5Huan, sikha dang a sawl nawn jela; huai mi tuh a na hihlum ua. Sikha dang tampi leng-khenkhat a na vua ua, khenkhat a na hihlum ua.
5Mwenye shamba akatuma mtumishi mwingine tena, na huyo wakamuua. Wengine wengi waliotumwa, baadhi yao walipigwa, na wengi wakauawa.
6Huan, khat, tapa deihtak, a nei lai a; Ka tapa jaw a zah ding uh, chiin, amah a nanungpenin a kiang uah a sawla.
6Alibakiwa bado na mtu mmoja, yaani mwanawe mpendwa. Mwishowe akamtuma huyo akisema, Watamheshimu mwanangu.
7Himahleh, huai loukhohlohmiten, Hiai mi gouluahdingpa ahi; i that ding uh aw: huchiin a gou luahding eia ahi mai ding, a kichi ua.
7Lakini hao wakulima wakaambiana, Huyu ndiye mrithi, basi, tumuue ili urithi wake uwe wetu!
8Huchiin, amah a na man ua, a hihlum ua, grep huan apat a lawn kheta ua.
8Kwa hiyo wakamkamata, wakamuua na kumtupa nje ya lile shamba la mizabibu.
9Huaijiakin, grephuan neipan bangchin a honhih dia? Loukhohloh mite a honhih mangthang dia; huan tuh midangte a pe ding.
9"Basi, mwenye shamba atafanya nini? Atakuja kuwaangamiza hao wakulima na kulikodisha hilo shamba la mizabibu kwa watu wengine.
10Hiai laisiangthou na sim kei ua hia? In lam mite suang deihlouhpen, huai mahmah a ninga suang phatuampen a honghita hi.
10Je, hamjasoma Maandiko haya? Jiwe walilokataa waashi sasa limekuwa jiwe kuu la msingi.
11Huai tuh Toupa hih ahi, i mit muh uah a lamdang hi, chih, a chi a.
11Bwana ndiye aliyefanya jambo hili, nalo ni la ajabu sana kwetu."
12Huan, amah mat a tumta ua; huai gentehna thu lah amau dema a gen ahi chih a thei ngal ua. Huchiin amah tuh a nusia ua, a paimangta uh.
12Makuhani wakuu, walimu wa Sheria na wazee walifahamu ya kwamba mfano huo ulikuwa unawahusu. Kwa hiyo walijaribu kumtia nguvuni, lakini waliogopa umati wa watu. Basi, wakamwacha wakaenda zao.
13Huan, a thu gena mattheihna dingin Pharisaite leh Herod pawla mi kuate hiam a kiangah a sawl ua.
13Basi, baadhi ya Mafarisayo na wafuasi wa kikundi cha Herode walitumwa ili wamtege Yesu kwa maneno yake.
14Huchiin, amau a hongtun un, a kiangah, Sinsakpa, mi diktat na hi a, deihsak tuan kuamah na neikei chih ka thei uh, kuamah khentuam neilouin, chihtak ngialin Pathian lam thu na hilh jel ahi: Kaisar kianga leiman liau a siang hia siang lou?
14Wakamwendea, wakamwambia, "Mwalimu, tunajua kwamba wewe ni mtu mwaminifu unayesema ukweli mtupu, wala humjali mtu yeyote. Wala cheo cha mtu si kitu kwako, lakini wafundisha ukweli kuhusu njia ya Mungu. Je, ni halali kulipa kodi kwa Kaisari, au la? Tulipe au tusilipe?"
15Pe ding ka hi ua, pe lou ding? a chi ua. Aman bel a lepchiahdan uh theiin, a kiang uah, Bangdia hon zeet na hi ua? Makhai hontawi un, ka na en ding, a chi a.
15Lakini Yesu alijua unafiki wao, akawaambia, "Mbona mnanijaribu? Nionyesheni sarafu."
16A hontawi ua. Huan aman a kiang uah, Hiai kua lim leh kua min ahia? a chi a.
16Wakamwonyesha. Naye akawauliza, "Sura na chapa hii ni ya nani?" Wakamjibu, "Ni ya Kaisari."
17Huan, amau, Kaisar-a, a chi ua. Huan, Jesun a kiang uah, Kaisar thilte Kaisar kiangah pia unla, Pathian thilte Pathian kiangah peta unla, a chi a. Huchiin, lamdang a sa mahmah uh.
17Basi, Yesu akawaambia, "Mpeni Kaisari yaliyo yake Kaisari na Mungu yaliyo yake Mungu." Wakashangazwa sana naye.
18Huan, Saddukaite, thohnawnna a om kei chite, a kiangah a hongua;
18Masadukayo wasemao kwamba hakuna ufufuo walimwendea Yesu, wakamwuliza,
19A kiangah, Sinsakpa, Mosiin, kuapeuh a unaupan ta neilou in a ji sihsan taleh, a unaupan a ji luahin a unaupa dingin chi a suahsak ding, chiin, a hongelh sak ahi.
19"Mwalimu, Mose alituagiza hivi: Mtu akifa na kuacha mke bila mtoto, ndugu yake lazima amchukue huyo mama mjane amzalie watoto ndugu yake marehemu.
20A hi, sal sagih a om ua; a upa penin ji a neia, chi suah louin a si a.
20Basi, kulikuwa na ndugu saba. Wa kwanza alioa, akafa bila kuacha mtoto.
21Huan, a nihnain a luah a, chi suah louin a si nawn jela; a thumna in huchibang mahin.
21Ndugu wa pili akamwoa huyo mjane, naye pia akafa bila kuacha mtoto; na ndugu watatu hali kadhalika.
22Huchiin, sal sagihte tuh chi himhim suah louin a si jel uh. A nanungpenin numei leng a sita hi.
22Wote saba walikufa bila kuacha mtoto. Mwishowe yule mama mjane naye akafa.
23Thohnawn hunin a kuapen ji ahi dia le? sagih ten jiin a nei chiat ngal ua, chin a dong ua.
23Basi, siku watu watakapofufuka, mama huyo atakuwa mke wa nani? Maana wote saba walikuwa wamemwoa."
24Jesun a kiang uah, Hiai jiak hilou hia, na theihkhelh nak uh, Laisiangthou leh Pathian thilhihtheihna na theih louh jiak un?
24Yesu akawaambia, "Ninyi mmekosea sana, kwa sababu hamjui Maandiko Matakatifu wala nguvu ya Mungu.
25Misi lak apat a thoh nawnun ji leh pasala kinei lou ding ahi ua, vana angelte bang hizota ding uh ahi ngalua.
25Maana wafu watakapofufuka, hawataoa wala kuolewa; watakuwa kama malaika wa mbinguni.
26Huam, misite kaihthoha a om ding thu u lah Mosi laibua, Loubuk ah, Pathianin, Kei Abraham Pathian, Isaak Pathian, Jakob Pathian ka hi, chia, amah a houpihdan na sim kei ua hia?
26Lakini kuhusu kufufuliwa kwa wafu, je, hamjasoma kitabu cha Mose katika sehemu inayohusu kile kichaka kilichokuwa kinawaka moto? Mungu alimwambia Mose, Mimi ni Mungu wa Abrahamu, Mungu wa Isaka, na Mungu wa Yakobo.
27Amah jaw misi Pathian ahi keia, mihing Pathian ahi jaw; na thei khial tel u e, a chi a.
27Basi, yeye si Mungu wa wafu, bali ni Mungu wa walio hai. Ninyi mmekosea sana!"
28Huan, laigelhmite laka mi khat a honga, a kisel uh a na ngaikhia a, Jesun amaute thutakin a dawng chih a theia, a kiang ah, Thupiak tengteng ah koi ahia thupipen? chiin, a donga.
28Mmojawapo wa walimu wa Sheria alifika, akasikia mabishano yao. Alipoona kwamba Yesu aliwajibu vyema, akajitokeza akamwuliza, "Katika amri zote ni ipi iliyo ya kwanza?"
29Jesun, A thupipen tuh hiai ahi: Israel aw, ngai dih uh, Toupa i Pathian uh Toupa khat kia ahi a;
29Yesu akamjibu, "Ya kwanza ndiyo hii: Sikiliza, Israeli! Bwana Mungu wetu ndiye peke yake Bwana.
30Toupa na Pathian tuh na lungtang tengtengin, na kha tengtengin, na lungsim tengtengin leh na hatna tengtengin na it ding ahi, chih.
30Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote, kwa akili yako yote na kwa nguvu zako zote.
31A zom tuh hiai ahi, Nangmah na kiit bangin na vengte leng na it ding ahi, chih. Hiai khawng sanga thupiak thupijaw himhim a om kei, chiin, a dawnga.
31Na ya pili ndiyo hii: Mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe. Hakuna amri nyingine iliyo kuu kuliko hizi."
32Huan, laigelhmin a kiangah, Hi-na ngei e, Sinsakpa amah jaw khatkia ahi a, amah lou jaw kua dangmah a om kei uh,
32Basi, yule mwalimu wa Sheria akamwambia, "Vyema Mwalimu! Umesema kweli kwamba Mungu ni mmoja tu wala hakuna mwingine ila yeye.
33Amah tuh lungtang tengtenga, theihsiamna tengtenga, hatna tengtenga ita, eimah i kiit banga vengte it tuh pum hal thilpiak leh kithoihna tengteng sangin a hoihzo petmah chih, na gendik hilhial ngei, a chi a.
33Na ni lazima mtu kumpenda Mungu kwa moyo wote, kwa akili yote, na kwa nguvu zote, na kumpenda jirani yake kama anavyojipenda mwenyewe. Jambo hili ni muhimu zaidi kuliko dhabihu na sadaka zote za kuteketezwa."
34Huan, piltakin a dawng chih Jesun a theihin, a kiang ah, Pathian gam na gamlat kei ve, a chi a. Huai nungsang tuh kuamahin thu himhim a dong ngamta kei uh.
34Yesu alipoona kwamba huyu mtu alimjibu kwa ujasiri, akamwambia, "Wewe huko mbali na Ufalme wa Mungu." Baada ya hayo, hakuna mtu aliyethubutu tena kumwuliza kitu.
35Huan, Jesun Pathian biakina thu a hilh laiin, amaute a houpiha, Kris tuh David tapa ahi chih laigelhmiten bangchidana gen uh ahia?
35Wakati Yesu alipokuwa akifundisha Hekaluni, aliuliza, "Mbona walimu wa Sheria wanasema ya kwamba Kristo ni mwana wa Daudi?
36David ngeiin, Kha Siangthouin, Toupan, ka Toupa kiangah, Na melmate na khepek ngaknaa ka bawl masiah ka taklamah tuin, a chi a, a chi a.
36Daudi mwenyewe akiongozwa na Roho Mtakatifu alisema: Bwana alimwambia Bwana wangu: Keti upande wangu wa kulia, Mpaka nitakapowaweka adui zako chini ya miguu yako."
37David ngeiin amah, Toupa, a chi ngala, koi akipanin ahia amah a tapa a hih? a chi a. Huan, mivantangin kipak takin a thu a ngai khia ua.
37"Daudi mwenyewe anamwita Kristo Bwana. Basi, Kristo atakuwaje mwanae?" Umati wa watu ulikuwa ukimsikiliza kwa furaha.
38Huan, a thuhilhna ah, laigelhmite lakah pilvang un; amau lah puannak tual silha vak a ut ua, dawl muna chibai buk bang,
38Katika mafundisho yake, Yesu alisema, "Jihadharini na walimu wa Sheria ambao hupenda kupitapita wamejivalia kanzu ndefu na kusalimiwa na watu kwa heshima sokoni; hupenda kuketi mahali pa heshima katika masunagogi,
39Kikhopna ina tutphah hoih pen bang, ankuangluina-a mun hoihpen bang, a nuamtuam nak uh;
39na kuchukua nafasi za heshima katika karamu.
40meithai in a ne gai ua, tangpi khemna dingin sawtpipi a thum uh; huaiten siamlouhtanna lianjaw a tang ding uh hi, a chi a.
40Huwanyonya wajane huku wakijisingizia kusali sala ndefu. Siku ya hukumu watapata adhabu kali!"
41Huan, sum kholna jawnah a tu a; sumkholnaa mipi sum khiakdan a en a; mi hau tampi takin tampipi a khia ua.
41Yesu alikuwa ameketi karibu na sanduku la hazina. Akawa anatazama jinsi watu wengi walivyokuwa wakitoa fedha na kuzitia katika hazina ya Hekalu. Matajiri wengi walitoa fedha nyingi.
42Huan, meithai jawng tak a honga, dal dangka muja nih a khia a, huai tuh paihsa khat hu ahi.
42Hapo akaja mama mmoja mjane maskini, akatoa sarafu mbili ndogo za fedha.
43Huan, Jesun a nungjuite a sama, a kiang uah, Chihtaktakin ka honhilh ahi, Sumkholna a khe tengteng lakah hiai meithai jawng takin a khe tam pen hi.Hiaite tengtengin a neihlet ua a khia ua; aman jaw a hawmthoh laitak, a neih sun, a nuntakna ding tengteng a khe vek ahi, a chi a.
43Yesu akawaita wanafunzi wake, akawaambia, "Kweli nawaambieni, huyu mama mjane maskini ametoa zaidi kuliko wengine wote waliotia fedha katika sanduku la hazina.
44Hiaite tengtengin a neihlet ua a khia ua; aman jaw a hawmthoh laitak, a neih sun, a nuntakna ding tengteng a khe vek ahi, a chi a.
44Maana wote walitoa kutokana na ziada ya mali zao, lakini huyu mama, ingawa ni maskini, ametoa yote aliyokuwa nayo, ametoa kila kitu alichohitaji kwa kuishi."