1Huan, amahmahin, a kiang uah, Chihtaktakin ka honhilh ahi, Hiaia ding a khente, Pathian gam thilhihtheihna toh hongtung a muh ma ua, sihna chiamlou hial ding a om uh, a chi a.
1Yesu akaendelea kuwaambia, "Kweli nawaambieni, wako wengine papa hapa ambao hawatakufa kabla ya kuuona Ufalme wa Mungu ukija kwa enzi."
2Huan, ni guk nungin Jesun Peter, Jakob, Johan a pi a, a tuamin tang sang tak ah amau kia a pai touh piha; a ma uah a mel omdan a hongkidangta a.
2Baada ya siku sita, Yesu aliwachukua Petro, Yakobo na Yohane juu ya mlima mrefu peke yao. Huko, Yesu akageuka sura mbele yao,
3Huchiin, a puansilhte leia puan sawpmi himhimin a sawp ngou theih louh khop hiala ngou velvolin a hongngouta a.
3mavazi yake yakang'aa, yakawa meupe sana, jinsi dobi yeyote duniani asingeweza kuyafanya meupe.
4Huan, Elija leh Mosi a kiang uah a hongkilak ua, Jesu toh a kihou khawm ua.
4Eliya na Mose wakawatokea, wakazungumza na Yesu.
5Huan, Peterin Jesu a houpih a, Heutupa, ei din hiaia om a hoih; aidakbuk thum i khoh ding a, nang din khat, Mosi din khat, Elija din khat, a chi a.
5Petro akamwambia Yesu, "Mwalimu, ni vizuri sana kwamba tuko hapa. Basi, afadhali tujenge vibanda vitatu: kimoja chako, kimoja cha Mose na kimoja cha Eliya."
6A lau mahmah jiakun, gen dingpen leng a theingal kei a.
6Yeye na wenzake waliogopa hata hakujua la kusema.
7Huan, amau liahin mei a hongkaia; meiah aw a hongsuaka, Hiai ka Tapa deihtak ahi, amah thu ngai un, a chi a.
7Kisha likatokea wingu likawafunika, na sauti ikasikika kutoka katika hilo wingu, "Huyu ni Mwanangu mpendwa, msikilizeni."
8Huan, kintakin a kim vel a en ua, amau kiangah Jesu kia lou kuamah a muta kei uh.
8Mara wanafunzi hao wakatazama tena, lakini hawakumwona mtu mwingine, ila Yesu peke yake pamoja nao.
9Huan, tang akipana a pai suk laiun, Mihing Tapa misi laka kipana a thoh nawn khit mateng a thil muhte uh kuamah hilh louh ding a chi bikbek a.
9Walipokuwa wakishuka mlimani, Yesu aliwakataza wasimwambie mtu yeyote mambo waliyoyaona, mpaka Mwana wa Mtu atakapokuwa amefufuka kutoka wafu.
10Huchiin, huai thu tuh a vom kinken ua, Misi laka pat thohnawn pen bang chihna hi ding ahia chih a kidong uh.
10Basi, wakashika agizo hilo, lakini wakawa wanajadiliana wao kwa wao maana ya kufufuka kutoka wafu.
11Huan, amau, a kiangah, Bangchidana laigelhmiten, Elija a hong masa ding a-hi, chi ahi ua? chiin, a dong ua.
11Wakamwuliza Yesu, "Mbona walimu wa Sheria wanasema kwamba ni lazima Eliya aje kwanza?"
12Huan, Aman a kianguah, Bangkim bawlhoih thak dingin Elija hongpai masa him ahi; ahihleh thil tampi a thuak dinga, muhdaha mawkbawlin a om ding chi-a mihing Tapa tungthu bangchidana gelha na om ahia leh? a chi a.
12Naye akawajibu, "Naam, Eliya anakuja kwanza kutayarisha yote. Hata hivyo, kwa nini basi imeandikwa katika Maandiko Matakatifu kwamba Mwana wa Mtu atapatwa na mateso mengi na kudharauliwa?
13Himahleh ka honhilh ahi, Elija jaw a hong khin thamta hi, huan, a tanchin a gelh bang ngei un a tungah a utut un a hihkhin him u hi, a chi a.
13Lakini nawaambieni, Eliya amekwisha kuja, nao wakamtendea walivyotaka kama ilivyoandikwa juu yake."
14Huan, nungjuite kiang a tun suk un, a kim ua mipi tampitakte leh laigelhmiten a nasel lai uh a mu suk ua.
14Walipowafikia wale wanafunzi wengine, waliona umati mkubwa wa watu hapo. Na baadhi ya walimu wa Sheria walikuwa wanajadiliana nao.
15Huan, mipi tengtengin amah a muh tak un lamdang a sa mahmah ua, a kiang ah a tai pah ua, chibai a vabuk kheukhou uh.
15Mara tu ule umati wa watu ulipomwona, wote walishangaa sana, wakamkimbilia wamsalimu.
16Huan, aman, a kiang uah, Amau toh bang thu ahia na kisel uh? chiin a donga.
16Yesu akawauliza, "Mnajadiliana nini nao?"
17Huan, mipi laka mi khatin a kiangah, Sinsakpa, ka tapa, dawi pautheilou nei, na kiangah ka honpi a;
17Hapo mtu mmoja katika ule umati wa watu akamjibu, "Mwalimu, nimemleta mwanangu kwako, ana pepo aliyemfanya kuwa bubu.
18a matna peuhah a puksak ekek a; huchiin, a chilphuan bang a kia a, a ha bang a gawia, a gawng huthut a; huchiin, na nungjuiten delhkhe le uh ka chih leh, a hihthei ngal kei ua, chiin a dawnga.
18Kila mara anapomvamia, humwangusha chini na kumfanya atokwe na povu kinywani, akisaga meno na kuwa mkavu mwili wote. Niliwaomba wanafunzi wako wamtoe huyo pepo lakini hawakuweza."
19Huan, aman, a kiang uah, Khangthak ginna neiloute aw, bangtan na kiang ua om ding a bangtan honthuakthei ding ka hia? amah ka kiangah honpi in, chiin, a dawng a.
19Yesu akawaambia, "Enyi kizazi kisicho na imani! Nitakaa nanyi mpaka lini? Nitawavumilia mpaka lini? Mleteni kwangu."
20Huan, amah tuh Jesu kiangah a honpi ua; huan, dawiin amah a muh takin naupang tuh nakpitakin a sawi paha; huchiin, lei ah a puka, chilphuan ke jeju in a kikhuk volvola.
20Wakampeleka. Mara tu huyo pepo alipomwona Yesu, alimtia mtoto kifafa, naye mtoto akaanguka chini, akagaagaa na kutoka povu kinywani. Yesu akamwuliza baba yake huyo mtoto,
21Huan, aman, a pa kiangah, Hichi banga a hongkipatna bangtan a hita a? chiin, a donga. Aman, A naupan laia kipan a hita;
21"Amepatwa na mambo hayo tangu lini?" Naye akamjibu, "Tangu utoto wake.
22huchiin, amah hihmangthang dingin tamveipi mei ah leh, tui ah a sawnpuk a; himahleh, nang bang chichi hiam beka na hih theih leh honhehpih inla, honhuh in, a chi a.
22Na mara nyingi pepo huyo amemwangusha motoni na majini, ili amwangamize kabisa. Basi, ikiwa waweza, utuhurumie na kutusaidia!"
23Huan, Jesun a kiangah, Na hih theih leh e: a gingtamia dingin bangkim hihtheih ei ve, a chi a.
23Yesu akamwambia, "Eti ikiwa waweza! Mambo yote yanawezekana kwa mtu aliye na imani."
24Huchiin, naupang pan tuh, ka gingta hi, ka ginlahna ah honhuh in, chiin, a kikou khe pah ngal a.
24Hapo, huyo baba akalia kwa sauti, "Naamini! Lakini imani yangu haitoshi, nisaidie!"
25Huan, Jesun mipi hongtai khawm lai a muhin, dawi nin a taia, a kiangah, Nang dawi pautheilou leh bengngong, thu ka honpia hi, a sunga pat hongpawt inla, lut nawn ken, a chi a.
25Yesu alipouona umati wa watu unaongezeka upesi mbele yake, alimkemea yule pepo mchafu, "Pepo unayemfanya huyu mtoto kuwa bubu-kiziwi, nakuamuru, mtoke mtoto huyu wala usimwingie tena!"
26Huchiin, a kikou kheta a, Nakpitaka a sawi khitin a hongpawtta a, huan, naupang tuh misi luang bangin a oma; huchiin mi tamzoten, A si ahi, a chi uh.
26Hapo huyo pepo alipaaza sauti, akamwangusha huyo mtoto chini, kisha akamtoka. Mtoto alionekana kama maiti, hata wengine walisema, "Amekufa!"
27Jesun bel a khut a lena, a kaithou a; huan a hong thou maimahta a.
27Lakini Yesu akamshika mkono, akamwinua, naye akasimama.
28Huan, Jesu ina a valut leh, a nungjuiten, Bangchi-a kou delhkhe theilou ka hi ua leh? chiin, a simin a dong ua.
28Yesu alipoingia nyumbani, wanafunzi wake walimwuliza kwa faragha, "Kwa nini sisi hatukuweza kumtoa?"
29Huan, aman, a kiang uah, Hichi bang jaw thumna kia loungalin bangchi mahin a pawt theikei, a chi a.
29Naye akawaambia, "Pepo wa aina hii hawezi kutoka isipokuwa kwa sala tu."
30Huan, huaia kipan a pai khia ua; Galili gam a pai kan ua, kuamah theih a deih kei.
30Yesu na wanafunzi wake waliondoka hapo, wakaendelea na safari kupitia wilaya ya Galilaya. Yesu hakupenda watu wajue alipokuwa,
31A nungjuite lah thu a hilh ngala, a kiang uah, Mihing Tapa mihingte khuta matsakin a om dia, a hihlum ding ua; huan, a hihlup nung uh ni thum nungin a thou nawn ding, achia.
31kwa sababu alikuwa anawafundisha wanafunzi wake. Aliwaambia, "Mwana wa Mtu atakabidhiwa kwa watu ambao watamuua; lakini siku ya tatu baada ya kuuawa atafufuka."
32Himahleh, a thu gen tuh a theisiam kei ua, amah lah a dong ngam ngal kei uh.
32Wanafunzi hawakufahamu jambo hilo. Wakaogopa kumwuliza.
33Huan, Kapernaum khua ah a hongtung ua; huan, in sunga a om laiin, amau kiangah, Huai lampi ah bangthu ahia na kisel uh? chiin, a donga.
33Basi, walifika Kafarnaumu. Na alipokuwa nyumbani, aliwauliza, "Mlikuwa mnajadiliana nini njiani?"
34Himahleh, lampi ah, I lak uah kua I thupipen ding? chia a na kisel khit jiak un a dai dide uh.
34Lakini wao wakanyamaza, maana njiani walikuwa wamebishana ni nani aliye mkuu kati yao.
35Huan, amah a tu a, sawm leh nihte a sama, a kiang uah, Kuapeuhin masapen hih a ut leh mi tengteng sangin nanungpenin a om ding ahi, mi tengteng na semin a om ding ahi, a chi a.
35Yesu akaketi chini, akawaita wale kumi na wawili, akawaambia, "Yeyote anayetaka kuwa wa kwanza lazima awe wa mwisho na kuwa mtumishi wa wote."
36Huan, naupang chik khat a kaia, a lak uah a dingsaka: huan, a poma, a kiang uah,
36Kisha akamchukua mtoto mdogo, akamsimamisha kati yao, akamku mbatia, halafu akawaambia,
37Kuapeuh ka min jiaka hichibang naupang chik khat leng kipahpih tuh keimah honkipahpih ahi ding, kuapeuh kei honkipahpih tuh, kei honkipahpih ahi kei ding ua, honsawlpa kipahpih ahi zo ding uh, a chi a.
37"Anayempokea mtoto kama huyu kwa jina langu, ananipokea mimi; na anayenipokea mimi, hanipokei mimi tu, bali anampokea yule aliyenituma."
38Johanin a kiangah, Sinsakpa, kuahiam na mina dawite delhkhia ka mu ua; honzuih louh jiakin ka kham uh, achia.
38Yohane akamwambia, "Mwalimu, tumemwona mtu mmoja akitoa pepo kwa kulitumia jina lako, nasi tukajaribu kumkataza kwa kuwa yeye si mmoja wetu."
39Jesun, Kham nawn kei un; kuamah ka mina thil thupi hih ngala kei hon gense pah thei a om kei.
39Lakini Yesu akasema, "Msimkataze, maana hakuna mtu anayefanya muujiza kwa jina langu, na papo hapo akaweza kusema mabaya juu yangu.
40Kuapeuh ei hondou lou tuh i lama pang ahi ngal ua.
40Maana, asiyepingana nasi, yuko upande wetu.
41Kuapeuh Kris mi na hih jiak ua tui nou khat dawn ding honpia tuh, chihtaktakin ka honhilh ahi, a kipahman a tan kei hial ding.
41Mtu yeyote atakeyewapeni kikombe cha maji ya kunywa kwa sababu ninyi ni watu wake Kristo, hakika hatakosa kupata tuzo lake.
42Huan kuapeuh hon gingta neu chik chikte laka khat leng hihpuk tuh, a ngawng ah buh gawi janna suang lianpi oksakin tuipi ah khe le uh, amah adingin a hoih zo ding ahi.
42"Mtu yeyote atakayemfanya mmoja wa hawa wadogo wanaoniamini atende dhambi, ingekuwa afadhali kwa mtu huyo kufungiwa shingoni mwake jiwe kubwa la kusagia na kutupwa baharini.
43Huan, na khutin a honhihpuk leh, tan khia in; melhema hinnaa lut nang adingin a hoihjaw, khutnih neia gawtmun mei mit theiloua pai sangin,
43Mkono wako ukikukosesha, ukate! Afadhali kuingia kwenye uzima bila mkono mmoja, kuliko kuwa na mikono miwili na kwenda katika moto wa Jehanamu.
44a than uh a sih louha, meikuang mih louhna ah.
44Humo, wadudu wake hawafi na moto hauzimiki.
45Huan, na khein a honhihpuk leh, tan khia in; khebaia hinnaa lut nanga dingin a hoih-jaw, khe nih neia gawtmuna paiha om sangin,
45Na mguu wako ukikukosesha, ukate! Afadhali kuingia katika uzima bila mguu mmoja, kuliko kuwa na miguu yote miwili na kutupwa katika moto wa Jehanamu.
46a than uh a sih louha, meikuang mih louhna ah.
46Humo, wadudu wake hawafi na moto hauzimiki.
47Huan, na mitin a honhihpuk leh, khel khia in; mit lang khat neia Pathian gama lut nanga dingin a hoihjaw, mit lang nih neia gawtmuna paiha om sangin,
47Na jicho lako likikukosesha, ling'oe! Afadhali kuingia katika utawala wa Mungu ukiwa na jicho moja tu, kuliko kuwa na macho yako yote mawili na kutupwa katika moto wa Jehanamu.
48a than uh sih ngei louhna leh mei mih ngei louhna ah.
48Humo wadudu wake hawafi, na moto hauzimiki.
49Mi chih meia soh ala om ding ahi ngal a.Chi tuh a hoih hi; himahleh, chi leng a pen khit aleh bangin a hih-al nawnding ua? Noumau ngeiah chi nei unla, kihouthei un, a chi a.
49"Maana kila mmoja atakolezwa kwa moto.
50Chi tuh a hoih hi; himahleh, chi leng a pen khit aleh bangin a hih-al nawnding ua? Noumau ngeiah chi nei unla, kihouthei un, a chi a.
50Chumvi ni nzuri, lakini ikipoteza ladha yake, itakolezwa na nini? Muwe na chumvi ndani yenu na kudumisha amani kati yenu."