Paite

Swahili: New Testament

Romans

12

1Huchiin, unaute aw, Pathian zahngaihna jiakin, kithoihna hing leh siangthou leh Pathian lungtuak dingin na pumpi uh kilan dingin ka hon ngen ahi; huai tuh na biakna dan ding him uh ahi.
1Kwa hiyo, ndugu zangu, maadam Mungu ni mwenye huruma nyingi, nawasihi kwa moyo wote: jitoleeni nafsi zenu kwa Mungu kama tambiko iliyo hai, takatifu na yenye kupendeza. Hii ndiyo njia yenu halisi ya kumwabudu.
2Hiai khovel dan bangin om kei unla; Pathian deihlam a hoih leh, lungtuah huai tak leh, hoihkim, na theihtel theihna ding un, na lungsim uh a thaka omin honglamdang zota un.
2Msiige mitindo ya ulimwengu huu, bali Mungu afanye mabadiliko ndani yenu kwa kuzigeuza fikira zenu. Hapo ndipo mtakapoweza kuyajua mapenzi ya Mungu, kutambua jambo lililo jema, linalompendeza na kamilifu.
3Na lak uah kuamah na kilet sak ding hun val ua kilian sak louin, Pathianin mi chih kianga ginna hun a piak bang jela diktaka ngaihtuah zo dingin Pathianin honpiak hehpihna jiakin kon chi chiat ahi.
3Kutokana na neema aliyonijalia Mungu, nawaambieni ninyi nyote: msijione kuwa ni kitu zaidi kuliko mnavyopaswa kuwa. Fikira zenu na ziwe na kiasi kufuatana na kipimo cha imani Mungu aliyomgawia kila mmoja.
4Pumpi khatah hiang tampi i nei ua, hiang tengteng nasep bel a kibang kei hi,
4Mwili una viungo vingi, kila kimoja na kazi yake.
5Huchi mahbangin, eite tampi himah lehang, Kris ah pumpi khat ihi ua: a tuamtuamin I kihiang tuah chiat uhi.
5Hali kadhalika ingawa sisi ni wengi, tu mwili mmoja kwa kuungana na Kristo, na kila mmoja ni kiungo cha mwenzake.
6Hehpihna a honpiak dan bang jelin thilthawnpiak tuamtuam i nei chiat uh: thugen ding a hih leh i ginna toh kihunin i gen ding u;
6Basi, tunavyo vipaji mbalimbali kufuatana na neema tuliyopewa. Mwenye kipaji cha unabii na akitumie kadiri ya imani yake.
7Nasepna ding ahihleh, na i sem chiatchiat ding uh; thuhilhmin leng hilh hiathiat hen;
7Mwenye kipaji cha utumishi na atumikie. mwenye kipaji cha kufundisha na afundishe.
8Taihilhmin leng taihilh geihgeih heh; thilpemin it louin pia heh; vaihawmmin thanuam takin hawm heh; mi hehpihin kipaktakin hehpih heh.
8Mwenye kipaji cha kuwafariji wengine na afanye hivyo. Mwenye kumgawia mwenzake alicho nacho na afanye hivyo kwa ukarimu. Msimamizi na asimamie kwa bidii; naye mwenye kutenda jambo la huruma na afanye hivyo kwa furaha.
9Itna ahihleh lepchiahna tel louin hi heh. Gilou lam hua unla, hoih lam len chinten un.
9Mapendo yenu na yawe bila unafiki wowote. Chukieni jambo lolote ovu, zingatieni jema.
10Unaute it lamah, it takin kilainat tuah chiat un; pahtawi lamah, kideihsak tuah chiat un.
10Pendaneni kidugu; kila mmoja amfikirie mwenzake kwanza kwa heshima.
11Thanop lamah, thadah kei un; Kha a vakna toh phatuamngaiin Toupa na sem un.
11Msilegee katika bidii, muwe wachangamfu rohoni katika kumtumikia Bwana.
12Lametna lamah, kipak unla; gimthuakna lamah, kuhkal unla; thumna lamah, thum teitei unla;
12Tumaini lenu liwaweke daima wenye furaha; muwe na saburi katika shida na kusali daima.
13Misiangthoute taksapna ah taksap awnghu unla; mikhualte kipahpihin om nilouh un.
13Wasaidieni watu wa Mungu katika mahitaji yao; wapokeeni wageni kwa ukarimu.
14Honsawite vualjawl sak unla, vualjawl unla, hamsiat kei un.
14Watakieni baraka wote wanaowadhulumu ninyi; naam, watakieni baraka na wala msiwalaani.
15Kipakte kipahpih unla, kapte kahpih un.
15Furahini pamoja na wanaofurahi, lieni pamoja na wanaolia.
16Ngaihtuah kibangin om chiat un, Kingaihtuah sang lo kei unla, mi neuneu kithuahpih jaw un. Kipil sak kei un.
16Muwe na wema uleule kwa kila mtu. Msijitakie makuu, bali jishugulisheni na watu wadogo. Msijione kuwa wenye hekima sana.
17Kua gitlouh leng gilouin thuk kei un. Mi tengteng muhin thil kilawm ngaihtuah un.
17Msilipe ovu kwa ovu. Zingatieni mambo mema mbele ya wote.
18A theih liai leh, noumau lambek, mi tengteng toh kituakin om un.
18Kadiri inavyowezekana kwa upande wenu, muwe na amani na watu wote.
19Deihtakte aw, phu kila kei unla, Pathian tuh hehna awn jaw un, Phulak himhim kei lak ding ahi, ken ka thuk ding, Toupan a chi, chih gelh ahi ngala.
19Wapenzi wangu, msilipize kisasi, bali mwachieni Mungu jambo hilo; maana Maandiko Matakatifu yasema: "Kulipiza kisasi ni shauri langu; mimi nitalipiza asema Bwana."
20Huaijiakin, na melma a gilkial leh nek ding pia inla; adangtak leh dawn ding pia in; huchibang na hih leh a lu tungah meiam na sekkhawm ahi ding hi.Gitlouh zohin om kenla, hoihnain gilou zou jaw in.
20Tena, Maandiko yasema: "Adui yako akiwa na njaa, mpe chakula; akiwa na kiu, mpe kinywaji. Maana kwa kufanya hivyo utamfanya apate aibu kali kama makaa ya moto juu ya kichwa chake."
21Gitlouh zohin om kenla, hoihnain gilou zou jaw in.
21Usikubali kushindwa na ubaya, bali ushinde ubaya kwa wema.