Polish

Swahili: New Testament

1 Peter

4

1Ponieważ tedy Chrystus ucierpiał za nas w ciele, i wy też tąż myślą bądźcie uzbrojeni, że ten, co cierpiał w ciele, poprzestał grzechu,
1Maadamu Kristo aliteseka kimwili, nanyi pia mnapaswa kujiimarisha kwa nia hiyo yake; maana mtu akisha teseka kimwili hahusiki tena na dhambi.
2Aby już więcej nie cielesnym pożądliwościom, ale woli Bożej żył ostatek czasu w ciele.
2Tangu sasa, basi, maisha yaliowabakia kuishi hapa duniani yanapaswa kuongozwa na matakwa ya Mungu, si na tamaa za kibinadamu.
3Albowiem dosyć nam, żeśmy przeszłego czasu żywota popełniali lubości pogan, chodząc w rozpustach, w pożądliwościach, w opilstwach, w biesiadach, w pijaóstwach i sprośnych bałwochwalstwach.
3Wakati uliopita mlikuwa na muda mrefu wa kufanya mambo wanayofanya watu wasiomjua Mungu. Mliishi maisha ya anasa, ubinafsi, ulevi, ugomvi, kunywa mno na ya ibada haramu za sanamu.
4Przetoż, że się wy z nimi nie schadzacie na taką zbyteczną rozpustę, zda się im rzeczą obcą i bluźnią to.
4Sasa, watu hao wasiomjua Mungu wanashangaa wanapoona kwamba hamwandamani nao tena katika hali ya kuishi vibaya, na hivyo wanawatukaneni.
5Ci dadzą liczbą temu, który gotowy jest sądzić żywych i umarłych.
5Lakini watapaswa kutoa hoja juu ya jambo hilo mbele yake Mungu aliye tayari kuwahukumu wazima na wafu!
6Dlatego bowiem i umarłym kazano Ewangieliję, aby sądzeni byli według ludzi z strony ciała, ale żyli według Boga duchem.
6Kwa sababu hiyo, hao waliokufa ambao walikuwa wamehukumiwa katika maisha yao ya kimwili kama anavyohukumiwa kila mmoja, walihubiriwa Habari Njema kusudi katika maisha yao ya kiroho waishi kama aishivyo Mungu.
7A wszystkiemuć się koniec przybliża.
7Mwisho wa vitu vyote umekaribia. Kwa hiyo mnapaswa kuwa na utaratibu na nidhamu, ili mweze kusali.
8Przetoż trzeźwymi bądźcie i czułymi ku modlitwom, a nade wszystko miejcie uprzejmą miłość jedni ku drugim; albowiem miłość zakryje mnóstwo grzechów.
8Zaidi ya yote pendaneni kwa moyo wote, maana upendo hufunika dhambi nyingi.
9Gościnnymi bądźcie jedni ku drugim bez szemrania.
9Muwe na ukarimu ninyi kwa ninyi bila kunung'unika.
10Każdy jako wziął dar, tak nim jeden drugiemu usługujcie, jako dobrzy szafarze rozlicznej łaski Bożej.
10Kila mmoja anapaswa kutumia kipaji alichojaliwa na Mungu kwa faida ya wengine, kama vile uwakili mwema wa zawadi mbalimbali za Mungu.
11Jeźli kto mówi, niech mówi jako wyroki Boże, jeźli kto posługuje, niech to czyni jako z siły, której Bóg dodaje, aby we wszystkiem chwalony był Bóg przez Jezusa Chrystusa, któremu należy chwała i panowanie na wieki wieków. Amen.
11Anayesema kitu, maneno yake na yawe kama maneno ya Mungu; anayetumika anapaswa kutumikia kwa nguvu anayojaliwa na Mungu, ili katika mambo yote, Mungu atukuzwe kwa njia ya Yesu Kristo, ambaye utukufu na nguvu ni vyake milele na milele! Amina.
12Najmilsi! niech wam nie będzie rzeczą dziwną ten ogieó, który na was przychodzi ku doświadczeniu waszemu, jakoby co obcego na was przychodziło;
12Wapenzi wangu, msishangae kuhusu majaribio makali mnayopata kana kwamba mnapatwa na kitu kisicho cha kawaida.
13Ale radujcie się z tego, żeście uczestnikami ucierpienia Chrystusowego, abyście się i w objawienie chwały jego z radością weselili.
13Ila furahini kwamba mnashiriki mateso ya Kristo ili mweze kuwa na furaha tele wakati utukufu wake utakapofunuliwa.
14Jeźli was lżą dla imienia Chrystusowego, błogosławieni jesteście, gdyż on Duch chwały a Duch Boży odpoczywa na was, który względem nich bywa bluźniony, ale względem was bywa uwielbiony.
14Heri yenu ikiwa mnatukanwa kwa sababu ya jina la Kristo; jambo hilo lamaanisha kwamba Roho mtukufu, yaani Roho wa Mungu, anakaa juu yetu.
15A żaden z was niech nie cierpi jako mężobójca, albo złodziej, albo złoczyóca, albo jako w cudzy urząd się wtrącający.
15Asiwepo mtu yeyote miongoni mwenu ambaye anapaswa kuteseka kwa sababu ni muuaji, mwizi, mhalifu au mwovu.
16Lecz jeźli cierpi jako chrześcijanin, niech się nie wstydzi, owszem niech chwali Boga w tej mierze.
16Lakini kama mtu akiteseka kwa sababu ni Mkristo, basi asione aibu, bali amtukuze Mungu, kwa sababu mtu huyo anaitwa kwa jina la Kristo.
17Albowiem czas jest, aby się sąd począł od domu Bożego; a ponieważ najprzód zaczyna się od nas, jakiż będzie koniec tych, co są nieposłuszni Ewangielii Bożej?
17Wakati wa hukumu umefika, na hukumu hiyo inaanza na watu wake Mungu mwenyewe. Ikiwa hukumu hiyo inaanzia kwetu sisi, basi mwisho wake utakuwa namna gani kwa wale wasioamini Habari Njema ya Mungu?
18A ponieważ sprawiedliwy ledwie zbawiony będzie, niezbożny i grzeszny gdzież się okaże?
18Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: "Ni vigumu kwa watu waadilifu kuokolewa; itakuwaje basi kwa wasiomcha Mungu na wenye dhambi?"
19Przetoż i ci, którzy cierpią według woli Bożej, niechaj jemu, jako wiernemu Stworzycielowi, poruczają dusze swoje, dobrze czyniąc.
19Kwa hiyo, wale wanaoteseka kufuatana na matakwa ya Mungu, wanapaswa, kwa matendo yao mema, kujiweka chini ya Muumba wao ambaye ni wa kuaminika kabisa.