Polish

Swahili: New Testament

1 Timothy

4

1A Duch jawnie mówi, iż w ostateczne czasy odstaną niektórzy od wiary, słuchając duchów zwodzących i nauk dyjabelskich,
1Roho asema waziwazi kwamba siku za baadaye watu wengine wataitupilia mbali imani; watazitii roho danganyifu na kufuata mafundisho ya pepo.
2W obłudzie kłamstwo mówiących i piętnowane mających sumienie swoje,
2Mafundisho ya namna hiyo yanaenezwa na watu waongo wadanganyifu, ambao dhamiri zao ziko kama zimechomwa kwa chuma cha moto.
3Zabraniających wstępować w małżeóstwo, rozkazujących wstrzymywać się od pokarmów, które Bóg stworzył ku przyjmowaniu z dziękowaniem wiernym i tym, którzy poznali prawdę.
3Watu hao hufundisha kwamba ni makosa kuona na pia kula vyakula fulani. Lakini Mungu aliviumba vyakula hivyo, ili wale walio waumini na ambao wanapata kuujua ukweli, wavitumie kwa shukrani.
4Bo wszelkie stworzenie Boże dobre jest, a nic nie ma być odrzuconem, co z dziękowaniem bywa przyjmowane;
4Kila kitu alichoumba Mungu ni chema, wala hakuna kinachohitaji kukataliwa, bali vyote vipokelewe kwa sala ya shukrani,
5Albowiem poświęcone bywa przez słowo Boże i przez modlitwę.
5kwa sababu neno la Mungu na sala hukifanya kitu hicho kikubalike kwa Mungu.
6To przekładając braciom, będziesz dobrym sługą Chrystusa Jezusa, wychowanym w słowach wiary i nauki dobrej, którejś naśladował.
6Kama ukiwapa ndugu wote maagizo haya, utakuwa mtumishi mwema wa Kristo Yesu, ukijiendeleza kiroho kwa maneno ya imani na mafundisho ya kweli, ambayo wewe umeyafuata.
7A świeckich i babich baśni chroó się; ale się ćwicz w pobożności.
7Lakini achana na hadithi zile zisizo za kidini na ambazo hazina maana. Jizoeshe kuishi maisha ya uchaji wa Mungu.
8Albowiem cielesne ćwiczenie mało jest pożyteczne; lecz pobożność do wszystkiego jest pożyteczna, mając obietnicę żywota teraźniejszego i przyszłego.
8Mazoezi ya mwili yana faida yake, lakini mazoezi ya kiroho yana faida za kila namna, maana yanatuahidia uzima katika maisha ya sasa, na pia hayo yanayokuja.
9Wierna to jest mowa i wszelkiego przyjęcia godna.
9Usemi huo ni wa kusadikika kabisa na unastahili kukubaliwa.
10Albowiem przeto też pracujemy i lżeni bywamy, że nadzieję mamy w Bogu żywym, który jest zbawicielem wszystkich ludzi, a najwięcej wiernych.
10Sisi tunajitahidi na kufanya kazi kwa bidii kwani tumemwekea tumaini letu Mungu aliye hai ambaye ni Mwokozi wa watu wote, na hasa wale wanaoamini.
11To przykazuj i tego nauczaj.
11Wape maagizo hayo na mafundisho hayo.
12Żaden młodością twoją niech nie gardzi; ale bądź przykładem wiernych w mowie, w obcowaniu, w miłości, w duchu, w wierze, w czystości.
12Usikubali mtu yeyote akudharau kwa sababu wewe ni kijana, lakini jitahidi uwe mfano kwa wanaoamini: katika usemi wako, mwenendo wako, upendo, imani na maisha safi.
13Póki nie przyjdę, pilnuj czytania, napominania i nauki.
13Tumia wakati wako na juhudi yako katika kusoma hadharani Maandiko Matakatifu, kuhubiri na kufundisha, mpaka nitakapokuja.
14Nie zaniedbywaj daru Bożego, który w tobie jest, któryć dany jest przez prorokowanie z włożeniem rąk starszych.
14Usiache kukitumia kile kipaji cha Kristo ndani yako ulichopewa kwa maneno ya manabii na kwa kuwekewa mikono na wazee.
15O tem rozmyślaj, tem się zabawiaj, aby postępek twój jawny był wszystkim.
15Fikiri kwa makini juu ya hayo yote na kuyatekeleza kusudi maendeleo yako yaonekane na wote.
16Pilnuj samego siebie i nauczania, trwaj w tych rzeczach; bo to czyniąc, i samego siebie zbawisz, i tych, którzy cię słuchają.
16Angalia sana mambo yako mwenyewe, na mafundisho yako. Endelea kufanya hayo maana ukifanya hivyo utajiokoa mwenyewe na wale wanaokusikiliza.