Polish

Swahili: New Testament

1 Timothy

6

1Którzykolwiek słudzy są pod jarzmem, niech rozumieją panów swych godnych być wszelakiej czci, aby imię Boże i nauka nie była bluźniona.
1Watumwa wote wanapaswa kuwaheshimu wakuu wao ili kusiwe na sababu ya watu kulitukana jina la Mungu na mafundisho yetu.
2A którzy mają panów wiernych, niech nimi nie gardzą, dlatego iż są braćmi, ale tem raczej niech służą, iż są wierni i mili, dobrodziejstwa Bożego uczestnicy. Tego nauczaj i do tego upominaj.
2Watumwa ambao wakuu wao ni Wakristo wasiwadharau kwani ni ndugu zao. Badala yake, wanapaswa kuwatumikia hata vizuri zaidi, maana hao wanaopata faida kutokana na kazi yao ni waumini ambao wanawapenda. Unapaswa kufundisha na kuhubiri mambo haya.
3Jeźli kto inaczej uczy, a nie przystępuje do zdrowych mów Pana naszego, Jezusa Chrystusa, i do tej nauki, która jest według pobożności,
3Mtu yeyote anayefundisha kinyume cha mambo haya, na ambaye hakubaliani na maneno ya kweli ya Bwana wetu Yesu Kristo na mafundisho ya dini,
4Taki nadęty jest i nic nie umie, ale szaleje około gadek i sporów o słowa, z których pochodzi zazdrość, swar, złorzeczenia, złe podejrzenia,
4huyo amejaa majivuno na wala hajui chochote. Ni mtu wa kupenda ubishi na magombano juu ya maneno matupu, na hiyo husababisha wivu, ugomvi, matusi, shuku mbaya,
5Przewrotne ćwiczenia ludzi umysłu skażonego i którzy pozbawieni są prawdy, którzy rozumieją, że pobożność jest zyskiem cielesnym; odstąpże od takich.
5na ubishi usio na kikomo kutoka kwa watu ambao akili zao zimeharibika, na ambao hawana tena ukweli. Wanadhani dini ni njia ya kujipatia utajiri.
6A jestci wielki zysk pobożność z przestawaniem na swem;
6Kweli dini humfanya mtu awe tajiri sana, ikiwa anatosheka na vitu alivyo navyo.
7Albowiem niceśmy nie przynieśli na ten świat, bez pochyby że też wynieść nic nie możemy;
7Maana hatukuleta kitu chochote hapa duniani, wala hatutachukua chochote.
8Ale mając żywność i odzienie, na tem przestawać mamy.
8Kwa hiyo basi, kama tunacho chakula na mavazi, tunapaswa kuridhika navyo.
9Bo którzy chcą bogatymi być, wpadają w pokuszenie i w sidło, i w wiele głupich i szkodliwych pożądliwości, które pogrążają ludzi na zatracenie i zginienie.
9Lakini wale wanaotaka kutajirika huanguka katika majaribu, na kunaswa katika mtego wa tamaa nyingi mbaya za kipumbavu, ambazo huwavuta mpaka kwenye uharibifu na maangamizi.
10Albowiem korzeó wszystkiego złego jest miłość pieniędzy, których niektórzy pragnąc, pobłądzili od wiary i poprzebijali się wieloma boleściami.
10Kwa maana kupenda sana fedha ni chanzo cha uovu wote. Watu wengine wametamani sana kupata fedha hata wakatangatanga mbali na imani, na wameivunja mioyo yao kwa huzuni nyingi.
11Ale ty, człowiecze Boży! chroó się takich rzeczy, a naśladuj sprawiedliwości, pobożności, wiary, miłości, cierpliwości, cichości.
11Lakini wewe, mtu wa Mungu, jiepushe na mambo hayo. Zingatia uadilifu, uchaji wa Mungu, imani, mapendo, subira na unyenyekevu.
12Bojuj on dobry bój wiary, chwyć się żywota wiecznego, do któregoś też powołany, i wyznałeś dobre wyznanie przed wieloma świadkami.
12Piga mbio kadiri uwezavyo katika shindano la mbio za imani, ukajipatie tuzo la uzima wa milele, uliloitiwa wakati ulipokiri imani yako mbele ya mashahidi wengi.
13Rozkazuję ci przed Bogiem, który wszystko ożywia i przed Chrystusem Jezusem, który oświadczył przed Ponckim Piłatem dobre wyznanie,
13Mbele ya Mungu anayevipa vitu vyote uhai, na mbele ya Yesu Kristo aliyetoa ushahidi na kukiri ukweli mbele ya Pontio Pilato,
14Abyś zachował to przykazanie, będąc bez zmazy, bez nagany, aż do objawienia Pana naszego, Jezusa Chrystusa,
14nakuamuru ushike maagizo yako na kuyatii kwa uaminifu mpaka Siku ile atakapotokea Bwana wetu Yesu Kristo.
15Które czasów swoich okaże on błogosławiony i sam możny król królujących i Pan panujących;
15Kutokea kwake kutafanyika wakati ufaao uliopangwa na Mungu mwenye heri na aliye Mtawala pekee, Mfalme wa wafalme, na Bwana wa mabwana.
16Który sam ma nieśmiertelność i mieszka w światłości nieprzystępnej, którego nie widział żaden z ludzi, ani widzieć może; któremu niech będzie cześć i moc wieczna. Amen.
16Yeye peke yake anaishi milele, katika mwanga usioweza kukaribiwa na mtu. Hakuna mtu aliyepata kumwona au awezaye kumwona. Kwake iwe heshima na uwezo wa milele! Amina.
17Bogaczom w tym teraźniejszym wieku rozkaż, aby nie byli wysokomyślnymi, ani nadziei pokładali w bogactwie niepewnem, ale w Bogu żywym, który nam wszystkiego obficie ku używaniu dodaje:
17Waamuru watu walio matajiri katika mambo ya maisha ya sasa, wasijivune, wasiweke tumaini lao katika mali isiyoweza kutegemewa; bali wamtegemee Mungu, ambaye kwa ukarimu hutupatia vitu vyote tuvifurahie.
18Aby innym dobrze czynili, w uczynki dobre bogatymi byli, radzi dawali, a radzi udzielali,
18Waamuru watende mema, wawe matajiri katika matendo mema, na wawe wakarimu na walio tayari kuwashirikisha wengine mali zao.
19Skarbiąc sami sobie grunt dobry na przyszły czas, aby otrzymali żywot wieczny.
19Kwa namna hiyo watajiwekea hazina ambayo itakuwa kwao msingi imara kwa wakati ujao. Hapo wataweza kujipatia uzima ambao ni uzima wa kweli.
20O Tymoteuszu! strzeż tego, czegoć się powierzono, a brzydź się świecką próżnomównością i sprzeczaniem około fałszywie nazwanej umiejętności,
20Timotheo, tunza salama yote yale uliyokabidhiwa. Jiepushe na majadiliano ya kidunia na ubishi wa kipumbavu juu ya kile wanachokiita watu wengine: "Elimu".
21Którą się niektórzy szczycąc z strony wiary, celu uchybili. Łaska niech będzie z tobą. Amen.
21Maana wengine wamejidai kuwa na hiyo elimu, na matokeo yake wamepoteza imani. Nawatakieni nyote neema!