1Paweł, Apostoł Jezusa Chrystusa przez wolę Bożą, i Tymoteusz brat,zborowi Bożemu, który jest w Koryncie, ze wszystkimi świętymi, którzy są we wszystkiej Achai.
1Mimi Paulo, mtume wa Kristo Yesu kwa mapenzi ya Mungu, na ndugu Timotheo, tunawaandikia ninyi mlio kanisa la Mungu huko Korintho, na watu wote wa Mungu kila mahali katika Akaya.
2Łaska niech będzie wam i pokój od Boga, Ojca naszego, i Pana Jezusa Chrystusa.
2Tunawatakieni neema na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo.
3Błogosławiony niech będzie Bóg i Ojciec Pana naszego, Jezusa Chrystusa, Ojciec miłosierdzia a Bóg wszelkiej pociechy,
3Atukuzwe Mungu na Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, Baba mwenye huruma na Mungu mwenye kuleta faraja yote.
4Który nas cieszy w każdym ucisku naszym, abyśmy i my cieszyć mogli i tych, którzy są w jakimkolwiek ucisku, tąż pociechą, którą my sami pocieszeni bywamy od Boga.
4Yeye hutufariji sisi katika taabu zetu zote, ili nasi tupate kuwafariji wengine katika kila taabu kwa faraja hiyohiyo tunayopokea kutoka kwa Mungu.
5Gdyż jako w nas obfitują utrapienia Chrystusowe, tak przez Chrystusa obfituje i pociecha nasza.
5Naam, kadiri mateso ya Kristo yanavyozidi ndani yetu, ni kadiri hiyohiyo tunazidi kufarijiwa naye.
6Bo choć bywamy uciśnieni, dla waszej to pociechy i zbawienia, które się sprawuje przez znoszenie tegoż utrapienia, które i my cierpimy; choć też pocieszeni bywamy, i to dla waszej pociechy i zbawienia;
6Ikiwa tunapata taabu, basi ni kwa ajili ya faraja na wokovu wenu. Tukifarijika, ni kwa ajili ya kuwafariji ninyi na kuwaunga mkono mpate nguvu ya kustahimili mateso yaleyale tunayoteseka sisi.
7A nadzieja nasza mocna jest o was, ponieważ wiemy, iż jakoście uczestnikami utrapienia, tak i pociechy.
7Tena, matumaini tuliyo nayo kwa ajili yenu ni imara; tunajua kwamba mkishiriki mateso yetu, mtashiriki pia faraja yetu.
8Albowiem nie chcemy, abyście nie mieli wiedzieć, bracia! o ucisku naszym, który nas spotkał w Azyi, iżeśmy nazbyt byli obciążeni i nad możność, tak iżeśmy byli poczęli wątpić i o żywocie.
8Ndugu, tunataka kuwajulisheni taabu zilizotupata kule Asia; taabu hizo zilitulemea kupita kiasi, hata tukakata matumaini yote ya kuendelea kuishi.
9Owszem i sami w sobie mieliśmy wyrok śmierci, abyśmy nie ufali sami w sobie, ale w Bogu, który wzbudza umarłych;
9Naam, tulikuwa kama watu waliohukumiwa kuuawa, ili tufundishwe kumtegemea Mungu mwenye kuwafufua wafu, badala ya kutegemea nguvu zetu sisi wenyewe.
10Który z tak wielkiej śmierci wyrwał nas i jeszcze wyrywa, w którym nadzieję mamy, iż i napotem wyrwie;
10Yeye alituokoa katika hatari kubwa ya kifo, na anaendelea kutuokoa; sisi tumemwekea tumaini letu kwamba atatuokoa tena,
11Zwłaszcza gdy się też i wy pomożecie modlić za nami, aby za ten dar, który przez wiele osób nam jest pokazany, były też od wielu osób dzięki czynione za nas.
11ninyi mkiwa mnatuunga mkono kwa kutuombea. Hivyo neema tutakazokuwa tumepata kutokana na maombi ya watu wengi hivyo, ziwe sababu ya watu wengi zaidi kumshukuru Mungu kwa ajili yetu.
12Albowiem toć jest chluba nasza, świadectwo sumienia naszego, żeśmy w prostocie i w szczerości Bożej, nie w cielesnej mądrości, ale w łasce Bożej na świecie obcowali, a najwięcej między wami.
12Sisi tunajivunia kitu kimoja: dhamiri yetu inatuhakikishia kwamba tumeishi ulimwenguni hapa, na hasa kati yenu, kwa unyenyekevu na unyofu tuliojaliwa na Mungu; hatukuongozwa na hekima ya kibinadamu bali neema ya Mungu.
13Albowiem nic inszego wam nie piszemy, tylko to, co czytacie, albo też poznawacie, a spodziewam się, iż też aż do koóca poznacie,
13Tunawaandikia ninyi mambo mnayoweza kuyasoma na kuyaelewa. Ninatumaini kwamba mtaelewa vizuri kabisa,
14Jakoście też nas poznali po części, żeśmy chlubą waszą, jako i wy naszą w dzieó Pana Jezusa.
14maana mpaka sasa mmenielewa kiasi fulani tu. Tunajua kwamba katika ile Siku ya Bwana Yesu mtaweza kutuonea sisi fahari kama nasi tunavyowaonea ninyi fahari.
15I z tąć ufnością chciałem był iść do was najpierwej, abyście wtóre dobrodziejstwo odebrali;
15Nikiwa na matumaini hayo, nilikusudia kuja kwenu hapo awali ili mpate baraka maradufu.
16I przez was iść do Macedonii, i zasię z Macedonii przyjść do was, i od was być odprowadzony do Judzkiej ziemi.
16Nilikusudia kupita kwenu nikiwa safarini kwenda Makedonia, na wakati wa kurudi pia, ili nipate msaada wenu kwa safari yangu kwenda Yudea.
17O tem tedy myśląc, izalim co lekkomyślnie uczynił? albo to, o czem myślę, izali według ciała myślę, aby było u mnie: Tak tak i Nie nie?
17Je, mnadhani nilipopanga hivyo nimekuwa kama mtu asiye na msimamo? Je, mnadhani kwamba ninafanya uamuzi wangu kwa fikira za kibinadamu na kwamba nasema "Ndiyo" na "Siyo" papo hapo?
18Aleć wierny jest Bóg, iż mowa nasza do was nie była: Tak i Nie.
18Mungu ni ukweli mtupu; basi, kile tulichowaambia ninyi si jambo la "Ndiyo" na "Siyo".
19Albowiem Syn Boży, Jezus Chrystus, który między wami przez nas jest opowiadany, to jest, przez mię i przez Sylwana, i przez Tymoteusza, nie był: Tak i Nie; ale Tak w nim było.
19Maana Kristo Yesu, Mwana wa Mungu, ambaye mimi, Silwano na Timotheo, tulimhubiri kwenu, hakuwa mtu wa "Ndiyo" na "Siyo"; bali yeye daima ni "Ndiyo" ya Mungu.
20Bo ile jest obietnic Bożych, w nim są Tak i w nim są Amen, ku chwale Bożej przez nas.
20Maana ndani yake ahadi zote za Mungu zimekuwa "Ndiyo". Kwa sababu hiyo, "Amina" yetu husemwa kwa njia ya Kristo kwa ajili ya kumtukuza Mungu.
21Ale ten, który nas utwierdza z wami w Chrystusie i który nas pomazał, Bóg jest;
21Mungu mwenyewe ndiye mwenye kutuimarisha sisi na ninyi pia katika Kristo, na ndiye anayetuweka wakfu;
22Który też zapieczętował nas i dał zadatek Ducha w serca nasze.
22ndiye aliyetutia mhuri wa kuwa mali yake yeye na kutujalia Roho mioyoni mwetu kama dhamana ya mambo yote ambayo ametuwekea.
23Aleć ja Boga przyzywam na świadectwo na duszę moję, iż szanując was, dotądem nie przyszedł do Koryntu;
23Mungu ndiye shahidi wangu--yeye anajua moyo wangu! Mimi sikuja tena Korintho, kwa sababu tu ya kuwahurumieni.
24Nie iżbyśmy panowali nad wiarą waszą, ale iż jesteśmy pomocnikami wesela waszego; bo wiarą stoicie.
24Hatutaki kutumia mabavu juu ya imani yenu; ninyi mko imara katika imani yenu. Wajibu wetu ni kufanya kazi pamoja kwa ajili ya furaha yenu.