1Obyście chcieli na chwilę znosić głupstwo moje! ale i znaszajcie mię.
1Laiti mngenivumilia kidogo, hata kama mimi ni mjinga kiasi fulani! Naam, nivumilieni kidogo.
2Albowiem gorliwym jestem ku wam gorliwością Bożą; bom was przygotował, abym was stawił czystą panną jednemu mężowi Chrystusowi.
2Ninawaoneeni wivu lakini ni wivu wa Mungu; maana ninyi ni kama bikira safi niliyemposa kwa mwanamume mmoja tu ambaye ndiye Kristo.
3Lecz boję się, by snać jako wąż oszukał Ewę chytrością swoją, tak też skażone myśli wasze nie odpadły od prostoty onej, która jest w Chrystusie.
3Lakini naogopa kwamba, kama vile yule nyoka kwa hila zake za uongo alimdanganya Hawa, fikira zenu zaweza kupotoshwa, mkauacha uaminifu wenu wa kweli kwa Kristo.
4Bo gdyby kto przyszedł, co by inszego Jezusa opowiadał, któregośmy nie opowiadali; albo gdybyście innego ducha wzięli, któregoście nie wzięli, albo inszą Ewangieliję, którejście nie przyjęli, dobrze byście go znosili.
4Maana mtu yeyote ajaye na kumhubiri Yesu aliye tofauti na yule tuliyemhubiri, ninyi mwampokea kwa mikono miwili; au mnakubali roho au habari njema tofauti kabisa na ile mliyopokea kutoka kwetu!
5Boć mam za to, żem nie był w niczem podlejszy, niżeli oni bardzo wielcy Apostołowie.
5Sidhani kwamba mimi ni mdogo kuliko hao "mitume wakuu."
6Bo chociażem też i prostakiem w mowie, wszakże nie w umiejętności; ale zgoła jawnymiśmy się stali we wszystkich rzeczach u was.
6Labda sina ufasaha wa lugha, lakini elimu ninayo; jambo hili tumelionyesha wazi kwenu, kila mahali na kila wakati.
7Izalim się grzechu dopuścił, żem samego siebie uniżył, abyście wy byli wywyższeni, a żem wam darmo Ewangieliję Bożą opowiadał?
7Mimi niliihubiri kwenu Habari Njema ya Mungu bila kudai mshahara; nilijinyenyekeza ili nipate kuwakweza ninyi. Je, nilifanya vibaya?
8Złupiłem inne zbory, biorąc od nich żołd, abym wam służył; a będąc u was i cierpiąc niedostatek, nie obciążyłem próżnując nikogo.
8Nilipofanya kazi kati yenu, mahitaji yangu yaligharimiwa na makanisa mengine. Kwa namna moja au nyingine niliwapokonya wao mali yao nipate kuwatumikia ninyi.
9Albowiem niedostatek mój dopełnili bracia, którzy przyszli z Macedonii, i we wszystkim strzegłem się, abym wam ciężkim nie był, i na potem strzec się będę.
9Nilipokuwa nanyi sikumsumbua mtu yeyote nilipohitaji fedha; ndugu waliotoka Makedonia waliniletea kila kitu nilichohitaji. Nilikuwa mwangalifu sana nisiwe mzigo kwa namna yoyote ile, na nitaendelea kufanya hivyo.
10Jestci prawda Chrystusowa we mnie, iż ta chluba nie będzie zatłumiona we mnie w krainach Achajskich.
10Naahidi kwa ule ukweli wa Kristo ulio ndani yangu, kwamba hakuna kitakachoweza kunizuia kujivunia jambo hilo popote katika Akaya.
11Dlategoż? czy że was nie miłuję? Bógci wie,
11Kwa nini nasema hivyo? Kwa sababu eti siwapendi ninyi? Mungu anajua kwamba nawapenda!
12Ale co czynię, czynić jeszcze będę dlatego, abym odciął przyczynę tym, którzy przyczyny szukają, aby w tem, z czego się chlubią, byli znalezieni tacy, jako i my.
12Nitaendelea kufanya kama ninavyofanya sasa, ili nisiwape nafasi wale wanaotafuta nafasi, nafasi ya kujivuna kwamba eti wanafanya kazi kama sisi.
13Albowiem takowi fałszywi Apostołowie są robotnicy zdradliwi, którzy się przemieniają w Apostoły Chrystusowe.
13Maana, hao ni mitume wa uongo, wafanyakazi wadanganyifu wanojisingizia kuwa mitume wa Kristo.
14A nie dziw: bo i szatan sam przemienia się w Anioła światłości.
14Wala si ajabu, maana hata Shetani mwenyewe hujisingizia kuwa malaika wa mwanga!
15Nie wielka tedy, jeźli też słudzy jego przemieniają się, jakoby byli sługami sprawiedliwości, których koniec będzie podług uczynków ich.
15Kwa hiyo si jambo la kushangaza ikiwa na hao watumishi wake wanajisingizia kuwa watumishi wa haki. Mwisho wao watapata kile wanachostahili kufuatana na matendo yao.
16Znowu powiadam, żeby mię kto nie miał za głupiego; jeźliż inaczej, więc jako głupiego przyjmijcie mię, abym się ja też nieco maluczko przechwalał.
16Tena nasema: Mtu asinifikirie kuwa mpumbavu. Lakini kama mkifikiri hivyo, basi, nichukueni kama mpumbavu ili nami nipate kuwa na cha kujivunia angaa kidogo.
17Co mówię, nie mówięć jako od Pana, ale jako w głupstwie z strony tej bezpiecznej chluby.
17Ninachosema sasa si kile alichoniagiza Bwana; kuhusu jambo hili la kujivuna, nasema tu kama mtu mpumbavu.
18Ponieważ się ich wiele chlubi według ciała, i ja się chlubić będę.
18Maadam wengi hujivuna kwa sababu za kidunia, nami pia nitajivuna.
19Bo radzi znosicie głupich, będąc sami mądrymi.
19Ninyi ni wenye busara, ndiyo maana hata mnawavumilia wapumbavu!
20Bo znosicie, choć was kto zniewala, choć kto pożera, choć kto bierze, choć się kto wynosi, choć was kto policzkuje.
20Mnamvumilia hata mtu anayewafanya ninyi watumwa, mtu mwenye kuwanyonya, mwenye kuwakandamiza, mwenye kuwadharau na kuwapiga usoni!
21Mówiąc według zelżywości, jakobyśmy byli słabymi; lecz w czem kto śmiałym jest, (w głupstwie mówię) i jam śmiały.
21Kwa aibu nakubali kwamba sisi tulikuwa dhaifu. Iwe iwavyo, lakini kama kuna mtu yeyote anayethubutu kujivunia kitu--nasema kama mtu mpumbavu--mimi nathubutu pia.
22Żydowie są, jestem i ja. Izraelczycy są, jestem i ja. Nasieniem Abrahamowem są, jestem i ja.
22Je, wao ni Waebrania? Hata mimi. Je, wao ni Waisraeli? Hata mimi. Wao ni wazawa wa Abrahamu? Hata mimi.
23Sługami Chrystusowymi są, (głupio mówię), więcej ja; w pracach obficiej, w razach nad miarę, w więzieniach obficiej, w śmierciach częstokroć.
23Wao ni watumishi wa Kristo? Hata mimi--nanena hayo kiwazimu--ni mtumishi wa Kristo zaidi kuliko wao. Mimi nimefanya kazi ngumu zaidi, nimekaa gerezani mara nyingi zaidi, nimepigwa mara nyingi zaidi na nimekaribia kifo mara nyingi.
24Od Żydów wziąłem pięciokroć po czterdzieści plag bez jednej.
24Mara tano nilichapwa vile viboko thelathini na tisa vya Wayahudi.
25Trzykrociem był bity rózgami; razem był kamionowany; trzykroć się ze mną okręt rozbił, dzieó i noc byłem w głębokości morskiej;
25Nilipigwa viboko mara tatu, nilipigwa mawe mara moja; mara tatu nilivunjikiwa meli baharini, na humo nikakesha usiku kucha na kushinda mchana kutwa.
26W drogach częstokroć, w niebezpieczeóstwach na rzekach, w niebezpieczeóstwach od zbójców, w niebezpieczeóstwach od swego narodu, w niebezpieczeóstwach od pogan, w niebezpieczeóstwach w mieście, w niebezpieczeóstwach na puszczy, w niebezpieczeóstwach na morzu, w niebezpieczeóstwach między fałszywymi braćmi;
26Kila mara safarini nimekabiliwa na hatari za mafuriko ya mito, na hatari za wanyama; hatari kutoka kwa wananchi wenzangu na kutoka kwa watu wa mataifa mengine; hatari za mjini, hatari za porini, hatari za baharini, hatari kutoka kwa ndugu wa uongo
27W pracy i w utrapieniu, w niedosypianiu często, w głodzie, i w pragnieniu, w postach często, i w zimnie, i w nagości;
27Nimefanya kazi na kutaabika, nimekesha bila usingizi mara nyingi; nimekuwa na njaa na kiu; mara nyingi nimefunga na kukaa katika baridi bila nguo.
28Oprócz tego, co skądinąd przyda, ono naleganie na mię na każdy dzieó i ono staranie o wszystkie zbory.
28Na, licha ya mengine mengi, kila siku nakabiliwa na shughuli za makanisa yote.
29Któż choruje, a ja nie choruję? Któż się gorszy, a ja nie palę?
29Kama mtu yeyote ni dhaifu, nami pia ni dhaifu; mtu yeyote akikwazwa, nami pia huwa na wasiwasi.
30Jeźli się mam chlubić, z krewkości moich chlubić się będę.
30Ikinilazimu kujivuna, basi, nitajivunia udhaifu wangu.
31Bóg i Ojciec Pana naszego, Jezusa Chrystusa, który jest błogosławiony na wieki, wie, iż nie kłamię.
31Mungu na Baba wa Bwana Yesu--jina lake litukuzwe milele--yeye anajua kwamba sisemi uongo.
32W Damaszku hetman ludu króla Arety osadził był strażą miasto Damaszek, chcąc mię pojmać;
32Nilipokuwa Damasko, mkuu wa mkoa, aliyekuwa chini ya mfalme Areta, alikuwa akiulinda mji wa Damasko ili apate kunikamata.
33alem oknem po powrozie w koszyku przez mur był spuszczony i uszedłem rąk jego.
33Lakini, ndani ya kapu kubwa, niliteremshwa nje kupitia katika nafasi ukutani, nikachopoka mikononi mwake.