Polish

Swahili: New Testament

Acts

21

1A gdyśmy odjechali, rozstawszy się z nimi, prosto jadąc, przyjechaliśmy do Kou, a nazajutrz do Rodu, a stamtąd do Patary.
1Tulipokwisha agana nao, tulipanda meli tukaenda moja kwa moja mpaka Kosi. Kesho yake tulifika Rodo, na kutoka huko tulikwenda Patara.
2A tam znalazłszy okręt, który miał płynąć do Fenicyi, wsiadłszy weó, jechaliśmy.
2Huko, tulikuta meli iliyokuwa inakwenda Foinike, hivyo tulipanda, tukasafiri.
3A gdy się nam ukazał Cypr, tedy zostawiwszy go po lewej stronie, płynęliśmy do Syryi i przypłynęliśmy do Tyru; albowiem tam z okrętu towary składać miano.
3Baada ya kufika mahali ambapo tuliweza kuona Kupro, tulipitia upande wake wa kusini tukaelekea Siria. Tulitia nanga katika mji wa Tiro ambapo ile meli ilikuwa ipakuliwe shehena yake.
4A znalazłszy uczniów, zamieszkaliśmy tam siedm dni; którzy mówili Pawłowi przez ducha, aby nie chodził do Jeruzalemu.
4Tulikuta waumini huko, tukakaa pamoja nao kwa muda wa juma moja. Waumini hao wakawa waongea kwa nguvu ya Roho, wakamwambia Paulo asiende Yerusalemu.
5A gdyśmy przemieszkali one dni, wyszedłszy, poszliśmy, a wszyscy nas prowadzili z żonami i z dziatkami aż za miasto, a klęknąwszy na kolana na brzegu, modliliśmy się.
5Lakini muda wetu ulipokwisha tuliondoka. Wote pamoja na wanawake na watoto wao walitusindikiza mpaka nje ya mji. Tulipofika pwani, sote tulipiga magoti tukasali.
6A pożegnawszy się jedni z drugimi, wstąpiliśmy w okręt, a oni się wrócili do domu.
6Kisha tuliagana; sisi tukapanda meli nao wakarudi makwao.
7A my odprawiwszy płynienie z Tyru, przypłynęliśmy do Ptolemaidy, a pozdrowiwszy braci, zamieszkaliśmy u nich przez jeden dzieó.
7Sisi tuliendelea na safari yetu kutoka Tiro tukafika Tolemai ambapo tuliwasalimu ndugu zetu, tukakaa nao siku moja.
8A nazajutrz wyszedłszy Paweł i my, którzyśmy z nim byli, przyszliśmy do Cezaryi, a wszedłszy w dom Filipa Ewangielisty, który był jeden z onych siedmiu, zostaliśmy u niego.
8Kesho yake tuliondoka tukaenda Kaisarea. Huko Kaisarea tulikwenda nyumbani kwa mhubiri Filipo. Yeye alikuwa mmoja wa wale saba waliochaguliwa kule Yerusalemu.
9A ten miał cztery córki panny, które prorokowały.
9Alikuwa na binti watatu ambao walikuwa na kipaji cha unabii.
10A gdyśmy tam przez niemało dni zamieszkali, przyszedł z Judzkiej ziemi prorok niektóry, imieniem Agabus.
10Baada ya kukaa huko siku kadhaa, nabii mmoja aitwaye Agabo alifika kutoka Yudea.
11Ten przyszedłszy do nas i wziąwszy pas Pawła, a związawszy sobie ręce i nogi, rzekł: To mówi Duch Święty: Męża, którego jest ten pas, tak zwiążą w Jeruzalemie Żydowie i podadzą go w ręce poganom.
11Alitujia, akachukua mkanda wa Paulo, akajifunga mikono na miguu, akasema "Roho Mtakatifu asema hivi: Wayahudi kule Yerusalemu watamfunga namna hii mtu mwenye ukanda na kumtia mikononi mwa watu wa mataifa."
12A gdyśmy to usłyszeli, prosiliśmy i my i ci, którzy na onem miejscu byli, aby on nie chodził do Jeruzalemu.
12Tuliposikia hayo, sisi na wale watu wengine waliokuwa hapo tulimsihi Paulo asiende Yerusalemu.
13Tedy odpowiedział Paweł: Cóż czynicie płacząc i serce mi psując? Albowiem ja nie tylko być związanym, ale i umrzeć jestem gotowy w Jeruzalemie dla imienia Pana Jezusowego.
13Lakini yeye alijibu, "Mnataka kufanya nini? Mnataka kuvunja moyo wangu kwa machozi? Niko tayari siyo tu kutiwa ndani kule Yerusalemu, ila hata kufa kwa ajili ya Bwana Yesu."
14A gdy się on nie dał namówić, daliśmy pokój, mówiąc: Niech się stanie wola Paóska.
14Tuliposhindwa kumshawishi tulinyamaza, tukasema tu: "Mapenzi ya Bwana yafanyike"
15A po onych dniach, wziąwszy rzeczy swoje, szliśmy do Jeruzalemu.
15Baada ya kukaa pale kwa muda, tulifunga mizigo yetu, tukaendelea na safari kwenda Yerusalemu.
16A szli z nami i niektórzy uczniowie z Cezaryi, wiodąc z sobą tego, u któregośmy gospodą stać mieli, niejakiego Mnazona Cypryjczyka, starego ucznia.
16Wengine kati ya wale wafuasi wa Kaisarea walienda pamoja nasi, wakatupeleka nyumbani kwa Mnasoni ambaye tulikuwa tunakwenda kukaa naye kwa muda. Mnasoni alikuwa mwenyeji wa Kupro na alikuwa amekuwa muumini kwa siku nyingi.
17A gdyśmy przyszli do Jeruzalemu, wdzięcznie nas bracia przyjęli.
17Tulipofika Yerusalemu, ndugu waumini walitupokea vizuri sana.
18A nazajutrz wszedł z nami Paweł do Jakóba, gdzie się byli wszyscy starsi zeszli.
18Kesho yake Paulo alikwenda pamoja nasi kumwamkia Yakobo, na wazee wote wa kanisa walikuwako pia.
19Które pozdrowiwszy, rozpowiedział im wszystko porządnie, co Bóg uczynił między pogany przez usługę jego.
19Baada ya kuwasalimu, Paulo aliwapa taarifa kamili kuhusu yote Mungu aliyokuwa ametenda kati ya mataifa kwa njia ya utumishi wake.
20Co oni usłyszawszy, chwalili Pana i rzekli mu: Widzisz, bracie! jako jest wiele tysięcy Żydów, którzy uwierzyli; a ci wszyscy gorliwi są miłośnicy zakonu.
20Waliposikia hayo, walimtukuza Mungu. Kisha wakamwambia Paulo, "Ndugu, unaweza kuona kwamba kuna maelfu ya Wayahudi ambao sasa wamekuwa waumini na wote hao wanashika kwa makini Sheria ya Mose.
21Ale o tobie wzięli sprawę, że odwodzisz od Mojżesza wszystkich tych Żydów, którzy są między pogany, mówiąc, że nie mają obrzezywać dziatek, ani mają chodzić według ustaw zakonnych.
21Wamepata habari zako kwamba umekuwa ukiwafundisha Wayahudi wanaoishi kati ya mataifa mengine kuwa wasiijali Sheria ya Mose, wasiwatahiri watoto wao na kwamba wasizifuate mila za Wayahudi.
22Cóż tedy jest? Koniecznieć się musi zejść lud; bo usłyszą, żeś przyszedł.
22Sasa, mambo yatakuwaje? Ni dhahiri kuwa watapata habari kwamba umekwisha wasili hapa.
23A przetoż czyó to, coć mówimy; Mamy tu czterech mężów, którzy na sobie ślub mają;
23Basi, fanya kama tunavyokushauri. Tunao hapa watu wanne ambao wameweka nadhiri.
24Tych wziąwszy do siebie, oczyść się z nimi i uczyó nakład na nie, aby ogolili głowy; a poznają wszyscy, że to, co o tobie słyszeli, nic nie jest, ale że i ty sam chodzisz przestrzegając zakonu.
24Jiunge nao katika ibada ya kujitakasa, ukalipe na gharama zinazohusika, kisha wanyolewe nywele zao. Hivyo watu wote watatambua kwamba habari zile walizoambiwa juu yako hazina msingi wowote, na kwamba wewe binafsi bado unaishi kufuatana na maagizo ya Sheria za Mose.
25A o tych, którzy uwierzyli z pogan, myśmy pisali, stanowiąc, aby nic takowego nie zachowywali, tylko aby się wystrzegali tego, co jest ofiarowane bałwanom i od krwi, i od rzeczy dławionych, i od wszeteczeóstwa.
25Kuhusu wale watu wa mataifa mengine ambao wamekuwa waumini, tumekwisha wapelekea barua tukiwaambia mambo tuliyoamua: wasile chochote kilichotambikiwa miungu ya uongo, wasinywe damu, wasile nyama ya mnyama aliyenyongwa, na wajiepushe na uasherati."
26Tedy Paweł wziąwszy z sobą one męże, nazajutrz oczyszczony będąc z nimi, wszedł do kościoła, opowiadając wypełnienie dni oczyszczenia, aż za każdego z nich oddana była ofiara.
26Basi, kesho yake Paulo aliwachukua wale watu akafanya ibada ya kujitakasa pamoja nao. Kisha akaingia Hekaluni kutoa taarifa kuhusu mwisho wa siku za kujitakasa na kuhusu dhabihu itakayotolewa kwa ajili ya kila mmoja wao.
27A gdy się miało wypełnić siedm dni, niektórzy Żydowie z Azyi, ujrzawszy go w kościele, wzbudzili wszystek lud i wrzucili na niego ręce,
27Wakati siku hizo saba zilipokaribia kuisha, Wayahudi waliokuwa wametoka katika mkoa wa Asia walimwona Paulo Hekaluni. Wakachochea hasira kati ya kundi lote la watu, wakamtia nguvuni
28Wołając: Mężowie Izraelscy, ratujcie! Tenci to jest człowiek, który przeciwko ludowi i zakonowi, i miejscu temu wszystkich wszędy uczy, nadto i Greki wprowadził do kościoła, i splugawił to miejsce święte.
28wakipiga kelele: "Wananchi wa Israeli, msaada, msaada! Huyu ndiye yule mtu anayewafundisha watu kila mahali mambo yanayopinga watu wa Israeli, yanayopinga Sheria ya Mose na mahali hapa patakatifu. Hata sasa amewaingiza watu wa mataifa mengine Hekaluni na kupatia najisi mahali hapa patakatifu."
29Albowiem przedtem widzieli z nim w mieście Trofima Efeskiego, o którym mniemali, żeby go Paweł wprowadził do kościoła.
29Sababu ya kusema hivyo ni kwamba walikuwa wamemwona Trofimo mwenyeji, wa Efeso, akiwa pamoja na Paulo mjini, wakadhani kwamba Paulo alikuwa amemwingiza Hekaluni.
30I wzruszyło się miasto wszystko, i zbiegł się lud; a pojmawszy Pawła, wywlekli go precz z kościoła, a zatem zaraz drzwi zamkniono.
30Mji wote ulienea ghasia; watu wakaja kutoka pande zote, wakamkamata Paulo, wakamburuta, wakamtoa nje ya Hekalu na papo hapo milango ya Hekalu ikafungwa.
31A gdy się starali, jakoby go zabili, dano znać hetmanowi wojska, iż się wzruszyło wszystko Jeruzalem.
31Walikuwa tayari kumuua, lakini habari zilimfikia mkuu wa jeshi la Kiroma kuwa Yerusalemu yote ilikuwa imejaa ghasia.
32Który zarazem wziąwszy z sobą żołnierze i setniki, przybieżał do nich. A oni ujrzawszy hetmana i żołnierze, przestali Pawła bić.
32Mara, mkuu wa jeshi akawachukua askari na jemadari, akalikabili lile kundi la watu. Nao walipomwona mkuu wa jeshi na askari, wakaacha kumpiga Paulo.
33Tedy hetman przybliżywszy się, pojmał go i kazał go dwoma łaócuchami związać, i wywiadywał się, kto by był i co by uczynił?
33Mkuu wa jeshi alimwendea Paulo, akamtia nguvuni na kuamuru afungwe minyororo miwili. Kisha akauliza, "Ni mtu gani huyu, na amefanya nini?"
34A jedni tak, drudzy inaczej między ludem wołali; a gdy się nic pewnego dla zgiełku dowiedzieć nie mógł, rozkazał go wieść do obozu.
34Wengine katika lile kundi la watu walikuwa wanapayuka kitu hiki na wengine kitu kingine. Kwa sababu ya ghasia hiyo, mkuu wa jeshi hakufaulu kujua kisa kamili. Hivyo, aliamuru watu wake wampeleke Paulo ndani ya ngome.
35A gdy był u wschodu, przydało się, że go prawie żołnierze nieśli dla gwałtu onego ludu.
35Paulo alipofika kwenye ngazi, askari walilazimika kumbeba kwa sababu ya fujo za watu.
36Albowiem wielki lud szedł za nim, wołając: Zgładź go.
36Kwa maana kundi kubwa la watu walimfuata wakipiga kelele, "Muulie mbali!"
37A gdy miał być Paweł prowadzony do obozu, rzekł hetmanowi: A godzi mi się co mówić do ciebie? A on rzekł: Umiesz po grecku?
37Walipokuwa wanamwingiza ndani ya ngome, Paulo alimwomba mkuu wa jeshi akisema, "Naweza kukwambia kitu?" Yule mkuu wa jeshi akamjibu, "Je unajua Kigiriki?
38I nie tyżeś jest on Egipczanin, któryś przed temi dniami uczynił rozruch i wywiodłeś na puszczę cztery tysiące mężów zbójców?
38Kwani wewe si yule Mmisri ambaye hivi majuzi alianzisha uasi na kuwaongoza majahili elfu nne hadi jangwani?"
39A Paweł rzekł: Jamci jest człowiek Żyd Tarseóczyk, mieszczanin nie z podłego miasta w Cylicyi: przetoż proszę cię, dopuść mi mówić do ludu.
39Paulo akajibu, "Mimi ni Myahudi, mzaliwa wa Tarso katika Kilikia; mimi ni raia wa mji maarufu. Tafadhali, niruhusu niongee na watu.
40A gdy on dopuścił, Paweł stojąc na wschodzie, skinął ręką na lud. A gdy było wielkie milczenie, uczynił rzecz do nich żydowskim językiem, mówiąc:
40Yule mkuu wa jeshi akamruhusu. Hivyo Paulo alisimama juu ya ngazi, akawapungia mkono wale watu na walipokaa kimya, akaanza kuongea nao kwa Kiebrania.