Polish

Swahili: New Testament

Acts

4

1A gdy to oni mówili do ludu, nadeszli ich kapłani i hetmani kościelni, i Saduceuszowie.
1Petro na Yohane walipokuwa bado wanawahutubia watu, makuhani na mkuu wa walinzi wa Hekalu pamoja na Masadukayo walifika.
2Obrażając się, iż uczyli lud, a opowiadali w Jezusie powstanie od umarłych.
2Walikasirika sana, maana hao mitume walikuwa wanawahubiria watu kwamba Yesu alifufuka, jambo ambalo linaonyesha wazi kwamba wafu watafufuka.
3I wrzucili na nie ręce, a podali je do więzienia aż do jutra; bo już był wieczór.
3Basi, waliwatia nguvuni na kwa kuwa usiku ulikuwa umekaribia, wakawaweka chini ya ulinzi mpaka kesho yake.
4A wiele z tych, którzy one słowa słyszeli, uwierzyli; i była liczba mężów około pięciu tysięcy.
4Lakini wengi kati ya wale waliosikia ujumbe wao waliamini, na idadi ya waumini ikawa imefika karibu elfu tano.
5I stało się nazajutrz, że się zebrali przełożeni ich i starsi, i nauczeni w Piśmie w Jeruzalemie,
5Kesho yake, viongozi wa Wayahudi, wazee na walimu wa Sheria, walikusanyika pamoja huko Yerusalemu.
6I Annasz, najwyższy kapłan, i Kaifasz, i Jan, i Aleksander, i ile ich było z rodu najwyższych kapłanów;
6Walikutana pamoja na Anasi, Kayafa, Yohane, Aleksanda na wengine waliokuwa wa ukoo wa Kuhani Mkuu.
7A postawiwszy je w pośrodku, pytali ich: Którą mocą a któremeście to imieniem uczynili?
7Waliwasimamisha mitume mbele yao, wakawauliza, "Ninyi mmefanya jambo hili kwa nguvu gani na kwa jina la nani?"
8Tedy Piotr, będąc pełen Ducha Świętego, rzekł do nich: Przełożeni ludu i starsi Izraelscy!
8Hapo, Petro, akiwa amejawa na Roho Mtakatifu, akawaambia, "Viongozi na wazee wa watu!
9Ponieważ my dziś mamy być sądzeni dla dobrodziejstwa człowiekowi niemocnemu uczynionego, jakoby on był uzdrowiony;
9Ikiwa mnatuuliza leo juu ya kile kitendo chema alichofanyiwa yule mtu aliyekuwa kiwete na jinsi alivyopata kuwa mzima,
10Niech wam wszystkim wiadomo będzie i wszystkiemu ludowi Izraelskiemu, że w imieniu Jezusa Chrystusa Nazareóskiego, któregoście wy ukrzyżowali, którego Bóg wzbudził od umarłych, przez tego ten stoi przed wami zdrowym.
10basi, ninyi na watu wote wa Israeli mnapaswa kujua kwamba mtu huyu anasimama mbele yenu leo, mzima kabisa, kwa nguvu ya jina lake Yesu wa Nazareti ambaye ninyi mlimsulubisha, lakini Mungu akamfufua kutoka wafu.
11Tenci jest kamieó on wzgardzony od was budujących, który się stał głową węgielną.
11Huyu ndiye ambaye Maandiko Matakatifu yanasema: Jiwe mlilokataa ninyi waashi, sasa limekuwa jiwe kuu la msingi.
12I nie masz w żadnym innym zbawienia; albowiem nie masz żadnego imienia pod niebem, danego ludziom, przez które byśmy mogli być zbawieni.
12Wokovu haupatikani kwa mtu mwingine yeyote, kwa maana duniani pote, binadamu hawakupewa jina la mtu mwingine ambaye sisi tunaweza kuokolewa naye."
13Widząc tedy bezpieczność Piotrową i Janową, i zrozumiawszy, iż ludźmi byli nieuczonymi i prostakami, dziwowali się i poznali je, iż byli z Jezusem.
13Hao wazee wa baraza, wakiwa wanajua kwamba Petro na Yohane walikuwa watu wasio na kisomo wala elimu yoyote, walishangaa juu ya jinsi walivyosema kwa uhodari. Wakatambua kwamba walikuwa wamejiunga na Yesu.
14Widząc też onego człowieka z nimi stojącego, który był uzdrowiony, nie mieli co przeciwko temu mówić.
14Lakini walipomwona yule mtu aliyeponywa amesimama pamoja nao, hawakuweza kusema kitu.
15A rozkazawszy im precz ustąpić z rady, radzili się między sobą,
15Hivyo, waliwaamuru watoke nje ya baraza, nao wakabaki ndani wakizungumza kwa faragha.
16Mówiąc: Cóż uczynimy tym ludziom? Bo, że jawny cud przez nie jest uczyniony, to wszystkim mieszkającym w Jeruzalemie wiadomo jest, a nie możemy tego zaprzeć.
16Wakaulizana, "Tufanye nini na watu hawa? Kila mtu anayeishi Yerusalemu anajua kwamba mwujiza huu wa ajabu umefanyika, nasi hatuwezi kukana jambo hilo.
17Ale aby się to więcej nie rozsławiało między ludźmi, zagroźmy im srodze, aby więcej w tem imieniu żadnemu człowiekowi nie mówili.
17Lakini ili tupate kuzuia jambo hili lisienee zaidi kati ya watu, tuwaonye wasiongee na mtu yeyote kwa jina la Yesu."
18A zawoławszy ich, zakazali im, aby koniecznie nie mówili, ani uczyli w imieniu Jezusowem.
18Kwa hiyo wakawaita tena ndani, wakawaonya wasiongee tena hadharani, wala kufundisha kwa jina la Yesu.
19Lecz Piotr i Jan odpowiedziawszy rzekli do nich: Jeźliż to sprawiedliwa przed obliczem Bożem, was raczej słuchać niż Boga, rozsądźcie.
19Lakini Petro na Yohane wakawajibu, "Amueni ninyi wenyewe kama ni haki mbele ya Mungu kuwatii ninyi kuliko kumtii yeye.
20Albowiem my nie możemy tego, cośmy widzieli i słyszeli, nie mówić.
20Kwa maana hatuwezi kuacha kusema juu ya mambo yale tuliyoyaona na kuyasikia."
21A oni zagroziwszy im, wypuścili je, nic nie znalazłszy, jakoby je skarać dla ludu i wszyscy chwalili Boga za to, co się było stało.
21Basi, hao wazee wa Baraza wakawaonya kwa ukali zaidi, halafu wakawaacha huru. Hawakuweza kuwapa adhabu kwa sababu watu wote walikuwa wakimtukuza Mungu kwa sababu ya tukio hilo.
22Bo onemu człowiekowi było więcej niż czterdzieści lat, nad którym się stał ten cud uzdrowienia.
22Huyo mtu aliyeponywa alikuwa na umri wa miaka zaidi ya arobaini.
23A gdy je wypuszczono, przyszli do swoich i oznajmili im, cokolwiek do nich przedniejsi kapłani i starsi mówili.
23Mara tu walipoachwa huru, Petro na Yohane walirudi kwa wenzao, wakawaeleza yale waliyoambiwa na makuhani wakuu na wazee.
24Którzy usłyszawszy to, jednomyślnie podnieśli głos swój ku Bogu i rzekli: Panie! tyś jest Bóg, któryś uczynił niebo i ziemię, i morze i wszystko, co w nich jest:
24Waliposikia habari hiyo waliungana pamoja katika kumwomba Mungu wakisema, "Bwana, wewe ni Muumba wa mbingu na nchi, bahari na vyote vilivyomo!
25Któryś Duchem Świętym przez usta Dawida, sługi swego, powiedział: Przeczże się zburzyli narodowie, a ludzie próżne rzeczy przemyślali?
25Ndiwe uliyemfanya mtumishi wako, babu yetu Daudi, aseme kwa nguvu ya Roho Mtakatifu: Kwa nini mataifa yameghadhibika? Mbona watu wamefanya mipango ya bure?
26Stanęli królowie ziemi i książęta zebrali się wespół przeciwko Panu i przeciwko pomazaócowi jego.
26Wafalme wa dunia walijiweka tayari, na watawala walikutana pamoja, ili kumwasi Bwana na Kristo wake.
27Albowiem się zebrali prawdziwie przeciwko świętemu Synowi twemu Jezusowi, któregoś pomazał, Herod i Poncki Piłat z pogany i z ludem Izraelskim.
27"Maana, kwa hakika, ndivyo Herode, Pontio Pilato, watu wa Israeli na watu wa mataifa walivyokutanika papa hapa mjini, kumpinga Yesu Mtumishi wako Mtakatifu ambaye umemtia mafuta.
28Aby uczynili, cokolwiek ręka twoja i rada twoja przedtem postanowiła, aby się stało.
28Naam, walikutana ili wafanye yale ambayo ulikusudia na kupanga tangu mwanzo kwa uwezo wako na mapenzi yako.
29Przetoż teraz, Panie! wejrzyj na pogróżki ich, a daj sługom twoim ze wszystkiem bezpieczeóstwem mówić słowo twoje,
29Lakini sasa, ee Bwana, angalia vitisho vyao. Utuwezeshe sisi watumishi wako kuhubiri neno lako kwa uhodari.
30Ściągając rękę twoję ku uzdrawianiu i ku czynieniu znamion i cudów, przez imię świętego Syna twego Jezusa.
30Nyosha mkono wako uponye watu. Fanya ishara na maajabu kwa jina la Yesu Mtumishi wako Mtakatifu."
31A gdy się oni modlili, zatrząsnęło się ono miejsce, na którem byli zgromadzeni, i napełnieni są wszyscy Duchem Świętym i mówili słowo Boże z bezpieczeóstwem.
31Walipomaliza kusali, pale mahali walipokuwa wamekutanika pakatikiswa, nao wote wakajazwa Roho Mtakatifu. Wote wakaanza kuhubiri neno la Mungu bila uoga.
32A onego mnóstwa wierzących było serce jedno i dusza jedna, a żaden z majętności swoich nie zwał nic swojem własnem, ale mieli wszystkie rzeczy spólne.
32Jumuiya yote ya waumini ilikuwa moyo mmoja na roho moja. Hakuna hata mmoja aliyekuwa na kitu chochote akakiweka kuwa mali yake binafsi, ila waligawana vyote walivyokuwa navyo.
33A wielką mocą Apostołowie dawali świadectwo o zmartwychwstaniu Pana Jezusowem i była wielka łaska nad nimi wszystkimi.
33Mitume walishuhudia kwa nguvu nyingi kufufuka kwa Bwana Yesu, naye Mungu akawapa baraka nyingi.
34Bo żadnego nie było między nimi niedostatecznego; gdyż którzykolwiek mieli role albo domy, sprzedawając przynosili pieniądze za to, co posprzedawali,
34Hakuna mtu yeyote aliyetindikiwa kitu, maana waliokuwa na mashamba au nyumba walikuwa wanaviuza
35I kładli przed nogi apostolskie, i rozdawano to każdemu, ile komu było potrzeba.
35na kuwakabidhi mitume fedha hizo, zikagawiwa kila mmoja kadiri ya mahitaji yake.
36Tedy Jozes, który nazwany był od Apostołów Barnabaszem, (co się wykłada: syn pociechy), Lewita, z Cypru rodem,
36Kulikuwa na Mlawi mmoja, mzaliwa wa Kupro, jina lake Yosefu, ambaye mitume walimwita jina Barnaba (maana yake, "Mtu mwenye kutia moyo").
37Mając rolę, sprzedawszy ją, przyniósł pieniądze i położył je u nóg apostolskich.
37Yeye pia alikuwa na shamba lake, akaliuza; akazichukua zile fedha, akawakabidhi mitume.