1Panowie! Sprawiedliwie i słusznie się z sługami obchodźcie, wiedząc, iż i wy Pana macie w niebiesiech.
1Nanyi wakuu, watendeeni watumwa wenu kwa uadilifu na haki, mkikumbuka kwamba nanyi pia mnaye Bwana mbinguni.
2W modlitwach trwajcie, czując w nich z dziękowaniem,
2Dumuni katika sala, na mnaposali muwe waangalifu, mkimshukuru Mungu.
3Modląc się społecznie i za nami, aby nam Bóg otworzył drzwi słowa, żebyśmy mówili o tajemnicy Chrystusowej dla której też jestem związany.
3Vilevile, mtuombee sisi pia ili Mungu atupe fursa ya kuuhubiri ujumbe wake kuhusu siri ya Kristo. Kwa ajili hiyo mimi niko sasa kifungoni.
4Abym ją objawił, jako mi się godzi mówić.
4Basi, ombeni ili niweze kusema kama inavyonipasa na kwa namna itakayodhihirisha siri hiyo.
5Mądrze chodźcie przed obcymi, czas odkupując.
5Muwe na hekima katika uhusiano wenu na watu wasioamini, mkitumia vizuri kila nafasi mliyo nayo.
6Mowa wasza niech zawsze będzie przyjemna, solą okraszona, abyście wiedzieli, jakobyście każdemu z osobna odpowiedzieć mieli.
6Mazungumzo yenu yanapaswa kuwa daima mema na ya kuvutia, na mnapaswa kujua jinsi ya kumjibu vizuri kila mmoja.
7O wszystkiem, co się ze mną dzieje oznajmi wam Tychykus, miły brat i wierny sługa, i spółsługa w Panu,
7Ndugu yetu mpenzi Tukiko, mfanyakazi mwaminifu na mtumishi mwenzetu katika kazi ya Bwana, atawapeni habari zangu zote.
8Któregom posłał do was dla tego samego, aby się wywiedział, co się z wami dzieje i pocieszył serca wasze;
8Ndiyo maana namtuma, ili aichangamshe mioyo yenu kwa kuwaambieni habari zetu.
9Z Onezymem, wiernym a miłym bratem, który jest z was; ci wam wszystko oznajmią, co się tu dzieje.
9Anakuja pamoja na Onesimo, ndugu yetu mpenzi na mwaminifu, ambaye ni mwananchi mwenzenu. Watawapeni habari za mambo yote yanayofanyika hapa.
10Pozdrawia was Arystarchus spółwięzieó mój i Marek, siostrzeniec Barnabaszowy, (o któremeście wzięli rozkazanie: Jeźliby do was przyszedł, przyjmijcież go.)
10Aristarko, ambaye yuko kifungoni pamoja nami, anawasalimuni; hali kadhalika Marko, binamu yake Barnaba, (mmekwisha pata maagizo juu yake; akifika kwenu mkaribisheni).
11I Jezus, którego zowią Justem, którzy są z obrzezki. Ci tylko są pomocnikami moimi w królestwie Bożem, którzy byli pociechą moją.
11Naye Yoshua aitwaye Yusto, anawasalimuni. Miongoni mwa Wayahudi waliokwisha pokea imani, hawa tu peke yao, ndio wanaofanya kazi pamoja nami kwa ajili ya Utawala wa Mungu; nao wamekuwa msaada mkubwa kwangu.
12Pozdrawia was Epafras, który z was jest sługa Chrystusowy, który zawsze bojuje za was w modlitwach, abyście stali doskonałymi i zupełnymi we wszelkiej woli Bożej.
12Epafra, mwananchi mwenzenu na mtumishi wa Kristo Yesu anawasalimuni. Daima anawaombeeni ninyi kwa bidii ili mpate kusimama imara, mkomae na kuwa thabiti kabisa katika mambo yote anayotaka Mungu.
13Bo mu daję świadectwo, iż gorliwą miłość ma przeciwko wam i przeciwko tym, którzy są w Laodycei i którzy są w Hijerapolu.
13Naweza kushuhudia kwamba anafanya kazi kwa bidii kwa ajili yenu na kwa ajili ya watu wa Laodikea na Hierapoli.
14Pozdrawia was Łukasz, lekarz miły, także i Demas.
14Luka, daktari wetu mpenzi, na Dema, wanawasalimuni.
15Pozdrówcie braci, którzy są w Laodycei, i Nymfasa, i zbór, który jest w domu jego.
15Salamu zetu kwa ndugu zetu wa Laodikea; msalimuni dada Nimfa pamoja na jumuiya yote ya waumini inayokutana nyumbani kwake.
16A gdy ten list u was przeczytany będzie, sprawcie to, aby też był w Laodyceóskim zborze przeczytany; a ten, który jest pisany z Laodycei i wy też przeczytajcie.
16Mkisha soma barua hii, hakikisheni kwamba inasomwa na Wakristo wa Laodikea; na ninyi fanyeni mpango mpate kuisoma barua waliyoipata kwao.
17A powiedzcie Archipowi: Patrzaj na to posługiwanie, któreś przyjął w Panu, abyś je wypełnił.
17Mwambieni Arkipo aitekeleze vizuri ile huduma aliyokabidhiwa na Bwana.
18Pozdrowienie ręką moją Pawłową. Pamiętajcie na więzienie moje. Łaska niech będzie z wami. Amen.
18Naandika haya kwa mkono wangu mwenyewe: Salamu kutoka kwangu, mimi Paulo. Kumbukeni kwamba niko kifungoni. Neema ya Mungu iwe nanyi.