1Paweł, Apostoł Jezusa Chrystusa przez wolę Bożą, świętym, którzy są w Efezie, i wiernym w Chrystusie Jezusie.
1Mimi Paulo, mtume wa Kristo Yesu kwa mapenzi ya Mungu, nawaandikia ninyi watu wa Mungu huko Efeso, mlio waaminifu katika kuungana na Kristo Yesu.
2Łaska wam i pokój niech będzie od Boga, Ojca naszego, i Pana Jezusa Chrystusa.
2Nawatakieni neema na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana Yesu Kristo.
3Błogosławiony niech będzie Bóg i Ojciec Pana naszego Jezusa Chrystusa, który nas ubłogosławił wszelkiem błogosławieóstwem duchownem w niebieskich rzeczach w Chrystusie;
3Atukuzwe Mungu na Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo! Maana, katika kuungana na Kristo ametubariki kwa kutujalia zawadi zote za kiroho mbinguni.
4Jako nas wybrał w nim przed założeniem świata, abyśmy byli świętymi i nienaganionymi przed oblicznością jego w miłości.
4Kabla ya kuumbwa ulimwengu, Mungu alituteua tuwe wake katika kuungana na Kristo ili tuwe watakatifu na bila hitilafu mbele yake. Kwa sababu ya upendo wake,
5Który nas przenaznaczył ku przysposobieniu za synów przez Jezusa Chrystusa dla siebie samego, według upodobania woli swojej,
5Mungu alikuwa ameazimia tangu zamani kutuleta kwake kama watoto wake kwa njia ya Yesu Kristo. Ndivyo alivyopenda na kunuia.
6Ku chwale sławnej łaski swojej, którą nas udarował w onym umiłowanym:
6Basi, tumsifu Mungu kwa sababu ya neema yake tukufu katika Mwanae mpenzi!
7W którym mamy odkupienie przez krew jego, to jest odpuszczenie grzechów, według bogactwa łaski jego,
7Maana kwa damu yake Kristo sisi tunakombolewa, yaani dhambi zetu zinaondolewa. Ndivyo ulivyo ukuu wa neema yake
8Którą hojnie pokazał przeciwko nam we wszelkiej mądrości i roztropności.
8aliotukirimia bila kipimo! Kwa hekima na ujuzi wake wote
9Oznajmiwszy nam tajemnicę woli swojej według upodobania swego, które był postanowił w samym sobie;
9Mungu alitekeleza kile alichonuia, akatujulisha mpango wake uliofichika, ambao alikuwa ameazimia kuutekeleza kwa njia ya Kristo.
10Aby w rozrządzeniu zupełności czasów w jedno zgromadził wszystkie rzeczy w Chrystusie, i te, które są na niebiesiech, i te, które są na ziemi;
10Mpango huo ambao angeutimiza wakati utimiapo ni kukusanya pamoja viumbe vyote, kila kitu mbinguni na duniani, chini ya Kristo.
11W nim, mówię, w którymeśmy i do działu przypuszczeni, przenaznaczeni będąc według postanowienia tego, który sprawuje wszystko według rady woli swojej;
11Kila kitu hufanywa kufuatana na mpango na uamuzi wa Mungu; naye Mungu ametuteua sisi tuwe watu wake kwa mapenzi yake katika kuungana na Kristo, kufuatana na azimio alilofanya tangu mwanzo.
12Abyśmy my byli ku chwale sławy jego, którzyśmy pierwej nadzieję mieli w Chrystusie,
12Basi, sisi tuliotangulia kumtumainia Kristo tunapaswa kuusifu utukufu wa Mungu!
13W którym i wy nadzieję macie, usłyszawszy słowo prawdy, to jest Ewangieliję zbawienia waszego, przez którą też uwierzywszy, jesteście zapieczętowani Duchem onym Świętym obiecanym,
13Nanyi pia watu wa mataifa mengine, mliusikia ujumbe wa kweli yaani Habari Njema iliyowaletea wokovu, mkamwamini Kristo; naye Mungu, ili kuonyesha kuwa ninyi ni wake, akawapiga mhuri kwa kuwapeni yule Roho Mtakatifu aliyetuahidia.
14Który jest zadatkiem dziedzictwa naszego na wykupienie nabytej własności, ku chwale sławy jego.
14Huyu Roho ni dhamana ya kurithi yote yale Mungu aliyowaahidia watu wake, na jambo hili latuhakikishia kwamba Mungu atawakomboa kabisa wote walio wake. Tuusifu utukufu wake!
15Przetoż i ja usłyszawszy o tej wierze, którą macie w Panu Jezusie, i o miłości ku wszystkim świętym,
15Kwa sababu hiyo, tangu niliposikia juu ya imani yenu kwa Bwana Yesu na mapendo yenu kwa watu wa Mungu,
16Nie przestaję dziękować za was, wzmiankę czyniąc o was w modlitwach moich,
16sijaacha kamwe kumshukuru Mungu kwa ajili yenu. Ninawakumbuka katika sala zangu
17Aby Bóg Pana naszego Jezusa Chrystusa, Ojciec on chwały, dał wam Ducha mądrości i objawienia ku poznaniu samego siebie;
17ili Mungu wa Bwana wetu Yesu Kristo Baba mtukufu, awajalieni Roho wake atakayewapa hekima na kuwafunulieni Mungu mpate kumjua.
18Ażeby oświecił oczy myśli waszej, abyście wiedzieli, która jest nadzieja powołania jego i które jest bogactwo chwały dziedzictwa jego w świętych;
18Namwomba Mungu aifunue mioyo yenu iweze kuuona mwanga wake, mpate kutambua lile tumaini alilowaitieni na utukufu mkuu wa zawadi alizowawekea watu wake,
19I która jest ona przewyższająca wielkość mocy jego przeciwko nam, którzy wierzymy według skutecznej mocy siły jego,
19mpate kutambua jinsi uwezo wake ulivyo mkuu mno kwa ajili yetu sisi tunaoamini. Uwezo huo unaofanya kazi ndani yetu, ni sawa na nguvu ile kuu mno
20Której dokazał w Chrystusie, gdy go wzbudził od umarłych i posadził na prawicy swojej na niebiesiech,
20aliyomfufua nayo Kristo kutoka wafu, akamketisha kulia kwake mbinguni.
21Wysoko nad wszystkie księstwa i zwierzchności, i mocy, i paóstwa, i nad wszelkie imię, które się mianuje, nie tylko w tym wieku, ale i w przyszłym;
21Huko, Kristo anatawala juu ya kila tawala, mamlaka, enzi na ukuu; anatawala juu ya kila cheo kiwezacho kutajwa katika ulimwengu huu na katika ulimwengu ujao.
22I wszystko poddał pod nogi jego, a onego dał za głowę nad wszystkim kościołowi,
22Mungu ameweka vitu vyote chini ya miguu yake, akamkabidhi kwa kanisa akiwa mkuu wa vitu vyote.
23Który jest ciałem jego i pełnością tego, który wszystko we wszystkich napełnia.
23Kanisa ni mwili wa Kristo, na ukamilifu wake yeye anayekamilisha vitu vyote kila mahali.