Polish

Swahili: New Testament

Ephesians

3

1Dlatego ja Paweł jestem więźniem Chrystusa Jezusa za was pogan;
1Kutokana na hayo, mimi Paulo, mfungwa wa Kristo Yesu kwa ajili yenu, namwomba Mungu.
2Jeźliście tylko słyszeli o udzieleniu łaski Bożej, która mi jest dana dla was,
2Bila shaka mmekwisha sikia kwamba Mungu, kwa neema yake, alinikabidhi kazi hii niifanye kwa faida yenu.
3Iż mi Bóg przez objawienie oznajmił tajemnicę, (jakom wam przedtem krótko napisał,
3Mimi nilijulishwa kwa njia ya ufunuo mpango wake uliofichika. (Nimeandika kwa ufupi juu ya jambo hili,
4Skąd czytając możecie obaczyć wiadomość moję w tajemnicy Chrystusowej).
4nanyi mkiyasoma maneno yangu mtaweza kujua jinsi ninavyoielewa siri hiyo ya Kristo.)
5Która inszych wieków nie była znajoma synom ludzkim, jako teraz objawiona jest świętym Apostołom jego i prorokom przez Ducha;
5Zamani watu hawakujulishwa siri hiyo; lakini sasa Mungu amewajulisha mitume na manabii wake watakatifu kwa njia ya Roho.
6To jest, iż poganie są spółdziedzicami i spólnem ciałem, i spółuczestnikami obietnicy jego w Chrystusie przez Ewangieliję.
6Siri yenyewe ni hii: kwa njia ya Habari Njema watu wa mataifa mengine wanapata sehemu yao pamoja na Wayahudi katika zile baraka za Mungu; wao ni viungo vya mwili uleule, na wanashiriki ahadi ileile aliyofanya Mungu kwa njia ya Kristo Yesu.
7Której stałem się sługą według daru łaski Bożej, która mi jest dana według skutku mocy jego.
7Mimi nimefanywa kuwa mtumishi wa Habari Njema kwa neema ya pekee aliyonijalia Mungu kwa uwezo wake mkuu.
8Mnie mówię, najmniejszemu ze wszystkich świętych dana jest ta łaska, abym między poganami opowiadał te niedościgłe bogactwa Chrystusowe.
8Mimi ni mdogo kuliko watu wote wa Mungu; lakini amenijalia neema yake, ili niwahubirie watu wa mataifa utajiri wake Kristo usiopimika,
9A iżbym objaśnił wszystkim, jaka by była społeczność onej tajemnicy zakrytej od wieków w Bogu, który wszystko stworzył przez Jezusa Chrystusa;
9tena niwaangazie watu wote waone jinsi mpango wa Mungu uliofichika unavyotekelezwa. Mungu aliye Muumba wa vitu vyote alificha siri hiyo yake tangu milele,
10Aby teraz przez zbór wiadoma była księstwom i mocom na niebiesiech nader rozliczna mądrość Boża.
10kusudi, sasa kwa njia ya kanisa, wakuu na wenye enzi wa mbinguni wapate kuitambua hekima ya Mungu iliyo ya namna nyingi.
11Według postanowienia wiecznego, które uczynił w Chrystusie Jezusie, Panu naszym,
11Mungu alifanya jambo hilo kufuatana na azimio lake la milele ambalo amelifanya kwa njia ya Kristo Bwana wetu.
12W którym mamy bezpieczność i przystęp z ufnością przez wiarę jego,
12Basi, katika kuungana na Kristo, na kwa njia ya imani katika Kristo, sisi tunathubutu kumkaribia Mungu kwa uhodari.
13Przetoż proszę, abyście nie słabieli dla ucisków moich za was, co jest chwałą waszą.
13Kwa hiyo, nawaombeni msife moyo kwa sababu ya mateso ninayopata kwa ajili yenu, maana hayo ni kwa ajili ya utukufu wenu.
14Dlatego skłaniam kolana swoje przed Ojcem Pana naszego Jezusa Chrystusa,
14Kwa sababu hiyo, nampigia magoti Baba,
15Z którego się wszelka rodzina na niebie i na ziemi nazywa;
15aliye asili ya jamaa zote duniani na mbinguni.
16Aby wam dał według bogactwa chwały swej, żebyście byli mocą utwierdzeni przez Ducha jego w wewnętrznym człowieku;
16Namwomba Mungu, kadiri ya utajiri wa utukufu wake, awajalieni kwa uwezo wa Roho wake, nguvu ya kuwa imara ndani yenu,
17Aby Chrystus przez wiarę mieszkał w sercach waszych;
17naye Kristo akae mioyoni mwenu kwa imani. Namwomba mpate kuwa na mzizi na msingi katika mapendo
18Żebyście w miłości wkorzenieni i ugruntowani będąc, mogli doścignąć ze wszystkimi świętymi, która jest szerokość i długość, i głębokość, i wysokość;
18kusudi muweze kufahamu pamoja na watu wote wa Mungu jinsi upendo wa Kristo ueneavyo kwa mapana na marefu, kwa kimo na kina.
19I poznać miłość Chrystusową przewyższającą wszelką znajomość, abyście napełnieni byli wszelaką zupełnością Bożą.
19Naam, mpate kujua upendo wa Kristo upitao elimu yote, mjazwe kabisa utimilifu wote wa Mungu.
20A temu, który może nade wszystko uczynić daleko obficiej niżeli prosimy albo myślimy, według onej mocy, która skuteczna jest w nas;
20Kwake yeye ambaye kwa nguvu yake ifanyayo kazi ndani yetu, aweza kufanya mambo makuu zaidi ya yale tuwezayo kuomba au kufikiria;
21Temu niech będzie chwała w kościele przez Chrystusa Jezusa po wszystkie czasy na wieki wieków. Amen.
21kwake Mungu uwe utukufu katika kanisa na katika Kristo Yesu, nyakati zote, milele na milele! Amina.