Polish

Swahili: New Testament

Ephesians

5

1Bądźcież tedy naśladowcami Bożymi, jako dzieci miłe;
1Kwa hiyo, mwigeni Mungu, maana ninyi ni watoto wake wapenzi.
2A chodźcie w miłości, jako i Chrystus umiłował nas i wydał samego siebie na ofiarę i na zabicie Bogu ku wdzięcznej wonności.
2Upendo uongoze maisha yenu, kama vile Kristo alivyotupenda, na kwa ajili yetu akajitoa mwenyewe kama dhabihu yenye harufu nzuri na tambiko impendezayo Mungu.
3A wszeteczeóstwo i wszelka nieczystość albo łakomstwo niechaj nie będzie ani mianowane między wami, jako przystoi na świętych.
3Kwa vile ninyi ni watu wa Mungu, basi uasherati, uchafu wowote ule au choyo visitajwe kamwe miongoni mwenu.
4Także sprośność i błazeóskie mowy, i żarty, które nie przystoją, ale raczej dziękowanie.
4Tena maneno ya aibu, ya upuuzi au ubishi, yote hayo hayafai kwenu; maneno ya kumshukuru Mungu ndiyo yanayofaa.
5Bo to wiecie, iż żaden wszetecznik, albo nieczysty, albo łakomca, (który jest bałwochwalcą), nie ma dziedzictwa w królestwie Chrystusowem i Bożem.
5Jueni wazi kwamba mwasherati yeyote au mchafu au mfisadi, (ufisadi ni sawa na kuabudu sanamu), au mtu yeyote wa aina hiyo hataambulia chochote katika Utawala wa Kristo na wa Mungu.
6Niechaj was nikt nie zwodzi próżnemi mowami; albowiem dla tych rzeczy przychodzi gniew Boży na synów upornych;
6Msikubali kudanganywa na mtu kwa maneno matupu; maana, kwa sababu ya mambo kama hayo ghadhabu ya Mungu huwajia wote wasiomtii.
7Nie bądźcież tedy uczestnikami ich.
7Basi, msishirikiane nao.
8Albowiemeście byli niekiedy ciemnością; aleście teraz światłością w Panu; chodźcież jako dziatki światłości,
8Zamani ninyi mlikuwa gizani, lakini sasa ninyi mko katika mwanga kwa kuungana na Bwana. Ishini kama watoto wa mwanga:
9(Bo owoc Ducha zależy we wszelakiej dobrotliwości i w sprawiedliwości i w prawdzie.)
9maana matokeo ya mwanga ni wema kamili, uadilifu na ukweli.
10Obierając to, co by się podobało Panu;
10Jaribuni kujua yale yanayompendeza Bwana.
11A nie spółkujcie z uczynkami niepożytecznemi ciemności, ale je raczej strofujcie.
11Msishiriki katika matendo yasiyofaa, ya giza bali yafichueni.
12Albowiem co się potajemnie od nich dzieje, sromota i mówić.
12Mambo yanayotendwa kwa siri ni aibu hata kuyataja.
13Lecz to wszystko, gdy bywa od światłości strofowane, bywa objawione; albowiem to wszystko, co bywa objawione, jest światłością;
13Lakini mambo yale yanayotendwa katika mwanga, ukweli wake hudhihirishwa;
14Dlatego mówi Pismo: Ocuć się, który śpisz i powstaó od umarłych, a oświeci cię Chrystus.
14na kila kilichodhihirishwa huwa mwanga. Ndiyo maana Maandiko yasema: "Amka wewe uliyelala, fufuka kutoka wafu, naye Kristo atakuangaza."
15Patrzajcie tedy, jakobyście ostrożnie chodzili, nie jako niemądrzy, ale jako mądrzy.
15Basi, muwe waangalifu jinsi mnavyoishi: Msiishi kama wapumbavu, bali kama wenye hekima.
16Czas odkupując; bo dni złe są.
16Tumieni vizuri muda mlio nao maana siku hizi ni mbaya.
17Przetoż nie bądźcie nierozumnymi, ale zrozumiewającymi, która jest wola Paóska.
17Kwa hiyo, msiwe wapumbavu, bali jaribuni kujua matakwa ya Bwana.
18A nie upijajcie się winem, w którem jest rozpusta; ale bądźcie napełnieni duchem,
18Acheni kulewa divai maana hiyo itawaangamiza, bali mjazwe Roho Mtakatifu.
19Rozmawiając z sobą przez psalmy i hymny, i pieśni duchowne, śpiewając i grając w sercu swojem Panu,
19Zungumzeni kwa maneno ya Zaburi, nyimbo na tenzi za kiroho; mwimbieni Bwana nyimbo na zaburi kwa shukrani mioyoni mwenu.
20Dzięki czyniąc zawsze za wszystko, w imieniu Pana naszego, Jezusa Chrystusa, Bogu i Ojcu.
20Mshukuruni Mungu Baba daima kwa ajili ya yote, kwa jina la Bwana wetu Yesu Kristo.
21Będąc poddani jedni drugim w bojaźni Bożej.
21Kila mmoja amstahi mwenzake kwa sababu ya kumcha Kristo.
22Żony! bądźcie poddane mężom swoim, jako Panu;
22Wake wawatii waume zao kama kumtii Bwana.
23Albowiem mąż jest głową żony, jako i Chrystus głową kościoła; a on jest zbawicielem ciała.
23Maana mume anayo mamlaka juu ya mkewe, kama vile Kristo alivyo na mamlaka juu ya kanisa; naye Kristo mwenyewe hulikomboa kanisa, mwili wake.
24Jako tedy kościół poddany jest Chrystusowi, tak też żony mężom swoim we wszystkiem.
24Kama vile kanisa linavyomtii Kristo, vivyo hivyo, wake wawatii waume zao katika mambo yote.
25Mężowie! miłujcie żony wasze, jako i Chrystus umiłował kościół i wydał samego siebie za niego,
25Nanyi waume, wapendeni wake zenu kama Kristo alivyolipenda kanisa, akajitoa mwenyewe sadaka kwa ajili yake.
26Aby go poświęcił, oczyściwszy omyciem wody przez słowo;
26Alifanya hivyo, ili kwa neno lake, aliweke wakfu kwa Mungu, baada ya kulifanya safi kwa kuliosha katika maji,
27Aby go sobie wystawił chwalebnym kościołem, nie mającym zmazy albo zmarszczku, albo czego takiego, ale iżby był święty i bez nagany.
27kusudi ajipatie kanisa lililo takatifu na safu kabisa, kanisa lisilo na doa, kasoro au chochote cha namna hiyo.
28Tak powinni mężowie miłować żony swoje, jako swoje własne ciała; kto miłuje żonę swoję, samego siebie miłuje.
28Basi, waume wanapaswa kuwapenda wake zao kama miili yao wenyewe.
29Albowiem żaden nigdy ciała swego nie miał w nienawiści, ale je żywi i ogrzewa, jako i Pan kościół.
29(Hakuna mtu yeyote auchukiaye mwili wake; badala ya kuuchukia, huulisha na kuuvika. Ndivyo naye Kristo anavyolitunza kanisa,
30Gdyżeśmy członkami ciała jego, z ciała jego i z kości jego.
30maana sisi ni viungo vya mwili wake.)
31Dlatego opuści człowiek ojca swego i matkę, i przyłączy się do żony swojej, i będą dwoje jednem ciałem.
31Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: "Kwa hiyo, mwanamume atawaacha baba na mama yake, ataungana na mkewe, nao wawili watakuwa mwili mmoja."
32Tajemnica to wielka jest; lecz ja mówię o Chrystusie i o kościele.
32Kuna ukweli uliofichika katika maneno haya, nami naona kwamba yamhusu Kristo na kanisa lake.
33A wszakże i każdy z was z osobna niechaj miłuje żonę swoję jako siebie samego, a żona niech się boi męża swego.
33Lakini yanawahusu ninyi pia: kila mume lazima ampende mkewe kama nafsi yake mwenyewe, naye mke anapaswa kumstahi mumewe.