1Miłość braterska niech zostaje.
1Endeleeni kupendana kidugu.
2Nie zapominajcie ochoty ku gościom; albowiem przez tę niektórzy nie wiedząc, Anioły za goście przyjmowali.
2Msisahau kuwakaribisha wageni; maana kwa kufanya hivyo watu wengine walipata kuwakaribisha malaika bila kujua.
3Pamiętajcie na więźniów, jakobyście spółwięźniami byli; na utrapionych, jako ci, którzy też w ciele jesteście.
3Wakumbukeni wale waliofungwa kana kwamba mmefungwa pamoja nao. Wakumbukeni wale wanaoteseka kana kwamba nanyi mnateseka kama wao.
4Uczciwe jest małżeóstwo między wszystkimi i łoże niepokalane; ale wszeteczników i cudzołożników Bóg będzie sądził.
4Ndoa inapaswa kuheshimiwa na watu wote, na haki zake zitekelezwe kwa uaminifu. Mungu atawahukumu waasherati na wazinzi.
5Obcowanie wasze niech będzie bez łakomstwa, przestwając na tem, co macie; boć sam powiedział: Nie zaniecham cię, ani cię opuszczę:
5Msiwe watu wa kupenda fedha; toshekeni na vile vitu mlivyo navyo. Mungu mwenyewe amesema: "Sitakuacha kamwe, wala sitakutupa."
6Tak abyśmy śmiele mówić mogli: Pan mi jest pomocnikiem, nie będę się bał, aby mi co miał uczynić człowiek.
6Ndiyo maana tunathubutu kusema: "Bwana ndiye msaada wangu, sitaogopa. Binadamu atanifanya nini?"
7Pamiętajcie na wodzów waszych, którzy wam mówili słowo Boże, których obcowania koniec upatrując naśladujcie wiary ich.
7wakumbukeni viongozi wenu waliowatangazieni ujumbe wa Mungu. Fikirieni juu ya mwenendo wao, mkaige imani yao.
8Jezus Chrystus wczoraj i dziś, tenże i na wieki.
8Yesu Kristo ni yuleyule, jana, leo na milele.
9Za naukami rozmaitemi i obcemi nie unoście się; albowiem dobra rzecz jest, aby łaską było utwierdzone serce a nie pokarmami, które nie pomogły tym, co się nimi bawili.
9Msipeperushwe huku na huku kwa mafundisho tofauti ya kigeni. Neema ya Mungu ndiyo inayoimarisha roho zetu na wala si masharti juu ya chakula; masharti hayo hayakumsaidia kamwe mtu yeyote aliyeyafuata.
10Mamy ołtarz, z którego nie mają wolności jeść ci, którzy przybytkowi służą.
10Sisi tunayo madhabahu ambayo wale wanaotumikia bado katika hema la Wayahudi, hawana haki ya kula vitu vyake.
11Albowiem bydląt, których krew bywa wnoszona za grzech do świątnicy przez najwyższego kapłana, tych ciała palone bywają za obozem.
11Kuhani Mkuu wa Kiyahudi huleta damu ya wanyama katika Mahali Patakatifu na kuitoa dhabihu kwa ajili ya dhambi; lakini nyama za hao wanyama huteketezwa nje ya kambi.
12Dlatego i Jezus, aby poświęcił lud własną krwią swoją, za bramą ucierpiał.
12Ndiyo maana Yesu pia, kusudi apate kuwatakasa watu kwa damu yake mwenyewe, aliteswa na kufa nje ya mji.
13Wynijdźmyż tedy do niego za obóz, nosząc urąganie jego.
13Basi, tumwendee huko nje ya kambi tukajitwike laana yake.
14Albowiem nie mamy tu miasta trwałego, ale onego przyszłego szukamy.
14Maana hapa duniani hatuna mji wa kudumu; lakini tunautafuta ule unaokuja.
15Przetoż przez niego ofiarujmy Bogu ofiarę chwały ustawicznie, to jest owoce warg wyznawających imieniowi jego.
15Basi, kwa njia ya Yesu, tumtolee Mungu dhabihu ya sifa daima, yaani sifa zinazotolewa na midomo inayoliungama jina lake.
16A dobroczynności i udzielania nie przepominajcie; albowiem się Bóg w takowych ofiarach kocha.
16Msisahau kutenda mema na kusaidiana, maana hizi ndizo dhabihu zinazompendeza Mungu.
17Bądźcie posłuszni wodzom waszym i bądźcie im oddani; albowiem oni czują nad duszami waszemi, jako ci, którzy liczbę oddać mają; aby to z radością czynili, a nie z wzdychaniem; boć wam to nie jest pożyteczne.
17Watiini viongozi wenu na kushika amri zao; wao huchunga roho zenu usiku na mchana, na watatoa ripoti ya utumishi wao mbele ya Mungu. Kama mkiwatii watafanya kazi zao kwa furaha, la sivyo, watazifanya kwa huzuni, na hiyo haitakuwa na faida kwenu.
18Módlcie się za nami; albowiem ufamy, iż mamy dobre sumienie, jako ci, którzy się chcemy we wszystkiem dobrze zachować.
18Tuombeeni na sisi. Tuna hakika kwamba tunayo dhamiri safi, maana twataka kufanya lililo sawa daima.
19A tem więcej proszę was, abyście to czynili, abym wam tem rychlej był przywrócony.
19Nawasihi sana mniombee ili Mungu anirudishe kwenu upesi iwezekanavyo.
20A Bóg pokoju, który wywiódł od umarłych we krwi przymierza wiecznego, onego wielkiego pasterza owiec, Pana naszego Jezusa,
20Mungu amemfufua Bwana wetu Yesu Kristo ambaye ni Mchungaji Mkuu wa kondoo kwa sababu ya kumwaga damu yake iliyothibitisha agano la milele.
21Niech was doskonałymi uczyni w każdym uczynku dobrym ku czynieniu woli swojej, sprawując w was to, co przyjemnego przed obliczem jego, przez Jezusa Chrystusa, któremu niech będzie chwała na wieki wieków. Amen.
21Mungu wa amani awakamilishe katika kila tendo jema ili mtekeleze mapenzi yake; yeye na afanye ndani yetu kwa njia ya Kristo yale yanayompendeza mwenyewe. Utukufu uwe kwake, milele na milele! Amina.
22A proszę was, bracia! znoście cierpliwie słowo napominania tego; bomci do was krótko pisał.
22Basi, ndugu, nawasihi mpokee kwa utulivu ujumbe huu wa kuwatieni moyo. Hii ni barua fupi tu ambayo nimewaandikieni.
23Wiedzcie o bracie Tymoteuszu, że jest wypuszczony, z którym (jeźlibym szybko przyszedł), oglądam was.
23Napenda kuwajulisheni kwamba ndugu yetu Timotheo amekwisha funguliwa gerezani. Kama akifika hapa mapema, nitakuja naye nitakapokuja kwenu.
24Pozdrówcie wszystkich wodzów waszych i wszystkich świętych. Pozdrawiają was bracia z Włoch.
24Wasalimieni viongozi wenu wote pamoja na watu wa Mungu! Ndugu wa Italia wanawasalimuni.
25Łaska niech będzie z wami wszystkimi. Amen.
25Tunawatakieni nyote neema ya Mungu.