Polish

Swahili: New Testament

Hebrews

7

1Albowiem ten Melchisedek był król Salem, kapłan Boga najwyższego, który zaszedł drogę Abrahamowi, gdy się wracał od porażki królów i błogosławił mu.
1Melkisedeki alikuwa mfalme wa Salemu, na kuhani wa Mungu Mkuu. Abrahamu alipokuwa anarudi kutoka vitani ambako aliwaua wafalme, Melkisedeki alikutana naye akambariki,
2Któremu i dziesięciny ze wszystkiego udzielił Abraham; który najprzód wykłada się król sprawiedliwości, potem też król Salem, co jest król pokoju.
2naye Abrahamu akampa sehemu ya kumi ya vitu vyote alivyokuwa navyo. (Maana ya kwanza ya jina hili Melkisedeki ni "Mfalme wa Uadilifu"; na, kwa vile yeye alikuwa mfalme wa Salemu, jina lake pia lina maana ya "Mfalme wa Amani.")
3Bez ojca, bez matki, bez rodu, ani początku dni, ani koóca żywota nie mając, ale przypodobany będąc Synowi Bożemu, zostaje kapłanem na wieki.
3Baba yake na mama yake hawatajwi, wala ukoo wake hautajwi; haisemwi alizaliwa lini au alikufa lini. Anafanana na Mwana wa Mungu, na anaendelea kuwa kuhani daima.
4Obaczcież tedy, jako wielki ten był, któremu też dziesięcinę z łupów dał Abraham patryjarcha.
4Basi, mwaona jinsi mtu huyu alivyokuwa maarufu. Baba Abrahamu alimpa sehemu moja ya kumi ya vitu vyote alivyoteka vitani.
5A ci, którzy są z synów Lewiego, urząd kapłaóski przyjmujący, rozkazanie mają, aby brali dziesięcinę od ludu według zakonu, to jest od braci swoich, choć wyszli z biódr Abrahamowych.
5Tunajua vilevile kwamba kufuatana na Sheria, wana wa Lawi ambao ni makuhani, wanayo haki ya kuchukua sehemu ya kumi kutoka kwa watu, yaani ndugu zao, ingawaje nao ni watoto wa Abrahamu.
6Ale ten, którego ród nie jest poczytany między nimi, dziesięcinę wziął od Abrahama i temu, który miał obietnicę, błogosławił.
6Lakini huyo Melkisedeki hakuwa wa ukoo wa Lawi, hata hivyo alipokea sehemu ya kumi kutoka kwa Abrahamu; tena akambariki yeye ambaye alikuwa amepewa ahadi ya Mungu.
7A bez wszelkiego sporu mniejszy od większego błogosławieóstwo bierze.
7Hakuna mashaka hata kidogo kwamba anayebariki ni mkuu zaidi kuliko yule anayebarikiwa.
8A tuć dziesięciny biorą ludzie, którzy umierają; tam zasię on, o którym świadczono, iż żyje.
8Tena, hao makuhani wanaopokea sehemu ya kumi, ni watu ambao hufa; lakini hapa anayepokea sehemu ya kumi, yaani Melkisedeki, anasemekana kwamba hafi.
9A iż tak rzekę i sam Lewi, który dziesięciny bierze, dał w Abrahamie dziesięcinę.
9Twaweza, basi, kusema kwamba Abrahamu alipotoa sehemu moja ya kumi, Lawi (ambaye watoto wake hupokea sehemu moja ya kumi) alitoa sehemu moja ya kumi pia.
10Albowiem jeszcze był w biodrach ojcowskich, gdy wyszedł przeciwko niemu Melchisedek.
10Maana Lawi hakuwa amezaliwa bado, bali ni kama alikuwa katika mwili wa baba yake, Abrahamu, wakati Melkisedeki alipokutana naye.
11A przetoż byłali doskonałość przez kapłaóstwo lewickie, (gdyż za niego wydany jest zakon ludowi), jakaż tego jeszcze była potrzeba, aby inszy kapłan według porządku Melchisedekowego powstał, a nie był według porządku Aaronowego mianowany?
11Kutokana na ukuhani wa Walawi, watu wa Israeli walipewa Sheria. Sasa, kama huduma ya Walawi ingalikuwa kamilifu hapangekuwa tena na haja ya kutokea ukuhani mwingine tofauti, ukuhani ambao umefuata utaratibu wa ukuhani wa Melkisedeki, na si ule wa Aroni.
12A ponieważ kapłaóstwo jest przeniesione, musi też i zakon przeniesiony być.
12Maana ukuhani ukibadilika ni lazima Sheria nayo ibadilike.
13Bo ten, o którym się to mówi, inszego jest pokolenia, z którego żaden nie służył ołtarzowi.
13Naye Bwana wetu ambaye mambo hayo yote yanasemwa juu yake, alikuwa wa kabila lingine, na wala hakuna hata mmoja wa kabila lake aliyepata kutumikia madhabahuni akiwa kuhani.
14Albowiem jawna jest, iż z pokolenia Judowego poszedł Pan nasz, o którem pokoleniu nic z strony kapłaóstwa nie mówi Mojżesz.
14Inafahamika wazi kwamba yeye alizaliwa katika kabila la Yuda ambalo Mose hakulitaja alipokuwa anasema juu ya makuhani.
15Owszem obficie to jeszcze i z tego jawna jest, iż powstał inszy kapłan według porządku Melchisedekowego,
15Tena jambo hili ni dhahiri zaidi: kuhani mwingine anayefanana na Melkisedeki amekwisha tokea.
16Który się stał nie według zakonu przykazania cielesnego, ale według mocy żywota nieskazitelnego.
16Yeye hakufanywa kuwa kuhani kwa sheria na maagizo ya kibinadamu, bali kwa nguvu ya uhai ambao hauna mwisho.
17Albowiem tak świadczy: Tyś jest kapłanem na wieki według porządku Melchisedekowego.
17Maana Maandiko yasema: "Wewe ni kuhani milele, kufuatana na utaratibu wa ukuhani wa Melkisedeki."
18Bo się stało zniesienie onego przyszłego przykazania dla słabości jego i niepożytku.
18Basi, ile amri ya zamani ilifutwa kwa sababu ilikuwa hafifu na isiyofaa kitu.
19Bo niczego do doskonałości nie przywiódł zakon; ale na miejsce jego wprowadzona jest lepsza nadzieja, przez którą się przybliżamy do Boga.
19Maana Sheria ya Mose haikuweza kukamilisha jambo lolote. Lakini sasa, mahali pake pamewekwa tumaini lililo bora zaidi ambalo kwalo tunaweza kumkaribia Mungu.
20A to i względem tego, że nie bez przysięgi jest wprowadzona.
20Zaidi ya hayo hapa pana kiapo cha Mungu. Wakati wale wengine walipofanywa makuhani hapakuwako kiapo.
21Boć się oni bez przysięgi kapłanami stawali, a ten z przysięgą przez tego, który rzekł do niego: Przysiągł Pan, a nie będzie tego żałował: Tyś jest kapłanem na wieki według porządku Melchisedekowego,
21Lakini Yesu alifanywa kuhani kwa kiapo wakati Mungu alipomwambia: "Bwana ameapa, wala hataigeuza nia yake: Wewe ni kuhani milele."
22Tak dalece lepszego przymierza rękojmią stał się Jezus.
22Basi, kutokana na tofauti hii, Yesu amekuwa mdhamini wa agano lililo bora zaidi.
23Więc też onych wiele bywało kapłanów dlatego, iż im śmierć nie dopuściła zawsze trwać.
23Kuna tofauti nyingine pia: hao makuhani wengine walikuwa wengi kwa sababu walikufa na hawakuweza kuendelea na kazi yao.
24Ale ten, iż na wieki zostaje, wieczne ma kapłaóstwo,
24Lakini Yesu si kama wao, yeye anaishi milele; ukuhani wake hauondoki kwake.
25Przetoż i doskonale zbawić może tych, którzy przez niego przystępują do Boga, zawsze żyjąc, aby orędował za nimi.
25Hivyo, yeye anaweza daima kuwaokoa kabisa wote wanaomwendea Mungu kwa njia yake, maana yeye anaishi milele kuwaombea kwa Mungu.
26Takiegoć zaiste przystało nam mieć najwyższego kapłana, świętego, niewinnego, niepokalanego, odłączonego od grzeszników i który by się stał wyższy nad niebiosa:
26Basi, Yesu ndiye Kuhani Mkuu ambaye anatufaa sana katika mahitaji yetu. Yeye ni mtakatifu, hana hatia wala dhambi ndani yake; hayumo katika kundi la wenye dhambi na ameinuliwa mpaka juu mbinguni.
27Który by nie potrzebował na każdy dzieó, jako oni najwyżsi kapłani, pierwej za swoje grzechy własne ofiar sprawować, a potem za ludzkie; bo to uczynił raz samego siebie ofiarowawszy.
27Yeye si kama wale makuhani wakuu wengine; hana haja ya kutoa dhabihu kila siku, kwanza kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe, kisha kwa ajili ya dhambi za watu. Yeye alifanya hivyo mara moja tu wakati alipojitoa yeye mwenyewe, na hiyo yatosha kwa nyakati zote.
28Albowiem zakon ludzi podległych krewkości stanowił za najwyższych kapłanów: ale słowo przysięgi, które się stało po zakonie, postanowiło Syna Bożego doskonałego na wieki.
28Sheria ya Mose huwateua watu waliokuwa dhaifu kuwa makuhani wakuu; lakini ahadi ya Mungu aliyoifanya kwa kiapo na ambayo imefika baada ya sheria imemteua Mwana ambaye amefanywa mkamilifu milele.