1Judas, sługa Jezusa Chrystusa a brat Jakóba, od Boga Ojca poświęconym i w Jezusie Chrystusie zachowanym i powołanym:
1Mimi Yuda, mtumishi wa Yesu Kristo, ndugu yake Yakobo, nawaandikia ninyi mlioitwa na Mungu na ambao mnaishi katika upendo wa Mungu Baba, na katika ulinzi wa Yesu Kristo.
2Miłosierdzie i pokój, i miłość niech się wam rozmnoży.
2Nawatakieni huruma, amani na upendo kwa wingi.
3Najmilsi! Wszelką pilność czyniąc, abym wam pisał o społecznem zbawieniu, musiałem wam pisać, napominając, iżbyście bojowali o wiarę raz świętym podaną.
3Ndugu wapenzi, wakati nimo katika jitihada ya kuwaandikieni juu ya ule wokovu tunaoshiriki sote, nimeona lazima ya kuwaandikieni na kuwahimizeni mwendelee kupigana kwa ajili ya imani ambayo Mungu amewajalia watu wake mara moja tu kwa wakati wote.
4Albowiem wkradli się niektórzy ludzie, dawno już przedtem naznaczeni na to potępienie, niepobożni, którzy łaskę Boga naszego obracają w rozpustę i samego się Boga i panującego Pana naszego, Jezusa Chrystusa zapierają.
4Maana watu wasiomcha Mungu wamepata kujiingiza kwa siri miongoni mwetu, watu ambao, kwa faida ya maisha yao mabaya, wanaupotosha ujumbe wa neema ya Mungu wetu na kumkana Yesu Kristo aliye peke yake kiongozi na Bwana wetu. Maandiko Matakatifu yalikwisha bashiri tangu awali hukumu inayowangojea watu hao.
5Przetoż chcę wam przypomnieć, którzy już raz o tem wiecie, że chociaż Pan lud z ziemi Egipskiej wyswobodził, przecież potem tych, którzy nie wierzyli, potracił.
5Nataka kuwakumbusheni mambo fulani ambayo mmekwisha yajua: kumbukeni jinsi Bwana alivyowaokoa watu wa Israeli na kuwatoa katika nchi ya Misri, lakini baadaye aliwaangamiza wale ambao hawakuamini.
6Także Aniołów, którzy nie zachowali pierwszego stanu swego, ale opuścili mieszkanie swoje, na sąd dnia wielkiego związkami wiecznemi pod chmurą zachował.
6Na, malaika ambao hawakuridhika na cheo chao, wakayaacha makao yao ya asili, Mungu amewafunga gizani kwa minyororo ya milele wahukumiwe Siku ile kuu.
7Jako Sodoma i Gomorra, i okoliczne miasta, gdy tymże sposobem jako i one zwszeteczniały i udały się za cudzem ciałem, wystawione są na przykład, ognia wiecznego karanie ponosząc:
7Kumbukeni pia Sodoma na Gomora, na miji ya kandokando yake; wenyeji wake walifanya kama wale malaika; walifanya uzinzi na mambo yaliyo kinyume cha maumbile, wakapewa hukumu ya moto wa milele, iwe onyo kwa watu wote.
8Także też i ci jako snem zmożeni ciało plugawią, ale zwierzchnością pogardzają i przełożeóstwa bluźnią.
8Hivyo ndivyo pia walivyo watu hawa. ndoto zao huwaongoza katika kuichafua miili yao wenyewe, kuyadharau mamlaka ya Mungu na kuvitukana viumbe vitukufu vya huko juu.
9Lecz Michał Archanioł, gdy się z dyjabłem rozpierając wadził o ciało Mojżeszowe, nie śmiał podnieść przeciwko niemu sądu bluźnierczego, ale rzekł: Niech cię Pan zgromi.
9Hata Mikaeli, malaika mkuu, hakufanya hivyo. Katika ule ubishi kati yake na Ibilisi waliobishana juu ya mwili wa Mose, Mikaeli hakuthubutu kumhukumu Ibilisi kwa matusi; ila alisema: "Bwana mwenyewe na akukaripie."
10A ci, czego nie znają, to bluźnią; a co z przyrodzenia znają, jako bezrozumne bydła w tem się psują,
10Lakini watu hawa hutukana chochote wasichokielewa; mambo yaleyale wanayoyajua kwa silika kama vile wanyama wanayoyajua ndiyo yanayowaangamiza.
11Biada im! bo się drogą Kainową udali, a za błędem Baalamowej zapłaty puścili się i przeciwieóstwem Korego poginęli.
11Ole wao! Watu hao wamefuata mwenendo uleule wa Kaini. Kwa ajili ya fedha, wamejiingiza katika mkosi uleule wa Baalamu. Wameasi kama Kora alivyoasi na wameangamizwa kama yeye alivyoangamizwa.
12Cić są na świętych ucztach waszych zmazani, którzy z wami godując bez wstydu, sami się pasą; są obłoki bezwodne, które od wiatrów tam i sam unoszone bywają; drzewa zwiędłe nieużyteczne, dwakroć zmarłe i wykorzenione;
12Kwa makelele yao yasiyo na adabu, watu hao ni kama madoa machafu katika mikutano yenu ya karamu ya Bwana. Hujipendelea wao wenyewe tu, na wako kama mawingu yanayopeperushwa huko na huko na upepo bila ya kuleta mvua. Wao ni kama miti isiyozaa matunda hata wakati wa majira yake, wamekufa kabisa.
13Wały wściekłe morskie, wyrzucające swoje sprośności, gwiazdy błąkające się, którym chmura ciemności zachowana jest na wieki.
13Watu hao ni kama mawimbi makali ya bahari, na matendo yao ya aibu yanaonekana dhahiri kama vile mapovu ya mawimbi. Wao ni kama nyota zinazotangatanga, ambao Mungu amewawekea mahali pao milele katika giza kuu.
14A prorokował też o nich siódmy od Adama Enoch, mówiąc: Oto Pan idzie z świętymi tysiącami swoimi,
14Henoki, ambaye ni babu wa saba tangu Adamu, alibashiri hivi juu ya watu hawa: "Sikilizeni! Bwana atakuja pamoja na maelfu ya malaika wake watakatifu
15Aby uczynił sąd wszystkim i karał wszystkich niezbożników między nimi ze wszystkich niepobożności ich, które niezbożnie płodzili i ze wszystkich przykrości, które mówili przeciwko niemu niezbożni grzesznicy.
15kutoa hukumu juu ya binadamu wote, kuwahukumu wote kwa ajili ya matendo yao yote maovu waliyotenda na kwa ajili ya maneno yote mabaya ambayo watu waovu walimkashifu nayo."
16Ci są szemracze utyskujący sobie, według pożądliwości swoich chodzący, i których usta mówią bardzo harde słowa; pochlebiając osobom dla swego pożytku.
16Watu hawa wananung'unika daima na kuwalaumu watu wengine. Hufuata tamaa zao mbaya, hujigamba na kuwasifu watu wengine mno kusudi wafaulu katika mipango yao.
17Lecz wy, najmilsi! pamiętajcie na słowa przepowiedziane od Apostołów Pana naszego Jezusa Chrystusa;
17Lakini ninyi wapenzi wangu, kumbukeni yale mliyoambiwa hapo awali ni mitume wa Bwana wetu Yesu Kristo.
18Iż wam powiadali, że w ostateczny czas będą naśmiewcy, chodzący według swoich niezbożnych pożądliwości.
18Waliwaambieni: "Siku za mwisho zitakapofika, watatokea watu watakaowadhihaki ninyi, watu wafuatao tamaa zao mbaya."
19Cić są, którzy się sami odłączają, bydlęcy, ducha Chrystusowego nie mający.
19Hao ndio watu wanaosababisha mafarakano, watu wanaotawaliwa na tamaa zao za kidunia, watu wasio na Roho wa Mungu.
20Ale wy najmilsi! budując się na najświętszej wierze waszej i modląc się w Duchu Świętym,
20Lakini ninyi, wapenzi wangu, endeleeni kujijenga kikamilifu katika imani yenu takatifu. Salini kwa nguvu ya Roho Mtakatifu,
21Samych siebie w miłości Bożej zachowajcie, oczekując miłosierdzia Pana naszego, Jezusa Chrystusa, ku żywotowi wiecznemu.
21na kubaki katika upendo wa Mungu, mkiwa mnamngojea Bwana wetu Yesu Kristo awapeni uzima wa milele kwa huruma yake.
22A nad niektórymi zmiłujcie się, rozsądkiem się rządząc;
22Muwe na huruma kwa watu walio na mashaka;
23A drugich przez postrach do zbawienia przywódźcie, z ognia ich wyrywając, mając w nienawiści i suknię, która by była od ciała pokalana.
23waokoeni kwa kuwanyakua kutoka motoni; na kwa wengine muwe na huruma pamoja na hofu, lakini chukieni hata mavazi yao ambayo yamechafuliwa na tamaa zao mbaya.
24A temu, który was może zachować od upadku i stawić przed oblicznością chwały swojej bez nagany z weselem,
24Kwake yeye awezaye kuwalinda msije mkaanguka, na kuwaleta ninyi bila hatia mpaka mbele ya utukufu wake,
25Samemu mądremu Bogu, Zbawicielowi naszemu, niech będzie chwała i wielmożność, moc i zwierzchność, i teraz i po wszystkie wieki. Amen.
25kwake yeye aliye peke yake Mungu, Mkombozi wetu, uwe utukufu, ukuu, nguvu na mamlaka kwa njia ya Kristo Bwana wetu, tangu zama zote, sasa na hata milele! Amina.