1Tedy Jezus rzekł do ludu i do uczniów swoich, mówiąc:
1Kisha Yesu akauambia umati wa watu pamoja na wanafunzi wake,
2Na stolicy Mojżeszowej usiedli nauczeni w Piśmie i Faryzeuszowie.
2"Walimu wa Sheria na Mafarisayo wana mamlaka ya kufafanua Sheria ya Mose.
3Przetoż wszystkiego, czegokolwiek by wam rozkazali przestrzegać, przestrzegajcie i czyócie, ale według uczynków ich nie czyócie; albowiem oni mówią, ale nie czynią.
3Kwa hiyo shikeni na kutekeleza chochote watakachowaambieni. Lakini msiyaige matendo yao, maana hawatekelezi yale wanayoyahubiri.
4Bo wiążą brzemiona ciężkie i nieznośne, i kładą je na ramiona ludzkie, lecz palcem swoim nie chcą ich ruszyć.
4Hufunga mizigo mizito na kuwatwika watu mabegani, lakini wao wenyewe hawataki kunyosha hata kidole wapate kuibeba.
5A wszystkie uczynki swoje czynią, aby byli widziani od ludzi, i rozszerzają bramy swoje, i rozpuszczają podołki płaszczów swoich.
5Wao hufanya matendo yao yote ili watu wawaone. Huvaa tepe zenye maandishi ya Sheria juu ya panda la uso na mikononi na hupanua pindo za makoti yao.
6Nadto miłują pierwsze miejsca na wieczerzach, i pierwsze stołki w bóżnicach.
6Hupenda nafasi za heshima katika karamu na viti vya heshima katika masunagogi.
7I pozdrawiania na rynkach, i aby je nazywali ludzie: Mistrzu, mistrzu!
7Hupenda kusalimiwa kwa heshima sokoni na kupendelea kuitwa na watu: Mwalimu.
8Ale wy nie nazywajcie się mistrzami; albowiem jeden jest mistrz wasz, Chrystus; ale wy jesteście wszyscy braćmi.
8Lakini ninyi msiitwe kamwe Mwalimu, maana mwalimu wenu ni mmoja tu, nanyi nyote ni ndugu.
9I nikogo nie zówcie ojcem waszym na ziemi; albowiem jeden jest Ojciec wasz, który jest w niebiesiech.
9Wala msimwite mtu yeyote Baba hapa duniani, maana Baba yenu ni mmoja tu aliye mbinguni.
10A niechaj was nie zowią mistrzami, gdyż jeden jest mistrz wasz, Chrystus.
10Wala msiitwe Viongozi, maana kiongozi wenu ni mmoja tu, ndiye Kristo.
11Ale kto z was największy jest, będzie sługą waszym.
11Aliye mkubwa miongoni mwenu ni lazima awe mtumishi wenu.
12A kto by się wywyższał, będzie poniżony; a kto by się poniżał, będzie wywyższony.
12Anayejikweza atashushwa, na anayejishusha atakwezwa.
13Lecz biada wam, nauczeni w Piśmie i Faryzeuszowie obłudni! iż zamykacie królestwo niebieskie przed ludźmi; albowiem tam sami nie wchodzicie, ani tym, którzy by wnijść chcieli, wchodzić nie dopuszczacie.
13"Ole wenu walimu wa Sheria na Mafarisayo, wanafiki! Mnaufunga mlango wa Ufalme wa mbinguni mbele ya macho ya watu. Ninyi wenyewe hamwingii ndani, wala hamwaruhusu wanaotaka kuingia waingie.
14Biada wam, nauczeni w Piśmie i Faryzeuszowie obłudni! iż pożeracie domy wdów, a to pod pokrywką długich modlitw, dlatego cięższy sąd odniesiecie.
14Ole wenu walimu wa Sheria na Mafarisayo, wanafiki! Mnawanyonya wajane na kujisingizia kuwa watu wema kwa kusali sala ndefu. Kwa sababu hiyo mtapata adhabu kali.
15Biada wam, nauczeni w Piśmie i Faryzeuszowie obłudni! iż obchodzicie morze i ziemię, abyście uczynili jednego nowego Żyda; a gdy się stanie, czynicie go synem zatracenia, dwakroć więcej niżeliście sami.
15"Ole wenu walimu wa Sheria na Mafarisayo, wanafiki! Mnasafiri baharini na nchi kavu ili kumpata mtu mmoja afuate dini yenu. Mnapompata, mnamfanya astahili maradufu kwenda katika moto wa Jehanamu kuliko ninyi wenyewe.
16Biada wam, wodzowie ślepi! którzy powiadacie: kto by przysiągł na kościół, nic nie jest: ale kto by przysiągł na złoto kościelne, winien jest.
16"Ole wenu viongozi vipofu! Ninyi mwasema ati mtu akiapa kwa Hekalu, kiapo hicho si kitu; lakini akiapa kwa dhahabu ya Hekalu, kiapo hicho kinamshika.
17Głupi i ślepi! albowiem cóż jest większego, złoto czy kościół, który poświęca złoto?
17Enyi vipofu wapumbavu! Kipi kilicho cha maana zaidi: dhahabu au Hekalu linalofanya hiyo dhahabu kuwa takatifu?
18A kto by przysiągł na ołtarz, nic nie jest; lecz kto by przysiągł na dar, który jest na nim, winien jest.
18Tena mwasema ati mtu akiapa kwa madhabahu si kitu; lakini akiapa kwa zawadi iliyowekwa juu ya madhabahu, kiapo hicho humshika.
19Głupi i ślepi! albowiem cóż większego jest? dar, czyli ołtarz, który poświęca dar?
19Enyi vipofu! Ni kipi kilicho cha maana zaidi: ile zawadi, au madhabahu ambayo hufanya hiyo zawadi kuwa takatifu?
20Kto tedy przysięga na ołtarz, przysięga na niego, i na to wszystko, co na nim jest;
20Anayeapa kwa madhabahu ameapa kwa hiyo madhabahu, na kwa chochote kilichowekwa juu yake.
21A kto przysięga na kościół, przysięga na niego, i na tego, który w nim mieszka;
21Na anayeapa kwa Hekalu ameapa kwa hilo Hekalu na pia kwa yule akaaye ndani yake.
22I kto przysięga na niebo, przysięga na stolicę Bożą, i na tego, który siedzi na niej.
22Na anayeapa kwa mbingu ameapa kwa kiti cha enzi cha Mungu, na kwa huyo aketiye juu yake.
23Biada wam, nauczeni w Piśmie i Faryzeuszowie obłudni! iż dawacie dziesięcinę z miętki i z anyżu i z kminu, a opuszczacie poważniejsze rzeczy w zakonie, sąd i miłosierdzie i wiarę; te rzeczy mieliście czynić, a onych nie opuszczać.
23Ole wenu walimu wa Sheria na Mafarisayo, wanafiki! Mnatoza watu zaka, hata juu ya majani yenye harufu nzuri, bizari na jira, na huku mnaacha mambo muhimu ya Sheria kama vile haki, huruma na imani. Haya ndiyo hasa mliyopaswa kuyazingatia bila kusahau yale mengine.
24Wodzowie ślepi! którzy przecedzacie komara, i wielbłąda połykacie.
24Viongozi vipofu! Mnatoa nzi katika kinywaji, lakini mnameza ngamia!
25Biada wam, nauczeni w Piśmie i Faryzeuszowie obłudni! iż oczyszczacie kubek z wierzchu i misę, a wewnątrz pełne są drapiestwa i zbytku.
25"Ole wenu walimu wa Sheria na Mafarisayo, wanafiki! Mnasafisha kikombe na bakuli kwa nje, lakini ndani mnaacha kumejaa vitu mlivyopata kwa unyang'anyi na uchoyo.
26Faryzeuszu ślepy! oczyść pierwej to, co jest wewnątrz w kubku i w misie, aby i to, co jest z wierzchu, czystem było.
26Mfarisayo kipofu! Kisafishe kikombe ndani kwanza na nje kutakuwa safi pia.
27Biada wam, nauczeni w Piśmie i Faryzeuszowie obłudni! iżeście podobni grobom pobielanym, które się zdadzą z wierzchu być cudne, ale wewnątrz pełne są kości umarłych i wszelakiej nieczystości.
27"Ole wenu walimu wa Sheria na Mafarisayo, wanafiki! Mko kama makaburi yaliyopakwa chokaa ambayo kwa nje yanaonekana kuwa mazuri, lakini ndani yamejaa mifupa ya maiti na kila namna ya uchafu.
28Także i wy z wierzchu zdacie się być ludziom sprawiedliwi; ale wewnątrz jesteście pełni obłudy i nieprawości.
28Hali kadhalika ninyi mnaonekana na watu kwa nje kuwa wema, lakini kwa ndani mmejaa unafiki na uovu.
29Biada wam, nauczeni w Piśmie i Faryzeuszowie obłudni! iż budujecie groby proroków, i zdobicie nagrobki sprawiedliwych,
29"Ole wenu walimu wa Sheria na Mafarisayo, wanafiki! Mnajenga makaburi ya manabii na kuyapamba makaburi ya watu wema.
30I mówicie: Byśmy byli za dni ojców naszych, nie bylibyśmy uczestnikami ich we krwi proroków.
30Mwasema: Kama sisi tungaliishi nyakati za wazee wetu hatungalishirikiana nao katika mauaji ya manabii!
31A tak świadczycie sami przeciwko sobie, że jesteście synowie tych, którzy proroki pozabijali.
31Hivyo mnathibitisha ninyi wenyewe kwamba ninyi ni watoto wa watu waliowaua manabii.
32I wy też dopełniacie miary ojców waszych.
32Haya, kamilisheni ile kazi wazee wenu waliyoianza!
33Wężowie! rodzaju jaszczurczy! i jakoż będziecie mogli ujść przed sądem ognia piekielnego?
33Enyi kizazi cha nyoka wenye sumu! Mnawezaje kuiepa hukumu ya moto wa Jehanamu?
34Przetoż oto ja posyłam do was proroki, i mędrce, i nauczone w Piśmie, a z nich niektóre zabijecie i ukrzyżujecie, a niektóre z nich ubiczujecie w bóżnicach waszych, i będziecie je prześladować od miasta do miasta;
34Ndiyo maana mimi ninawapelekea ninyi manabii, watu wenye hekima na walimu; mtawaua na kuwasulubisha baadhi yao, na wengine mtawapiga viboko katika masunagogi yenu na kuwasaka katika kila mji.
35Aby przyszła na was wszystka krew sprawiedliwa, wylana na ziemi, ode krwi Abla sprawiedliwego aż do krwi Zacharyjasza, syna Barachyjaszowego, któregoście zabili między kościołem i ołtarzem.
35Hivyo lawama yote itawapateni kwa ajili ya damu yote ya watu wema iliyomwagwa juu ya ardhi. Naam, tangu kuuawa kwa Abeli ambaye hakuwa na hatia, mpaka kuuawa kwa Zakariya, mwana wa Barakia, ambaye mlimuua Hekaluni kati ya patakatifu na madhabahu.
36Zaprawdę powiadam wam: Przyjdzie to wszystko na ten naród.
36Nawaambieni kweli, kizazi hiki kitapata adhabu kwa sababu ya mambo haya.
37Jeruzalem! Jeruzalem! które zabijasz proroki, i które kamionujesz te, którzy do ciebie byli posyłani: ilekroć chciałem zgromadzić dzieci twoje, tak jako zgromadza kokosz kurczęta swoje pod skrzydła, a nie chcieliście?
37"Yerusalemu, Ee Yerusalemu! Unawaua manabii na kuwapiga mawe wale waliotumwa kwako. Mara ngapi nimejaribu kuwakusanya watoto wako kwangu, kama vile kuku anavyokusanya vifaranga vyake chini ya mabawa yake, lakini hukutaka.
38Oto wam dom wasz pusty zostanie.
38Haya basi, nyumba yako itaachwa mahame.
39Albowiem powiadam wam, że mię nie ujrzycie od tego czasu, aż rzeczecie: Błogosławiony, który idzie w imieniu Paóskiem.
39Nakwambia kweli, hutaniona tena mpaka wakati utakaposema: Abarikiwe huyo ajaye kwa jina la Bwana."