Polish

Swahili: New Testament

Philemon

1

1Paweł, więzieó Chrystusa Jezusa i Tymoteusz brat, Filemonowi miłemu a pomocnikowi naszemu,
1Mimi Paulo, mfungwa kwa ajili ya Kristo Yesu, na ndugu Timotheo, ninakuandikia wewe Filemoni mpendwa, mfanyakazi mwenzetu
2I Apfii miłej i Archipowi, społecznemu naszemu bojownikowi, i zborowi, który jest w domu twoim.
2na kanisa linalokutana nyumbani kwako, na wewe dada Afia, na askari mwenzetu Arkupo.
3Łaska wam i pokój niech będzie od Boga, Ojca naszego, i Pana Jezusa Chrystusa.
3Tunawatakieni neema na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu, na kwa Bwana yesu Kristo.
4Dziękuję Bogu mojemu zawsze wzmiankę czyniąc o tobie w modlitwach moich,
4Kila wakati ninaposali nakukumbuka wewe Filemoni, na kumshukuru Mungu
5Słysząc o miłości i o wierze, którą masz przeciwko Panu Jezusowi i przeciwko wszystkim świętym;
5maana nasikia habari za imani yako kwa Bwana wetu Yesu na upendo wako kwa watu wote wa Mungu.
6Aby społeczność wiary twojej była skuteczna ku poznaniu wszystkiego dobrego, które w was jest przez Chrystusa Jezusa.
6Naomba ili imani hiyo unayoshiriki pamoja nasi ikuwezeshe kuwa na ujuzi mkamilifu zaidi wa baraka zote tunazopata katika kuungana kwetu na Kristo.
7Albowiem radość wielką mamy i pociechę z miłości twojej, bracie! iż wnętrzności świętych są ochłodzone przez cię.
7Ndugu, upendo wako yameniletea furaha kubwa na kunipa moyo sana! Nawe umeichangamsha mioyo ya watu wa Mungu.
8Przetoż choć mam wielką bezpieczność w Chrystusie, abym ci rozkazał, co przynależy;
8Kwa sababu hiyo, ningeweza, kwa uhodari kabisa, nikiwa ndugu yako katika Kristo, kukuamuru ufanye unachopaswa kufanya.
9Jednak dla miłości raczej proszę, takowym będąc, to jest Paweł stary, a teraz i więzieó Jezusa Chrystusa.
9Lakini kwa sababu ya upendo, ni afadhali zaidi nikuombe. Nafanya hivi ingawa mimi ni Paulo, balozi wa Kristo Yesu, na sasa pia mfungwa kwa ajili yake.
10Proszę cię tedy za synem moim Onezymem, któregom urodził w więzieniu mojem;
10Basi, ninalo ombi moja kwako kuhusu mwanangu Onesimo, ambaye ni mwanangu katika Kristo kwani nimekuwa baba yake nikiwa kifungoni.
11Który tobie niekiedy był niepożyteczny, ale teraz tobie i mnie bardzo pożyteczny; któregom odesłał,
11Ni Onesimo yuleyule ambaye wakati mmoja alikuwa hakufai kitu, lakini sasa ananifaa mimi na wewe pia.
12Przetoż go ty jako wnętrzności moje przyjmij.
12Sasa namrudisha kwako, naye ni kama moyo wangu mimi mwenyewe.
13Któregom ja chciał przy sobie zatrzymać, aby mi posługiwał zamiast ciebie w więzieniu dla Ewangielii.
13Ningependa akae nami hapa anisaidie badala yako wakati niwapo kifungoni kwa sababu ya Habari Njema.
14Ale bez woli twojej nie chciałem nic uczynić, aby dobry twój uczynek nie był jako z przymuszenia, ale z dobrej woli.
14Lakini sitafanya chochote bila kibali chako. Sipendi kukulazimisha unisaidie, kwani wema wako unapaswa kutokana na hiari yako wewe mwenyewe na si kwa kulazimika.
15Albowiem snać dla tego odłączył się był na chwilę od ciebie, abyś go zaś miał wiecznie,
15Labda Onesimo aliondoka kwako kwa kitambo tu, kusudi uweze tena kuwa naye daima.
16Już nie jako sługę, ale więcej niż sługę, to jest brata miłego, zwłaszcza mnie, a jako daleko więcej tobie i według ciała, i w Panu.
16Na sasa yeye si mtumwa tu, ila ni bora zaidi ya mtumwa: yeye ni ndugu yetu mpenzi. Na wa maana sana kwangu mimi, na kwako atakuwa wa maana zaidi kama mtumwa na kama ndugu katika Bwana.
17Przetoż maszli mię za towarzysza, przyjmij go jako mię.
17Basi, ikiwa wanitambua mimi kuwa mwenzako, mpokee tena kama vile ungenipokea mimi mwenyewe.
18A jeźlić w czem niepraw, albo ci co winien, to mnie przyczytaj.
18Kama alikuwa amekukosea kitu, au alikuwa na deni lako, basi, unidai mimi.
19Jam Paweł napisał ręką moją, ja nagrodzę, żeć nie rzekę, iżeś mi i samego siebie winien.
19Naandika jambo hili kwa mkono wangu mwenyewe: Mimi Paulo nitalipa! (Tena sina haja ya kusema kwamba wewe unalo deni kwangu la nafsi yako.)
20Tak, bracie! niech cię w tem użyję w Panu, ochłodź wnętrzności moje w Panu.
20Haya, basi, ndugu yangu, nifanyie jambo hilo kwa ajili ya jina la Bwana; burudisha moyo wangu kama ndugu katika Kristo.
21Pewien będąc posłuszeóstwa twego, pisałem ci, wiedząc, że i więcej, niż mówię uczynisz.
21Naandika nikitumaini kwamba utanikubalia ombi langu; tena najua kwamba utafanya hata zaidi ya haya ninayokuomba.
22Zaraz mi też i gospodę zgotuj; albowiem spodziewam się, iż wam przez modlitwy wasze darowany będę.
22Pamoja na hayo, nitayarishie chumba kwani natumaini kwamba kwa sala zenu, Mungu atanijalia niwatembeleeni.
23Pozdrawiają cię Epafras, spółwięzieó mój w Chrystusie Jezusie,
23Epafra, mfungwa mwenzangu kwa ajili ya Kristo Yesu, anakusalimu.
24Marek, Arystarchus, Demas, Łukasz, pomocnicy moi.
24Nao akina Marko, Aristarko, Dema na Luka, wafanyakazi wenzangu, wanakusalimu.
25Łaska Pana naszego, Jezusa Chrystusa, niech będzie z duchem waszym. Amen.
25Nawatakieni ninyi nyote neema ya Bwana wetu Yesu Kristo.