Polish

Swahili: New Testament

Revelation

13

1I widziałem bestyję występującą z morza, mającą siedm głów i rogów dziesięć; a na rogach jej było dziesięć koron, a na głowach jej imię bluźnierstwa.
1(G12-18) Na likajisimamia ukingoni mwa bahari. (G13-1) Kisha nikaona mnyama mmoja akitoka baharini. Alikuwa na vichwa saba na pembe kumi, na kila pembe ilikuwa na taji. Jina la kashfa lilikuwa limeandikwa juu ya vichwa hivyo.
2A ta bestyja, którąm widział, podobna była rysiowi, a nogi jej jako niedźwiedzie, a gęba jej jako gęba lwia; i dał jej smok moc swoję i stolicę swoję, i moc wielką.
2Mnyama huyo niliyemwona alikuwa kama chui; miguu yake ilikuwa kama ya dubu, na kinywa chake kama cha simba. Lile joka likampa huyo mnyama nguvu yake, kiti chake cha enzi na uwezo mkuu.
3A widziałem jednę z głów jej, jakoby na śmierć zabitą; ale rana jej śmiertelna uleczona jest. Tedy się dziwowała wszystka ziemia i szła za oną bestyją.
3Kichwa kimojawapo cha huyo mnyama kilionekana kama kilikwisha jeruhiwa vibaya sana, lakini jeraha hilo lilikuwa limepona. Dunia nzima ilishangazwa na huyo mnyama na kumfuata.
4I kłaniali się onemu smokowi, który dał moc bestyi; kłaniali się też bestyi, mówiąc: Któż podobny bestyi? Któż z nią walczyć może?
4Watu wote wakaliabudu lile joka kwa sababu lilimpa huyo mnyama uwezo wake. Wakamwabudu pia huyo mnyama wakisema, "Nani aliye kama huyu mnyama? Ni nani awezaye kupigana naye?"
5I dane jej są usta, mówiące wielkie rzeczy i bluźnierstwa; dana jej też jest moc, aby władzę miała przez czterdzieści i dwa miesiące.
5Kisha huyo mnyama akaruhusiwa kusema maneno ya kujigamba na kumkufuru Mungu; akaruhusiwa kuwa na mamlaka kwa muda wa miezi arobaini na miwili.
6I otworzyła usta swoje ku bluźnierstwu przeciwko Bogu, aby bluźniła imię jego i przybytek jego, i tych, którzy mieszkają na niebie.
6Basi, akaanza kumtukana Mungu, kulitukana jina lake, makao yake, na wote wakaao mbinguni.
7Dano jej też walczyć z świętymi i zwyciężać ich. I dana jej moc nad wszelkiem pokoleniem i językiem, i narodem.
7Aliruhusiwa kuwapiga vita na kuwashinda watu wa Mungu. Alipewa mamlaka juu ya watu wa kila kabila, ukoo, lugha na taifa.
8I będą się jej kłaniać wszyscy mieszkający na ziemi, których imiona nie są napisane w księgach żywota Baranka zabitego od założenia świata.
8Wote waishio duniani watamwabudu isipokuwa tu wale ambao majina yao yameandikwa tangu mwanzo wa ulimwengu katika kitabu cha uzima cha Mwanakondoo aliyechinjwa.
9Jeźli kto ma uszy, niechaj słucha!
9"Aliye na masikio, na asikie!
10Jeźli kto w pojmanie wiedzie, w pojmanie pójdzie; jeźli kto mieczem zabije, musi i on być mieczem zabity. Tuć jest cierpliwość i wiara świętych.
10Waliokusudiwa kuchukuliwa mateka lazima watatekwa; waliokusudiwa kuuawa kwa upanga lazima watauawa kwa upanga. Kutokana na hayo ni lazima watu wa Mungu wawe na uvumilivu na imani."
11Zatem widziałem drugą bestyję występującą z ziemi, a miała dwa rogi podobne Barankowym; ale mówiła jako smok,
11Kisha nikamwona mnyama mwingine anatoka ardhini. Alikuwa na pembe mbili kama pembe za kondoo, na aliongea kama joka.
12A wszystkiej mocy pierwszej onej bestyi dokazuje przed twarzą jej i czyni, że ziemia i mieszkający na niej kłaniają się bestyi pierwszej, której śmiertelna rana była uzdrowiona;
12Alikuwa na mamlaka kamili kutoka kwa yule mnyama wa kwanza, na akautumia uwezo huo mbele ya huyo mnyama. Akailazimisha dunia yote na wote waliomo humo kumwabudu huyo mnyama wa kwanza ambaye alikuwa na jeraha la kifo lililokuwa limepona.
13A czyni cuda wielkie, tak iż i ogieó z nieba zstępuje przed oczyma ludzi na ziemię;
13Basi, huyu mnyama wa pili akafanya miujiza mikubwa hata akasababisha moto kutoka mbinguni ushuke duniani mbele ya watu.
14I zwodzi mieszkających na ziemi przez one cuda, które jej dano czynić przed bestyją, mówiąc obywatelom ziemi, aby uczynili obraz onej bestyi, która miała ranę od miecza, ale zasię ożyła.
14Aliwapotosha wakazi wa dunia kwa miujiza hiyo aliyojaliwa kutenda mbele ya mnyama wa kwanza. Aliwaambia wakazi wa dunia watengeneze sanamu kwa heshima ya yule mnyama aliyekuwa amejeruhiwa kwa upanga lakini akaishi tena.
15I dano jej, aby mogła dać ducha onemu obrazowi bestyi, żeby też mówił obraz tej bestyi i to sprawił, aby ci, którzy by się nie kłaniali obrazowi onej bestyi, byli pobici.
15Kisha alijaliwa kuipulizia uhai hiyo sanamu ya yule mnyama wa kwanza, hata ikaweza kuongea na kuwaua watu wote ambao hawakuiabudu.
16A czyni, aby wszyscy, mali i wielcy, bogaci i ubodzy, i wolni, i niewolnicy, wzięli piętna na prawą rękę swoję albo na czoła swe,
16Aliwalazimisha wote, wadogo na wakubwa, matajiri na maskini, watu huru na watumwa, watiwe alama juu ya mikono yao ya kulia au juu ya paji za nyuso zao.
17A żeby żaden nie mógł kupować ani sprzedawać, tylko ten, który ma piętno albo imię bestyi albo liczbę imienia jej.
17Akapiga marufuku mtu yeyote kununua au kuuza kitu isipokuwa tu mtu aliyetiwa alama hiyo, yaani jina la yule mnyama au tarakimu ya jina hilo.
18Tu jest mądrość. Kto ma rozum, niech zrachuje liczbę onej bestyi; albowiem jest liczba człowieka. A ta jest liczba jej, sześćset sześćdziesiąt i sześć.
18Hapa ni lazima kutumia ujasiri! Mwenye akili anaweza kufafanua maana ya tarakimu ya mnyama huyo, maana ni tarakimu yenye maana ya mtu fulani. Tarakimu hiyo ni mia sita sitini na sita.