Polish

Swahili: New Testament

Romans

14

1A tego, który jest w wierze słaby, przyjmujcie, nie na sprzeczania około sporów.
1Mkaribisheni kwenu mtu aliye dhaifu, lakini msibishane naye juu ya mawazo yake binafsi.
2Boć jeden wierzy, iż może jeść wszystko, a drugi będąc słaby, jarzynę jada.
2Watu huhitilafiana: mmoja imani yake inamruhusu kula kila kitu; lakini mwingine ambaye imani yake ni dhaifu, hula tu mboga za majani.
3Ten, który je, niech lekce nie waży tego, który nie je; a który nie je, niech nie potępia tego, który je; albowiem go Bóg przyjął.
3Mtu ambaye hula kila kitu asimdharau yule ambaye hawezi kula kila kitu; naye ambaye hula tu mboga za majani asimhukumu anayekula kila kitu, maana Mungu amemkubali.
4Ktoś ty jest, co sądzisz cudzego sługę? Panu własnemu stoi, albo upada, a ostoi się; albowiem go Bóg może utwierdzić.
4Wewe ni nani hata uthubutu kumhukumu mtumishi wa mwingine? Akisimama au akianguka ni shauri la Bwana wake; naam, atasimama imara, maana Bwana anaweza kumsimamisha.
5Bo jeden różność czyni między dniem a dniem, a drugi każdy dzieó za równo sądzi; każdy niech będzie dobrze upewniony w zmyśle swoim.
5Mtu anaweza kufikiria siku fulani kuwa ya maana zaidi kuliko nyingine; mtu mwingine aweza kuzifikiria siku zote kuwa sawa. Kila mmoja na afuate msimamo wa akili yake.
6Kto przestrzega dnia, Panu przestrzega; a kto nie przestrzega dnia, Panu nie przestrzega; kto je, Panu je, bo dziękuje Bogu; a kto nie je, Panu nie je, a dziękuje Bogu.
6Anayeadhimisha siku fulani anaadhimisha siku hiyo kwa ajili ya kumtukuza Mungu; naye anayekula chakula fulani anafanya hivyo kwa kumtukuza Bwana maana anamshukuru Mungu. Kadhalika naye anayeacha kula chakula fulani anafanya hivyo kwa ajili ya kumtukuza Bwana, naye pia anamshukuru Mungu.
7Albowiem nikt z nas sobie nie żyje, i nikt sobie nie umiera.
7Maana hakuna mtu yeyote miongoni mwetu aishiye kwa ajili yake mwenyewe, wala hakuna anayekufa kwa ajili yake mwenyewe
8Bo choć żyjemy, Panu żyjemy; choć umieramy, Panu umieramy; przetoż choć i żyjemy, choć i umieramy, Paóscy jesteśmy.
8maana tukiishi twaishi kwa ajili ya Bwana; tukifa, tunakufa kwa ajili ya Bwana. Basi, kama tukiishi au tukifa, sisi ni mali yake Bwana.
9Gdyż na to Chrystus i umarł i powstał i ożył, aby i nad umarłymi i nad żywymi panował.
9Maana Kristo alikufa, akafufuka ili wapate kuwa Bwana wa wazima na wafu.
10Ale ty przeczże potępiasz brata twego? Albo też ty czemu lekceważysz brata twego, gdyż wszyscy staniemy przed stolicą Chrystusową?
10Kwa nini, basi wewe wamhukumu ndugu yako? Nawe, kwa nini wamdharau ndugu yako? Sisi sote tutasimama mbele ya kiti cha hukumu cha Mungu.
11Bo napisano: Jako żyję Ja, mówi Pan, iż mi się każde kolano ukłoni, i każdy język wysławiać będzie Boga.
11Maana Maandiko yanasema: "Kama niishivyo, asema Bwana kila mtu atanipigia magoti, na kila mmoja atakiri kwamba mimi ni Mungu."
12A przeto każdy z nas sam za się odda rachunek Bogu.
12Kwa hiyo, kila mmoja wetu atatoa hoja yake mbele ya Mungu.
13A tak już nie sądźmy jedni drugich; ale raczej to rozsądzajcie, abyście nie kładli obrażenia, ani dawali zgorszenia bratu.
13Basi, tuache kuhukumiana, bali tuazimie kutokuwa kamwe kikwazo kwa ndugu yetu au kumsababisha aanguke katika dhambi.
14Wiem i upewnionym jest przez Pana Jezusa, iż nie masz nic przez się nieczystego, tylko temu, który mniema co być nieczystem, to temu nieczyste jest.
14Katika kuungana na Bwana Yesu, nina hakika kwamba hakuna kitu chochote kilicho najisi kwa asili yake; lakini, mtu akidhani kwamba kitu fulani ni najisi, basi, kwake huwa najisi.
15Lecz jeźli dla pokarmu brat twój bywa zasmucony, już nie postępujesz według miłości; nie zatracaj pokarmem twoim tego, za którego Chrystus umarł.
15Kama ukimhuzunisha ndugu yako kwa sababu ya chakula unachokula, basi mwenendo wako hauongozwi na mapendo. Usikubali hata kidogo chakula chako kiwe sababu ya kupotea kwa mtu mwingine ambaye Kristo alikufa kwa ajili yake!
16Niechże tedy dobro wasze bluźnione nie będzie.
16Basi, msikubalie kitu mnachokiona kuwa kwenu ni kitu chema kidharauliwe.
17Albowiem królestwo Boże nie jest pokarm ani napój, ale sprawiedliwość i pokój i radość w Duchu Świętym:
17Maana Utawala wa Mungu si shauri la kula na kunywa, bali unahusika na kuwa na uadilifu, amani na furaha iletwayo na Roho Mtakatifu.
18Bo kto w tych rzeczach służy Chrystusowi, miły jest Bogu, a przyjemny ludziom.
18Anayemtumikia Kristo namna hiyo humpendeza Mungu, na kukubaliwa na watu.
19Przetoż tedy naśladujmy tego, co należy do pokoju i do społecznego budowania.
19Kwa hiyo tuyazingatie daima mambo yenye kuleta amani, na yanayotusaidia kujengana.
20Dla pokarmu nie psuj sprawy Bożej. Wszystkoć wprawdzie jest czyste; ale złe jest człowiekowi, który je z obrażeniem.
20Basi, usiiharibu kazi ya Mungu kwa sababu ya ubishi juu ya chakula. Vyakula vyote ni halali, lakini haifai kula chakula ambacho kitamfanya mtu aanguke katika dhambi.
21Dobrać jest, nie jeść mięsa i nie pić wina, ani żadnej rzeczy, którą się brat twój obraża albo gorszy albo słabieje.
21Afadhali kuacha kula nyama, kunywa divai, au kufanya chochote ambacho chaweza kumsababisha ndugu yako aanguke.
22Ty wiarę masz? miejże ją sam u siebie przed Bogiem. Błogosławiony, który samego siebie nie sądzi w tem, co ma za dobre.
22Basi, shikilia unachoamini kati yako na Mungu wako. Heri mtu yule ambaye, katika kujiamulia la kufanya, haipingi dhamiri yake.
23Ale kto jest wątpliwy, jeźliby jadł, potępiony jest, iż nie je z wiary; albowiem cokolwiek nie jest z wiary, grzechem jest.
23Lakini mtu anayeona shaka juu ya chakula anachokula, anahukumiwa kama akila, kwa sababu msimamo wa kitendo chake haumo katika imani. Na, chochote kisicho na msingi wake katika imani ni dhambi.