1Se, pois, fostes ressuscitados juntamente com Cristo, buscai as coisas que são de cima, onde Cristo está assentado � destra de Deus.
1Basi, ikiwa mmefufuka pamoja na Kristo, panieni mambo ya juu, kule Kristo aliko, ameketi upande wa kulia wa Mungu.
2Pensai nas coisas que são de cima, e não nas que são da terra;
2Muwe na hamu ya mambo ya huko juu, na siyo mambo ya hapa duniani.
3porque morrestes, e a vossa vida está escondida com Cristo em Deus.
3Maana ninyi mmekufa na uzima wenu umefichwa pamoja na Kristo katika Mungu.
4Quando Cristo, que é a nossa vida, se manifestar, então também vós vos manifestareis com ele em glória.
4Uzima wenu halisi ni Kristo, na wakati atakapotokea ndipo nanyi pia mtakapotokea pamoja naye katika utukufu.
5Exterminai, pois, as vossas inclinações carnais; a prostituição, a impureza, a paixão, a vil concupiscência, e a avareza, que é idolatria;
5Basi, komesheni kabisa kila kitu kilicho ndani yenu ambacho chahusika na mambo ya kidunia: uasherati, uchafu, shauku, tamaa mbaya na uchu (ambao ni sawa na kuabudu sanamu).
6pelas quais coisas vem a ira de Deus sobre os filhos da desobediência;
6Kwa sababu ya mambo hayo hasira ya Mungu huwajia wote wanaomwasi.
7nas quais também em outro tempo andastes, quando vivíeis nelas;
7Wakati mmoja ninyi pia mliishi kufuatana na mambo hayo, mlipotawaliwa nayo.
8mas agora despojai-vos também de tudo isto: da ira, da cólera, da malícia, da maledicência, das palavras torpes da vossa boca;
8Lakini sasa mnapaswa kuachana na mambo haya yote: hasira, tamaa, uovu; kufuru au maneno yasiyofaa yasitoke kamwe vinywani mwenu.
9não mintais uns aos outros, pois que já vos despistes do homem velho com os seus feitos,
9Msiambiane uongo, kwani ninyi mmekwisha vua ule utu wa kale pamoja na matendo yake yote,
10e vos vestistes do novo, que se renova para o pleno conhecimento, segundo a imagem daquele que o criou;
10mkavaa utu mpya. Huu unaendelea kurekebishwa na Mungu, Muumba wake, kadiri ya mfano wake, ili mpate kumjua Mungu kwa ukamilifu.
11onde não há grego nem judeu, circuncisão nem incircuncisão, bárbaro, cita, escravo ou livre, mas Cristo é tudo em todos.
11Katika hali hii, hakuna tena tofauti kati ya Mgiriki na Myahudi, aliyetahiriwa na asiyetahiriwa, msomi na asiye msomi, mtumwa na mtu aliye huru. Kristo ni kila kitu, na yumo katika yote.
12Revestí-vos, pois, como eleitos de Deus, santos e amados, de coração compassivo, de benignidade, humildade, mansidão, longanimidade,
12Ninyi ni watu wake Mungu; yeye aliwapenda na kuwateua. Kwa hiyo basi, vaeni moyo wa huruma, wema, unyenyekevu, upole na uvumilivu.
13suportando-vos e perdoando-vos uns aos outros, se alguém tiver queixa contra outro; assim como o Senhor vos perdoou, assim fazei vós também.
13Vumilianeni na kusameheana iwapo mmoja wenu analo jambo lolote dhidi ya mwenzake. Mnapaswa kusameheana kama Bwana alivyowasamehe ninyi.
14E, sobre tudo isto, revestí-vos do amor, que é o vínculo da perfeição.
14Zaidi ya hayo yote, zingatieni upendo kwani upendo huunganisha kila kitu katika umoja ulio kamili.
15E a paz de Cristo, para a qual também fostes chamados em um corpo, domine em vossos corações; e sede agradecidos.
15Nayo amani ya Kristo itawale mioyoni mwenu; maana kwa ajili hiyo ninyi mmeitwa katika mwili huo mmoja. Tena muwe na shukrani!
16A palavra de Cristo habite em vós ricamente, em toda a sabedoria; ensinai-vos e admoestai-vos uns aos outros, com salmos, hinos e cânticos espirituais, louvando a Deus com gratidão em vossos corações.
16Ujumbe wa Kristo ukae ndani yenu pamoja na utajiri wake wote. Fundishaneni na kushauriana kwa hekima yote. Imbeni zaburi, nyimbo na tenzi za kiroho; mwimbieni Mungu mioyoni mwenu kwa shukrani.
17E tudo quanto fizerdes por palavras ou por obras, fazei-o em nome do Senhor Jesus, dando por ele graças a Deus Pai.
17Na, kila mfanyacho kwa neno au tendo, fanyeni vyote kwa jina la Bwana Yesu na kumshukuru Mungu Baba kwa njia yake.
18Vós, mulheres, sede submissas a vossos maridos, como convém no Senhor.
18Enyi akina mama, watiini waume zenu, kwani ndivyo apendavyo Bwana.
19Vós, maridos, amai a vossas mulheres, e não as trateis asperamente.
19Nanyi waume, wapendeni wake zenu, na msiwe wakali kwao.
20Vós, filhos, obedecei em tudo a vossos pais; porque isto é agradável ao Senhor.
20Enyi watoto, watiini wazazi wenu daima maana hiyo humpendeza Bwana.
21Vós, pais, não irriteis a vossos filhos, para que não fiquem desanimados.
21Nanyi wazazi, msiwachukize watoto wenu, la sivyo watakata tamaa.
22Vós, servos, obedecei em tudo a vossos senhores segundo a carne, não servindo somente � vista como para agradar aos homens, mas em singeleza de coração, temendo ao Senhor.
22Enyi watumwa, watiini wakuu wenu wa kidunia katika mambo yote, na si tu wakati wanapowatazama kwa kuwa mnataka kujipendekeza kwao; ila fanyeni hivyo kwa moyo wote, kwa sababu ya kumcha Bwana.
23E tudo quanto fizerdes, fazei-o de coração, como ao Senhor, e não aos homens,
23Kila mfanyalo, fanyeni kwa moyo wote, kwa sababu ya Bwana na si kwa ajili ya mtu.
24sabendo que do Senhor recebereis como recompensa a herança; servi a Cristo, o Senhor.
24Kumbukeni kwamba atawapeni tuzo lile alilowawekea watu wake. Mtumikieni Kristo Bwana!
25Pois quem faz injustiça receberá a paga da injustiça que fez; e não há acepção de pessoas.
25Atendaye mabaya atalipwa kufuatana na ubaya wake; Mungu hana ubaguzi.