1Sede pois imitadores de Deus, como filhos amados;
1Kwa hiyo, mwigeni Mungu, maana ninyi ni watoto wake wapenzi.
2e andai em amor, como Cristo também vos amou, e se entregou a si mesmo por nós, como oferta e sacrifício a Deus, em cheiro suave.
2Upendo uongoze maisha yenu, kama vile Kristo alivyotupenda, na kwa ajili yetu akajitoa mwenyewe kama dhabihu yenye harufu nzuri na tambiko impendezayo Mungu.
3Mas a prostituição, e toda sorte de impureza ou cobiça, nem sequer se nomeie entre vós, como convém a santos,
3Kwa vile ninyi ni watu wa Mungu, basi uasherati, uchafu wowote ule au choyo visitajwe kamwe miongoni mwenu.
4nem baixeza, nem conversa tola, nem gracejos indecentes, coisas essas que não convêm; mas antes ações de graças.
4Tena maneno ya aibu, ya upuuzi au ubishi, yote hayo hayafai kwenu; maneno ya kumshukuru Mungu ndiyo yanayofaa.
5Porque bem sabeis isto: que nenhum devasso, ou impuro, ou avarento, o qual é idólatra, tem herança no reino de Cristo e de Deus.
5Jueni wazi kwamba mwasherati yeyote au mchafu au mfisadi, (ufisadi ni sawa na kuabudu sanamu), au mtu yeyote wa aina hiyo hataambulia chochote katika Utawala wa Kristo na wa Mungu.
6Ninguém vos engane com palavras vãs; porque por estas coisas vem a ira de Deus sobre os filhos da desobediência.
6Msikubali kudanganywa na mtu kwa maneno matupu; maana, kwa sababu ya mambo kama hayo ghadhabu ya Mungu huwajia wote wasiomtii.
7Portanto não sejais participantes com eles;
7Basi, msishirikiane nao.
8pois outrora éreis trevas, mas agora sois luz no Senhor; andai como filhos da luz
8Zamani ninyi mlikuwa gizani, lakini sasa ninyi mko katika mwanga kwa kuungana na Bwana. Ishini kama watoto wa mwanga:
9(pois o fruto da luz está em toda a bondade, e justiça e verdade),
9maana matokeo ya mwanga ni wema kamili, uadilifu na ukweli.
10provando o que é agradável ao Senhor;
10Jaribuni kujua yale yanayompendeza Bwana.
11e não vos associeis �s obras infrutuosas das trevas, antes, porém, condenai-as;
11Msishiriki katika matendo yasiyofaa, ya giza bali yafichueni.
12porque as coisas feitas por eles em oculto, até o dizê-las é vergonhoso.
12Mambo yanayotendwa kwa siri ni aibu hata kuyataja.
13Mas todas estas coisas, sendo condenadas, se manifestam pela luz, pois tudo o que se manifesta é luz.
13Lakini mambo yale yanayotendwa katika mwanga, ukweli wake hudhihirishwa;
14Pelo que diz: Desperta, tu que dormes, e levanta-te dentre os mortos, e Cristo te iluminará.
14na kila kilichodhihirishwa huwa mwanga. Ndiyo maana Maandiko yasema: "Amka wewe uliyelala, fufuka kutoka wafu, naye Kristo atakuangaza."
15Portanto, vede diligentemente como andais, não como néscios, mas como sábios,
15Basi, muwe waangalifu jinsi mnavyoishi: Msiishi kama wapumbavu, bali kama wenye hekima.
16usando bem cada oportunidade, porquanto os dias são maus.
16Tumieni vizuri muda mlio nao maana siku hizi ni mbaya.
17Por isso, não sejais insensatos, mas entendei qual seja a vontade do Senhor.
17Kwa hiyo, msiwe wapumbavu, bali jaribuni kujua matakwa ya Bwana.
18E não vos embriagueis com vinho, no qual há devassidão, mas enchei-vos do Espírito,
18Acheni kulewa divai maana hiyo itawaangamiza, bali mjazwe Roho Mtakatifu.
19falando entre vós em salmos, hinos, e cânticos espirituais, cantando e salmodiando ao Senhor no vosso coração,
19Zungumzeni kwa maneno ya Zaburi, nyimbo na tenzi za kiroho; mwimbieni Bwana nyimbo na zaburi kwa shukrani mioyoni mwenu.
20sempre dando graças por tudo a Deus, o Pai, em nome de nosso Senhor Jesus Cristo,
20Mshukuruni Mungu Baba daima kwa ajili ya yote, kwa jina la Bwana wetu Yesu Kristo.
21sujeitando-vos uns aos outros no temor de Cristo.
21Kila mmoja amstahi mwenzake kwa sababu ya kumcha Kristo.
22Vós, mulheres, submetei-vos a vossos maridos, como ao Senhor;
22Wake wawatii waume zao kama kumtii Bwana.
23porque o marido é a cabeça da mulher, como também Cristo é a cabeça da igreja, sendo ele próprio o Salvador do corpo.
23Maana mume anayo mamlaka juu ya mkewe, kama vile Kristo alivyo na mamlaka juu ya kanisa; naye Kristo mwenyewe hulikomboa kanisa, mwili wake.
24Mas, assim como a igreja está sujeita a Cristo, assim também as mulheres o sejam em tudo a seus maridos.
24Kama vile kanisa linavyomtii Kristo, vivyo hivyo, wake wawatii waume zao katika mambo yote.
25Vós, maridos, amai a vossas mulheres, como também Cristo amou a igreja, e a si mesmo se entregou por ela,
25Nanyi waume, wapendeni wake zenu kama Kristo alivyolipenda kanisa, akajitoa mwenyewe sadaka kwa ajili yake.
26a fim de a santificar, tendo-a purificado com a lavagem da água, pela palavra,
26Alifanya hivyo, ili kwa neno lake, aliweke wakfu kwa Mungu, baada ya kulifanya safi kwa kuliosha katika maji,
27para apresentá-la a si mesmo igreja gloriosa, sem mácula, nem ruga, nem qualquer coisa semelhante, mas santa e irrepreensível.
27kusudi ajipatie kanisa lililo takatifu na safu kabisa, kanisa lisilo na doa, kasoro au chochote cha namna hiyo.
28Assim devem os maridos amar a suas próprias mulheres, como a seus próprios corpos. Quem ama a sua mulher, ama-se a si mesmo.
28Basi, waume wanapaswa kuwapenda wake zao kama miili yao wenyewe.
29Pois nunca ninguém aborreceu a sua própria carne, antes a nutre e preza, como também Cristo � igreja;
29(Hakuna mtu yeyote auchukiaye mwili wake; badala ya kuuchukia, huulisha na kuuvika. Ndivyo naye Kristo anavyolitunza kanisa,
30porque somos membros do seu corpo.
30maana sisi ni viungo vya mwili wake.)
31Por isso deixará o homem a seu pai e a sua mãe, e se unirá � sua mulher, e serão os dois uma só carne.
31Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: "Kwa hiyo, mwanamume atawaacha baba na mama yake, ataungana na mkewe, nao wawili watakuwa mwili mmoja."
32Grande é este mistério, mas eu falo em referência a Cristo e � igreja.
32Kuna ukweli uliofichika katika maneno haya, nami naona kwamba yamhusu Kristo na kanisa lake.
33Todavia também vós, cada um de per si, assim ame a sua própria mulher como a si mesmo, e a mulher reverencie a seu marido.
33Lakini yanawahusu ninyi pia: kila mume lazima ampende mkewe kama nafsi yake mwenyewe, naye mke anapaswa kumstahi mumewe.