1O Agrippa mothol le Pavloske, "Slobodo tuke te des duma te chachares tu," ai o Pavlo vazdia o vas ai chacharelaspe: ai phendia,
1Basi, Agripa akamwambia Paulo, "Unaruhusiwa kujitetea." Hapo Paulo alinyosha mkono wake akajitetea hivi:
2"Raduime sim Amperato Agrippa, ke si mange slobodo adies te chacharav ma angla tute anda sa le dieli kai le Zhiduvuria dosharen ma:
2"Mfalme Agripa, ninajiona mwenye bahati leo kujitetea mbele yako kuhusu yale mashtaka yote ambayo Wayahudi walikuwa wamesema juu yangu.
3Ke tu zhanes mishto lenge zakonuria, ai lenge divanuria, rhugiv ma tute te ashunes mande vriamasa.
3Hasa kwa vile wewe mwenyewe ni mtaalamu wa desturi za Wayahudi na migogoro yao, ninakuomba basi unisikilize kwa uvumilivu.
4Murho traio de katar le vriama kai simas terno, sa le Zhiduvuria zhanen les. Ke datunchara me traiisardem ande Jerusalem mashkar murho narodo.
4"Wayahudi wanajua habari za maisha yangu tangu utoto, jinsi nilivyoishi tangu mwanzo kati ya taifa langu huko Yerusalemu.
5Won zhanen man de dumult, ai sai phenen te mangena, ke traiisardem sar lende ai lema pala zakono o mai baro kai si le Farizeanonge.
5Wananifahamu kwa muda mrefu, na wanaweza kushuhudia, kama wakipenda, kwamba tangu mwanzo niliishi kama mmoja wa kikundi chenye siasa kali zaidi katika dini yetu, yaani kikundi cha Mafarisayo.
6Ai akana den ma pe kris ke pachav ma ande so shinadia O Del amare dadenge.
6Na sasa niko hapa nihukumiwe kwa sababu ninaitumainia ile ahadi ambayo Mungu aliwaahidia babu zetu.
7Le desh u dui vitsi amare narodoske pachanpe ke dikhena ke kerdiol so sas shinado, ande kodia keren buchi le Devleski raduimasa, vi adiese ai vi e riate. Anda kodia Amperatona Agrippa, pala kado pachamos sim dino ande kris katar le Zhiduvuria.
7Ahadi hiyo ndiyo ileile inayotumainiwa na makabila kumi na mawili ya taifa letu, wakimtumikia Mungu kwa dhati mchana na usiku. Mheshimiwa mfalme, Wayahudi wananishtaki kwa sababu ya tumaini hilo!
8Sostar tume, le Zhiduvuria gindin ke nashti O Del te del traio le mulen?
8Kwa nini ninyi mnaona shida sana kuamini kwamba Mungu huwafufua wafu?
9"Me gindivas, ke trobulas vari so te rimov o anav kodoleske kai si O Jesus andai Nazareth,
9Kwa kweli mimi mwenyewe niliamini kwamba ni wajibu wangu kufanya mambo mengi kulipinga jina la Yesu wa Nazareti.
10Kodia kerdem ando Jerusalem. Thodem andel temnitsa buten kai pachanaspe ando Del; ke sas ma dini e ordina katar le bare le rashange, ai kana mudarenas le, me mothavas ke mishto sas.
10Mambo hayo ndiyo niliyoyafanya huko Yerusalemu. Mimi binafsi, nikiwa nimepewa mamlaka kutoka kwa makuhani wakuu, nilipata kuwatia gerezani wengi wa watu wa Mungu. Nao walipohukumiwa kuuawa, nilipiga kura ya kukubali.
11Butivar chinuisardem le ande swako synagogue, ai pe zor thavas le te parhuven ai te na mai pachanpe ando Del. Kadia de xoliariko simas pe lende, ke zhavas te chinuiv le zhi andel kolaver foruria avrial.
11Mara nyingi niliwafanya waadhibiwe katika masunagogi yote nikiwashurutisha waikane imani yao. Hasira yangu kwao ilikuwa kubwa hata nikawasaka mpaka miji ya mbali.
12Anda kodia zhavas ando Damascus la putierasa ai buchi kai dinesas ma le bare le rashange.
12"Kwa mujibu huohuo, nilikwenda Damasko wakati mmoja, nikiwa na mamlaka na maagizo kutoka kwa makuhani wakuu.
13Desh u dui ka miazutso, Amperatona, dikhlem po drom kruglom mandar ai kruglom murhe vortacha, ek vediara kai hulelas anda cheri, ai o strefaimos sas mai baro de sar o strefaimos le khamesko.
13Mheshimiwa, wakati nilipokuwa njiani, saa sita mchana, niliona mwanga mkubwa kuliko wa jua ukiangaza kutoka mbinguni, ukanizunguka mimi na wale wasafiri wenzangu.
14Savorhe peliam tele, ai ek glaso ashundem kai motholas mange ande shib le Zhidovisko, "Saul, Saul! Sostar chinuis man? Bi malades keres kai rhevdis sar iek gurumli, trutno tuke te de palpale katar le kanrhe."
14Sisi sote tulianguka chini, nami nikasikia sauti ikiniambia kwa Kiebrania: Saulo, Saulo! Kwa nini unanitesa? Unajiumiza bure kama punda anayepiga teke fimbo ya bwana wake.
15Ai me phendem, "Kon san tu Devla," ai o Del phendia,
15Mimi nikauliza: Ni nani wewe Bwana? Naye Bwana akajibu: Mimi ni Yesu ambaye wewe unamtesa.
16"Me sim O Jesus kai chinuis man, Numa wushti opre ai besh anda punrhende. Sikadilem tuke, te kerav anda tute ek sluga ai te aves murho marturo, ai te mothos le kolavrenge sar dikhlian ma adies, ai te mothos lenge so mai sikava tuke mai angle,
16Haidhuru, inuka sasa; simama wima. Nimekutokea ili nikuweke rasmi kuwa mtumishi wangu. Utawathibitishia watu wengine mambo uliyoyaona leo na yale ambayo bado nitakuonyesha.
17Alosardem tu mashkar dado narodo, ai mashkar le Nai Zhiduvuria, ai karing lende si te tradav tu.
17Nitakuokoa na watu wa Israeli na watu wa mataifa mengine ambao mimi ninakutuma kwao.
18Saxke te phutres lenge iakha, te nakhen anda tuniariko kai e vediara ai katar e putiera le bengeske ka Del, ai te avel len dino ando pachamos ande mande, o iertimos le bezexengo, ai te avel le iek than mashkar kodola kai si le Devleske."
18Utayafumbua macho yao na kuwawezesha watoke gizani na kuingia katika mwanga; watoke katika utawala wa Shetani, wamgeukie Mungu; ili kwa kuamini, wapate kusamehewa dhambi na kuchukua nafasi yao kati ya wale ambao wamepata kuwa watu wa Mungu.
19Kadia, O Amperato Agrippa, chi dem rigate pa so sas mange sikado ande viziona kai avelas mange anda cheri.
19"Hivyo, mfalme Agripa, sikuweza kuwa mkaidi kwa maono hilo la mbinguni.
20Numa phendem mai anglal le narodoske kai si ando Damascus, ai ando Jerusalem, porme sa kodolenge kai si ande Judea, ai le nai Zhiduvuria, te parhuven pengo traio, ai te boldenpe karing O Del, ai te sikaven dieli kai sikaven o chachimos ke parhudile.
20Ila nilianza kuhubiri kwanza kwa watu wa Damasko, halafu kwa wale wa Yerusalemu na nchi yote ya Yudea, na pia kwa watu wa mataifa mengine. Niliwahimiza wamgeukie Mungu na kuonyesha kwa vitendo kwamba wamebadilisha mioyo yao.
21Eta, sostar le Zhiduvuria line ma ande tampla ai mangenas te mudaren ma.
21Kwa sababu hiyo, Wayahudi walinikamata nikiwa Hekaluni, wakajaribu kuniua.
22Numa nais le Devleske ke arakhlia ma, ta chi sim mulo adies, ai sim marturo mashkar le tsinorhe ai le bare. Mothav kanchi aver de ferdi so phende le profeturia ai o Moses ke kerdiola.
22Lakini Mungu alinisaidia; na hivyo mpaka siku ya leo nimesimama imara nikitoa ushuhuda kwa wote, wakubwa na wadogo. Ninayosema ni yale ambayo manabii na Mose walisema yatatukia;
23Ke o Kristo chinuila, ai ke wo avela o pervo kai zhuvindila mashkar le mule, ai mothola pai vediara le narodoske, ai la lumiake.
23yaani ilimpasa Kristo ateseke na kuwa wa kwanza kufufuka kutoka wafu, ili atangaze kwamba mwanga wa ukombozi unawaangazia sasa watu wote, Wayahudi na pia watu wa mataifa mengine."
24Ai kadia o Pavlo divinilas te chacharelpe. Numa o Festus tsipisardia "Dzilo san, Pavlo, ke de but kai manglian te zhanes dzilailian!"
24Paulo alipofika hapa katika kujitetea kwake, Festo alisema kwa sauti kubwa, "Paulo! Una wazimu! Kusoma kwako kwingi kunakutia wazimu!"
25O Pavlo phendia, "Chi sim dzilo, Festus! Le vorbi kai mothav vorbi cchache si ai malade.
25Lakini Paulo akasema, "Sina wazimu mheshimiwa Festo: Ninachosema ni ukweli mtupu.
26O amperato Agrippa zhanel pa kadala dieli, ai sai dav duma bi darako angla leste, ai zhanav ke zhanel sa kadala dieli ke kadala dieli chi kerdile chordanes andek koltso.
26Wewe Mfalme unayafahamu mambo haya, kwa hiyo ninaweza kuongea bila uoga mbele yako. Sina mashaka kwamba matukio hayo yanajulikana kwako maana jambo hili halikutendeka mafichoni.
27O amperato, Agrippa, "Pachas tu andel profeturia? Zhanav ke pachas tu!"
27Mfalme Agripa, je, una imani na manabii? Najua kwamba unaamini."
28Ai o Agrippa phendia le Pavloske, "Akanash parhuves ma, ai keres te kerdiuav shav Devlesko?"
28Agripa akamjibu Paulo, "Kidogo tu utanifanya Mkristo!"
29Ai o Pavlo phendia, "Te avel akana vai mai angle sar mangela O Del, ai na ferdi tu , numa savorhe kodola kai ashunden mande adies, sai kerdion sar mande, numa chi avela len le lantsuria kai si pe mande!"
29Paulo akamjibu, "Namwomba Mungu kwamba, kwa muda mfupi au mrefu, si wewe tu bali wote wanaonisikia leo wapate kuwa kama nilivyo mimi, lakini bila hii minyororo."
30O amperato Agrippa, o governori Festus, ai Bernice, ai sa kodola kai sas lensa wushtilo opre,
30Hapo mfalme Agripa, mkuu wa mkoa, Bernike na wale wote waliokuwa pamoja nao, walisimama.
31ai durile xantsi, ai denas pe duma won de won, ai mothonas, "Kako manush chi kerdia kasavestar baio te mudaren les vai te thon le ande temnitsa."
31Walipokwisha ondoka, waliambiana, "Mtu huyu hakufanya chochote kinachostahili adhabu ya kifo au kifungo."
32Ai o Agrippa phendia le Festusoske, "Kako manush sai mekenas les te na akhardino le amperatos Caesar."
32Naye Agripa akamwambia Festo, "Mtu huyu angeweza kufunguliwa kama asingalikuwa amekata rufani kwa Kaisari."