Romani: New Testament

Swahili: New Testament

Acts

8

1O Saul phendia, "Ke mishto kerde kai mudarde le Stephenos."Ando kodo dies mudarde buten andal shave le Devleske kai sas ande khangeri ande Jerusalem; ai savorhe rhespisaile andal gava karing e Judea ai Samaria,
1Saulo naye alikiona kitendo hicho cha kumwua Stefano kuwa sawa. Siku hiyo kanisa la Yerusalemu lilianza kuteswa vibaya. Waumini wote, isipokuwa tu wale mitume, walilazimika kutawanyika katika sehemu za mashambani za Yudea na Samaria.
2ferdi le desh u dui apostluria chi gele.
2Watu wamchao Mungu, walimzika Stefano na kumfanyia maombolezo makubwa.
3Le shave le Devleske angroposarde le Stephenos, ai rovenas but pe leski martia. O Saul pa peske rik delas anda khangeria phagavelas, zhalas ande swako kher, ai lelas avri le murshen ai le zhuvlian ai tholas le ande temnitsi.
3Wakati huohuo, Saulo alijaribu kuliangamiza kanisa. Alikwenda katika kila nyumba, akawatoa nje waumini, wanaume kwa wanawake, akawatia gerezani.
4Kodola kai rhespisaile sas, zhanas foro forostar ai mothonas e lashi viasta le Devleski.
4Wale waumini waliotawanyika, walikwenda kila mahali wakihubiri ule ujumbe.
5O Filip gelo ando foro kai sas ande Samaria, ai delas duma pa Kristo.
5Naye Filipo aliingia katika mji wa Samaria na kumhubiri Kristo kwa wenyeji wa hapo.
6But narodo ashunelas ka Filip so motholas, ashunenas ai dikhenas le mirakluria kai kerelas.
6Watu walijiunga kusikiliza kwa makini ule ujumbe wa Filipo na kuona ile miujiza aliyoifanya.
7Ke o beng anklelas avri anda but manush kai sas ande lende, ai tsipinas zurales, ai but manush kai nashti phirenas ai uni kai sas bange, lenge punrhe sastile.
7Maana pepo wachafu waliokuwa wamewapagaa watu wengi waliwatoka wakipiga kelele kubwa; na pia watu wengi waliokuwa wamepooza viungo na waliolemaa waliponywa.
8Baro raduimos sas ando kado foro.
8Kukawa na furaha kubwa katika mji ule.
9Sas mai anglal ande kodo foro iek manush kai busholas Simon, kai wo miazolas peske bare buchi, wo kerelas le bucha le bengeske, ai o narodo kai sas ande Samaria chudelas pe.
9Basi, kulikuwa na mtu mmoja aitwaye Simoni ambaye alikuwa amekwisha fanya uchawi wake katika mji huo kwa muda na kuwashangaza watu wa Samaria, akijiona kuwa yeye ni mtu maarufu.
10Savorhe dikh katar o mai tsigno zhi ka mai baro, ashunenas leste, ai mothonas, kako si e putiera e bari le Devleski.
10Watu wote, wadogo na wakubwa, walimsikiliza kwa makini wakisema, "Simoni ndiye ile nguvu ya kimungu inayoitwa Nguvu Kubwa."
11Ashunenas leste mishto, ke de dumult chudinas le narodos le buchansa kai kerelas.
11Walivutiwa sana naye kwa vile alikuwa amewashangaza kwa uchawi wake kwa muda mrefu.
12Numa kana pachaiepe ande Filip, wo kai motholas lenge e lashi viasta le rehaioski kai si le Devleski ai pa anav le Jesus Kristosko, murhs ai zhuvlia boldepe.
12Lakini walipouamini ujumbe wa Filipo juu ya Habari Njema ya Ufalme wa Mungu na jina la Yesu Kristo, walibatizwa, wanawake na wanaume.
13O Simon, vi wo pac haiape, ai kana boldiape, phirelas le Filiposa, ai dikhelas ai chudelaspe katar le mirakluria ai le bare semnuria kai kerdionas.
13Hata Simoni aliamini; baada ya kubatizwa ilikuwa akiandamana na Filipo, akastaajabia maajabu na miujiza iliyokuwa inafanyika.
14Le apostluria kai sas ande Jerusalem kana ashunde ke o narodo ande Samaria pachaiepe ande Vorba le Devleski, trade le Petres ai le Iovanos lende.
14Wale mitume waliokuwa kule Yerusalemu walipopata habari kwamba wenyeji wa Samaria nao wamelipokea neno la Mungu, waliwatuma kwao Petro na Yohane.
15Gele ande Samaria ka kodola manush, rhugisarde lenge, saxke te len O Swunto Duxo;
15Walipofika waliwaombea hao waumini ili wampokee Roho Mtakatifu;
16ke inker chi hulisto sas pe chi iek anda lende; ferdi bolde sas ando anav le Jesusosko,
16maana wakati huo Roho Mtakatifu hakuwa ameshukia yeyote kati yao; walikuwa wamebatizwa tu kwa jina la Bwana Yesu.
17Antunchi o Pertri ai o Iovano thode le vas pe lende, ai line O Swunto Duxo.
17Basi, Petro na Yohane wakawawekea mikono hao waumini, nao wakampokea Roho Mtakatifu.
18Kana o Simon dikhlia ke O Swunto Duxo sas dino kana le apostluria thode lenge vas pe lende, wo mangelas te del le love,
18Hapo Simoni aling'amua kwamba kwa kuwekewa mikono ya mitume waumini walipewa Roho Mtakatifu. Hivyo aliwapa Petro na Yohane fedha akisema,
19phenelas, "Den i man kadia putiera, saxke kana rhugiv ma i me vari kaske, ai thava le vas pe leste, te lel vi wo O Swunto Duxo."
19"Nipeni na mimi uwezo huo ili yeyote nitakayemwekea mikono, apokee Roho Mtakatifu."
20Numa o Petri phendia leske, "Che love xasavon tusa, ke tu pachaian tu ke e putiera le Devleski sas dini le lovensa.
20Lakini Petro akamjibu, "Potelea mbali na fedha zako kwa vile unafikiri kwamba unaweza kununua karama ya Mungu kwa fedha!
21Nai tu kanch anda kadia buchi, ai chi poronchis tu: ke cho ilo nai vorta angla Del.
21Huna sehemu yoyote wala haki katika kazi hiyo kwa maana moyo wako hauko sawa mbele ya macho ya Mungu.
22Keisavo anda cho bi lashimos, ai rhugisavo ka Del, te sai kerdiola te iertil tu anda chorho gindo kai sas tu.
22Kwa hiyo, tubu ubaya wako huu na umwombe Bwana naye anaweza kukusamehe fikira kama hizo.
23Ke dikhav ke pherdo bi lashimos san, ai o bezex phandel tu."
23Ni dhahiri kwangu kwamba umejaa wivu mkali na mfungwa wa dhambi!"
24O Simon del atweto, "Rhugin tume ka Del anda mande, saxke te na kerdiol mange sa le dieli kai phendian mange."
24Simoni akajibu, "Tafadhali, niombeeni kwa Bwana lisije likanipata lolote kati ya hayo mliyosema."
25Kana phende so kerdia O Del lenge, ai kana dine duma pa Del, o Petri ai o Iovano geletar palpale ande Jerusalem, ai mothonas e lashi viasta le Devleski ande but foruria le Samaritanonge.
25Baada ya Petro na Yohane kutoa ushuhuda wao na kuutangaza ujumbe wa Bwana, walirudi Yerusalemu. Walipokuwa wanarudi walihubiri Habari Njema katika vijiji vingi vya Samaria.
26Ai o angelo le Devlesko phendia le Filiposke, phenelas, "Wushti opre ai zha tele South po drom kai hulel ande Jerusalem zhando Gaza," kodo kai si pusta.
26Malaika wa Bwana alimwambia Filipo, "Jitayarishe uende kusini kupitia njia inayotoka Yerusalemu kwenda Gaza." (Njia hiyo hupita jangwani.)
27Wushtilo opre ai gelotar; ai eta, ek Ethiopiano, kai sas sluga (eunuch) tela vas la amperatasaiko busholas Candace, kai sas ande Ethiopia, ai wo lelas sama pe lako sumnakai ai lako mishtimos, ai wo avilo ando Jerusalem te rhugilpe ka Del.
27Basi, Filipo akajiweka tayari, akaanza safari. Wakati huohuo kulikuwa na Mwethiopia mmoja, towashi, ambaye alikuwa anasafiri kuelekea nyumbani. Huyo mtu alikuwa ofisa maarufu wa hazina ya Kandake, malkia wa Ethiopia. Alikuwa amekwenda huko Yerusalemu kuabudu na wakati huo alikuwa anarudi akiwa amepanda gari la kukokotwa.
28Ai porme zhalas khere, sar beshelas pe pesko vurdon jinelas ande Vorba le Devleski pa profeto Isaiah.
28Alipokuwa anasafiri, alikuwa akijisomea kitabu cha nabii Isaya.
29O Swunto Duxo phendia le Filiposke, "Zha mai angle, ai pashos pasha kudo vurdon."
29Basi, Roho Mtakatifu akamwambia Filipo, "Nenda karibu na gari hilo ukafuatane nalo."
30O Filip pashilo pasha leste nashimasa, ai ashunelas sar o Ethiopiano jinelas ande Vorba le Devleski pa profeto Isaiah, ai phushlia les, "Haliares so jines?"
30Filipo akakimbilia karibu na gari, akamsikia huyo mtu akisoma katika kitabu cha nabii Isaya. Hapo Filipo akamwuliza, "Je, unaelewa hayo unayosoma?"
31Kodo manush phendia, "Sar te haliarav te na avela vari kon te mothol mange?" Ai phendia le Filiposke te anklel lesa po vurdon, ai te beshel pasha leste.
31Huyo mtu akamjibu, "Ninawezaje kuelewa bila mtu kunielewesha?" Hapo akamwalika Filipo apande juu, aketi pamoja naye.
32Ai eta, so jinelas ande Vorba le Devleski, angerde les sar iek bakriorho kai ingeren les te mudaren les; wo sas sar iek vitselo kai chi mothol kanch angla kuko kai rhandel le bal pa leste, chi phuterdia vov si o mui.
32Basi, sehemu ya Maandiko Matakatifu aliyokuwa anasoma ilikuwa hii: "Alikuwa kama kondoo anayepelekwa kuchinjwa; kimya kama vile mwana kondoo anaponyolewa manyoya, yeye naye hakutoa sauti hata kidogo.
33Mekliape tele numa nas lenge mila anda leste, chi kerde leske kris, kon sai dela duma pa kodola kai avena pala leste?
33Alifedheheshwa na kunyimwa haki. Hakuna atakayeweza kuongea juu ya kizazi chake, kwa maana maisha yake yameondolewa duniani."
34Ke mudarde les pe kadia phuv. Kodo sluga phendia le Filiposke, "Rhugiv ma tute, phen mange pa kaste del duma o profeto kadia, pa peste del duma vai pa aver vari kon?"
34Huyo Mwethiopia akamwambia Filipo, "Niambie, huyu nabii anasema juu ya nani? Anasema mambo haya juu yake yeye mwenyewe au juu ya mtu mwingine?"
35Antunchi o Filip phuterdia o mui, ai de kotsar liape te mothol leske pe lashi viasta le Jesusoski.
35Basi, Filipo akianzia na sehemu hiyo ya Maandiko Matakatifu, akamweleza Habari Njema juu ya Yesu.
36Sar zhanas pa drom, arakhle pai; ai wo phendia le Filiposke, "Eta pai, ai sostar te na bolav ma?"
36Walipokuwa bado wanaendelea na safari walifika mahali penye maji na huyo ofisa akasema, "Mahali hapa pana maji; je, kuna chochote cha kunizuia nisibatizwe?"
37O Filip phendia leske, "Te pachasa tu sa che ilesa, sai kerdiol so manges. Wo phendia, "Pachav ke O Jesus Kristo si O Shav le Devlesko."
37Filipo akasema, "Kama unaamini kwa moyo wako wote unaweza kubatizwa." Naye akajibu, "Naam, ninaamini kwamba Yesu Kristo ni Mwana wa Mungu."
38Aterdiardia o vurdon, ai won huliste tele, vi le dui zhene ando pai, ai o Filip boldia les.
38Basi, huyo ofisa akaamuru lile gari lisimame; na wote wawili, Filipo na huyo ofisa wakashuka majini, naye Filipo akambatiza.
39Kana ankliste avri andai pai, O Swunto Duxo le Devlesko lia le Filipos, ai o eunuch chi mai dikhlia les; numa zhalas pesko drom raduimasa.
39Walipotoka majini Roho wa Bwana akamfanya Filipo atoweke. Na huyo Mwethiopia hakumwona tena; lakini akaendelea na safari yake akiwa amejaa furaha.
40O Filip arakhlia pe andek foro kai bushol Azotus; ai kotsar zhalas ande Caesarea, numa motholas e lashi viasta le Devleski ande sa le foruria kai nakhelas.
40Filipo akajikuta yuko Azoto, akapita katika miji yote akihubiri Habari Njema mpaka alipofika Kaisarea.