Romani: New Testament

Swahili: New Testament

Hebrews

7

1O Melchizedek sas o amperato le Salemosko, ai vi ek rasha le Devlesko O Mai Baro Del. Kana o Abraham avilo palpale katar o marimos kai but amperatsi mule, o Melchizedek dikhlia le Abrahamos sar zhalas khere ai swuntsosardia les.
1Melkisedeki alikuwa mfalme wa Salemu, na kuhani wa Mungu Mkuu. Abrahamu alipokuwa anarudi kutoka vitani ambako aliwaua wafalme, Melkisedeki alikutana naye akambariki,
2O Abraham dia kal Melchizedek desh partia (desh pek shel) anda sa so nirisardia ande marimos. O anav 'Melchnizedek' znachil, 'O amperato le chachimasko', ai porme 'O Salem' znachil 'Pacha', ai wo si akhardo 'O amperato le pachako', ai 'O amperato le Salemosko'.
2naye Abrahamu akampa sehemu ya kumi ya vitu vyote alivyokuwa navyo. (Maana ya kwanza ya jina hili Melkisedeki ni "Mfalme wa Uadilifu"; na, kwa vile yeye alikuwa mfalme wa Salemu, jina lake pia lina maana ya "Mfalme wa Amani.")
3O Melchizedek sas bi dadesa, bi deiasa, bi familiasa, ai nai kanchi kai si ramome pa leski familia. Nas biandilo ai chi mulo, numa lesko traio si sar O Shav le Devlesko, ek rasha sa data.
3Baba yake na mama yake hawatajwi, wala ukoo wake hautajwi; haisemwi alizaliwa lini au alikufa lini. Anafanana na Mwana wa Mungu, na anaendelea kuwa kuhani daima.
4Ame sai dikhas sar baro o Melchizedek sas. O Abraham dia les desh partia anda sa kai nirisardia ande marimos.
4Basi, mwaona jinsi mtu huyu alivyokuwa maarufu. Baba Abrahamu alimpa sehemu moja ya kumi ya vitu vyote alivyoteka vitani.
5O Zhidovisko zakono phendia, le shave le Levionge kai si rashai te len desh pek shel katar lengo narodo, le Zhiduvuria, kai si le shave le Abrahamoske.
5Tunajua vilevile kwamba kufuatana na Sheria, wana wa Lawi ambao ni makuhani, wanayo haki ya kuchukua sehemu ya kumi kutoka kwa watu, yaani ndugu zao, ingawaje nao ni watoto wa Abrahamu.
6Numa o Melchizedek sikadia o respektimos kal Abraham, ai o Abraham premisardia so sas shinadia leske katar O Del.
6Lakini huyo Melkisedeki hakuwa wa ukoo wa Lawi, hata hivyo alipokea sehemu ya kumi kutoka kwa Abrahamu; tena akambariki yeye ambaye alikuwa amepewa ahadi ya Mungu.
7Kodo kai sikavel o respektimos si mai baro sar kodo kai premil o respektimos.
7Hakuna mashaka hata kidogo kwamba anayebariki ni mkuu zaidi kuliko yule anayebarikiwa.
8Le Zhidovonge rashai, kai meren, premisarde desh partia. Numa si phendo kai o Melchizedel traiil.
8Tena, hao makuhani wanaopokea sehemu ya kumi, ni watu ambao hufa; lakini hapa anayepokea sehemu ya kumi, yaani Melkisedeki, anasemekana kwamba hafi.
9Ame sai phenas kai o Levi, o dat le Zhidovonge rashai pochindia desh partia kal Melchizedek pala o Abraham.
9Twaweza, basi, kusema kwamba Abrahamu alipotoa sehemu moja ya kumi, Lawi (ambaye watoto wake hupokea sehemu moja ya kumi) alitoa sehemu moja ya kumi pia.
10O Levi nas kerdilo inker, numa wo avilo andai vitsa le Abrahamoski kana o Abraham pochindia desh partia kal Mekchizedek.
10Maana Lawi hakuwa amezaliwa bado, bali ni kama alikuwa katika mwili wa baba yake, Abrahamu, wakati Melkisedeki alipokutana naye.
11Te le Zhidovonge rashai ai lenge zakonuria dashtisardia te skepin ame. Sostar O Del tradia pesko Shav O Kristo sar ek Baro Rasha, sar o Melchizedek, sarte te tradel ame iek sar o Mekchizedek, ai nai iek andai vitsa le Aaronoski?
11Kutokana na ukuhani wa Walawi, watu wa Israeli walipewa Sheria. Sasa, kama huduma ya Walawi ingalikuwa kamilifu hapangekuwa tena na haja ya kutokea ukuhani mwingine tofauti, ukuhani ambao umefuata utaratibu wa ukuhani wa Melkisedeki, na si ule wa Aroni.
12Ai kana e vitsa le rashange sas parhudia, o Zhidovisko zakono sas parhudia.
12Maana ukuhani ukibadilika ni lazima Sheria nayo ibadilike.
13Kadala vorbi phenel amenge pa Kristo kai avilo anda aver vitsa, ai le manush ande kadia vitsa shoxar chi kerde buchi kai altari. Won chi mudarde le zhigeni ai chi dine podarki po altari pala le bezexa le manushenge.
13Naye Bwana wetu ambaye mambo hayo yote yanasemwa juu yake, alikuwa wa kabila lingine, na wala hakuna hata mmoja wa kabila lake aliyepata kutumikia madhabahuni akiwa kuhani.
14O Jesus avilo andai vitsa kai bushol Judah, O Moses chi ramosardia kanchi pa lende ke wo chi dia lenge kadia buchi te keren.
14Inafahamika wazi kwamba yeye alizaliwa katika kabila la Yuda ambalo Mose hakulitaja alipokuwa anasema juu ya makuhani.
15Ame dikhas kai aver rasha avilo. Wo si sar o Melchizedek.
15Tena jambo hili ni dhahiri zaidi: kuhani mwingine anayefanana na Melkisedeki amekwisha tokea.
16O Kristo chi kerdilo o baro rasha ke wo avilo andai vitsa le Leviongi sar o Zhidovisko zakono phendia, O Kristo avilo O Baro Rasha la putierasa katar o traio kai chi mai getolpe.
16Yeye hakufanywa kuwa kuhani kwa sheria na maagizo ya kibinadamu, bali kwa nguvu ya uhai ambao hauna mwisho.
17E Vorba le Devleski phenel pa Kristo, "Tu san O Baro Rasha sa data sar o Melchizedek."
17Maana Maandiko yasema: "Wewe ni kuhani milele, kufuatana na utaratibu wa ukuhani wa Melkisedeki."
18O Del thodia o zakono le Mosesosko rigate, ke le rashai kerde e buchi pala o skepimos, numa akana O Kristo avilo andai aver vitsa sar O Baro Rasha te skepil le manushen.
18Basi, ile amri ya zamani ilifutwa kwa sababu ilikuwa hafifu na isiyofaa kitu.
19Kovlo sas o zakono ai nashtisardia te skepil le manushen. Ke o zakono le Mosesosko chi kerde le manushen vorta anglaDel. Numa akana ame sai pachas ande leste ai beshas pasha leste, ke O Kristo si amaro Baro Rasha.
19Maana Sheria ya Mose haikuweza kukamilisha jambo lolote. Lakini sasa, mahali pake pamewekwa tumaini lililo bora zaidi ambalo kwalo tunaweza kumkaribia Mungu.
20O Del shinadia amenge ke O Kristo si te avel O Baro Rasha sa data.
20Zaidi ya hayo hapa pana kiapo cha Mungu. Wakati wale wengine walipofanywa makuhani hapakuwako kiapo.
21Wo chi phendia kadala vorbi pa le kaver rashai. Ferdi ka O Kristo O Del phendia, "O Del phendia le vorbi ai shoxar chi parhuvel le vorbi. Tu san O Baro Rasha sa data, sar o Melchizedek."
21Lakini Yesu alifanywa kuhani kwa kiapo wakati Mungu alipomwambia: "Bwana ameapa, wala hataigeuza nia yake: Wewe ni kuhani milele."
22Ke O Del dia amenge leski vorba, ai O Jesus kerdilo o nevo kontrakto kai si mai mishto amenge.
22Basi, kutokana na tofauti hii, Yesu amekuwa mdhamini wa agano lililo bora zaidi.
23Mai anglal kana sas le o kontrakto o phuro won trobulsarde but rashai. Kana iek mulo won trobulsarde aver te kerel leski buchi.
23Kuna tofauti nyingine pia: hao makuhani wengine walikuwa wengi kwa sababu walikufa na hawakuweza kuendelea na kazi yao.
24Numa O Jesus traiil sa data ai si amaro Baro Rasha, ai shoxar chi trobul ame aver.
24Lakini Yesu si kama wao, yeye anaishi milele; ukuhani wake hauondoki kwake.
25O Jesus skepil sa le manushen kai aven leste akana ai sa data. O Jesus skepil le katar e kris le bezexeski, ai wo traiil sa data te rhugilpe ande lende, ai won chi bustren kai wo shordia pesko rat pala lende.
25Hivyo, yeye anaweza daima kuwaokoa kabisa wote wanaomwendea Mungu kwa njia yake, maana yeye anaishi milele kuwaombea kwa Mungu.
26Trobul ame ek baro rasha sar O Jesus, ke wo si swunto, ai nai dosh ande leste, Wo chi kerdia bezex, ai nai marime sar le manush kai keren bezex, ai si les o than le luvudimasko ando rhaio.
26Basi, Yesu ndiye Kuhani Mkuu ambaye anatufaa sana katika mahitaji yetu. Yeye ni mtakatifu, hana hatia wala dhambi ndani yake; hayumo katika kundi la wenye dhambi na ameinuliwa mpaka juu mbinguni.
27O Kristo chi trobul o rat le zhigeni pala o sakrifis swako dies pala peste, sar le kaver rashai trobulsarde te keren te vuzharen penge bezexa, ai porme le bezexa le manushenge. O Kristo chi kerdia so won kerde. Numa Wo dia iek podarka po altari kana Wo dia pesko traio po trushul. Wo sas o sakrifis.
27Yeye si kama wale makuhani wakuu wengine; hana haja ya kutoa dhabihu kila siku, kwanza kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe, kisha kwa ajili ya dhambi za watu. Yeye alifanya hivyo mara moja tu wakati alipojitoa yeye mwenyewe, na hiyo yatosha kwa nyakati zote.
28O Zhidovisko zakono kerel rashai le manushenge, numa le rashai sas kovle, ai kerde bezex, ai chi kerde vorta angla Del sa data. Numa mai palal O Del alosardia pesko Shav kai kerdia vorta angla leste sa data.
28Sheria ya Mose huwateua watu waliokuwa dhaifu kuwa makuhani wakuu; lakini ahadi ya Mungu aliyoifanya kwa kiapo na ambayo imefika baada ya sheria imemteua Mwana ambaye amefanywa mkamilifu milele.