1Shov dies pala kodia O Jesus lias pesa o Petri, o Iakov ai lesko phral o Iovano, ningerdias le pek bari plaiing ai ferdi won sas kotse.
1Baada ya siku sita, Yesu aliwachukua Petro, Yakobo na Yohane nduguye, akaenda nao peke yao juu ya mlima mrefu.
2Kotse parhudilo angla lende, lesko mui strefialsa sar o kham, ai leske tsalia parnile sar e vediara.
2Huko, wakiwa wanamtazama, akageuka sura, uso wake ukang'aa kama jua na mavazi yake yakawa meupe kama nuru.
3Strazo avisaile angla lende, o Moses ai o Elijah denas duma le Kristosa.
3Mose na Eliya wakawatokea, wakawa wanazungumza naye.
4Antunchi o Petri dias duma ai phendias, "Jesus, Gazda, mishto ke sam katse! Te mangesa, anzaras trin tseri, iek tuke, iek le Mosesoske, ai iek le Elijahaske."
4Hapo Petro akamwambia Yesu, "Bwana, ni vizuri sana kwamba tupo hapa! Ukipenda nitajenga vibanda vitatu: kimoja chako, kimoja cha Mose na kimoja cha Eliya."
5Sar delas duma, iek nuvero kai strefialas avilo ai vuäaradia le, ai anda nuvero iek glaso phendias: "Kado si murho Shav kai si mange de sa drago, kai plachal ma de sa zurales; ashunen leste!"
5Alipokuwa bado anasema hivyo, wingu jeupe likawafunika, na sauti ikasikika kutoka katika hilo wingu: "Huyu ni Mwanangu mpendwa, ninayependezwa naye, msikilizeni."
6Kana le disipluria ashunde kodo glaso, daraile zurales ai pele tele mosa pe phuv.
6Wanafunzi waliposikia hivyo wakaanguka kifudifudi, wakaogopa sana.
7Numa O Jesus avilo, thodia o vas pe lende, ai phendias, "Wushten, na daran!"
7Yesu akawaendea, akawagusa, akasema, "Simameni, msiogope!"
8Kana vazde penge iakha, chi mai dikhle kanikas, ferdi O Jesus sas.
8Walipoinua macho yao hawakumwona mtu, ila Yesu peke yake.
9Sar avenas tele pai plaiing O Jesus dias le trad, "Na phenen kanikaske so dikhlian zhi kai O Shav le Manushesko zhuvindila andai martia."
9Basi, walipokuwa wanashuka mlimani, Yesu akawaonya: "Msimwambie mtu mambo mliyoyaona mpaka Mwana wa Mtu atakapofufuliwa kutoka wafu."
10Leske disipluria phushle les, "Sostar le Gramnoturia phenen ke o Elijah trobul te avel mai anglal?"
10Kisha wanafunzi wakamwuliza, "Mbona walimu wa Sheria wanasema ati ni lazima kwanza Eliya aje?"
11O Jesus phendia lenge, "Chaches trobul te avel o Elijah te anel palpale swako fielo sar kai sas.
11Yesu akawajibu, "Kweli, Eliya atakuja kutayarisha mambo yote.
12Numa phenav tumenge, o Elijah vunzhe avilo, numa le manush chi prinzharde les, ai kerde lesa so godi mangle. Sa kadia O Shav le Manushesko si te avel chinuime lendar."
12Lakini nawaambieni, Eliya amekwisha kuja nao hawakumtambua, bali walimtendea jinsi walivyotaka. Mwana wa Mtu atateswa vivyo hivyo mikononi mwao."
13Antunchi le disipluria haliarde ke delas lensa duma pa o Iovano o baptisto.
13Hapo hao wanafunzi wakafahamu kwamba alikuwa akiwaambia juu ya Yohane mbatizaji.
14Kana aresle karing o narodo, iek manush avilo ka Jesus, thodiape ande changende angla leste,
14Walipojiunga tena na ule umati wa watu, mtu mmoja alimwendea Yesu, akampigia magoti,
15ai phendias, "Gazda, al tuke mila anda murho shav! Ke beng ande leste, ai chinuil zurales, butivar perel ande iag, ai butivar perel ando pai.
15akasema, "Mheshimiwa, mwonee huruma mwanangu kwa kuwa ana kifafa, tena anateseka sana; mara nyingi yeye huanguka motoni na majini.
16Ningerdem les ka che disipluria, numa nashti sastiarde les."
16Nilimleta kwa wanafunzi wako lakini hawakuweza kumponya."
17O Jesus dias atweto ai phendias, "Tume kai nai tume pachamos, ai rimome vitsa, zhi kana trobula te avav tumensa? Zhi kana trobul te rhivdiv tumen? Anen le shavorhes mande!"
17Yesu akajibu, "Enyi kizazi kisicho na imani, kilichopotoka! Nitakaa nanyi mpaka lini? Nitawavumilia ninyi mpaka lini? Mleteni hapa huyo mtoto."
18O Jesus gonisardias le benges, ai o beng anklisto avri anda shavorho, ai strazo sasto sas.
18Basi, Yesu akamkemea huyo pepo, naye akamtoka, na yule mtoto akapona wakati huohuo.
19Porme le disipluria avile ka Jesus, line les rigate ai phushle, "Sostar nashti gonisardiam les ame?"
19Kisha wanafunzi wakamwendea Yesu kwa faragha, wakamwuliza, "Kwa nini sisi hatukuweza kumtoa yule pepo?"
20O Jesus phendias lenge, ke de sa xantsi pachamos si tume, o chachimos phenav tumenge, te avel tume pachamos kambor e sumuntsa la garchitsaki, phendianas kakala plaiake, "Le tu katkar ai tho tu kote!" Ai si te mishkilpe, ai nai khanchi kai nashti kerena.
20Yesu akawajibu, "Kwa sababu ya imani yenu haba. Nawaambieni kweli, kama tu mkiwa na imani, hata iwe ndogo kama mbegu ya haradali, mtaweza kuuambia mlima huu: Toka hapa uende pale, nao utakwenda. Hakuna chochote ambacho hakingewezekana kwenu."
21Numa kodolestar anklel avri ferdi kana rhugis tu ai zhonis.
21"Pepo wa namna hii hawezi kuondolewa ila kwa sala na kufunga."
22Andek dies kai le disipluria sas andek than ande Galilee. O Jesus phendia lenge, ke O Shav le manushesko si te avel dino andel vas le manushengo:
22Walipokuwa pamoja huko Galilaya, Yesu aliwaambia, "Mwana wa Mtu atakabidhiwa kwa watu.
23Ai si te mudaren les; numa o trito dies zhuvindila." Won nekezhisaile zurales.
23Watamuua, lakini siku ya tatu atafufuliwa." Wanafunzi wakahuzunika mno.
24Kana O Jesus ai leske disipluria aresle ando Capernaum, le manush kai chiden e taksa, avile ka Petri ai phushle les, "Tumaro gazda chi pochinel e taksa?"
24Walipofika Kafarnaumu watu wenye kukusanya fedha ya zaka ya Hekalu walimwendea Petro, wakamwuliza, "Je, mwalimu wenu hulipa fedha ya zaka?"
25"Pochinel," phendia o Petri, ai kana o Petri avilo ando kher, O Jesus dias duma mai anglal, ai phendias, "So gindis tu, Simon? Le amparaturia la phuviake, kastar len e taksa le themeski, katar penge shave, vai katar le streia?"
25Petro akajibu, "Naam, hulipa." Basi, Petro alipoingia ndani ya nyumba, kabla hata hajasema neno, Yesu akamwuliza, "Simoni, wewe unaonaje? Wafalme wa dunia hukusanya ushuru au kodi kutoka kwa kina nani? Kutoka kwa wananchi ama kutoka kwa wageni?"
26Kana o Petri phendias, "Katar le streia," O Jesus phendias leske, "Antunchi le shave chi trobul te pochinen.
26Petro akajibu, "Kutoka kwa wageni." Yesu akamwambia, "Haya basi, wananchi hawahusiki.
27Numa te na rimosaras lenge gindo ai te peren ando bezex, zha ka maria, ai shude vunjitsa ando pai, le o pervo masho kai astaresa, phuter lesko mui, ai kotse arakhesa love, inger lende ai pochin e taksa pa mande ai pa tute."
27Lakini kusudi tusiwakwaze, nenda ziwani ukatupe ndoana; chukua samaki wa kwanza atakayenaswa, fungua kinywa chake, na ndani utakuta fedha taslimu ya zaka. Ichukue ukawape kwa ajili yangu na kwa ajili yako."